Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10
Gonga94 · Stories

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


MTUNZI: SMILE SHINE
EP 9.
Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa na baba, Huwa naongea nae Kwa Siri sana, niliamua kulala tu nakufunga mlango, king alikuja akagongaa mi kimya akaamua kupiga simu nikavunga nimelala, akaindoka, kesho yake kazini, king alikuwa ananifanyia makusudi mpaka wafanyakazi wakatambua, tutakuwa tunaugomvi...

Aliniyesa mpaka nikajuta, zilipita kama wiki mbili nikapigiwa simu na mama, kuwa Kuna kijana kaenda kupeleka posa nyumbani anaitwa vicram na kakuombea msamaa Kwa baba ako, kasema yeye ndo muhusika toka mwanzo, nilikuwa nimekaa nikasimama,mama Mimi sitaki kuolewa saivi, huyo ni adui wa hapa ninapoishi mama, anafanya makusudi kwanza kapajuaje kwetu?..

Mama alisema Yani apa ninavyoongea na wewe, wapo ndani na baba Ako kashaita ndugu zake waje kupokea posa Yako, na kesho unatakiwa uje posa italetwa kesho Kun avitu ni lazima wanunue, na wewe unatakiwa kuwepo, uyo kijana katoa namba zako upigiwe uje,nilichoka sio kidogo mpaka machozi yakanitoka kumbe muda wote tunaongea nyuma yangu alikuwepo mama Fatuma, walipiga Kwa mama Fatuma na kuongea nae kesho niende, mama Fatuma akahisi nimemficha ila alivyokuta naongea na mama akapata picha sihusiki, alikaa na Mimi akanishauli, twende wote niwaeleweshe wazazi Kisha tutaludi...

Nilifurahi mno nikamshukuru, kweli kesho yake tuliondoka kwenda kwetu, tulifika tukapokelewa Kwa bwembwe mpaka majirani wamealikwa, Yani ni kama Kuna Sheree kabisa, nilijikuta nachukia mno, niliingia ndani tukasilimia, nika omba kuongea na wazazi nikiwa na mama Fatuma,kweli tukakaa nikajieleza pale, ila jibu la Mzee nililiniumiza mno, milembe usiniletee umalaya wa mjini, mtu amekuja mpaka nyumbani ameshatoa ng'ombe, unaniambua humtaki unataka hao wanaokuchezea huko bila kukuoa, Mzee aliongea mengi jamani mpaka akamtukana mama Fatuma akiwa yeye ndo ananihalibu, mala ananiuza na alinza tu vizuli kutaka kujua kama kaolewa, alivyojua tu Hana mme basii kikawa kigezo...

Nilijuta na kumuomba samahani mama wa watu alilia maneno aliyotoa baba angu yalikuwa makari mno,mama alijalibu kuingilia kati akapigwa makofi, ilibidi nikubali yaishe mama zangu walihudhunika mno, hamuwezi amini vicram alileta mpaka shehe nikabadilishwa dini, ndoa ikapita kijijinj kama utani...

Mama Fatuma alishuhudia Kila kitu, akanipa zawadi ya nyumba Kwa Siri sana, nilikuwa nalia tu ata laha sina harusi ilifugwa jioni saa Moja, mama alienda kulala gest, na sisi tulienda gest Ili asubuhi tuanze safari ya kuludi dar, sikuwa na furaha na yeyote ata kuaga nilimuaga mama angu tu, vicram alikuwa anajichrkesha tu ovyo, tulivyofika gest, niliingia kuoga nikavaa uko uko, mke wangu Sasa ndo nini kunivalia minguo muda wa kulala, sikujibu kitu, niliamua kukaa kimya tu, nikaingia kulala vicram aliingia kuoga, aliludi akiwa na taulo tu, alinisogelea ziro distance akaniita mke wangu, unachofanya sio sahihi naomba usinilazimishe nikuchanie nguo tena, aliongea Kwa upole, ila kauli yake ilikaa kisheria...

Itaendelea🔥.
*MY HOT PILOT*
(rubani wangu🔥)

MTUNZI: SMILE SHINE
EP 10.
Aliamua kunivua mwenyewe, nilijikuta tu machozi yananitoka,aliniona nalia, hakutaka ata kuuliza tatizo, alivyomaliza kunivua alisogea nakunikumbatia tu, tukalala hakunigusa mpaka kunakucha, sikuamini niliamka nakuingia bafuni kujikagua,kweli hakunifanya chochote, nilioga nikavaa, nikakaa kumsubili aliamka saa 4 asubuhi, salha mke wangu umeamkaje? Mbona hujaniamsha?..
Sijui kama unapenda kusumbuliwa ukiwa umelala, nilijibu uku sitamani ata kumuona,aliingia kuoga, akiwa bafuni aliniita, mke wangu nimesahau mshwaki wangu naomba unichukulie kwenye begi uniletee, nilichukua nikafungua bafu, huku nimegeukia pembeni Nampa mswaki,nilishtuka ninevutiwa bafuni mtu Hana hata nguo...

Alinitizama machoni, nikamtizama pembeni, " salha mke wangu, nakupenda, naomba usinifanyie hivi basi, unaniumiza najua nimekukwaza kuja Moja Kwa Moja nyumbani, lakini sikuwa na budi kufanya hivyo, ningesema niongee nawewe ingechukua muda kunielewa...

Na Nina wiki Moja tu ya kuwa Tanzania, na sikuwa tayari kuondoka bila wewe, naomba unielewe kumjua moyo tuendelee mbele mke wangu, aliongea huku anataka kuniandaa Kwa mechi, vicram Mimi siko sawa, naomba uniache tu kwanza sikuelewi, salha kipi kigenj kati yetu kama uliweza kushiliki na Mimi ikiwa hunijui, Leo hii nimekuoa unasema huelewi kweli?..

Nilijisikia vibaya, nikakumbuka na maneno ya king aisee nikajua ndo Yale yake, naonekana kama nilijipeleka, machozi yalianza kunitoka Kwa kasi, vicram alinikumbatia akafungulia maji nikalowana, akati nilikuwa nimevaa, alihakikisha anatimiza hitaji lake Kwa akili sana...

Alivyomaliza alinisifia, huku akisema nikunjue moyo Ili niienjoy, sikujibu kitu nilioga nikiwa na hasira mpaka nikajikwangua ngozi Kwa kunisugua, alininyang'anya dodoki bila kusema kitu, akaamua kuniogesha mwenyewe, akanipaka mafuta na nguo akanivalisha, Kisha akaagiza chakula kilikuja tukala japo Mimi sikula sana, mke wangu naomba nikupitishe nyumbani ukawaage...

Haina haja nilishaaga Jana, nilijibu nikiwa na hasira za wazi wazi, vicram alinisogelea, salha mke wangu huku hatuludi Sasa hivi, kumbuka tunaenda ujerumani na huko Nina kazi ya mkataba wa miaka minne, na hapa bado siku tano tu tuondoke, hivyo hutokuwa na muda wa Kuja nyumbani tena, kuwaaga nilijikuta nalia tu, Kwa nini vicram umeamua kunifanyia hivi kosa langu ni kukusaidia? Nilikosa kukuokoa? Najuta emu niambie wapi nilipokukisea jamani 😭, nililia mno, salha mke wangu, sio kama nakuchukua ama nakukomoa hapana, nakupenda kutoka moyoni ndio maana nimekuja nyumbani, jalibu basi kunielewa mama...

Niliamka nikamwambia naomba nikamuage mama angu tu,ikiwezekana ata nje na nyumbani, mke wangu Kwa nini? Kwa nini kumbuka Kuna Mzee pia usimbague Kwa sababu yangu plz mke wangu, niliona vicram haniekewi, nikaanza kutoka tulitoka wote, akachukua usafili mpaka nyumbani, nilishuka nikampigia mama simu...

Itaendelea...🔥

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10



MTUNZI: SMILE SHINE
EP 9.
Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa na baba, Huwa naongea nae Kwa Siri sana, niliamua kulala tu nakufunga mlango, king alikuja akagongaa mi kimya akaamua kupiga simu nikavunga nimelala, akaindoka, kesho yake kazini, king alikuwa ananifanyia makusudi mpaka wafanyakazi wakatambua, tutakuwa tunaugomvi...

Aliniyesa mpaka nikajuta, zilipita kama wiki mbili nikapigiwa simu na mama, kuwa Kuna kijana kaenda kupeleka posa nyumbani anaitwa vicram na kakuombea msamaa Kwa baba ako, kasema yeye ndo muhusika toka mwanzo, nilikuwa nimekaa nikasimama,mama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-hot-pilot-rubani-wangu-9-na-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-hot-pilot-rubani-wangu
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

978
*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

928
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61

877
*AFANDE MILLAN😎* *57&58

*AFANDE MILLAN😎* *57&58

753
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55

SHAMIRA Sehemu ya 54&55

177
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8

137
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

84
SHAMIRA Sehemu ya 56&57

SHAMIRA Sehemu ya 56&57

50
SHAMIRA Sehemu ya58&59

SHAMIRA Sehemu ya58&59

46
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.74K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.93K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.87K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.59K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo😋,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu 🔥) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest