Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21
Gonga94 Β· Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO........

Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi.

Kwanza niliingia jikoni nikapika kitu kitamu, πŸ₯° baada ya hapo nikapiga deki nyumba nzima πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ mtaniona tu nimewehuka ila hakuna furaha kama kuitwa baba aiseee πŸ₯°

Hii feeling wanaijua wale wanaume ambao wamesumbuka sana kutafuta mtoto, hii raha yake wanaijuwa walah hii siku mpaka mama alinishangaa, nilijikuta naongea mpaka kihindi pale nilipokabiziwa dume langu nyie πŸ₯°

Mtoto wangu alikuwa mzuri bwana, ni miezi imepita toka nitoke kule mwanza so nikaoona sio mbaya kama nitamshtua rafiki yangu Jose

Basi nikachukua simu na kupiga, yani ni kama alikuwa ananisubiri ile nimepiga tu ikapokelewa

"Hello..??"

Sauti nzito na hii sauti ilikuwa ya Bony kabisa, kitendo cha kusikia sauti yake moyo ukafanya puh, nikaitoa simu sikioni na kutazama labda nimekosea namba, nikairudisha tena sikioni

"Shemu uko poa..??"

( πŸ™„ naota au vipi jamani, leo Bony wakuniita mimi shem..)

"Samahani nimekosea namba.."

Nilisema na kutaka kukata simu, akaniwahi

"Oya acha mambo ya kiwaki, me shemeji yako au umenisahau nasema mpe simu Lizy niongee nae..."

"Eeeh ah nampa..."

"Harafu kaa kama mwanaume bana, sasa kinachokufanya utetemeke hapo ni nini, mimi nimekubali tu uwe na dada yangu kama nisingekuwa nimekubali ningewafata huko huko..."

( πŸ™„ kwahiyo unazani songea ndio mwanza, we kama unataka kuja si uje ili nikuroge vizuri )

Nilijiwazia

"Unasikia naona umekaa kimya mpe simu Lizy nimsalimie hata kidogo basi.."

Nikaona isiwe kesi nikampelekea mama watoto.

"Vipi.."

Lizy aliniuliza.

"Ongea na kaka yako.."

Lizzy bila kujiuliza mara mbili mbili alipokea simu akiwa na furaha sana,

"Kakaaa"

"Lizy, umejifungua mtoto gani..?"

" wa kiume..."

" hongera sana mdogo wangu, saivi aitwa uncle..."

( πŸ™„πŸ™„ eti naitwa uncle, na wakati ulitaka kumtoa mtoto wangu, saivi ndio unajikuta mwema..." )

Nilijiwazia, basi mtu na kaka yake waliongea weee mpaka wakaanza kunikera sasa maana Lizy alijisahau kabisa kama ananmtoto maana mtoto alikuwa analia

Nilichofanya ni kuchukua simu na kukata kisha nikammpiga block, huyu jamaa simpendi toka ile siku yani hapa anajifanyaa amekuwa mwema ilì ananipate kirahisi hivi, mwambieni huyo ndugu yenu

Huku songea sio pakuja hovyo hovyo kabisa, sasa yeye alete uhuni wake huku aone anaondoka bila moyo.😁

"Mbona umechukua simu..??"

Lizy aliniuliza.

"Unaongea na simu na kusahau kama mtoto anallia hapo, sasa basi huyu kaka yako sijui bony au nani, nakwambiaje hakuna kuongea nae tena mwisho Leo.."

"Lakini..."

"Nafikiri nimeeleweka..."

Nilimwambia na kuondoka zangu, sikuwa na amani kabisa kwa sababu tabia za bony sio nzuri hata kama ni kaka wa mke wangu aisee siwezi ruhusu kabisa akitane na lizy akiwa na mtoto.. .

***

Maisha yetu yalikuwa yenye furaha kubwa mtoti wetu alitimiza mwaka mmoja hapo sasa ndio nikafunga ndoa na Lizy rasmi akawa mke wangu

Kwa uwezo wa mungu niliweza kupata kazii kwenye shule nyinge huku songea, nilikuwa serious na kazi yale mambo ya kutongoza tongoza niliacha kabisa.

Nilimpenda mke wangu pamoja na mtoto wetu Acram, ngoja niwape sifa za mtoto wangu,

Dume langu bana lilikuwa lizuri arafu jeupe, πŸ₯° alikua na mwili kama wa baba yake πŸ₯° na kibaya zaidi huyu kijana alichonikera ni kuchukua tabia ya mjomba wake Bony πŸ˜‚

Yani ukikuta kanaongea kama naongea na shemej yangu vile, japo ni mwanangu siwezi kumchukia kΓ mwe nampenda nampenda kijana wangu Acram, mungu akupe maisha marefu kijana wangu... πŸ™πŸ™

Mpaka kufika hapa sina la ziada, mungu wabariki sana wale wote ambao mmekuwa nami katika kila hatua ya maisha yangu

Mungu awabariki sana sana tena sana, awaonyeshe njia zake za baraka na upendo....

MWISHO......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21



SONGA NAYO........

Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi.

Kwanza niliingia jikoni nikapika kitu kitamu, πŸ₯° baada ya hapo nikapiga deki nyumba nzima πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ mtaniona tu nimewehuka ila hakuna furaha kama kuitwa baba aiseee πŸ₯°

Hii feeling wanaijua wale wanaume ambao wamesumbuka sana kutafuta mtoto, hii raha yake wanaijuwa walah hii siku mpaka mama alinishangaa, nilijikuta naongea mpaka kihindi pale nilipokabiziwa dume langu nyie πŸ₯°

Mtoto wangu alikuwa mzuri bwana, ni miezi imepita toka nitoke kule mwanza so nikaoona sio mbaya kama nitamshtua rafiki yangu...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-21

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

570
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

487
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

249
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

228
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

221
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

218
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

182
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

124
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

109
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

80

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest