AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 60 & 61
Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi we kubali tu kuwa jalia ni mkeo, daaah ,nikasema sawa kaka nimekupata eeh vp kuhusu zena, ibraa akanmbia baada ya hizo siku 3 , ndo mpigie zena mpange kuwa unaludi na siku ya nne ndo nenda kwake, mi najua zena atataka we ulale uko mana atakuwa amekumiss, so mkeo mapema mpange kuwa kuna siku kazini tunaingi shift za usiku, aseeee hizo shift za usiku kweli zipo, ila mm nilishavuka ukoo, labda niamue tu mwenyewe kuingia usiku, ila now mm naingia kazini saa 2 natoka saa 10 jioni, kutokana na vyeo vyangu, nikizidisha mda ni mm mwenyewe, labda nikiona majukumu yamenikaba sanaaa ndo nakuwa nacheal kazini
Apo sasa ibraa akanmbia ukienda kwa zena mkishasalimiana na kupiga story zenu nyengine, ushamkula mtoto mana najua apo mtatakana tena kumisiana, nikacheka mana ibraa kuna mda anakuwa anaongea usenge wakati mi.nakuwannamsikiliza in serionus way, uyuu jamaa uyu, ibraa akanmbia anzaa kumgusia suala la matara zena, ukiona ana uelewa nalo, na anaelewa ,na ukiona anaweza akakaa ,basi mueleze hali halisi ya kilichotokea nyumbani, mi naimani zena ataelewa tu, japo ataumia ila ataaelewa tu sababu anakupemda sana,na utakuwa pia na yeye unagaka kumuoa na zena akishakubali matara sasa apo kamueleze na jlia, wajuane, na wewe apo utawagusia wazazi, baada ya mwezi unaenda kuoa
Nikasema ni sawa ,je kama.zena ataonesha kuto kutaka uke wenza inakuwaje, ibraa akanmbia ni sawa, tunaenda kuoa bila ya yeye kumueleza chochote atajua kwenye ndoa, nilicheka uyu msenege uyu, akanmbia millan cha msingi ni unamuoa zena ,iwe kivyovyote ndoa ipo mi najua wewe bila ya zena huwezi unajikazaga tu, ila najua kwa kiasi gani wewe unampenda sana zena, sasa apo tunakodi mpaka wazazi feki, si tunaemda kuoa tunabeba jiko, tunaanza maisha ,masual mengine ni wewe sasa kubalance tu ya uku na uku, zena akija kujua tutajua jinsi ya kumtuliza na kuendeleza maisha , dooh nikaona ibraaa ndo mwanangu mwenyewe, basi baada ya kuongea mazungumzo yetu, ndo mimi nikashuka sasa, na nikaingia ndani kwa ibraa kumsaliamia shemeji, ila sikukaa sana nikaaga zangu, nilivyotoka apo kwa aibraaaa nikaondoka kwangu moja kwamoja, japo jilitamni kunywa pombe kidogo ,ila.nikaona nikienda bar nikaonana na yule mwendawazimu shey, anaengaika na ma bar mpumbavu yule, leo yup uki kesho kule, alafu taarifa zikamfikia zena kuwa nipo dar na yye hajua kitawaka ,nikaona nikaushe tu
Basi nikaludi mpaka nyumbani sasa, mida ya usiku kama saa 1, nimegika home namkuta jalia ndo anamalizia kupika, akankalibisha vizuri tu, niakmwambia asante kisha mm nikaelekea chumbani kujimwagi maji kwanza ,kisha nikavaa na nikaelekea dining kwa ajili ya chakura, nikakuta jalia kanipikia wali na samaki, basi akanipakulia chakura na yeye akajipakulia kwa pamija tukaanza kula, siwez kusema.chakura chake ni kibaya ila hakijafikia utamu wa kufikia chakura cha zena , aseeee nyie zena anapika bwnaaaa, zena anapika aswaaaaaaa, basi nikala ,ila.sikula.sana sijuh sikuw na mood ata sielwew nikamwambia jalia asante kwa chakura, akanmbia sawa mume wangu karibu sana, nikasema.sawa asante , nikanyanyuka nikaenda kitandni kujipumzisha sasa, basi nimefika kitandani naona na jalia nae kaingia chumbani kisha akaenda bafuni kuogaa, apo sasa mi nikampigia simu zena, nikaongea nae kidogo tu, kisha naikwambia mm kesho naludi dar ,akanmbia woow saa ngapi, nikasema mapema sana ,na nikfika tu ntapeleka mabeg home kisha nakuja kwako, niandalie chakula kizuri mke wangu,zena akanambia sawa mume wangu, nikamwambia basi naomba kulala mapema leo ilo kesho niwahi safari akanmbia sawa uwe na usiku mwema mume wangu nakupenda sana, nikasema nakupenda zaidi zena, kisha sasa nikakata simu nikatulia tu kitandani, nyieee mi kukaaa siku tatu dar bila kumuona zena kma.alivyonambia zena nilionambali sana ,niliona lazima kesho mkkalmuone zena.wangu, na wanangu
Na baada ya mda jalia akatoka sasa bafuni , na akaja mpaka kitandni akabmbia millan leo nimekumiss sana jamani mume wangu, ahaaa nikaon isiwe kesi , nikamvuta na tarabu nikaanza kubebika na jaliaa. ,uyu dada hakuna kitu ambacho alikuwa ananichanganya sana ila ni tamaa tu za wanaume, unazani nawezaje kulala na mwanamke nisimguse kaisaa ,sio kweli, basi nikamtomba sana uhuu usiku jalia , na uzuri sanan na mwenyewe alikuwa kashazoe zoea michezo so haikuwa inaleta shidaaa, na mwepesi aka , so ukitaka kumuweza kila style ni fresh yani, basi baada ya kumlizisha na mm kulizika ndo tukallala sasa, na asubuh mida ya kama.saa 3 , mi ndo niliamka naangalia pembeni wala hakuwepo jalia, nikajua anaanda chai, ila nilipoangalia simu yangu nilikuta zena kanipigia mala 2, nikajua ananiulizia kuhusu safari, ila nilipotaka.kumpigia nikaona jalia kaingia chumbani sasa , nikasitisha chapu kumpigia zena , jalia akanisalimia kwa kunichangamkia sana akanambia nikaoge kisha tukapate break.fast nikasema.sawa mpenzi hakuna shidaaa
Basi mi nikaenda kuoga na nilipotoka.kuoga sasa ,nikaenda kupata break fast, kisha sasa nikamwambia jalia mimi naingia kazini leo, ila kama nilivyokwambia mm ni polisi ,na leo ndo nareport kazini baada ya rikizo yangu,naweza nikafika uko nikapangiwa shift ya usiku, so naludi asubuh na siku nikiingia asubuh huwa naludi usiku sawa, akanmbia sawa hakuna shkda nimeelewa mume wangu, apo nilikuwa nampnga kbisa sababu mimi najua nikienda kwa zena sitaludi leo leo ,weeee apo zena atakuwa ni kanimiss sana na mm nimemmis sana , basi baada ya kumalaiza chaii, nikainuka nikamuachia pesa kwa jili ya matumizi yake, na nikamuelekeza sehemu za karibu za yeye kupata mahitaji kama atahitaji kutoka akanmbia nimekuelewa uwe na siku njema na kazi njema ,na nakupenda sana mume wangu, nikasema na mi piaha nakupenda sana, kisha uyoo.nikasepa, nikaingia kwenye gari yangu na.moja kwa moja nikaanza safari ya kuelekea kwa zena ,kwa kichuna wangu kwa mwanamke anaetembea na moyo wangu, aseeee zena aliniingi gafraa, uyu mwanamke alinifanya nijue nini maana ya kupendaa mimi na kutulia acheni kabisaaa
Basi bwanaa nikadrive mpaka kwa zena ,,mida ya kama saa 4 asubuh ndo mm nafika pale , basi nimefika kwa zena, ahaaa zena alifurhi sana kuniona , yani linikumbatia mnooo, akaanza kunambia mbona hujapokea skmu zangu leoo eeeh nambie kwa nn, nikasema ahaa mke wangu mi ata dimu sijaisikia, akanmbia we muongo, nikasema.sure, asa mi.naanzaje kutokukupokelea wewe simu mke wangu, basi akabaki anachekatu, akankalibisha vizuri, nikaka kwenye sofa ,kisha nikamuuliza hali za watoto akanambia wanaendelea vizuri arshaina kalala na ummy ameenda shule, ahaaaa mnajua nilimmsi uyu mwanamke kinoma, nikamsogelea nikamwambia nipe mke wangu, nakutaka sana , akanmbia mhhhh wewe tena utanitoa mimba yangu, nikacheka nikasema ebu bwana, sikutoi nafanya taratibu mke wangu, akanmbia sawaa, basi bwana nikamvuta kwenye sofa mchumba tukaaanza kukissss taratibu kwa hisia zoteeee, ahaaaa mnajua zena akinishika nasisimka.kinoma, sielewi sababu na mpenda sana uyu mwanamke au vp, ahaaaaa tukaanza kupapasanaaa pale, ahaaaa nikamueka chini kisha mm nikampandia kwa juu mtoto, agaaaa nilipiga machine mpaka nilichanganikiw,yani nilikuwa na hamu nae kweli kweli nyoeeee hakuna raha kama kukuulana na mtu unayempemdaa, mi nazena tulitombana sanaa iyo siku , yani sanaa tulilianza sebeene iyo saa 4 mpaka saa 8 mchna, ni umu tyu, na hii siku arshaina alilala kabisaa wla hakutaka kutusumbua alituacha wazazi wake tule rahaaaa kwanzaa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni