Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
13 Mar 2026
3 views
VYOTE NDANI GONGA94
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji" @ahmedally_
Kituo changu cha kuripoti ilikuwa ni Kiss FM, wafanyakazi wengine wote walikuwa Mwanza kasoro mimi tu! Feb nikamfuata HR Joyce nikamuomba nihamie mwanza kujiunga na wenzangu chini ya Boss Sharbano Aboubakar na huko nikakutana na marehemu D Seven (R.I.P), DJ Malizi, DJ Jeff Jerry, Lulu Jama @zakia_lawino , DJ Dave, @mbabavc nk.
Kutokana na uwezo wangu katika kutangaza vipindi vya michezo nikawa naingia kwenye vipindi vya Star TV (asante mkongwe Hillary Riamy) na RFA kwenye Show Time New Chapter na mwanangu Renatus Kiluvia @bizzofresh (CHA MWISHOOOOO) π.
MWANZA! MWANZA! Najua hii media ina mengi sana katika maisha ya watu wa kinda ya ziwa na Tanzania mwa ujumla. Hapa wamepita wakongwe kama Baruan Muhuza @baruan_muhuza , Godwin Gondwe, Fredrick Bundala, Paul James, Fredwaa (R.I.P), Juma Baragaza (R.I.P), Wambura Mtani, Rahab Fred (R.I.P), Gabriel Zacharia, Steve Moyo (R.I.P), Msabaha (R.I.P), Glory Robinson(mtoto wa Mama Sabuni), Cymphrose Makungu, Yusuph Magasha nk.
SAHARA MEDIA GROUP LTD. #tillwemeetagain
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUπΉ *1-6* *liss wa hudu Media* *
π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄ _________________________________* *1 na 2* Kwa majina...
FATE TO LOVE YOU π 15 MTUNZI: UHURU MEDIA Baada ya saa chache za sherehe kuendelea, muziki wa taratibu ulianza kupigwa, watu wakaanza kucheza taratibu. Jerry
alimgeukia Lina, akampa mkono wake kwa heshima zote. βNaomba tucheze. Lina alicheka kidogo kwa aibu. βMimi sijui kuchez...
FATE TO LOVE YOU π 13 MTUNZI UHURU MEDIA Ule usiku Jerry aliamua kutoka nyumbani kwake na kwenda kuonana na rafiki yake kipenzi Nabir. Walikaa na kuanza
kuongea maswala yao ya kibiashara lakini akili ya Jerry haikuwa pale alikuwa akimkumbuka jinsi walivyovamiwa na Stephen...
FATE TO LOVE YOU π 11 MTUNZI UHURU MEDIA Lina alishangaa inakuwaje iwe hivyo wakati aliongea na Jerry na akamwambia kaajiliwa? Aliondoka pale jikoni
taratibu akarudi chumbani kwake , alijikaza kitandani . " Sasa kwanini afanye hivi? Kama kulikuwa hakuna kazi si angeni...
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji" @ahmedally_
Kituo changu cha kuripoti ilikuwa ni Kiss FM, wafanyakazi wengine wote walikuwa Mwanza kasoro mimi tu! Feb nikamfuata HR Joyce nikamuomba nihamie mwanza kujiunga na wenzangu chini ya Boss Sharbano Aboubakar na huko nikakutana na marehemu D Seven (R.I.P), DJ Malizi, DJ Jeff Jerry, Lulu Jama @zakia_lawino , DJ Dave, @mbabavc nk.
Kutokana na uwezo wangu katika kutangaza vipindi vya michezo nikawa naingia kwenye vipindi vya Star TV (asante mkongwe...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tbt-2014-nilijiunga-na-sahara-media-group-ltd-january-niliripoti-ofisi-za-adda
Maoni