SHAMIRA 49 to 50
Sehemu ya 49
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto
Uyu mtotot akizaliwa .mimi ndl nakuwa mama yake na mimo ndo nakuwa baba yake maisha yanaenda wala usijali. Basi akawa anacheka tu . Akawa anasema mh aya bwana ngoja nikuache.basi maisha yakawa yanaende vizur tu japo nilikuw namkumbuka hamadi ila nilikuwa najikaza maisha yaende.na mashoga zangu walikuwa wananicheka sana sijuh nimefulia . Ohhhh kiko wapi nilikuwa naringa sana leo nimeludi uswahili naendelea kudanga kama kamwaida acheni tu mashoga awa .nikaona ngoja nizae kwanza mwngine yataisha tu. Basi ikapita miez 3 na mimba yangu ikafikisha miezi 5 apo na clinic nilishaanza .na jina la baba wa mtoto mimi bila ya shida niliandika hamadi katika kadi la mimba
Ila sas clinic yenyewe kwenda ndo miyayusho .sina mda kabisa nipo buy na mashoga zangu wengine na kutunzana kwenye mashughuri kudanga .na nikipata mda siku nakuw naenda dukani kwa aisha naenda kufanya biashara maisha yanaenda .unacheza na mimi nini. Pomba nakunywa kma sina akiri nzuri na ugomvi wangu kupigana dakika 2 sioni shida na mtumbo wangu.yani uyu mtoto alikuwa anapata shida mana mama yake nimechanganikiwa mno na mda sina.
Basi nilipambana na mimba yangu hivyo hivyo .clinic nikawa siendi wala nini si nipo busy na mshughuri ya mashoga na mambo yangu.na wanaume jamani tena nilizidi kupata madanga mana walikuwa wananmbia ety mjamzito nakuwa mtamu hata awaogopi mana kitumbo kilichomoza haswaaaa.ila mwanamke sina habari ndo kwanza naubinukia tu yani kama vile sina mimba . Basi razaki akawa ananambia kama vipi nimpe mimba yeye ndo awe baba ila nitulie.nikamwambia we usinletee majanga uyu sio mwanao alomkojoa yupo uko. Ipo siku atakumbuka damu yake atafata.aya nikikupa wewe yeye nampa nini ebu nipisheni mie.mana sio yeye tu wengi waananambia tupe mimba basi tukumiliki khaaaaa walikuwa wanachanganikiwa na mie. Yani nyota ya kupendwa tu shoga yenu nilikuwa nayo
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
SHAMIRA
Sehemu ya 50
Wassap;0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi niliangaika na mimba mpka ikafika miezi 9 lakini sikumbuki ata kidogo siku ya makadirio ya kujifungua .mie busy na maisha yangu ila vifaa nilikumbuka na nikajinunulia nikavibwaga ndani nikawa naendelea na mizunguko yangu mjini apa. Kwa mda wote uo hamadi bado alikuwa hapatikani kabisa na hakuwahi kunitafuta ata siku 1 so nilishaelewa kuwa hanitaki serious na mimi nifanye mambo yangu tu.kwaiyo sikuangaika nae kabisa na wala sikueenda kwake tena
Nakumbuka sana iyo siku nipo shughurini na shoga nakunywa pombe yangu taratibu uku tunaongea na shoga zangu pale mezani .basi nipo busy kweli kweli .na asha alikuwepo tukiwa pale sasa.kwanza nilisikia kama kisu kimepita kwenye kiuono changu kikafanya shwaaaa.mh nilistuka mana nilipata maumivu ya gafra nikaweka bia mezani kwanza. Kisha nikatulia kidogo mmh nikaanza kusikia maumivu ya tumbo mno .nyie mwenzenu uchungu ulinianza nipo kwenye shughuri ukumbini na nilikuwa nakunywa bia mh acheni hii siku nilipata aibu mimi.
Nikajikaza nikaona masihara weee nikahisi maji yananimwagika uku chini atari .nikawa sasa sijielewi na nikawa napata maumivu makari mno ya tumbo na watu wapo busy na shughuri ila sasa nilikaa na hisna na aisha pale. Hisna akaniuliza wewe vp mbona kama hutulii .nikasema husna nasikia maumivu sana ya tumbo na kiuno na kuna maji yamenimwagika uku chini mh. Husna akalete mkono akanishika uku chini akasema toba wewe unaumwa uchungu ina maana mimba ishafika miezi 9 kwanini ulikuwa unakuja sasa kwenye mashughuri si ungatulia nyumbani shamira. Tumbo lako nilikuwa ata siliewi. mimi nilizani ata una mimba miezi 7 kumbe mzigo ushatimia na unakunywa pombe.
nikasema husna kwanza nisaidieni mwenzenu napata mauumivu makari sana ntakufa naumia.mh ikabidi sasa husna na aisha wanitoe mule ndani nikajikaza nikatoka kama siumwi.nilivyotoka nje sasa uchungu ulizidi uliniuma mno.mh nilichanganikiwa kama mwandawazimu. Basi haraka wakanikodia bajaji .husna akamwambia aisha kamfatie vitu vyake nyumbani kwnza mimi nawahi nae zakieumu . Na wewe ukivishachukua kodi boda utatukuta hospitali aisha akasema sawa. Basi kwrleli husna akanipeleka mpka zakiemu hospitali. nyie mbona pombe ilikata nilipata uchungu mkari jamani mbona kama mie maumivu yangu yalizidi.
Yani nilikuwa ata sijielewi. Husna akanipeleka mpka hosipta manursse wakanipokea . Nikawa nawasikia mbona mgonjwa ananuka pombe. Nikaona husna anashindwa ata kujielezea . Wakaniuliza wewe umetoka kunywa mapombe eeeeh. Kwani mnazani niliwajibu mana maumivu niliyokua nayapata sitaki kueleza. Mana kuma inauma nyuma kuna vuta tumbo linauma kiuno kunauma.yani sikuwa na sehemu specifoc ya kuumwa .sikuwa najielewa kabisa mimi . Daaah.nikawa mpaka nalia sasa
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
SHAMIRA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni