SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini kwetu ni kuvutana tu. Yani uwiiii sikuwa napenda kabisa .nilikuwa naona kama.a ananitumia shida sasa..nikishafika chumbani .uyu kaka akinishika tu.mimi mdomo kwisha ntatombwaaa tuuu siku nzima mpaka baraka atakaposema nimerizika sasa. Yani ujadili wa kumkatalia baraka mimi sikuwa nao. Yani ubishi wangu akiwa ananichukua tu. Ila nilikuwa naumia sana .mana najua mtu kashaoa na ananitumia tu mimi kingono. Ila ndo hivyo. Na hali halisi ndo ilokuwa hivyo.
Siku iyo sasa . Nipo zangu saloon busy kwrli kwrli na wateja. Baraka akanipigia simu. Sikutaka ata kupokea . Ila namjua nikaona apa nisipoipokea hii simu ata kuja apa. Kunihalibia biashara. Nikampokelea. Akaniuliza upo wapi now. Nikasema nipo kazini baraka. Hivi mchana niwe wapi. Barakaakasema sawa .basi usiku natka tutoke leo shakira . Tukakae sehemu imetulia tuongeee mama yangu. Nikasema baraka unajua nachukia tabia zako na unapoendelea mimi ntawaambia wazazi .yani ntamwambia baba kabisa. Baraka akasema shakira mi nishamaliza nakufata usiku saa 3. Maliza kazi zako kisha akakta simu. Nyie uyu baraka sijuh ndo jeshi kwanza abembelezi na ananipelekesha sana. Na kunipelekesha uku . Shida na mimi bado nilikuwa na upendo juu ba barska.na vile tunafanya mapenzi imeshakuwa jengeka juu yake. Basi nikaendelea na kazi zangu. Adrian nae kanipigi. Akanmbia baby. Leo nimekumiss sana .saa 1 usiku nipo apa nakufata mama .uje kulala mbezi nimekumiss kinoma noma.nikasem sawa mpenzi wangu. Nikaona apa nna kimbembe ila ngoja.
Basi nikafanya sana kazi zangu mpaka saa 12 nikamaliza baazi.zilizobaki nikamuachia gile.nikampa na funguo akimaliza afunge ofisi kisha mie sikungoja kufatwa nikaenda kwa adrian. Mana uyu ndo mwanaume anayenipenda na anayenihudumia mno. Na kama isingekuwa dini basi angenioa. Basi nilipofika nikakuta adriana ndo anataka.kunifata. akanmbia mh umekuja mwenyewe.nikasema yes baby sijataka kukuchosha . Adrian akacheka akasema okey mpenzi nimekumiss sana. Weeee sikujifunga nikamsogeleea tukaaanza kupeana rahaa. Tukainuana mpaka chumbani. Kweli adriana anajua kunikaza .ila baraka ni noma uwiiiiiiiiiii. Ila ata yeye kwake nainjoy tu. Basi tukaburudika sana mpaka saa 4. Ndo mie nikaingia jikoni kupika kwanza mana njaaa zilikua zinauma sana. Basi na mimi nikiwa napika ndo nashika simu. Nakita baraka kanipigia mala 16. Hivi ana akiri kweli uyuπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Na gile kanipigia mala 2. Nikampigia gile. Gile akanambia shoga barka kaja apa .apo gile anamjua na baraka na anaelewa fujo zake sanaa tu. Nikasema eeh kasemaje. Nimemwambia aupo umeludi kwenu .aseeee kafura uyo kama chatu. Nikacheka nikasema achana nae bwana. Si ana mke aende uko. Gile akanmbia na kweli tulia na adrian wako mume wa mtu wa nini sasa. Nikabaki nacheka tu. Basi ile nakata na yeye anapiga tena.nikaona ebu akwende uko .nikamkatia simu.akapiga tenaaa.nikaipokea ile simu. Aseeee namsikia mtu kapanik anatwetwa kweli kweli. Akasema shakira upo wapi. Nambie upo wapi shakira upo kwa mwanaume si ndio.upo kwa uyo adrian si ndio.nikasema hapana nipo nyumbani nimelala. Akasema.ni uongo. Nipo kwenu apa. Mbona haupo na shangazi kasema umetoka tangu asubuh upo kazini. Nikasem baraka kwani wee si uwa unalalaga kwa mkeo.mimi huwa nakufatilia. We si umeamua tufanye mapenzi ya kuibana. Sasa kama wewe una mkeo .na mimi.nna mwanaume wangu permanent naomba tuelewane vizur. Baraka akasema shakira ludi nyumbani huuu mda si ushatombwa uko .aya ludi nyumbani. Nikasema ww usinizuie mimi mshamba nn. Nikakata na simu yanguu.
Akawa anapiga nakwambia nikaona kwani shida nini. Mimi nikazima na simu. Nikamaliza kupika .kisha nikala na baby wangu kwa rahaa na starehe zetu.tukaludi tena kitandani. Mwanaume akataka tenaaaa.weeee mie nani nimnyime nikampa tena. Tukaburudika usiku mzima ndo tukalala. Asubuh sana adrian ndo alikuwa wa mwanza kuamka akajiandaa .kisha akaniaga kuwa anaenda kazini na ana kikao hivyo hawez kunipeleka kazini. Nikasema hakuna shida . Nikamuacha aende tu kazini. Mie nikafanya usafi ndani kwa adrian mpaka nikamaliza kisha sasa ndo nikawasha simu . Naona simu ya mma inaingia. Nikapokea mama akasrma we mtoto mbona hujaludi nyumbani na ujasema lolote .nikasema jamni mama bwana . Mama akasema upo wap.nikasema kwa mkweo. Mama akacheka adrian uyo . Nikasema bwana mama achana na ayo .ila leo naludi ndo nipo najiandaaa apa naenda kazini.ila naludia home. Mama akasema kwani wewe na baraka mnatembea? .mh mbona swali gumu.nikasema hapana mama sisi wala hatutembei. Mama akasema jana apa baraka kaja .kama kachanganikiwa ata sikielewi anachokiongea .yani simuelewi kabisa.anakuulizia ulizia alafu kama.kavurugwa imekuwaje kwani.mbona kama ni mtu ambae aligubikwa na wivu. Nikasema mama bwana wala sio kweli .mimi sina mahusiano na barka kabisa.na wala sio mtu wangu. Mama akasema oooh sawa. Ukiludi tutaongea nikasema sawa.
Basi mie nikajiandaa kisha nikampigia simu gile kuwa amefika mana yeye ndo mwenye ufunguo. Gile akanmbia anakalibia. Nikasema powa .na mimi nikajiandaa fresh .uyo nikatoka . Nikawa naelekea saloon sasa. Aseeee ile nipo kwa gari.gile akanipigia .nikapokea .akanmbia shoga usije uku.barak yupo apa.na nivyoona uyu kalala apa. Hajaenda kwake.nikasema nn akanmbia ndio tena ana hasira mana ata iyo salamu tulivyosalimiana .mh hapana apa usije ludi kwanza nyumbani.nikasema sawa.nikaona uyu baraka uyu atanizoea.ntaenda kumsemelea kwa baba wallah. Mtu kashaoa ananifatilia nini sasa. Basi mie nikaludi zangu home. Mama akanmbia we si ulisema unaenda saloon kwanza .nikasema ahaa kuna kitu nimesahau mama. Kumbe namuogopa baraka . Nikajua nikienda uko kitawaka.nikaona bola nije kucheal tu home. Basi nikawa nipo chumbani kwangu sasa nachati tu na gile namuuliza uyo mpumbavu kaondoka.ananambia bado shoga kajaa tele. Anakaa kwa gari anashuka anakuja . Nikasema uwiiii. Akiondoka nambie mana nna miadi na mteja leo.akanmbia powa.
Aseee mapak saa 5 .ndo ananmbia oyaaa kaondoka aa sasa hivi. Nikasema afadhali nakuja apo shoga. Akanmbia powa. Basi nikajiandaa tena nikavuta na mkoba wangu. Nikatoka mpaka sebleni .nikamwambia mama ndo naenda saloon.akanmbia powa .aseee nikatoka zangu fresh nafungua mlango wa geti nakuta baraka anashuka kwa gari yake tukagongana macho. Weeee nilistuka .alivyoniona akabamiza gari kwa hasira akawa ansnifata kwa hasiraa kweli kweli. Weeee mbona niliacha viatu getini. Nikaanza sasa kukimbia kuludi ndani.na baraka ananikimbiza .nimefika sebleni nimemkuta mama kasimaa anashangaa.nikampita nakwambia nikaingia chumbani kwangu nataka kufunga kwa ndani.si nimechelewΓ baraka akaingia sasa. Aseeee akafunga yeye. Tukawa mtu 2 sasa. Nyie sitasahau hii siku .niliuvaa mkono wa mwanaume. Naona alimaliza hasira zake za miaka yote ya nyuma juu yangu.
Aseeee hii siku nilipigwa. Yani nilikubali apa napigwa.kwanza ngumi yake kama nimegongwa na spana. Aseeeee hakunichagulia pahala. Alinipiga kweli kweli. Yani mpaka alinipasua kwenye paji la uso apa kwa ngumi tu. Nililia niliomba misamaha yote.nilikuwa nasema nisamehe baraka sirudii. Yani kosa silijuh . Ila unaomba msamaha kudadeki mpaka unaomba tena na mwanaume haongei.ni ananipiga tu. Aseeee nilijitahidi kuficha sura.mana niliona atanipadua zaidi. Apo mama analia mlangoni aniache sijuh atampeleka pΓ²lisi. Sijuh nini. Yani maneno kibao. Nikasikia mpaka anampigia simu baba . Aseeeee hii siku sisahau. Mpka nikawa namwabia wewe ni muuwaji unataka.kuniua wala hunipendi wewe huna mapenzi na mimi. Apo ndo kama nikampungiza nguvu .nikaona kaniacha anapiga mangumi yake ukutani. Uku nanyeye analia. Aapo mimi ata kujivuta siwezi yani alinidunda nyie acheni. Nilibaki nimelal tu damu zinanitoka uku juu ya paji la uso. Aseeee nikaona baraka kafingua mlango katoka zake .akabamiza na mlango .ndo mama akaingia sasa. Aseee mama akawa analia anasema ntamfunga uyu baraka .nasema sikubali .kwa nn akupige hivi sikubali nasema .yani sikubali. Apo mimi nipo hoi. Na mda huo huo mzee akafika sasa. Akuhoji wala maswali akanibeba haraka wakanipeleka hospitali ya privTe ipo ubungo pale
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni