*BILLIONS OF LOVE๐๐* "1__5"
SEHEMU YA "1"๐๐ฝ
BY BABIE LOVE
"Alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea๐ต"
Nyie njooni niwaambie kitu โฆโฆโฆ
mnazijua chapati?
Sambusa je ? ๐๐ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni ni hivi
mwanenu kupitia hizo bites nilijikuta penzini na billionea ambae alikuwa na billions of love up on me ๐alikuja kama miuza chai pale kazini kwangu kumbe kuna mengi aliyaficha nisiyajue .,,,, alikuwa anatafuta standards zake anazozitaka kwangu ๐
Nilikuwa nauza hizo bites tu bila chai, ila yeye akaona wacha aje na chupa zake ili awekaribu na mimi auteke moyo wangu, na amin nawaambia alifanikiwa Hansโฆโฆโฆ..
Unaweza hisi ni movie ila amin nawaambia ni ukwelli mtupuโฆโฆ.
Aaah my frendo Hans am really mad over you man , najua unajua hilo ๐
Ngoja niwaulize kitu Ndugu zangu wapendwa
Nani mwingine amewahi kufanyiwa Muujiza na Mungu kwenye masuala ya mapenzi ? Yaan ulipigika huko kwa wayahudi ukabakia hoi nyangโanyangโa hutamaniki alafu huyu Bwana Mungu akaja kukushukia ukajiona wewe ndo Last Born wake ?๐
Kama upo sema arereeeeeeeeeeeee ๐โฆ..
basi huyo hapo juu ndo mimi hapa
Baada ya kufanya kazi kwenye shule nyiingi sana za watu binafsi na kukonda nikabakia kama mbu ๐ฆ๐ญ,, aah bwana weee nikaona isiwe taabu, chakufia ninini mie ?
Yaan why nife kisa shule za wenye nazo , ?natumika kuliko malipo yangu , nisome kwa shida nije kutumika kwa shida we kuweza๐๐๐โฆ. Nikasema nitafanya kitu changu mwenyewe cha kuniingizia pesa yangu mimi kama mimi๐
nilikuwa nimejikusanya na kamtaji kangu ka laki na 70 nikatafuta kijisehemu huko barabarani nikaanza kuuza bites , si mnazijua bites eeee jmn yaan ikawa hivi Usiku napika maandazi , sambusa , chapati na halfcake asubuhi nawahisha hapo barabarani kwenye kabati yangu ambayo niliikodi kwa wauza. chips flani hivi kila siku nailipia elfu 3000 โฆโฆ basi nakaa zangu kwenye kastuli naanza kuuza , mtoto wa nyoka ni nyoka , najua kupika aisee mama yangu alikuwaga mamantilie kwahyo kwangu masuala ya kupika ni kama kumsukuma mlevi tu anaanguka pwaaaaaaaa โฆโฆ..
nilikuja kunotice kitu flani hivi โฆ.kuna gari moja hivi mara nyingi sana asbh lilikuwa linasimama pale kazin kwangu upande wa pili wa barabara ๐ mmmh
Lile gari linakaa kama dakika mbili then anashuka kijana mmoja mweusi kavalia suti kali nyeusi yuko very smart anakuja ananunua sambusa na chapati zooooote nilizopika ๐๐
Imagine โฆโฆ
Oya furaha yake mnaijua ??? Hahahha nilikuwa narukaruka vibaya mnoooooooo a laf yule kaka akawa ananambia keep chenchii Oyaaa ๐๐๐๐ vibe la kuambiwa keep chench mnalijua kweli nyie ????
Akitoa minoti hatakama imebakia elfu nane ananiambia keep chench ,Oya sasa hapo mtaji umeongezeka haujaongezeka ??๐๐๐
Oya Niikawa nasema Mungu ameniona maskin mkubwa mimi ,mimi tena nikaongeza kiwango cha unga nikawa nazidisha chapati na sambusa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃzinakuwa nyingiii vibaya mnoooo maana najua yule mkaka akija atanunua zoteeeee anazozikuta hahhaha
Haipiti siku ile gari inakuja inasimama kama kawaida mteja wangu anakuja kununua mzigo wake huyooo anaondokaโฆโฆ
BILLIONS OF LOVE๐๐
SEHEMU YA "2"๐๐ฝ
"BY BABIE LOVE"
Zilipita wiki mbili nikawa nimeshazoea kumuuzia yule mkaka bites zangu
Basi siku hiyo alivonunua nikasema leo napika sambusa kilo kumi na chapati kilo kumi alafu bites nyingine napika kilo tatutatu Oyaaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nikapika nikajaza mandooo na mandoo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ vitu vikajaaaa niko hoi bin taaban nimechoka nimechakaa vibaya mnooooooo nikalala kama mbuzi uchovu mwili mzima
Asbh na mapema nikawahisha mzigo site pale nikakaa juani kumsubiri mteja wa faida aje aniambie keep chench
Guess what ๐คฃ๐คฃ๐ alikuja ??? Alikuja nawauliza ? ๐๐คฃ๐ญ
Mpaka saa tano hakuna gari wala mkomoteni uliopack pale moyo unaenda mbio nataka kukata roho
Mpaka saa saba hakuna mtu โฆ..nikaanza kulia ๐ญmnakijua kilio cha uchungu nyie ? Michapati yote hii misambusa tamuuzia nani mimi ๐ญ๐ญ๐ญ
Nikapagawa nikaanza kuita watu aisee nao hawaji kununua
Nikaona rundo la watoto wa shule haoo wanarudi makwao
โNyie watoto njooni โฆโฆ
Haoo wakaja
Mna shingapi hapo kwenye mifuko yenu
Mia mbili mbili nauli ya kwenda nyumbani
Nunueni sambusa nimeshusha bei kutoka 500 nitawauzia 200
โ Sawaaaaaa vikafurahi hivyo ๐คฃ๐คฃ
Walikuwa kumi na Moja wakatoa hela zao aisee nikawapa sambusa bora nipate 200 kuliko zikachacha nikamwaga ๐ญ
Nikaona Bado mzigo ni mwingi sanaaaa nikachukua ndoo nikajaza mzigo humo sambusa na chapati nikafunga ofisi huyoo kwabodaboda kuwatembezea aisee nilijuta siku ile ๐ฅน๐ฅน๐ฅน
Nilijutaaa nilitembea kama mamba , boda boda nao wanataka mpaka wakushike makalio ndo wanunue ๐ญ๐ญ
Tafanyaje sasa nikakubali kuyaachia makalio yangu ๐คฃ๐คฃ yakabinywa vibaya mno ๐
โEeh we dada una kalio laini , alisema boda mmoja
โSanaa yan ni laini vibaya mno ukiyaona live ndo utazimia kabisa nilisema ile kauli ikawavutia wengi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Oya jerojero za sambusa zilimwagika pale walinunia vibaya mnoooo
Huku wengi wao wakiomba namba yangu , vipi niwanyime au ๐๐๐
Niwanyime ili misambusa inidodee mimi taipeleka wapi
Yaan nilikubali kila kitu chamsingi wanunue
Walikula nusu ndoo ya sambusa ๐๐
Wengi mno niliwapa namba yangu ya simu lkn nilijua tu nikifika home kila namba itakayonipigia inakula block.
BILLIONS OF LOVE๐๐
SEHEMU YA "3"๐๐ฝ
"BY BABIE LOVE"
Nikaondoka bwana ,Huku na kule pita kwenye foleni zunguka mtaa kwa mtaa mpaka vilabuni kwa walevi nilienda ili tu mzigo uishe lakin wapiiiiiii
Aisee nilichoka vibaya mno nikakumbuka kule home mtaani kuna watoto weng sana nikaamua kurudi nyumbani tu zikichacha sawa tu nitakubali hasara sina namna kabisaa ๐ข
Huyoo mdogo mdogo hadi nyumbani nikafika nikatua mizigo yangu nikaenda kuoga nikaingia kulalaaaaaaaaaa
Wadogo zangu sasa wakiskia mzigo umerudiii wewwe wanaweka sherehe ni kuzitafuna tu hizo smbusa mpaka ziishe ndo watatulia
Niliingia room Nilijigunika kwa hasira nililiaaaaaaaaa balaa maana nusu ya kamtaji kote nimepata hasara ๐ญ๐ญ๐ญ
Watoto wote mtaa mzima wakajaa pale home kula sambusa za bure aisee maana zina viungo ndani zisingetoboa kufika kesho zingechacha
Ila chapati niliiweka kweye mfuko laini nikazitia kwenye ndoo
Jamani nilipitiwa na usingizi mzito vibaya mnoooo , nililala ile saa kumi jioni nilikuja kushtuka ni asbh kumekucha kabisaaaaaa
Aloo nikakurupuka pwaaaa mbiooo nikaenda kuchukuw chapati nilikozificha nikabeba mizgo yangu huyooo site
Nikafika nikawasha mkaa na kuweka flampan pale pale nikaanza kupasha chapati zangu aisee na leo naziuza 250 badala ya 500 yaan full hasara acha kabisa .
Nikachukua kikaratasi na markpen nikaandika kbisa kabango kuwa chapati ni 250
Wacha watu wamiminike kama mvuaaaa
Zilikuwa na chapati za elfu 13 hivi
Walinunua balaa ndani ya dakika 10 nikapata elfu 6
Nikiwa naendelea kupasha pale macho chini kwenye flampeni sasa saangapi ile gari isije tena pale kupack๐๐๐
Nilipata hasira vibaya mnoooo baada ya kuipna , nikikumbuka hasara niliyoipata kwenye sambusa na chapati ๐ญ๐ญ๐ญ
Nilikuwa nimenuna vibaya sana siyo kama sikuzote ambazo huwa namchangamkia sana yule mkaka
โHabari madam ?
โSalama ๐
โNipatie mzigo kama kawaida
โLeo hamna
โHukuandaa leo? Akauliza
โNiliandaa jana michapati misambusa kama yote hukuja kuchukua ulitegemea mimi nalisha wakimbizi ๐ง. Aisee nilichukia vibaya mnoo๐ฅน๐ฅน๐ฅน
โSorry for that nilitoka kikazi kidogo but am back and i promise you sitakuangusha tena.
โYaan ulisababisha mpaka boda boda wakanishika makalio yangu kisa wewe โฆ.
Nilikuwa nimekasirika vibaya mnoooo, โน๏ธ niliendelea kupasha zangu machapati yangu nisimtizame usoni niko bize na wateja
โSogea huko unaziba wateja sasa , nilimwambia huku nikimfungia dogo mmoja hivi chapati zake
Alisogea na kurudi kwenye gari yake ๐ฅฒ
Nilidhan ataondoka , ila alikaa Kama dakika mbili hivi akarudi tena .
โTell me how much u lost yesterday?
โLaki moja na ishirini , nikaropoka uso wa mbuzi
โOkay I will fix it , akatoa walet yake , akahesabu noti nyekundu kama zoteeeeeee ๐๐, aloo nilitamanni kumpa mate aendelee kuzihesabu hahahahhjaja
Oya zilikuwa 20 zile noti nyekundu ๐๐akanipatia
Sorry for everything alisema kisha huyooo anaondoka
โJamani kaka skiliza , nikashindwa kujizuia
Akasimama akinitizama , uso wake ulioneshw kabis hakupendezwa na nilichomfanyia mbele za
โasante mnoooo ubarikiwe sana jmn
Nilisema nikimkimbilia mpaka alipo ๐ญ the man is so kind.
โDont worry see u alisema huyoooo akaingia kwenye gari yake vyenye vioo tinted akaondoka
BILLIONS OF LOVE๐๐
SEHEMU YA "4_5"๐๐ฝ
"BY BABIE LOVE"
Nilipata nguvu mpyaaaaaaa , nguvu kubwaaaaaaaa nimeshapata mihela mingi zaidi ya nilizopoteza , alooo nikamaliza zile chapati chap zikanunuliwa kwa bei ya hasara nikasema kwa hii shughuli ya leo na jana aisee Kesho sipiki napumzika .
Nikafunga virago vyangu nikaenda zangu nyumbani kulalaโฆ.
Nafika home tu nakutana na vurugu kama zoteeee
Wamama wa Vikoba wamemfata mama kumdai hela zao alizokopa na hajawalipa ๐๐
Wamemzingira wanataka kuingia ndani kubeba tv yetu ya chogo na makochi mabovu ๐ฉ๐ฉ
โPisha mama Naah Pishaaa tupite tupukutishe kasebule hako
โHaingii mtu hapa , mwenye nguvu asogee nimvunje taya arudi kwake bila fizi mdomoni ๐คฃ๐คฃ alisema mama
Yaani nilivunja mbavu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mama ni mbabe vibaya mno๐คฃ๐คฃ
Yan mama angu ni kibonge alafu ana manguvu na ni jeuri vibaya mnoooooo ๐๐
Hata kipindi tunaishi na baba , oya baba alikuwa anakula makofi vibaya mnoooo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Sijui akilala wapi huko kwa madem zake arudi asubuhi , mara sijui akifanya tukio gani aloo alikuwa anakula ngumi na mateke kutoka kwa mama mpaka anavimbaaaa ๐๐๐ siku baba aakisumbua mama anamkalia tu
Kababa kanalia huko chumbani kuomba msaada ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃkababa kakaona isiwe tabu chakufia nn kakahamaga nyumba kakatoweka sijui kaliendaga waapi kuponya nafsi yake ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃni mwaka wa kumi na nne huu hatujakaonaga ๐คฃ๐คฃ๐คฃkalikimbia kichapo hahhhahahhhaha
Bas vile vimana vinapiga makeleke tu kwa mbali havisogei mlangoni maana mama amekaa kabisa katikati ya mlango anamsubiri mwenye nguvu asogee pale ammwage utumbo๐๐๐๐
โKwan mama wanakudai shingapi ? Nikaon isiwe Tabu
โElfu 60 ndo mikelele yote hii mwanangu
Kha nyie washamba kweli haya shikeni hela yenu sepeni hapa nilisema kwa hasira
Vile vimama sasa eeee danga umlee mamaako maana anamadeni mpaka kwapani bora una akili haugawi k yako bure ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mama kuskia vile alienda jikoni akaokota panga la kukatia kuni hilo panga limechongoka kama mshale weeee alivikikbiza vile vimam vilibanana getini kama nyau vikataka kuondoka na geti ๐คฃ๐คฃ
Mamaaaa Tunakufaaaaa mamaaa tusaidieeeeee vililia vile vimama mbiooooo ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธvilitawanyika vibaya mnooo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni