Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 82 MPK  86
Gonga94 ยท Stories

SHAMIRA 82 MPK 86

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
(SEASON FOUR) (HURU MEDIA)
๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 82
Mwandishi; lissa wa huru media

Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo nilikuwa ni mtu wa ndani tu na kwenda dukani mala moja .nikiludi nakuwa ndani kwangu .sikutaka ata mazoea na majirani sana zaidi ya salamu. Na sikuwa nataka mazoe na watu kabisa. Wala sikuwa mtu wa story sana na watu apa. Nilikuwa nawaza sana nafanya nini ambacho kitanibust na aya maisha mimi daaah .mana sielewi kabisa na akiba itaisha tu ni vyema kama nitatafuta kitu cha kufanya jamani.

Basi siku moja nikiwa ndani kwangu sasa .nikamsikia mkaka wa chumba cha pili anaongea na simu. Akiwa ndani kwake.mana pale nilipopanga ni hakuna singboard kwa juuu kwaiyo huwa nasikia sana maongezi yake uyu kaka .mana ndo jirani yangu wa karibu. Na uyu kaka wal sikuwa nimemzoea zaidi ya salamu .na anaonekana ni kijana mstaarabu sana tu. Alikuwa anaongea na simu anasema sawa dada ntajalibu kutafuta ao watu watatu . Tutaongeza hakuna shida . Nikawa namsikia na uyo dada anasema sawa nakutegemea sana pascal jitahidi sana .mimi nakuaminia sana wewe. Kwaiyo naamini pia utaniletea watu waaamini na wastaarabu wanaoweza kuwahudumia wateja vizur .simu yake bila ya shaka aliweka loud kwaiyo nikawa nadikia mazungumzo ya pande zote mbili.
pascal akasema sawa sister kuwa na amani kabisa na wala usijali sister ntakutafutia ao wstu watatu ma kazi wataliga freh .mh nikaona mbona kama deal la kazi hili.na mimi nishakaa dodoma mwezi sasa bado sijpata kazi .nikaona ebu niongee na uyu kaka japo sijamzoea ila atanielewa tu

Basi pascal aliongea sana na yule dada ila nilielewa ni kama kazi ya kuuza duka hivi nikaona wee najifyatua mimi.nikatoka nje kisha nikaenda kumgongea pasacl na katika ile nyumba tulikuwa wapangaji wawili tu ndo tunaishi uwani . Mimi na pascal .ila kwa nyumba kubwa kulikuwa na vyumba vingi na mwenye nyumba hakuwa anaishi apo so wote tulikuwa wapangaji.
Basi pascal akatoka akasema aha jirani vp kuna shida .nikasema ahaa pascal ebu naomba tuongeee kidogo. Akasema ndio nakusikiliza . Nikasema nimekusikia unaongea kuwa utafuta vijana 3 wakafanye kazi. Mimi nahitaji kazi piah. Mh akaniangalia kwanza akasema utaweza kazi yenyewe mana ni supermarket kubwa. So kuzulula na wateja na kuwaonesha bidhaa utaweza mana hakuna kukaa iyo. Nikasema haraka pascal naweza yani naweza kabisa. Akasema sawa mshahara laki 2 na 50 kama utaweza kesho amka mapema. saa 12 uwe umeamka saa 1 tunaenda ni apo mjini centre .kama unaona unaweza ni sawa. Nikasema pascl naweza kuwa na amani kabisa na mimi. Akasema sawa amna shida .

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 83
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi nikaludi chumbani kwangu nikawa na amani.nikaona mh laki 2 na 50 sio ndogo .mimi itanitosha na ntafanya mambo yangu itanisapport tu. Basi kweli kesho yake saa 12 .nikafanya kazi zangu chapu chapu nikajiandaa nikawa nipo tu kwenye godoro langu namngoja pascal.na kweli pascal akanistua .kisha tukaongozana mpka dom mjini.

Jamani ilikuwa bonge ya supermarket ni kubwa kweli kweli.yani floor nzima ya ghorofa na ilikuwa na kila kitu. Yani woow kubwa mno.mh yani mpaka rahaa na kulikuwa kuna wafanyakazi wengi tu kila mtu kasimama kona yake. Nami pascal akanipeleka mpka kwa mdada mmoja mrembo kweli na kapendeza mno .yani yule mdada ukimuangalia tu unajua apa pesa ipo .alikuwa amekaa sehemu ya kupokea pesa na kufanya mahesabu . mimi chapu nikawa nimeelewa kuwa uyu ndio boss sasa.

Badi nikamsalimia vizuri na wala hakuwa mkubwa san yani kama kunipita umri uyu alinipita kidogo sana.ila si unajua tena mwenye pesa sio mwenzio. Basi pascal akasema madame uyu anaitwa shamira ni mpangaji mwenzangu na ni mchapakazi sana nikaona nimlete apa . Ili apige kazi.yule dada akaniangalia kisha akatabasamu akasema shamira karibu sana.na karibu kazini.woow ni kanaongea vizuri alafu anaonekana yupo simple uyu dada wala hana mashauzi. Basi nikamjibi asante madame

Akasema sawa sasa shamira apa sisi tuna sale zetu ntakupa na ntakupa mtu wa kukuelekeza kazi. Na ndo umekuwa ushaanza kazi sawa.naomaba uwe maikini an kazi.na hasa mdomo.naomba uwe na kauri safi na wateja sawa.nikasema sawa.hakuna shida .basi yule madame alinambia yeye anaitwa madame loveness au wengi wamezoea kumuita love.basi bwana madame love akamwambia pascal mpeleke changing room na kweli pascal akanipeleka mie nikaongia kwa wanawake yeye akaingia kwa wanaume.kule nikakutana na mdada hivi .akanambia nimepokea simu yako kwa boss wewe sindo shamira nikasema ndio akanmbia sawa chagua t shirt linalokutosha apo.basi nikaangalia nikaona nikavaaaa.

Akanmbia aya nifate sasa. Basi nikamfata nikaingia dukani sasa. Akanipeleka kwa mdada mmoja akamwambia bos kasema uwe beneti na uyu binti ni mfanyakazi mpya anaitwa shamira so umsaidie na kumuonesha majukumi yenu na manafanyaje kazi .akasema sawa kisha yule madame akaondoka na yule dada akajitambulisha kwangu anaitwa mile .nikasema saawa na mimi kama nikamwambia naitwa shamira akanambia sawa.

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 84
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
basi bwana wateja wakawa wanakuja.na wateja walikuwa wengi mana hii sehemu ilikuwa center kabisa. Kazi wala haikuwa ngumu kabisa .ni kimsikiliza mteja kwa anachokitaka na kumpeleka pale asipoina bidhaa asiyoitaka. Na kumsaidia kumbebea bidhaa zake .hatukuwa tunapokeaa pesa kabisa. Na pesa zote anapokea mwenyewe madame love. Sisi kazi zetu mdo hizo tu .kulipia anaenda kwa madame love

Na ata pascal alikuwa nafanaya kazi apa. Ila yeye nilikuwa naona ni kubeba mizigo ya wateja kuwapeleke kwenye usafiri. Basi bwana siku ya kwanza nilipata ugumu kidogo mana sikuwa nimezoea kazi kabisa. Na pilika pilika zilikuwa nyingi mno.ila baada ya week 2 nilizoea kazi kabisa .na nilikuwa naenda na pascal kila siku kazini.aseee pascal ni kijna mwenye adabu sana yani alikuwa ananichukulia kama dada yake .ni kijana mwenye heshima sana mnikaona uyu katulia sana na ndo mana madame love anamuamini anamwambia mpka amtafutie wafanyakazi
Basi bwana maisha mdogo mdogo yakawa yanasogea kama masihara. Mshahara wangu wa kwanza nilivyopata nikanunua na kitanda changu ili kujishikizia . Na nikawa naendelea na kazi vizuri mno japo wateja wengine changamoto maraya maraya sana yani mpka wanakwaza kiukweli. Mtu unamsikiliza ili umuhudumie anaanza kukutongoza.basi tunamalizana nao kikubwa .mana ukijibu vibaya kazi huna. Madame love hakuwa anataka masihara ata kidogo na wateja wake. Kwake mteja ni zaidi ya mfalme uwa anasma hivyo

Basi bwana nikawa naendelea kuongea sana na shoga yangu husna . Na tulikuwa tunapuga sana story na alikuwa akinitia moyo kuwa nipambane tu mungu atanifanyia wepesi na maisha yataenda inshalla. Sassa iyo siku madame love akaniita akanambia shamira ebu kaniletaa choclate 5 kule . Hizo choclate alizoniagiza moja inauzwa elfu 5. Mimi wala sikutaka kuuluza nikaenada kumchukulia nikampelekea. Akasema mh bola leo niziweke mapema nikampelkee aunt yangu mana nasahaaugi inakuwaga moto analia mno. Nikasema ahaaa ni mtoto wa nani yako kwani madame.akasema ni mwanangu mtoto wa kak yangu.yani mpka kinaoza meno kwa kupenda hizi choclate .ila kinapenda balaa nakuwaga nambebea tu japo baba yake hataki .ila nafanyaje sasa na mwenyewe anapenda. Namvutaga chumbani kwangu nampa meno yakioza yote ndo kitaelewa.aseee nilicheka tu kisha nikakumbuka mbali sana.nikasema kama mtoto wangu angekuwwepo kwa sasa angekuwa na miaka 4 mpka mitano kasoro daah๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 85
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi bwana nikasema anaonekana mtundu aunt yako.love akacheka akasema sana yani mtundu mno alafu anaongea sana yani ana maswali kama mtu mzima mpka namkimbiaga mda mwengine.nikacheka tu .nikajikuta na hamu ya kutaka kusikia story za uyu mtoto zinakuja. Na alafu uyu boss wetu mzungu ni yupo fair sana. Labda umkwaze sana na asa ugombane na mtaja ndo ata kuzingua.ila hana shida wala.nimkamuuliza anaitwa nani akasema anaitwa gift. Ni kamalkia chetu bwana kasumbufu kweli kweli yani sana anapilika pilika mno. Nikacheka tu nikasema sawa siku uje nae nimuone basi. Akasema weee unazani kutakalika apa. Baba ake alikuwa anamleta nyuma uko anakuwa nanalikia kila kitu. Sasa si shida oyo .nikawa nacheka tu.akasema na ana fujo mno gift weee ana kelele. Yani balaaaa ila kana upendo sana japo kadogo. Akikuona kama haupo saww anakuja anakukumbatia namshaangaaga yule mtoto kama mtu mzima vile.nikacheka tu

Akanmbia alafu unajua nini shamira kuna jinsi naona umefanana sna na binti yangu. Nikacheka nikasema uyo gift akasema ndio yani watu wawili wawili. Ni vile nimebadili simu ningekuonesha picha zake.siku nikimpiga ntakuonesha umuone mrembo wangu.nikacheka tu kisha nikasem sawa madame.kisha nikaludi kuendelea na kazi zangu. Kiukweli kwa uo mda sikupanga kabisa kujiingiza katika mahusiano ya mapenzi mimi.nilikuwa natongozwa sana ila nilishaona wanaume hawana deal lazima nijitambue bila ya hivyo ntazalilishwa sana mimi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Basi bwana ikakata miezi 3 .nipo dodoma nafanya maisha yangu.mshahara wangu ulitosha sana kufanya mambo yangu. Alafu nilipata sana bahati uyu love alikuwa ananipenda sana. Kuna mda ata ananipa mikate sijuh masoda ananipa tu. Ananambia nimekupa sababu unafanana na mwanangu .nakuwa nacheka yu na kupokea . Yani damu zetu ziliendana sana.ata nikichelewa kazini hafoki sana kama anavyowafokea wafanyakazi wemgine.basi bwana siku iyo nipo busy kweli kweli na kazi zangu. Akaingia mkaka handsome mno jamni anawaka vibya sana kapiga pensi tu na t shirt ya blue. Ila amekaa kitajiri alafu kaingia tu mimi nilikuwa mbali nae ila nilikuwa nasikia harufu ya pafyumu yake daaha ananukia mno

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 86
Wassap;0742443214
lissa wa huru media

Ila nikaona kaenda moja kwa moja kwa love.na nikWa naona wanaongea sana uku love akicheka. Yani kama yule kaka alikuwa anamuhadithi kitu love. Nikahisi huenda ni mwanaume wake .nikiwa busy na kazi. Masdame love akaniita niende pale. Nikasogea mpaka pale .nikamsalimia yule kaka . Akaningalia kisha akaniitikia ila hakunichangamkia sana.aliitikia ile kawaida tu. Ahaa watu wenye vipesa vyao wanalingaga kama hawanyi vile khaaaaa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Love akasema sasa shamir kaniletee zile biskuti 5 .si unaona gift leo kamsumbua baba yake .yupo shule analia uko hatki kusoma mpka aletewe biskuti khaaaa ndo kaja kumfatia baba yake apa .akampeleekee shule aache kulia asome.nikacheka tu mana uyo mtoto wao anaomekana ana visa sana. Nikasema sawa madame nkaenda mubeba biscut nikamletea mpka palw.na Nikampa zile biskuti uyu kaka sasa. Apo ndo aliniangalia nilishanga kaganda anainagalia mno.mh mpka nikashangaa au aliona picha zangu napigwwa uchi kipindi kile mbona kaningalia sana. Yile kaka akaniuliza unaitwa nani.nikasema shamira .akasema ooh wewe dodoma ni mgeni .nikasema ndio .akaniuliza umetokea wapi nikasema arusha.nilidanganya akasema sawa umefanana kidogo ma binti yangu.nikacheka tu nikasema madame love aliwah kunambia pia. Love akasema ni kweli broo ata mimi niliwahi kumwambia hivyo si unajua watu wawili wawili duniani .nikajua aahaa kumbe uyu sio bwana ake ila kaka yake

Basi broo wake akasema powa kisha akatoka nje. Uo mkoko alopark apo nje mh sio powa watu wana pesa jamani khaa. Basi love akanmbia yani gift anajua kimpelekesha baba yake anamsumbua mno. Na kaka anampemda sana yule mtoto yani kuna mda mpka mimi ndo namwambia anmlea vibaya yani mtoto anamtuma baba yake. Badala ya baba kumtuma mtoto et ana muona mdogo mtotl anakalibia miaka 5 ni mdogo shamira? Nikasema hapana ni mkubwa tu akasema basi kaka yangu mie anamuona mdogo kweli kweli . Kumbe ana kialibu. Nikacheka nikasema mapenzi yamemjaa sana kwa mtoto ndo mana.akasema yaa ni kweli lakini.nikasema au anaye uyo uyo. Akasema ndio ndo uyo uyo basi anamlea kama jicho.nikawa nacheka tu. Kisha nikaenda kuemdelea na kazi zangu

Basi bwana maisha yakawa yanenda ila nilikuwa namuona sana yule kaka yake na love anakuja sana dukani kwa dada yake.na kuna mda usiku tukishafunga tukiwa tunaondoka tunaona gari yake amekuja kunchukua dada yake. Niliona ni ndugu wanaopendana sana.nikawa nasikia awa wafanya kazi wenzangu wana sema yule kaka ana pesa mno ni hakimu mkubwa sana apa tanzania . Na ata ile super market ni yake .sikuwa nayafatilia san mana ayanihusu mimi muhimu naenda kazini nipiga kazi nalipwa basi maisha yanaenda

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 82 MPK 86

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA)
๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 82
Mwandishi; lissa wa huru media

Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo nilikuwa ni mtu wa ndani tu na kwenda dukani mala moja .nikiludi nakuwa ndani kwangu .sikutaka ata mazoea na majirani sana zaidi ya salamu. Na sikuwa nataka mazoe na watu kabisa. Wala sikuwa mtu wa story sana na watu apa. Nilikuwa nawaza sana nafanya nini ambacho kitanibust na aya maisha mimi daaah .mana sielewi kabisa na akiba itaisha tu ni vyema kama nitatafuta kitu cha kufanya jamani.

Basi siku...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-82-mpk-86

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA  ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA 49 to 50
SHAMIRA 49 to 50
SHAMIRA Sehemu ya 46
SHAMIRA Sehemu ya 46
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA Sehemu ya 51
SHAMIRA Sehemu ya 51
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3* *64&65*

959
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.

281
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.

277
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

260
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)

SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)

240
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.

193
SHAMIRA 67 to 70

SHAMIRA 67 to 70

175
SHARON 1 mpka 5

SHARON 1 mpka 5

129
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

129
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

128

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.84K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.73K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea๐Ÿ’ต" Nyie njooni niwaambie kitu โ€ฆโ€ฆโ€ฆ mnazijua chapati? Sambusa je ? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3) Post Mpya
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 71 Mwandishi; lissa wa huru media Nikamwambia sawa nashukuru kama mimi ndo kiboko yako. Basi mchumba akaenda kuoga akatoka mwepesi kabisa akavaa kisha akachuku pochi aknihasabia laki 8 .akanipa...

๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA Post Mpya
๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA
@majario LIVE

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Kenya ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, Burundi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, Rwanda ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ na USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Wote wamevaa rangi za nchi zaoโ€ฆ lakini NANI AMEUA STYLE ZAIDI? ๐Ÿ‘‘๐Ÿ”ฅ โš ๏ธ CHAGUA NCHI MOJA...

SHAMIRA 67 to 70 Post Mpya
SHAMIRA 67 to 70
@majario LIVE

62 MPK 70 (SEASON THREE) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 67&68 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikiwa nawaza sana pale akaingia husna .akagonga mlango...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
@majario LIVE

:01 Natafuta ni wapi nianzie na ni wapi nimalizie, sijui kabisa yaani kwa maana moyo wangu, roho yangu, na hisia zangu vyote kwa pamoja vimejawa na furaha isiyo kifani. Maisha yangu ni...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3* *64&65*
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest