REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi
mpambaji
hii ni harusi ya shemeji sasa mbona
unanipamba kama biharusı?": aliuliza fahima
usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama bi harusi japo kidogo tu ili
mfanane kidogo au nimekosea kwani wewe. sindio fahima? aliuliza mpambaji huyo
ndiyo mimi alijibu fahima
"basi usijari nikimaliza kukupamba nitakupeleka chumba cha pili hapo kisha ndo tutaenda ukumbini na mimi nikiwemo alisema.
mpambaji
"aha sawa dada alijibu fahima kisha akaanza
kupamba kwakwelialipendeza sana, alimaliza kupambwa kisha akapelekwa chumba chapili ambacho kilipambwa kila aina ya mauwa kilipendeza sana
alikaa humo dakika tano kisha akaja mdada
mwingine nae akiwa amependeza sana alikuja
na kujitambulisha kama msaidizi wa biharusi
pla, mara wakaingia wadada wengine wanne
wakiwa wamevaa sare kama wa huyu dada wa
mwanzo nao wakajitambulisha ni wasaidizi
basi ikasikika sauti kuwa watoke nje taratibu
basi wale wasaidizi wakamsaidia kulishika shela la fahima kwa nyuma wakatoka hadi nje ile kitoka tu aiseeeeeeee alikutana na watu
wamejaaa ukumbi mzima wakaanza kupiga
vigeregere vya kutoshaaaaaaa fahima alibaki
kushangaa tu hawa wanapiga vigelegele vyanini sasa wakati biharusi hajatoka
mara akamuona seven akiwa amevaa kanzu safi
kabisaaa yaaani amependeza mnoooooo kama
babu harusi fahima alishangaaa kidogo
amsahau seven alimuangalia mara nne nne, seven akafika mpaka alipo fahima na
kumuomba mpe mkono waende basi fahima akampa mkono huku akiona albu sana,
wasimaminzi wa fahima wakawa nyuma na wasimaminzi wa seven nyuma walifika mpaka
kwenye viti maalum wakakaa watu wakazidi
kupiga vigere gere, fahima akapata wasiwasi
mbona kama yeye ndk biharusi vile, ikabidi atake
kumuuliza seven lakini dj mc akamuomba
kwanza babu harusi asimame afungue harusi
kabla yeye hajaanza kuongea, seven akasimam
na kushika maiki
habari zenu nduguu mabibi na mabwana asanteni sana kwa kuja kwenye sherehe hil nawashuru sana nawaomba muwe pamoja
namimi mwanzo hadi mwisho wa harusi hii
asnteni alisema seven kisha akanyamanza
watu walianza kupigapiga kelele za kufurahia
kisha seven akaendelea
leo
siku ya furaha sana tumshukuru
mwenyez Mungu kwa kutufikisha salama siku hil
ya leo, mchumba wangu fahima leo tunaenda
kuwa mke na mume taraj baada ya kukaa mda
mrefu sana bila kutimiza hilo, leo nakuoa kama
mke wangu rasmi tunafunga pingu za maisha
mbele ya hawa mashahizdi zetu nakuomba tuvumiliane kwa kila hali nakupenda sana mke wangu fahima fahad seven alimaliza kusema na kumpa maiki me huku watu wakipiga
shangwe kwa fujo na vigeregele kwa wingi
fahima alianza kutokwa na machozi mfululizo
sana hakuamini kama anaolewa hakuamini
kama anapendwa kiasi hicho hakuamini kama
anaenda kuitwa mke ki halali alifurahi sana na furaha yake yote iliishia kulia tu, seven akasogea
na kumfuta machozi kisha akamkumbatia. jamani picha zilipigwa sana watu walifurahi
sana
baada ya dakika chache akaja mzee fahad akiwa
amependeza sana, seven alibadili dini na kuwa muislam kwakuwa mkewe ni fahima basi nayeye akachagua jina linaloendana na mkewe.
akaamua aitwe fahim, ndoa ikafungwa ukumbini hapo hakika ilikuwa furaha sana sana sana 麻麻 watu walifurahi mno
zawadi zikaanza kuletwa kwa bibi harusi па bwana harusi aiseee walipewa vitu vingi sana vingi mnoooo00
upande wa cathe hakuwa anajuwa lolote kuhusu
seven, wao walifika kwa mzee cryton, lengo cathe akae hapo japo kwa muda tu, mzee crytona akakubali japo kishingo upande, na hakuwa na maelewano mazuri na mkewe
kwasababu aliulia sana kusalitiwa na eva,
upande wa maharusi huku mambo yalinoga
kwelikweli iliwashwa mziki wa marioo upendwao
na watu wengi sana unaoitwa mvua, maharusi
wakaombwa wasimame ili kudance wimbo huo
nawao wakasimama na kusogea uwanjani
wakacheza vizuri sana kwakweli walipendezana
mno
ukafika muda wa babu harusi kutoa zawadi zake ambazo aliziandaa kwa watu wake spesho
akasimama
asante sana kwanza napenda kuanza na
mama yangu kipenzi Mungu akubariki sana leo nimekuawadia gari mbili pekeyako aina za range
yote nikwasababu ulikesha kuniombea dual nifanikiwe mama naleo nimefanikiwa mama yangu pita hapa mama alisema seven aiseeee
mama seven hakujua kabisa kama ameandaliwa
zawadi hizo alianza kudondosha machozi ya
furaha huku akisogea mbele na kumkumbatia mwanae hakika lilikuwa furaha kubwa sana
mtu wa pili ni baba mkwe wangu leo naku zawadia gan safi kabisa tax pamoja na duka
lako la vifaa vya kuuzia magari na pikipiki yanı
hilo duka nilako kabisa baba yangu kwasababu
wewe ndiye amenizalia furaha ya moyo wangu
yani amani ya moyo wangu yani umenizalia kiumbe adimu sana hapa duniani unathamani
kubwa sana mzee wangu asante sana naomba
uzipokee zawadi zangu baba na unipe baraka zako baba na nyumba tayari nishakukodia ukitaka nikutafutie na mke kabisa sawa tu
baba watu waliangua
kichekoooooo
mzeee fahad hakuamini kama yeye anaenda
kuwa boss wa duka na gari na nyumba jamani
alimfata seven na kutaka kumpigia magoti lakini seven alimuwahi na kupiga yeye magoti akitaka apewe baraka na razi za mkwewake huyo, naye
baba fahima alimuwekea mkono kichwana na
kusema maneno kadhaa kisha akatoa
akamwambia asante sana mwnangu Mungu
akubariki nakuhakikishia Mungu atakulipa hivi
ulivotupa zaidi yake ndani ya miezi miwili tu
alseeeee ilikuwa ni furaha sana jamani watu walijua kufurahi siku hiyo
seven akasimama na kumsogeza vizuri fahima
ubavuni kwake kisha akambusu kwanza piga kiss zito la mdomo Jamani kupendwa raha
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni