Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13.
Gonga94 · Stories

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa mpango huenda kweli nikawa na tatizo...

Nilipata hofu sana juu ya uzazi, nilimweleza mama Fatuma na mama, ilipidi mama Fatuma aje kunichukua kama naenda kumsalimia japo ilikuwa ngumu ila tulifanikiwa kutoka, alinipeleka kwenye checkup, nilipimwa najibu yakatoka sina tatizo Niko sawa kabisa, Sasa nikashangaa kama Niko sawa , mbona sijawai kubeba mimba miaka yote mitatu na sijawai tumia Kinga yoyote🤔...

Ilinifikilisha sana, mama alipiga simu kuomba nilale, vicram alileta ngumu, badae akaniluhusu, baba angu alikuwa kumpigia simu kwakweli alikuwa alinitafuta ni salamu sitaki ziada, mtu pekee niliyekuwa naongea nae ni mama, hii kitu kumbe ilimuumiza baba kiasi Cha Kila siku kuniulizia...

Ilibidi mama aniombe nimusamee, na Kwa jinsi nilivyokuwa kwenye wakati mgumu, ata sikuweza kuyafatilia maswala ya baba,niliamua kumaliza kwanza matatizo aliyoniingiza, siku hio nililala Kwa mama Fatuma, nikiwa chumbani sina hili Wala like nilishtukia tu mtu kaja kasi, nakunikumbatia Kwa nguvu, kumbe alikuwa ni king, mile karibu sana, aliongea huku anafuta machozi, nilijikuta nalia tu alinimbembeleza huku ananitizama nilikuwa ninepungua mno japo kishape kilisalia, lakini sio vizuli nilikonda mno na mwili ulikuwa na alama Kila Kona, king alivyoona akaforce kunikagua aisee alichukia akataka kwenda kulianzisha, nilimuzuia lakini sikufanikiwa, wakati na muita alikuwa anaekekea chumbani kwake akachukue zana wakamalizane, niliamua kumuwahi nikiwa na khanga tu sina kitu mwilini..

Alivyoingia chumbani kwake na Mimi nikazama kumzuia nijafunga kabisa mlango, mile naomba uniache, anapata wapi,nguvu ya kukupiga kama hakitaki so akuache, anajua thamani yako kwangu? Ivi unajua ninavyoteseka aliongea Kwa hasira sana, huku akilazimisha kuondoka, niliona nitumie plan b, nikamvaa na kiss, dah jamaa ni kama alikuwa na uchups wa miaka, hakulivungia, akalipokea Kwa hisia Kali kweli, nikiwa nimeshajusahau kama ni mke wa mtu nikakumbuka miaka ya nyuma, alichonifanyia, nikapatwa na hofu, hisia zote zikapotea, nikaanza kujitoa ila mwenzake hakukubali, alinivutia kwake zaidi...

Tukajikuta kitandani ndo kabisa nikakumbuka alivyonipandishia mizuka, afu akaniacha tena Kwa kucheka na maneno ya kashfa, yeye hakuelewa Hilo alishasahau,apo kashaasaula nguo, nikaaamua kukataa, king sitaki, ata hakunielewa, king najua unachotaka kufanya, nakuapia utanifamya nikuchukie milele, sijasahau ulichonifanyia siku Ile, hapo ndo king akatambua Nina hofu juu yake, hakujibu aliamua kutumia vitendo...

Itaendelea...🔥

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.


Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa mpango huenda kweli nikawa na tatizo...

Nilipata hofu sana juu ya uzazi, nilimweleza mama Fatuma na mama, ilipidi mama Fatuma aje kunichukua kama naenda kumsalimia japo ilikuwa ngumu ila tulifanikiwa kutoka, alinipeleka kwenye checkup, nilipimwa najibu yakatoka sina tatizo Niko sawa kabisa, Sasa nikashangaa kama Niko sawa , mbona sijawai kubeba mimba miaka yote mitatu na sijawai tumia Kinga yoyote🤔...

Ilinifikilisha sana, mama alipiga simu kuomba nilale, vicram alileta ngumu, badae akaniluhusu,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-hot-pilot-rubani-wangu-ep-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-hot-pilot-rubani-wangu-ep
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

1.36K
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

247
SHAMIRA Sehemu ya 65&66

SHAMIRA Sehemu ya 65&66

201
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

199
SHAMIRA Sehemu ya 60&61

SHAMIRA Sehemu ya 60&61

192
SHAMIRA 62 63 na 64

SHAMIRA 62 63 na 64

188
AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*

173
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

143
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.

91
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.

50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.84K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.73K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.72K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi,...

JOGOO WA KIENYEJI 1----5 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 1 Mwandishi:lissa mwalla Naitwa Talya jones,ni mtoto wa pili katika familia ya watoto wawili,wakwanza kakangu tommy na mie ndio last born sasa,baba yetu alikua mwanajeshi na mama yetu ni nesi.baba...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11. Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Mama alipokea nikamuita atoke nje,vicram alibaki tu akinishangaa, mama alitoka akatukalibisha ndani, niliomba niongee nae pembeni, tulitoka nililia Kwa mama mpaka na mama nae akaanza kulia, badae nikaamua...

SHAMIRA Sehemu ya 65&66 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
@majario LIVE

Baada y kumuacha mchumba sasa nikawa hoi yani , sio powa basi zena akanikumbatia akanambia nakupenda san mwanaume wangu, basi apo sasa , nikamwambia zena ,naomba nikuamishe apa mke wangu,...

SHAMIRA 62 63 na 64 Post Mpya
SHAMIRA 62 63 na 64
@majario LIVE

Sehemu ya 62 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana nilikuwa naumia sna moyoni ila nilisema uwenda akasaidiwa uko na akapona kuliko kukaa nae mie. lazima mwanangu ata kufa mana sina...

SHAMIRA Sehemu ya 60&61 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi niliwaza mno ila nikaona acha nipumzishe kichwa mungu atasaidia mbele . Na kweli kesho mimi nilimpeleka mtoto hospitali akapata hudumu.ma dr ...

SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest