*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu.
"Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?"
Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini NYUMBANI kwangu.
"Shikamoo madam groly
Nilimsalimia baada ya kuona Kuwa Amefika na ananitumbulia macho tu
Madam groly akaniangalia kwa dharau sana uku akinipandisha akazungumza. na kunishusha kisha
"Kwahiyo wewe mnuka mikojo na jasho la utoko Ndio ulikuwa Unataka Kuwa mkwe yangu ?"
Wolllliiiih huyu mama naona ananitafutia kesi tu, na katika siku amejichanganya Basi ni hii bora tu angebaki NYUMBANI kwake kuliko kuja kuniletea dharau zake kitaani kwangu.
"Eeeeh ni juju la aina gani ulitumia kupumbaza akili ya Mtoto wangu?"
Aliniuliza madam groly na Mimi kwa jazba nikamtuliza.
"Ey! Madam excuse me, usisahau Uko NYUMBANI kwangu Kwahiyo hakikisha. unaongea na Mimi vizuri Tena kwa heshima na
adabu
"Ahahahaha eti Nyumba, hil Nyumba au takataka? Wakisema wenye Nyumba watoke na wewe Unatoka ? Hiki kibanda si kinawaangukia
muda wowote ule
Wewe tell me why pili ameamua kuingilla ugomvi, nyleeeh ata Sijui pili alitokea kona gani lakini gafia tu akafika kwenye eneo la tukio na
kudakia.
"Madam mawigi, njoo taratibu shogile Sawa, yaaani njoo Kama Mtoto Mdogo aliyetoka
kujinyea na anaogopa kuyaangusha, unaongea nini kuhusu Nyumba ya baba yangu ? Mama
Angu mwenzio laana nilipata utotoni Uko Kwahiyo kwenye ukubwa wangu huu, siogopi
Dudu Wala Mende, mbwa wa blue wewe"
Aaah huyu Ndio pili wangu Mimi, ooooh nilisahau kuwaambia Bwana, pili hapa sio
mpangaji Bali ni Mtoto wa baba Mwenye Nyumba.
Madam akamuangalia pili Kwa dharau na kumuuliza.
"And, who are you?"
"Hizo who, you so, Sijui you what, Sijui you nini Uko Uko NYUMBANI Kwako Sawa, mama ujanipeleka shule ukanilipia Ada"
Kisha pili akanigeukia Mimi na kuniuliza.
"Huyu nae Nani kwani?"
Nikamuangalia mama Enzo na kujibu.
"Mama ake Enzo"
Pili akaniangalia na kucheka kisha akajibu.
"Eeeh kumbe mkwe, shoga Angu, ongea na mama mkwe yako vizuri lla asiingilie mambo ya
NYUMBANI kwangu nitamfundisha adabu Mimi"
Pili alimaliza zake kuzungumza na kutaka
lakini
gafla marna Enzo
kuondoka
akazungumza.
"Mnanuka Shida tu hapo mlipo, ishani, Leo
Nimekuja kukupa onyo
Tu Kaa mbali na Kijana wangu, kaa mbali na
Enzo wangu
Muda huo huo pili akarudi nyuma na kumuuliza
"Kwani mama unamtaka Mtoto wako au 7 Maana oooh Mtoto wangu Mtoto wangu kwani
ni wewe tu ndio umeingia reba au?"
"Msichana Kaa Kimya naongea na peni kizibo
Kaa pembeni
Pili akachukia San na kutaka kumjibu mama.
Enzo, lakini nikamuwal na kumziba Mdoma wake kisha kwa SAUTI ya hasira nikazungumza.
"Pili huyu niachie Mimi, namuweza kikeni mpaka
kiumeni
Hapo kwanza mama Enzo akabaki akiwa ametoa macho Maana hakuamini kama ni Mimi
Ndio nazungumza hivyo.
"ISHANI ni Mimi Ndio unaongelesha hivyo? Usisahau Kuwa Mimi ni mkubwa kwako"
Nikamuangalia
kwa
kumpandisha na
kumshusha kisha nikamuuliza.
"Ulivyokuja hapa ulikuja Kama mtu mzima au mcheza chura ?"
Kabla ajajibu swali langu nikaongeza.
"Halafu kuhusu Enzo, Kwanini mnaangaika sana.
na Mimi nawanyima usingizi Eeeh, wewe na
mkwe yako pully naona amlali
Kwa amani kabisa, naona MCHANA Ishani, usiku
ISHANI si Ndio? Groly Sijui madam
Sijui takataka gani vipi, unikome Tena Koma,
achana na Mimi, achana na maisha yangu,
achana na kila kitu kuhusu Mimi Sawa? Sijawal
Kuwaza kukuvunjia heshima lakini Leo wachal
nikuvunjie, Leo wacha nikupe ullyokuwa unayataka, kingine, Mtoto wako Ndio kanipenda
hapa atoki abanduki
"Mwanangu akupende wewe kwa kipi sasa
"Unataka nikuoneshe alichonipendes au 7 Hapa Mtoto wako anapata vya bara na pwani, halafu moyo auingiliwi Sawa, Hapa Enzo atakuja na
atoondoka kalili
Maneno yangu
Siku hiyo nilikuwa nilikuwa makali sana Kama nimepaliwa na pili pili vile.
Madam groly akabaki akishangaa tu Kama bi msumi aliyenasa uchawini.
Basi Mimi na pili sasa tukaanza kumzomea
mama watu, kwa aibu ya hali ya juu aka
panda kwenye gari yake na kuondoka.
"Muangaliege na familia za kuingia jamani, Ona Saa huyu mama mkwe gani jamani"
Alizungumza pili kisha akaondoka zake.
Kwa upande wangu nikaingia Ndani nikiwa
hasira sana, Yaani madam groly amekuja kuniharibia tu mood yangu.
Hatimaye mwezi mzima ukapita na nikaamua
kukubaliana na ukweli Kuwa siwezi Kuwa na mahusiano na Enzo na Enzo sio wangu Tena.
Akili yangu ilipokaa Sawa nikaingia zangu MTAANI na kutafuta kazi ambayo Itanisaidia
kuendesha maisha yangu, Kiukweli upatikanaji
wa kazi ulikuwa ni mgumu sana Tena sana Yaani mtu unazunguka mtaa kwa mtaa, chocho kwa chocho lakini upati kitu
Nilitumia siku Tatu mfululizo kutafuta kazi lakini mambo yalikuwa magumu sana kwa upande wangu.
Nikiwa nimeshachoka na zoezi la kutafuta kazi, gafla tu nikapata wazo la kwenda kwa mama
Amina, Sijui Kama mnamkumbuka jamani, mama amina Yule mama Ntille anayeuza
chakula manzese alikuwa akitusaidia kipindi
kile nilichokuwa Mdada wa mtaani.
Kiukweli sikutaka kupoteza muda kabisa, asubuhi na mapema siku ya jumatano, nikaamka na safari ya kwenda kwa mama amina ikaanza.
Nilifika na kukuta mama amina akiendelea na
shughuli zake, kwanza alifurahi sana kuniona na akuamini baada ya kuniona nikiwa па
muonekano Mpya.
"Sijui umekuja kufanya nini lakini nisaidie kupeleka chakula pale ulikokuwa Unapelekaga
Alizungumza mama amina na Kwa upande Angu
sikuwa na pingamizi haraka tu nikaanza kushughulika.
Siku hiyo nilishinda kwenye mgahawa wa mama amina nikimsaidia kazi zake za hapa na pale.
Majila ya jioni, nilipata wasaha wa kuzungumza
na mama amina na nashukuru Mungu alinielewa kabisa na akanipatia kazi kwenye mgahawa. wake ambao ulikuwa ni maarufu sana hapo
manzese
ISHANI wenu nikaanza maisha mapya ya
kujitafutia na sitaki kujisifia lakini najituma
mwenzenu, Yaani nafanya kazi Kama mashine
mpaka mama amina Mwenyewe alikuwa
ananionea huruma
ISHAN Leo amina wangu anakuja kunitembelea mwaya"
Alizungumza mama amina.
Nikamuangalia na kutabasamu kisha nikajibu.
"Eeeeh kwa Mara ya kwanza nakutana na amina Leo, Maana namsikiaga tu
"Yuko njiani mwaya Sijui amepata likizo Uko
chuoni Ndio ameamua kuja kunitembelea
"Kwahiyo ma Amina, Unataka kuniambia Kuwa Amina Uko Dodoma anasoma na kufanya kazi
"Ndio Mwanangu amebahatika
Story kati yangu na mama amina ziliendelea na
kazi pia ziliendelea.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni