Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHAMIRA Sehemu ya58&59
Gonga94 Β· Stories

SHAMIRA Sehemu ya58&59

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa akaanza huduma na kumpambani mtoto .acheni ele ilikuwa inatembea kama kawa na bima ipo.kila jikienda ela ata elfu 60 inakata. Ila nilikuwa napambana na mtoto sikuwa na jinsi japo kuna mda nilikuwa nahisi labda mimi ndo sababu kwakuwa nilikuw busy na mambo yangu sana nikasahau kabisa kuajali mimba. Ila sikuwa na jinsi .nilipamba na mtoto mpka akafika mwaka na miez 5 .ila bado hakuwa vizur kabisa ata kutembea hawezi na ni mdogo mdogo yani ukimuona unaweza kusema ana miezi 7 hivi .acheni na pesa yenyewe ilikata mana kila kukicha mimi hospitali mala huku mala kule.mguu kwa mashoga ulikata na kwa mda wote uo bado aisha alininunia na mimi wala sikuwa na mda nae ata.
Pesa iliisha sasa nikawa sielewi mana nilibakiwa na akiba ndogo sana nikaona hii itakata nafamyaje sasa nikauza vitu vyote vya ndani nikabakiwa na godoro tu na vyombo vyengime vyote niliuza bado nilikuw nampigania mwanangu mimi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nikapambana mpka mtoo akafika mwaka na miez 8 .bado hakuwa sawa na alikuwa mwepesi mno nikaona hapana apa lazima niende kwa hamadi tukaongee jamani hii ni damu yake .mh yani hana atampango kweli .hapana jamani. Niliwaza sana juu ya hilo suala usiku .mana sasa naenda kuumbuka pesa zinananikata na sina biashara. Na nitafanya kazi gani na mtoto anaumwa kama hivi. Na iyo kazi iwe na uwezo wa kunipa pesa nyingi mana mtoto anatumia pesa uyu atari na kinaumwa sana. Bado vigonjwa vidogo vido ni vingi vinamsumbua.nikaona kama mbwai acha iwe mimi kesho nikiamk tu break kwa hamadi ajue tunafayaje kuhusu mtoto wake.
Na kweli kesho yake mapema sana mimi nikambeba mwanangi mpka mbezi kwa hamadi. Nikagonga geti sana akaja kunifungulia mdada mzuri tu akanikalibisha nmi nikaingia mpak ndani ya fensi yani sio ndani.yule dada akaniuliza una shida gani mrembo.nikasema mimi nina shida na hamadi sijuh nimemkuta .yule dada akaguna kwanza akaniuliza hamadi wewe wa nini. Nikasema mimi na shida nae private ukiniitia itakuwa vizuri .akasema oohh kumbe mimi ndo mkewe lakini wewe sema shida zako tu.nikaseema ooh kumbe sawa ila naomba nisaidie kumpata hamdi kwanza kisha tutaongea akanmbia sawa basi karibu pale. Alikuwa nanioneshea kibarazani kuna viti pale nikaenda kukaaaa kisha yule dada akingia ndani.uyu dada wala hakuwa yule wa siku zile .naona alibadilisha sampuli kidogo🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Basi haikuchukua mda akatoka na hamadi sasa. Hamadi alivyoniona akavuta mdomo akasema we demu vp mbona nyumbani kwa watu sa hizi hnataka nini .nilipiga magoti uku nimebeba mtoto na tena mbela ya uyo mkewe nikasema hamadi mtoto anaumwa sana .nishatumia pesa sana kwa ajili ya mtoto lakini hayuko sawa kabisa naomba unisaidie sasa hamadi.mtoto ana tundu kwemy moyo wake .naomba unisaidie kama baba yake uyu mtoto ni mwanao hamadi plssss nitamkosa mtoto nilimaliza uku nalia mimi. Hamadi akacheka akasema sikia we maraya nilishakukataa kitambo sana kuwa sina deni na wewe. Na nilikataa mimba na nilikupa pesa ukatoa kama ulizaa mimi sihusiki na tena sihusiki kabisa. Nimeshasema uyo mtoto sio mwanangu unafosi nini na naomba ondoka kwangu usije ukanivulugia familia.nikasema sawa basi ata nikopeshe pesa kidogo nitakulipa natamani kumpambania mtoto. Akanambia mimi sio shirika la misaada mama ebu sepa na mwanano usinivuruge mimi. Hii story mimi pekee ndo nnayo full.uko utaibiwa tu na itakatiwa season nyingi.kuipata full nichek mimi mtunzi kwa namba sefurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu.nikawa nalia tu. Mkewe akasema halidi ebu ngoja kwanza mume wangu mbona mtoto umefanan nae lakini. Mbona kama ni damu yako kweli ebu msikilize kwanza uyu mwanamke. Hamadi akasema kelele msenge wew. Unainglia mambo yanakuhusu? unajua mimi na uyu tulikuwa tunatombana saa ngapi.unamjua vizuri uyu mwanamke kuliko mimi mpka unaningilia.nikaona mkewe kabaki kimya .nikaona uyu nae anakikoma na kupigwa mana hamadi kwa kupiga ajambo uyu baba. Basi mkewe akabaki kimya hamadi akasema inuka usepe au unataka nikuwashe mangumi wewe na uyo mwanao.nikasema hapana tusifikie uko naondoka .akasema sawa wasalimie. Daaah niliumia sana nikaona kweli hamadi kajitoa juu ya uyu mtoto so inabidi kila kitu nipambane mwenyewe sasa.hivi ntaanzia wapi kwenye akiba yanhi nilibaki na laki 1 tu .nikaludi kwangu nikiwa na mawazo sana tena mno.nilivyofika nyumbani.nikampikia mtoto uji kwanza .nikamlisha. na wala haupendi uji ila yeye kunyonya ndo sana mndl anazidi kukonda tu. Basi alivymaliza kula mikamuogesha mtoto wangu nikamlaza kitamdani ili atafute usingizi.nikabaki nawaza sasa napata wapi pesa.

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA Sehemu ya58&59


Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa akaanza huduma na kumpambani mtoto .acheni ele ilikuwa inatembea kama kawa na bima ipo.kila jikienda ela ata elfu 60 inakata. Ila nilikuwa napambana na mtoto sikuwa na jinsi japo kuna mda nilikuwa nahisi labda mimi ndo sababu kwakuwa nilikuw busy na mambo yangu sana nikasahau kabisa kuajali mimba. Ila sikuwa na jinsi .nilipamba na mtoto mpka akafika mwaka na miez 5 .ila bado hakuwa vizur kabisa ata kutembea hawezi na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-sehemu-ya58-59

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira-sehemu-ya58
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

980
*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

928
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61

879
*AFANDE MILLAN😎* *57&58

*AFANDE MILLAN😎* *57&58

755
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55

SHAMIRA Sehemu ya 54&55

177
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 7 kwa 8

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 7 kwa 8

138
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 9 na 10

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 9 na 10

84
SHAMIRA Sehemu ya 56&57

SHAMIRA Sehemu ya 56&57

50
SHAMIRA Sehemu ya58&59

SHAMIRA Sehemu ya58&59

47
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.74K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.93K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.87K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.71K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.59K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mremboπŸ˜‹,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu πŸ”₯) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest