Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
Gonga94 ยท Stories

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza vp jana ulimpata yule demu kwa simu, nikasema yaaa nilimpata , na tuliongea tu, ibraa akanmbia au sio na bado humtaki, nikabaki kimyaa, ibraa akanmbia daah we msenge kweli umependa jana umelala uku bila ya demu, yani jana hujagonga millan wewe ,daaah kumbe kuna mda shetani anaweza kuwa malkia , nikabaki kimya ibraa alicheka sana , mi nikakausha tu, na tukafanya kazi mno , jioni tu kazi ikaaisha mm sikutaka ata kulala, nikamwambia ibraa twenzetu kesho tuamkie dar, yote apo mi namuwaza zena tu ,natamani nikamuone, hizo siku 2 amabazo sijamuona naona ata sijielewi kiukweli, ibraa akanmbia basi powa hakuna noma, na kweli chapu tulienda hotel tukakusanya vinvyotuhusu, tukaingia ndaninya gari, na tukaanza safari ya kuelekea dar

Mpaka usikau saa 4 ,tulishaingia dar, na mm nikaenda kwangu tu, nikaona ntaenda kumuona zena kesho, basi kweli , huu usiku mm nikapumzika zangu, ata zena sikumpigia mtu mwenyewe ananichamba ahaaa, na asubuh niliamkia kazini mana wakubwa walitaka report ya safari yetu, so nilienda kuwasilisha na nikawa busy sna mpka usiku saa 1 ndo nikatoka job, nikapita makumbusho, nikamchulia iphone zena kali kweli kweli, ndo nikapanga nimepelekee sasa , baada ya kumnunukia ile simu ndo nikaelekea kwa mchumba sasa, basi nikapita na dukani nikamchukulia zawadi kwnza ummy, mana ummy nilishamzoesha zawadi so akiniona nimefika tu , ni baba zawadi yangu, basi nikaenda mpaka kwa zena, basi bwana nimefika kwa zena ,nikagonga mlango akaja kunifungulia zena akanikalibisha vizuri tu , nikaingia ndani,aseee yani ile kumuona tu moyo wangu umefarijika na ukatulia mnoo, basi nikamuulizia ummy nikaambiwa kaenda kuoga, nikamuuliza arishaina, akanmbia anaendelea vizuri ila kalala , nikasema ahaa sawa , basi mimi nikawa nimetulia kwenye sofa najifany kucheza simu yangu ila namuangalia zena ,ahaaa zena kazuri nyie, daah alafu sasa mchumba ndo ataki ata kunisikia

Nikasema ahaa zena nimekuletea simu , nikatoa simu niliyomnunulia kisha nikampa ,nyie zena akafurahi mnoo, akanmbia asante baba arshaina, mh basi mm kwakua mchumba alifurahi kwangu mm ikawa ni raha tu, nikamwambia kuwa mkini basi wasikuchukie na iyo ,akanmbia sawa ntakuwa makini, daah mchumba aliipenda sana simu, mh si hanitaki uyu mbona vitu vyangu anapokea na anavisherehekea kweli kweli, wanwake bwana , aya powa

Basi mi nikatulia mpaka ummy akatoka kuoga, nikampa zawadi zake akanifurahia sana mwanangu, na nikapiga nae sana story apo nimekaa zangu tu, mpaka nikala pale kwa zena na mpaka saa 5 mm nilikuwa kwa zena watoto wote wakalala, basi iyo saa 5 zena akanmbia , aya naomba uende sasa nataka kupumzika na watoto, daah nikamwambia ebu kaa kwanza zena tuongee, aksema nikae wapi na tuongee nini sahizi kumbe wewe ulikuja na maongezi mda wote umenyamaza ulikuwa unamanisha nini, mi now nimechoka sitaki maongezi na mtu, naomba uondoke, daah si kachukua somu yangu uyu ,et now ananikazia niondoke daah ,mimi nikasimama mwanaume ,nikamsogeleza zena taratibu, mpaka nikamfikia nikamshika kiuno, akataka kunitoa ahaa wapi nikamkazia, nikamwambia zena ,nakupenda sana ,nakupenda sana mama arshaina, na kupromise mama ,kuanzia sasa mi nipo tayari kutulia kwa ajaili yako plssss mama angu naomba unielewe na tuongee na tuelewane, zena mi nnapokuw mbali moyo wangu wote unakuwaza wewe, kama kukosea nilishakosea but for now nakuhutaji sana naomba unisameh nakupenda sana zena ,mma ummy wangu

Zena akataka kunisukuma ahaaa wapi, mi wala sikukubali kusukumika, nikazidi kumsogelea kisha nikamkumbatia kwa nguvu, mh zena akanmbia niache bwana we ni muongo na sikutaki, nikasema hapana mama ,kama mapenzi wewe ndo umenifundisha ,kama kupenda wewe ndo umenifundisha, na kuheshimu mwanamke zena wewe ndo umenifundisha plsss snaomba tuwe pamoja, natulia kabisa zena na nitabaki na wewe tu ,nakupenda sana ,mama yangu, na nakuhitaji sana zena, naomba plssss zena akanmbia sikuamini, sikuamini kabisaa tatizo, mh mimi nikamsogelea mdomoni nikaanza kumkisi taratibu, nyie ata zena alitukia tuli, nikaona basi mtoto kanipa space uyu, ahaaa mi sikujiuliza tena nikamvuta kwenye sofa, yeye akawa chini na mimi nikawa juu, tukaanza apo, aseeeee ,mbona ata yeye alinimiss sana tu, alinipa makiss ya kutosha , nyiee makiss kweli kweli, na mie nilishachanganikiwa nae, nikamvua kijoraa waala hakuwa na shidaa

Na yeye akanivua na nguo zangu ,kisha akanikalia kwa juu, nyie acheni kabisaa, mtoto alinipa kweli kweli, akawa anajipimia pale ,nikaona mbona kama simfaidi vizuri,yeye akikaa juu, nikampindua kicha nikamueka yeye chini na mimi nikapanda juu, ahaaaa nilishindilia aseee acheni masihara ,nilikula mzigo hii siku, hii game ilikuwa hakuna kuongea, vilisemezana vikojolea vyetu tu, ahaaaa zena ananipend nyie alijuwa ananionesha kabisa kuwa ananifurahia, ananikumbatia uku ananishika vizuri, yani ananipapasa kwa mahaba, nyieeee ilikuwa rahaa sitaki kuwaambia, alafu sasa game ilikuwa ya kimya kimya chumbani si watoto wamelala, ahaa tulitombana mnoo ,mi nilikuwa naunga kama mwanadawazkmu, nyiee zena mtamu acheni kabisaaa, daah nimemuachia zena usiku saa 8, alafu zena anaanza kuliaaa,doh nikajua kumekucha

Nikamuuliza zena nn sasa mbona tumefurahia tu unalia nn sasa, zena akanmbia nimeludia makosa yale yale, kwa nn unakuawa unanilaghai we mwanaume apo anafanya kama ananipiga ,nikamwambia zena tulia na usinisikilize haipo kama hivyo kabisaa , niamini zena haitakuja kutokea nikuache wewe kabisaa, nakupenda sana zena, nakuhitaji sana, kuliko chochote, naomba unielewe kipenzi plssss, naomba unielewe mama, zena aknmbia nakujua baba arshana, unaongea yote ni sababu tumefanya tu, ila hauna mapenzi ya dhati na mimi,.nikasema nani kakwambia ayo mambo hakuna kitu kama icho unaelewa mama, zena akanmbia sawa, basi tukaenda kuoga, tulupotoka sasa ,zena akanmbia unaondoka hu mda? Nikasema sasa apa ntalala wapi, akanmbia si kitandani na wanao, nikasema mh si ntawabana ,akanmbia hapana twende bwana ,basi akanishika mkono mpaka chumbani, akawabana watoto kwa pembeni kabisa, kisha akanikakibisha mie ,ahaa mi nikapanda kitandani ,kisha zena sasa akanikumbatia, nikainjoy na nikasikia rahaa sana, nikajikuta nacheka tu , na nikamkumbatia kiuno kweli kweli

Badi tukalala hivyo mpaka asubuh nakwambia, yani usiku mtoto akistuka ni anamnyonyesha tu ,akishamaliza kumnyonyesha akalala, anamsukuma kwa pembeni anakuja kunikumbatia mimi, ahaaa aseee mpaka kunakucha, asubuh sasa ilikuw ni j mosi na nilikuwa siendi kazini, basi ummy alivyoamka akafurahi kunikuta nipo pale, et baba yangu umelala apa uwe unalala apa kila siku nikamwmabia swa mwanangu ntakuwa nakuja kila siku na ntakua nalala apa , nyie hii siku nikawatoa na out kabisaa, nikawapeleka beach na tukaenjoy sana tu, nyie hii siku nilitumia pesa, walikula wanchotaka wlicheza, walibeba kila walichokitaka, yani ata zena hii siku alikuwa na furaha sanaa, nikaonaa ahaaaa kama furaha yangu ipo kwa zena naangaika na nini, wakati uyu demu mi nampenda na nikiwa nae kama hivi napata rahaa na amani zote za maisha, asa si nijitahidi kupunguza umaraya nitulie na mpenzi apaaa

Basi tukaludi usiku sana kwa zena, daah hamuwezi amini na hii siku nikalala tena kwa zena, na nikala mzigo usiku sana watoto walivyolala ,ahaaaa huba likakudi bwanaa, sitaki kuwaeleza hii awamu nilikuwa nampemda zena kweli kweli, yani kila anachotaka.mi.nilikuwa nampa zena kwa wakati, nilikuwa nahudumia kama nimechanganikiwa na mbaya zaidi nampenda zena kisenge, nilitulia mno sitaki kuwaambia, yani mwanamke wa nje mi simtaki wala.simtamaini, mda wote namuwaza zena, nilitulia mnoo sikutka.kufamya makosa tena au kufanya chochote ambacho kitamuumiza zena, sijuh niwambiaje mwenzenu, nikawa kama nimeamia kwa uyu demu, mana mm siku unayonikuta kwangu ni chache sna, mda wote mm nipo kwa zenaa, yani nashinda kwake nakula kwake naoga kwake, navaa kwake, aseeeee zena alinikamata bwana ,nilikuwa na adabu nae mno na ata zena alikuwa na adabu na mm sana na kuniheshimu kama mwanaume, asee kwa iki kipindi nilipata amani ya mahusiano na familia sasa, yani mpaka.ibra akawa ananmbia asa we si umuoe uamie nae kwako basi mambo yaishe, nikasema.nipo nafikilia soon mnaweza kula mchele, ibra akawa anacheka sana, ananambia we zena kakuroga nn, nikawa nacheka tu, mana kwangu sirudi ,yani kila siku kwa zema kama nishaoa uko, na nikichelewa zena anajua kuniulizia mbona hufiki na kana wivu katoto aka, basi navurugwa

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49


Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza vp jana ulimpata yule demu kwa simu, nikasema yaaa nilimpata , na tuliongea tu, ibraa akanmbia au sio na bado humtaki, nikabaki kimyaa, ibraa akanmbia daah we msenge kweli umependa jana umelala uku bila ya demu, yani jana hujagonga millan wewe ,daaah kumbe kuna mda shetani anaweza kuwa malkia , nikabaki kimya ibraa alicheka sana , mi nikakausha tu, na tukafanya kazi mno , jioni tu kazi ikaaisha mm...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-48-na-49

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.23K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

937
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

356
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

282
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

254
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

252
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

133
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

122
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

116

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest