SHAMIRA Sehemu ya 25&26
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi apo ndo maisha ya mimi na hamadi yakaanza. mwanzo nilikua simpendi sana ila siku zilivyooenda nikaanza kumpenda hamadi .mana nilikua naona anvyonipenda zile care zake . Ananijali mno .nikitaka pesa any time ananipa tena hana mda wa kukuuliza ya nini. Kama ninying atanambia subiri nakupa siku flani. Na kweli baada ya uo mda alonambia nisubir basi atanipa pesa. Mimi tena nikipewa pesa namtumia shoga yangu yeye ndo anazieka na tunapanga mipango ya maisha .mana nilikuwa nataka kujenga kabisa kupitia pesa ya hamadi chezea wewe.
Basi baada ya miezi miwili nilikuwa na milion 7 kwa shoga yangu zote namuomba hamadi. Leo laki 1 kesho laki 3 mala laki 4. Na ananipa wala haniulizi kabisa pesa unapeleka wapi . Mpka raha mwanaume hana mambo mengi kabisa. Apo nimetulia kidogo mana mwanume alinibadilishia laini kwaiyo sikuwa na mambo mengi na alikuwa ananibana sana hataki nizulule kabisa.na kama nataka kwenda sehemu basi yeye ndo atanipeleka tena weeek end . Lakini akiwa kazini mimi ndani tu .acheni
Basi siku iyo ilikuwa asubuh alipotoka kuoga tu.mimi nikamuomba ruksa niende kumuona asha. Akasema sawa nakuruhusu ila huendi kulala. Now nakukodia tax ikupeleke ongea na rafuki yako mmalize story jioni nakufata unaelewa .na naomba usizingue uko. Yani ole wako ukakutane na wanaume zako wa zamani uko. Mh uyu nae wivu uyu. Nikasema wala baby kuwa na amani . Akanambia powa ngoja nikuitie tax. Basi mwanaume akaniitia tax mie nikajiandaa nikavaa kitajirπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.na nilivyopendeza sasa. Miezi miwli tu ila nilinenepa jamani nilipendeza na kuwaka mno. Mtoto ngozi inateleza si nahudumiwa vizur .basi mwanaume akaniitia tax akanipa na laki 1 ya matumizi .akanmbia nakufata jioni sasa ole wako. Basi na yeye akajiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini misha tukatoka yeye akasepa na gari yake kuelekea kazini na mimi nikaingia katika tax kuelekea kwa shoga yamgu aisha saku.
Basi mpka asubuh saa 4 nipo saku kwa shost yangu. Alivyoniona akanikumbatia akasema mama mbona umewaka hivi mh. Mpka nakuomea wivu we dada. Usinambie hamadi ndo anajua kuhudumia hivi .sasa boss kuopata msimu wa pili wa hii story mimi ndo ninayo uyu mwizi alokuuzia hana.kuoata nicheki wassap kwa namba sifurisaba nanesita sabatisa sitatatu sitatatu .nikasema sasa je mwanamke nimekamilika mie mwanzo mpka mwisho kwa nini mwanaume aaimwage pesa basi aisha akacheka sana .nikasema sawa .sasa shoga nimekuja kwa manati mwnaume hataki ata nitoke .anataka nikae ndani tu mpka ananikwaza. Aisha akasema.we vumilia uko nikasema powa. Sndo mana nimedumu miezi miwili jamani si nayavumilia .akacheka tu.nikasema sasa shoga twende tukatafute kiwanja tujenge kinyumba chetu. Wanaume wanabadilika ata akiniacha tuwe na pakuanzia au unasemaje shoga yangu.akasema kweli ilo muhimu. Basi hatukufanya ajizi tukaenda mpka mbande ndani ndani uko kuna sehemu inaitwa kitonga.ndo tukanunua kiwanja uko kwa milion 4. Aseee kilikuwa kiwanja kikubwa mno na kimekaa sehemu nzuri sana. Na miliona 3 nikamwambia shoga afungue kijibiashar chochote ambacho ataona kitamsaidia ili kusogeza maisha mana kudanga nayo inachosha jamani mh.kila mboo ya mwanaume uione wewe inakwaza sanaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni