Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Gonga94 · Stories

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati ya CEO na Hussein yupi bora na mwenye upendo wa kwel moyo unaniaambia Hussein akili inaniambia CEO nilikuwa nachanganyikiwa yaani nilikuwa kama kachizi flan ile siku nakumbuka hadi usingizi haukuwa rahisi kupatikana kwangu ilikuwa napata taabu sana kwakweli, ila ule usiku wa mawazo ulipita na

Asubuhi tulijiandaaa, tukaendaa kumalizia vitu vilivyobakia ili kuanza kwenda dukani, kiukweli dada angu alikuwa na furaha sana na hakutaka kuizuiaa kuionesha mbele yangu. yaani ukimuangalia tu unajua anafuraha kiasi gani dada angu mpaka nilikuwa najihisi amani moyoni kwa kumtizama dada angu akifurahi, yaani kana kwamba mtu aliepewa dhahabu ila nilijua kwa upande wake hii ilikuwa hatua kubwa sana kwenye maisha ni haki afurahi ni wazi hakuwahi kufikirila kam atakuja kumiliki dukaa lake, na kila kitu kilikamilika sem yule wa bangoo ndio aliechelewa sana ilichukua siku mbili kumaliza, ila tulimaliza na sasa rasmi dada alikuwa kesho yake ambayo mimi ni siku yangu ya mwisho kubaki nyumbani kwenye ruhusa yangu, ndio dada alikuwa anataka kwenda kukaa kwenye saloon yakee, ila ilikuwa pambeee jamani, maan kulikuwa hadi na sehem ya location kam ushawahi kuona zile saloon mtu ukimaliza kupodolewa unaenda kwenye ile sehemu kupiga picha, ilikuwa pambe balaa

Poa tuliwaambia na wazazi wetu, walifurahi sana na kuzidi kumsifiaa CEO wa kampuni yetu kwamba ni mtu mzuri, ana moyo wa kusaidia watu na anaupendo sana hili lilinipa ushawishi wa kuendeleaa kumuona Ellias ni mtu wa muhimu sana, lakin kila nikiwaz nauona moyo wangu bado upo kwa Hussein

Wakati muda huo huyoo Hussein ninae muwaza. Hata kunijuliaa hali hawezi toka tulivyopishana ile siku hii ilinizid kunifanya mnyongee, kwa sababu muda huu nilitaka aje mwenyew kwasababu nilipitia hata nakala baadhii za ushauri kwnye mahusianoo, zilikuwa zinasema kwamba wapendanao lazima wategemeane kihisia na sio mmoja kuwa anamtegeaa mwenzziee kwamba asipo mtafuta na yeye hamtafutii akikosewa yeye ndio aombe samahani hii ilikuwa ni situation yangu. ndio nikagundua kwamba mimi ndie namtegemea Hussein kihisia na wala sio yeye, yaani mmoja ndio anaempenda mwenzie ila nilikuwa nataka nijithibitishie kitu kimoja tu niimjuee huyoo wa maana kwake na kipaumbele chake na kama ni mimi aniambie kwanini hanipi muda na nafasi ya kuenjoy kwenye mahusiano bali yeye ni wakunigandamiza kila siku

Hii siku ilikuwa imetulia nilikuwa sijiskii kutoka nyumbani, kwahyo dada alienda kufunguaa saloon yake mwenyew, sama nilimshauri tu afungue na dua maan wachawi ni wengi, mimi nikawa nimebaki nyumbani yeye akaenda kufungua saloon. Yake

Nilikuwa nimetulia nipo nachek movie, mara natumiwa sms na namba ngeni inasema "shga me Zakia nimebadili namba, njoo nyumbani mara moja shgaa angu" nikajua huu ni umbeaa na hivi nilikuwa na mistress nikaamua bora nikajue umbea labda nitachangamka maana nilikuwa nina muda pia sijamuona Zakia nikaamua kwenda kumuona pia sasa nimpe ubuyu nimfanyie suprise ya ubuyu, ila nilochokikuta ni zaidi ya suprise nilishangaa sana...

Itaendelea.....

Chapters

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*




Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati ya CEO na Hussein yupi bora na mwenye upendo wa kwel moyo unaniaambia Hussein akili inaniambia CEO nilikuwa nachanganyikiwa yaani nilikuwa kama kachizi flan ile siku nakumbuka hadi usingizi haukuwa rahisi kupatikana kwangu ilikuwa napata taabu sana kwakweli, ila ule usiku wa mawazo ulipita na

Asubuhi tulijiandaaa, tukaendaa kumalizia vitu vilivyobakia ili kuanza kwenda dukani, kiukweli dada angu alikuwa na furaha sana na hakutaka kuizuiaa kuionesha mbele yangu. yaani ukimuangalia tu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-sehemu-ya-kumi-na-moja

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-sehemu-ya-kumi-na-moja
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

737
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

543
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

216
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

214
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

170
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

161
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

159
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

32
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

31
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

22

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.28K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest