Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
Gonga94 · Stories

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO...

Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona.

Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu.

"Usiku Mwema jamani"

Walizungumza majilani zangu kisha wakanyanyuka na kuondoka zao uku wakituachia nafasi Mimi na Enzo

"Kuna nini Mbona unanitisha mwenzio Nilimuuliza Enzo nikiwa na wasiwasi sana

aiseeeh.

"Enzo alishindwa ata kunijibu swali langu zaidi aliendelea kunikumbatia kwa nguvu sana.

"Enzo kuna nini jamani, zungumza kitu Basi

Niliendelea kumlazimisha aweze kuzungumza lakini hakuweza kabisa kuzungumza kitu chochote kile.

Nikatumia muda mwingi sana kumtuliza Enzo na mwisho alitulia na akapitiwa na usingizi Mzito sana

"Kwahiyo Leo ata lala hapa?"

Nilijiuliza uku nikimuangalia Enzo ambaye alikuwa akikoloma tu kwa wakati huo.

"Itanipasa kulala kwenye kochi tu kwa Leo, siwezi kulala kitanda kimoja na Enzo, ata hivyo yeye ni Kama kaka kwangu"

Niliendelea kujiongelesha tu

My zangu kwa wakati huo chumbani kwangu.

Mzuka Yaani Nina kila kitu, Nina frijl, sofa la kukaa watu wawili, Nina Tv na vitu vyote hivi nilinunuliwa na Enzo.

nilikuwa full

Kwa kipindi chote iko bado nilikuwa ni mama wa NYUMBANI na sijishughulishi na kazi yoyote ile kwani Enzo alisema Kuwa anaangalia mpango mzuri na wa kudumu kwaajili yangu.

Baada ya kuwaza na kuwazua kwa muda kidogo, nikasogea kwenye kochi na kujilaza hapo. kwaajili yangu kuvusha usiku wangu.

Asubuhi na mapema, niliamka nikiwa na uchovu wa hali ya juu, Picha linaanza niliamka nikiwa

nimelala kitandani, wakati Mara ya mwisho nilikuwa nimelala kwenye kochi, na sio hivyo tu,

niliamka nikiwa mtupu kabisa na nimejilaza juu ya kifua cha Enzo Tena kwa kujiachia sana.

"Mungu wangu iki nini?"

Nilijiuliza kwa mshtuko wa hali ya juu.

"Ina Maana nimelala kitandani? Na nimefanya na Enzo? How?"

Niliendelea kujiuliza na kumuangalia Enzo ambaye alikuwa akichapa usingizi wake mnono kabisa.

Kwanza nikatuliza akili yangu, na mwisho Ndio nikakumbuka Kuwa, usiku ilikuwa hivi.

Enzo ndiye mtu ambaye aliamka usiku na kunikuta nikiwa nimelala kwenye kochi, kwa utulivu wa hali ya juu, akaninyanyua na kuniweka kitandani uku yeye akipanda kwenye kochi,

Kiukweli sikujisikia powa hivyo nikamtaka alale

na Mimi kitandani na Ndio hapo tukaibua mambo mengine na wawili sisi tukajikuta tukiwa tumekulana Kama hivyo Yaani.

"Sijui namuangaliaje Enzo siku ya Leo"

Nilizungumza baada ya kuhisi albu ya hali ya juu.

Kwa utulivu wa hali ya juu, nikajitoa kitandani na

kuanza kufanya usafi wa chumba changu, baada ya kuweka kila kitu Sawa, nikatoka nje na kwenda kwenye mihogo na kuweka Oda kisha nikaondoka kwani kulikuwa na foleni kwa wakati

huo

Nilifika NYUMBANI na kuingia Ndani, ile naingia tu, nikakutana na enzo akiwa mtupu kabisa Tena Ndio kwanza ameamka anajinyoosha polepole.

"Ooooooh"

Nilishtuka na kutaka kutoka nje lakini Enzo. akaniwal na kunivutia upande wake uku akinikumbatia vizuri kabisa.

"Unaniogopa?"

Enzo aliniuliza uku akiniangalia usoni kwa kunikazia macho.

"Am, aaah, Enzo najua ni kitu gani kimetokea kati yetu jana usiku but it was mistake na sitegemel kuja kujirudia Tena, hivyo mipaka yetu lendelee vile vile"

Nilizungumza uku nikishindwa kumuangalia Enzo usoni

"Mistake? Ishani hakuna mistake sisi ni watu wazima na tumafanya tukiwa tunajua ni kitu gani

tunafanya

Nilijaribu kumuangalia usoni lakini nikashindwa na kumjibu.

"Lakini hatukupanga iwe hivyo Enzo"

"Mimi nimependa Ishani, sikia, Sijui wewe Una mipango gani lakini kwa Mimi nataka kuendelea,

sijawal kujisikia hivi ninavyojisikia baada ya

kufanya iki kitu na wewe, Ishani, samahani Kama nakuvunjia heshima lakini Uko msweet sana"

"Enzo"

Nilijikuta nikimuita tu kwa aibu na kubaki nikicheka Cheka, kuna Namna nilimsikia Ishani wangu akianza kuitikia wito wa Enzo.

Kwa utulivu na aibu na mihemko ya hali ya juu, Nikamuangalia Enzo usoni na kubaki nikimlegezea macho tu kutokana na hali ambayo

nilikuwa nayo kwa wakati huo

"Niambie chochote Basi na uache kuniangalia Kama nakuonea"

Enzo aliniambia.

Aaah mdomo wangu ulikuwa mzito sana kwa kutamka Maneno, lakini ikawa mwepesi kwa

Vitendo, sikujali Kuwa Enzo Ndio kwanza

Ametoka kuamka nilichokifanya kuchechemea ili niweze kumfikia vizuri.

ni

Mwanaume ni mwanaume Bwana, kwa haraka

Enzo akaninyanyanyua na nikamfikia kwa haraka

kabisa na kwa Pamoja tukaanza kukisi kwa hisia za hali ya juu.

My zangu, wale ambao Niliwaambia Kuwa namchukia Enzo, Ebu futeni hiyo kauli haikuwa akili yangu

Kwa mishiko ya huku na Huku nikajikuta nikiwa hot sana mpaka nikawa naona ananichelewesha tu Mimi sila huu ni

ukahaba si nimuache tu afanye kazi yake

Jamani.

"Naomba Kuwa dereva kwa sasa

Nikalopokaa Ila Mimi sijafunzwa hivi jamani

uwih wazazi wangu nisameheni tu, au tuseme hisia na balehe zilikutana kati sa ila kujitetea jamani haya.

Baada ya Kama dakika 40 tu tayali kila mtu alikuwa akihemea upande wake jasho tu zilikuwa zikitutililika na wajinga sisi tukabaki

tukiangaliana na kuchekeana Kama watu

waliorukwa na akili vile.

Hatimaye historia mpya ya mapenzi ikaanza kati

yangu Mimi na Enzo, Binti yenu niliingia kwenye hili penzi mzima mzima, Yaani sikuangalia Kuwa mama yake aniitaji nilichoangalia ni moyo wangu Unataka nini.

Na upande wa Enzo pia alihakikisha Kuwa nakuwa na Furaha, alihakikisha Kuwa ananipenda kuliko maelezo.

Ikiwa ni weekend, siku hiyo Enzo alikuja NYUMBANI kwangu mapema kabisa, nikaenda zangu sokoni na kununua zagazaga kwaajili ya kumpikia my wangu peke yangu.

"Mbona Karna hauko Sawa Leo?"

Nilimuuliza Enzo baada ya kumuona Kuwa ana mawazo sana.

Enzo akashusha pumzi nzito sana kisha akajibu.

"Kesho ni send off ya Pully na natakiwa Kuwa Uko

Nika

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*



SONGA NAYO...

Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona.

Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu.

"Usiku Mwema jamani"

Walizungumza majilani zangu kisha wakanyanyuka na kuondoka zao uku wakituachia nafasi Mimi na Enzo

"Kuna nini Mbona unanitisha mwenzio Nilimuuliza Enzo nikiwa na wasiwasi sana

aiseeeh.

"Enzo alishindwa ata kunijibu swali langu zaidi aliendelea kunikumbatia kwa nguvu sana.

"Enzo kuna nini jamani, zungumza kitu Basi

Niliendelea kumlazimisha aweze kuzungumza lakini hakuweza kabisa kuzungumza kitu chochote kile.

Nikatumia muda mwingi sana kumtuliza Enzo na mwisho alitulia na akapitiwa na usingizi Mzito sana

"Kwahiyo Leo ata lala hapa?"

Nilijiuliza uku...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaash-boss-enzo-16-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaash-boss-enzo
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA SITA*
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5*
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

743
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

573
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

225
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

218
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

178
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

172
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

128
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

93
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

63
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

51

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.29K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat Post Mpya
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat
@majario LIVE

. After their father passed away in 1981 and later their mother in 1991, Shahnaz was deeply affected. Their father’s sudden death hit her especially hard and she went through severe...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO.......... Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya...

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
@majario LIVE

SONGA NAYO... Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona. Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu. "Usiku Mwema...

HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest