SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.
๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ
Mwandishi; lissa wa huru media
Kesho yake mapema sana . Posa ya baraka ililetwa kwetu. Baba akaipokea nimksema mahari. Apo sasa ilibidi nimpigie adrian kua mimi naolewa.akanmbia aha sawa bwana sina jinsi mana ata mimi kwa suala la dini nisingekuoa. Bola tu umeolewa. Na mimi.sasa hivi ntatafuta mkristo mwenzangu. Nikasema sawa nakutakia maisha mema. Basi iyo siku ambayo kesho naolewa. Nilipigiwa simu na maua. Nilichambwa sitaki kuwaambia. Yani nilichambwa kweli kweli. Et unamloga kaka yangu maraya wewe. Sikutaki na wala sikutambui kama wifi yangu.mbwa ww. Mshenzi. Nilibako kimya tu . Mana kila tusi nilipewa mie. Sikumjibu ata tusi moja.na nilimuelezea mama. Kuwa maua kanitukana mama akanmbia usimjibu wala usimsimulie baraka.
Basi kweli mimi wala sikumsimulia baraka. Kesho asibuh saaa 4. Baraka kaja kuoa. Na marafiki zake naona wanajeshi wenzie.na ndugu walikuepo japo maneno yakikuwepo kweli kweli. Ila baraka hakujali. Akapiga goti akanioa.nyie ndoa hizi anapanga mungu. Basi hii siku niliona baraka ana rahaa sana .yani jino mpaka mwisho. Tunaandaliwa chkura maharusi. Ananambia mi sitaki chakura twenzetu. Kwani we una hamu na ubwabwa.nikabaki nacheka tu ila baraka. Basi kweli hatukula sisi. Mwanaume akanichukua . Tukiwa kwenye gari akawa ananipeleka kwake sasa. Mbezi. Mh nikamwambia mume wangu nisamehe ila mbezi sitamani kuisho apo. Akasema unamuogopa maua nikasema hapana sitaki tu. Akasema nenepa nakuelewa mke wangu. Ila akanipeleka mpaka kwake mbezi. Aseee ile maua kuniona akaninyali nakwmabia akanibinulia mdomo kabisaaaa.nikaona wifi nnae mie.
Basi mume wangu . Akanikalibisha nyumbani na wifi yangu mdogo mariam ndo akanikalibisha vizuri. Nikaa kwenye sofa sebleni. Kisha sasa baraka akamuita dada yake maua. Basi maua kaja kanuna sana. Baraka akamwambia maua kama.nilivyokwambia kaka yako nimeoa na uyu ndo wifi yako. Unamtaka ndo wifi yako . Hujamtaka ndo wifi yako. Unanielewa maua. Akasema ndio kaka. Baraka akasema sitaki kujielezea sana kwako maua .lakini elewa siwezi kujali furaha yako mda wote. Kuna mda na mimi kaka yako lazime niwe na furaha maua. Ni sawa ulimpenda bahati sana. Ila naomba ukubali kuwa ugonjwa wa kaka yako ni uyu shakira. Maua uyu mimi ndo furaha yangu. Usinikasilikie kabisa kaka yako si unajua ni jinsi gani mimi nakupenda wewe . Maua akasema ndio. Kisha akamwqmbia basi mpende na umuheshimu wifi yako tutaishi vizuri sana. Unaelewa. Maua akasema sawa.
Mimi nikasema maua najua tushakuwa na migogoro sana .naomba tuyamalize na unisamehe na tuelewane tu. Maua akasema sawa wifi na piah kama kuna sehemu nimekukosea.nisamehe tu. Nikasema sawa wifi yangu..Basi baada ya apo. Tukaenda kupata chakura na maua ndo aliandaa chakura ila bado wala sikumuona kama kalidhia basi tu. Basi tukala tulipomaliza sasa. Nikaenda kulipa mahari ya watu chumbani. Aseeeee hii siku tukapeana penzi tamu mno.yani tulisex kwa hisia mno . Aseeeee uyu baba ananipenda yani mda wote ananingalia ana tabasamu. Aseeee baraka kwangu alikwama nyinyi. Yani tumemaliza mambo yetu usiku sana. Kila mtu hoi .ila bado kanikumbatia tu. Mpala namwambia niache nikaoge jamani. Akanmbia tulia tu mke wangu nikukumbatie acha tu shakira. Doooh nikatulia tuli. Akanikumbatia tu. Uku ananichezea chezea. At hamu ya kutomba hana kwa jinsi kanifakamia. Kabaki ananichezea chezea tu
Kesho yake nashangaaa anannambia .mama tunaenda kigoma.ndo tunaenda kushi uko. Naenda kuongeza coz kwa miaka 2 tena.siwez kukaaa mbali na wewe mke wangu. Apa tutamuacha dada maua.mm na wewe tunaenda kuishi uko kwanza. Nimasema jamani kigoma tena mimi niache niishi apa nikae na wifi. Akacheka sana akasema adrian awe ananisaidia au sio.nikasema nimeachana nae jamani.akasema mm na wewe tunaenda kuishi uko. Tumeelewana mke wangu. Nikasema tu sawa.
Aseeee na kweli kesho yake basi la kwanza la kigoma .tulikuwa ndani. Na kama masihara .rasmi maisha yangu yakawa kigoma na mume. Uko napo alinipangia nyumba. Yeye anakuwa anaenda kambini Anakaa uko ata mwezi .wala hatuonani. Ila mbishi anatoroka anakuja kuniona.kiukweli sijuh niwaelezeaje juu ya upendo wa huyu mwanaume. Yani ananipenda mnooo. Mpaka najua nadeka sasa. Nikinuna kwake ni adhabu yani hatokuwa sawa kabisa mpaka tucheke. Ila ni mkari .yani ana misimamo yake kweli kweli. Na mimi mdomo nilipunguza mana namjua atakuja kunidunda uyu. Ila ata mimi nampenda sana baraka. Alafu sasa ni mpole mwanaume wangu. Ila upumbavu hataki. Kwanza mm akaishanisema .najinunisha apo ntabembelezwa kama sijakosea. Yani anachanganikiwa yeye sasa. Ananipenda mno.utamsikia basi mke wangu nyamaza usinune .nisamehe mimi. Namwambia nipe pesa ndo nicheke. Basi atacheka apo. Ananambia aya nakupa mke wangu . Na atanipa kibunda cha kutoshaa.
Nikawa naishi uku kigoma.nabaki kiwasiloina tu na wazazi. Nikimwambia nienda kuwaona wazazi hataki .ananmbia ntafamaya uhuni nikifika dar. Nabaki kutulia tu. Ukapita mwaka nipo kule na mimba nikabeba. Nikaanza kulea mimba uku yeye akimaliza coz yake. Apo sasa sijuh ndo kukaa mbali. Ata maua akawa ananisalimia. Et anaiita kichuna cha kaka. Nabaki kucheka tu.ila mariamu ndo nilikuwa naelewana nae sana. Ata likizo akifunga shule anakuja kigoma likizo.
Basi baada ya miezi 9 .nikajifungua mtoto wa kiume.aseee baraka akafurahi kweli kweli. Akamuita jamadini. Et jina la marehemu baba yake. Nyie kwani nilipumzika sana akanibebesha nyengine. Apa ndo nipo na mimba nyengine na mwanangu ana miaka 2. Na uku kigoma kashamaliza coz. Ila ndo kapngiwa uku. So ndo tunaishi uku..nimetulia sana shoga yenu. Mwanaume ana wivu kama nini. Basi najitilizia zangu kimya. Hajawahi kinipiga tena.na alishanambia hanipigi tenaaa. Na kweli kuna mda namkwaza sanaaa. Ananingalia tu anasikitika anaondoka apo ujue kamaind kweli kweli. Ila ananipenda sasa ndo nnacholingia.nikisema tu napewa utanambia nini sasa. Alafu sasa katulia sana.mikiki yake yote naimaliza mwenyewe. Kwanza namuweza. Naenda anavyotaka yeye .anaanzaje kuchepuka..uwiiiii nisijimalize mungu anisimamie awe hivi hivi mume wangu. Kwa leo naishia apa .asanteni sana.nazani mtakua mmejifunza mengi
MWISHO
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni