MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10
MTUNZI: SMILE SHINE
EP 9.
Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa na baba, Huwa naongea nae Kwa Siri sana, niliamua kulala tu nakufunga mlango, king alikuja akagongaa mi kimya akaamua kupiga simu nikavunga nimelala, akaindoka, kesho yake kazini, king alikuwa ananifanyia makusudi mpaka wafanyakazi wakatambua, tutakuwa tunaugomvi...
Aliniyesa mpaka nikajuta, zilipita kama wiki mbili nikapigiwa simu na mama, kuwa Kuna kijana kaenda kupeleka posa nyumbani anaitwa vicram na kakuombea msamaa Kwa baba ako, kasema yeye ndo muhusika toka mwanzo, nilikuwa nimekaa nikasimama,mama Mimi sitaki kuolewa saivi, huyo ni adui wa hapa ninapoishi mama, anafanya makusudi kwanza kapajuaje kwetu?..
Mama alisema Yani apa ninavyoongea na wewe, wapo ndani na baba Ako kashaita ndugu zake waje kupokea posa Yako, na kesho unatakiwa uje posa italetwa kesho Kun avitu ni lazima wanunue, na wewe unatakiwa kuwepo, uyo kijana katoa namba zako upigiwe uje,nilichoka sio kidogo mpaka machozi yakanitoka kumbe muda wote tunaongea nyuma yangu alikuwepo mama Fatuma, walipiga Kwa mama Fatuma na kuongea nae kesho niende, mama Fatuma akahisi nimemficha ila alivyokuta naongea na mama akapata picha sihusiki, alikaa na Mimi akanishauli, twende wote niwaeleweshe wazazi Kisha tutaludi...
Nilifurahi mno nikamshukuru, kweli kesho yake tuliondoka kwenda kwetu, tulifika tukapokelewa Kwa bwembwe mpaka majirani wamealikwa, Yani ni kama Kuna Sheree kabisa, nilijikuta nachukia mno, niliingia ndani tukasilimia, nika omba kuongea na wazazi nikiwa na mama Fatuma,kweli tukakaa nikajieleza pale, ila jibu la Mzee nililiniumiza mno, milembe usiniletee umalaya wa mjini, mtu amekuja mpaka nyumbani ameshatoa ng'ombe, unaniambua humtaki unataka hao wanaokuchezea huko bila kukuoa, Mzee aliongea mengi jamani mpaka akamtukana mama Fatuma akiwa yeye ndo ananihalibu, mala ananiuza na alinza tu vizuli kutaka kujua kama kaolewa, alivyojua tu Hana mme basii kikawa kigezo...
Nilijuta na kumuomba samahani mama wa watu alilia maneno aliyotoa baba angu yalikuwa makari mno,mama alijalibu kuingilia kati akapigwa makofi, ilibidi nikubali yaishe mama zangu walihudhunika mno, hamuwezi amini vicram alileta mpaka shehe nikabadilishwa dini, ndoa ikapita kijijinj kama utani...
Mama Fatuma alishuhudia Kila kitu, akanipa zawadi ya nyumba Kwa Siri sana, nilikuwa nalia tu ata laha sina harusi ilifugwa jioni saa Moja, mama alienda kulala gest, na sisi tulienda gest Ili asubuhi tuanze safari ya kuludi dar, sikuwa na furaha na yeyote ata kuaga nilimuaga mama angu tu, vicram alikuwa anajichrkesha tu ovyo, tulivyofika gest, niliingia kuoga nikavaa uko uko, mke wangu Sasa ndo nini kunivalia minguo muda wa kulala, sikujibu kitu, niliamua kukaa kimya tu, nikaingia kulala vicram aliingia kuoga, aliludi akiwa na taulo tu, alinisogelea ziro distance akaniita mke wangu, unachofanya sio sahihi naomba usinilazimishe nikuchanie nguo tena, aliongea Kwa upole, ila kauli yake ilikaa kisheria...
Itaendelea🔥.
*MY HOT PILOT*
(rubani wangu🔥)
MTUNZI: SMILE SHINE
EP 10.
Aliamua kunivua mwenyewe, nilijikuta tu machozi yananitoka,aliniona nalia, hakutaka ata kuuliza tatizo, alivyomaliza kunivua alisogea nakunikumbatia tu, tukalala hakunigusa mpaka kunakucha, sikuamini niliamka nakuingia bafuni kujikagua,kweli hakunifanya chochote, nilioga nikavaa, nikakaa kumsubili aliamka saa 4 asubuhi, salha mke wangu umeamkaje? Mbona hujaniamsha?..
Sijui kama unapenda kusumbuliwa ukiwa umelala, nilijibu uku sitamani ata kumuona,aliingia kuoga, akiwa bafuni aliniita, mke wangu nimesahau mshwaki wangu naomba unichukulie kwenye begi uniletee, nilichukua nikafungua bafu, huku nimegeukia pembeni Nampa mswaki,nilishtuka ninevutiwa bafuni mtu Hana hata nguo...
Alinitizama machoni, nikamtizama pembeni, " salha mke wangu, nakupenda, naomba usinifanyie hivi basi, unaniumiza najua nimekukwaza kuja Moja Kwa Moja nyumbani, lakini sikuwa na budi kufanya hivyo, ningesema niongee nawewe ingechukua muda kunielewa...
Na Nina wiki Moja tu ya kuwa Tanzania, na sikuwa tayari kuondoka bila wewe, naomba unielewe kumjua moyo tuendelee mbele mke wangu, aliongea huku anataka kuniandaa Kwa mechi, vicram Mimi siko sawa, naomba uniache tu kwanza sikuelewi, salha kipi kigenj kati yetu kama uliweza kushiliki na Mimi ikiwa hunijui, Leo hii nimekuoa unasema huelewi kweli?..
Nilijisikia vibaya, nikakumbuka na maneno ya king aisee nikajua ndo Yale yake, naonekana kama nilijipeleka, machozi yalianza kunitoka Kwa kasi, vicram alinikumbatia akafungulia maji nikalowana, akati nilikuwa nimevaa, alihakikisha anatimiza hitaji lake Kwa akili sana...
Alivyomaliza alinisifia, huku akisema nikunjue moyo Ili niienjoy, sikujibu kitu nilioga nikiwa na hasira mpaka nikajikwangua ngozi Kwa kunisugua, alininyang'anya dodoki bila kusema kitu, akaamua kuniogesha mwenyewe, akanipaka mafuta na nguo akanivalisha, Kisha akaagiza chakula kilikuja tukala japo Mimi sikula sana, mke wangu naomba nikupitishe nyumbani ukawaage...
Haina haja nilishaaga Jana, nilijibu nikiwa na hasira za wazi wazi, vicram alinisogelea, salha mke wangu huku hatuludi Sasa hivi, kumbuka tunaenda ujerumani na huko Nina kazi ya mkataba wa miaka minne, na hapa bado siku tano tu tuondoke, hivyo hutokuwa na muda wa Kuja nyumbani tena, kuwaaga nilijikuta nalia tu, Kwa nini vicram umeamua kunifanyia hivi kosa langu ni kukusaidia? Nilikosa kukuokoa? Najuta emu niambie wapi nilipokukisea jamani 😭, nililia mno, salha mke wangu, sio kama nakuchukua ama nakukomoa hapana, nakupenda kutoka moyoni ndio maana nimekuja nyumbani, jalibu basi kunielewa mama...
Niliamka nikamwambia naomba nikamuage mama angu tu,ikiwezekana ata nje na nyumbani, mke wangu Kwa nini? Kwa nini kumbuka Kuna Mzee pia usimbague Kwa sababu yangu plz mke wangu, niliona vicram haniekewi, nikaanza kutoka tulitoka wote, akachukua usafili mpaka nyumbani, nilishuka nikampigia mama simu...
Itaendelea...🔥
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni