Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65*
Gonga94 Β· Stories

AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈


Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka saa 7 usiku ndo analala, aseeeee nikaona apa kazi ipo uyu hawezi kunielewa ata nikimuelezea setuation yangu ya kwa sasa ,na ntakpomueleza kuwa mm nimeona apa na mke zipewi , basi na mm nikajipumzisha tu pale pale sebelni nikimuacha zena ,yeye kalali miguu yangu na asubuh sana akaamka.na homa, ata kuandaa watoto hakuweza ,mie ndo nilifanya iyo kazi na kila.kitu, na ummy akaenda shule , kisha sasa nikamuamdalia chai zena akanywaa , ndo nikamuaga sasa kuwa naingia job , nitaludi usiku sana na ni lazima niingie kazini , zena akanmbia sawa, daah apo sasa ndo nikatoka kwa zena na nilipoingia kwenye gari yangu ndo nikawasha simu, kisha nikapigia simu ibraaaa, na mwanangu ibraaa wala hakuchukua mda akapokea simu

Uo mdaa naongea na simu uku na drive kwangu zaza naelekea kwangu, ibraa kanmbia vp kaka, nikasema oyaaa nimetoka kwa zena apa, jana nililala kwake, ibraa akanmbia soo umeona kukaakaa siku 3 na mkeo ni nyingi kaka, nikasema.nyingi sana mi siwezi kukaaa mbali na zena ila sasa nii jau kaka ,akaniuliza imekuwaje, ikabidi nimuelekeze sasa yaliyojili kwa zena, nilipomuelekeza kuhusu ndo za matala, mh ibraa akanmbia apo kaka usimueleze zena lolote kuhusu wewe kuoa ,sikia tunaongea na akina afande minige ndo wanakua wajomba zako wanakupelekea barua eassy kaka, na unaoa chapu mambo yasiwe mengi mana naona vupngele vishakuwa vingi nikasema sana kak, naofia akijua kama nimeoa zena namkosa, bola nimuoe alafu mengine ntaenda kuyalekebisha kwenye ndoa ,ibraa akanmbi sawa so now unaelekea wapi, nikasema now naenda kwa mke wangu jalia kaka, ibraa akanmbia sawa ,hakuna shida ,we nenda ila ongea na zena muulize kabisaa balua inaenda wapi , ujue vitu kama hivyo nikasema sawa kaka hakuna noma,

Basi bwana baada ya kuongea na ibraa, nikakata simu na moja kwa moja nikaludi kwa jalia sas, basi nimefika nyumbani na jalia ndo.alikuja kunifungulia geti ili niingize gar, nikaingiza gari na niliposhuka jalia akaja kuniwow, akanmbia jamani mume wangu mbona nakupigia tangu jana hipatikani nikasema kazini huwa tunazima simu mke wangu, na ndo mana nilipopata nafasi tu haraka nimeona nije kukuona , jalia akanmbia sawa ,baai nikaingia ndani, nikakuta alishaandaa chakura nikala kidogo tu, kisha nikaenda kulalala, mana nilikuwa na stress kinoma , yeye akawa sebleni, na mida flani nikaaamka.ila bado jalia hakuwa chumbani, nikampigia simu zena , nikamuuliza anaendeleaje ,akanmbia yuko powa na anaendelea vizuri sana kwa sasa ameshakaa sawa , nikasema sawa, barua tunapeleka wapi, akanmbia nna mjonba apa dar kiwalani, nikasema.ongea nae leo ,kesho mm napeleka barua kwenu ,na uwaambia baada ya week nakuoa sitaki kungoja ,mana iyo mimba isije ikawa kubwa, zena akanmbia sawa mume wangu naongea na mjomba sasa ,nikasema sawa

Nilivyokata skmu, nikampigia dalali mmoja yupo pugu, ndo nikaongea nae nikamwambia niyafutie nyumba nzuri ya kulipia kwa mwezi laki 5, akanmbia sawa, nilitaka sasa nikishamuoa zena akaishi uko pugu, na kumetulia sana pugu so niliona kutamfaa zaodi , baada ya apo niakata simu nikaludi tena kitandani ila nilijilaza tu wala.sikuwa na usingizi nikiomba sana nifanikiwe kumuoa zena, aseeee mi mwenzenu nampenda sana zena, yani nampendaa mnoo, najikuta nna furaha nae sana nikiwa nae, nikaona nikimkosa zena na mm ntateseka sanaaaaa, na zena sasa ni mwanamke mwenye misimamo.sana, anayejua thamani yake , nikaona apa akigundua kuwa mm nimeshaoa badi mie ndoa skna

Aseeeee uhuuu ndo mwisho wa s3 ,tukutane katika s4, we unahisi millan atafanikiwa kumuoa zena, na unahisi nini kitatokea uko mbelee usikose s4 mamabo ni motrooβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈπŸ“Œ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈


Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka saa 7 usiku ndo analala, aseeeee nikaona apa kazi ipo uyu hawezi kunielewa ata nikimuelezea setuation yangu ya kwa sasa ,na ntakpomueleza kuwa mm nimeona apa na mke zipewi , basi na mm nikajipumzisha tu pale pale sebelni nikimuacha zena ,yeye kalali miguu yangu na asubuh sana akaamka.na homa, ata kuandaa watoto hakuweza ,mie ndo nilifanya iyo kazi na kila.kitu, na ummy akaenda shule ,...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-season-3-64-65

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-season
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

1.37K
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

247
SHAMIRA Sehemu ya 65&66

SHAMIRA Sehemu ya 65&66

201
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 11.

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 11.

199
SHAMIRA Sehemu ya 60&61

SHAMIRA Sehemu ya 60&61

192
SHAMIRA 62 63 na 64

SHAMIRA 62 63 na 64

188
AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*

187
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 12.

145
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 13.

92
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 14.

52

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.47K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.84K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.94K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.73K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.72K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 12. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 12.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi,...

JOGOO WA KIENYEJI 1----5 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ sehemu ya 1 Mwandishi:lissa mwalla Naitwa Talya jones,ni mtoto wa pili katika familia ya watoto wawili,wakwanza kakangu tommy na mie ndio last born sasa,baba yetu alikua mwanajeshi na mama yetu ni nesi.baba...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 11. Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 11.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Mama alipokea nikamuita atoke nje,vicram alibaki tu akinishangaa, mama alitoka akatukalibisha ndani, niliomba niongee nae pembeni, tulitoka nililia Kwa mama mpaka na mama nae akaanza kulia, badae nikaamua...

SHAMIRA Sehemu ya 65&66 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
@majario LIVE

Baada y kumuacha mchumba sasa nikawa hoi yani , sio powa basi zena akanikumbatia akanambia nakupenda san mwanaume wangu, basi apo sasa , nikamwambia zena ,naomba nikuamishe apa mke wangu,...

SHAMIRA 62 63 na 64 Post Mpya
SHAMIRA 62 63 na 64
@majario LIVE

Sehemu ya 62 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana nilikuwa naumia sna moyoni ila nilisema uwenda akasaidiwa uko na akapona kuliko kukaa nae mie. lazima mwanangu ata kufa mana sina...

SHAMIRA Sehemu ya 60&61 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi niliwaza mno ila nikaona acha nipumzishe kichwa mungu atasaidia mbele . Na kweli kesho mimi nilimpeleka mtoto hospitali akapata hudumu.ma dr ...

SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest