Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
25 Feb 2026
views
VYOTE NDANI GONGA94
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
pichani aliyesoma PCM alipata division 1.3 akiwa na A za juu katika masomo yote kuliko wanafunzi wengine wote wa michepuo mingine kitaifa. Alihitimu secondary ya Tosamaganga
Kidato cha nne pia alihitimu Tosamaganga 2003, inaelezwa alipata division 1.14 akiwa na alama A katika Physics na Chemistry pamoja na B katika Mathematics na Biology, hivyo matokeo yake Kidato cha nne japo alifanya vizuri lakini wengi hawakumtarajia sana kama angekuja kushika nafasi ya Kwanza kitaifa form 6 kwa kupata alama za juu zaidi
Baada ya form six alijiunga na University Of Dar es salaam(UDSM) alichukua BSc In Telecommunication Engineering(4yrs) lakini ikiwa imebaki miezi michache kabla hajahitimu inaelezwa ali-disco katika hali ambayo imewaacha wengi na maswali vichwani
Hata hivyo, mitandaoni wengi waliosoma michepuo ya PCM na PCB wanamsifu sana Elias Kihombo kwamba alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kufundisha hasa Physics hata maswali magumu yaliyo watatiza wengi bila yeye kushika kitabu. Ali-solve maswali Kwa njia wanayojua wengi kisha wanasema alikuwa akitumia njia nyingine kama tano wasizozijua au za kwake halafu jibu linakuja lilelile
Elias Kihombo alizunguka katika shule nyingi kongwe na maarufu za secondary zenye wanafunzi wanaotajwa kuwa na vipaji maalum aliwasaidia, alijaza watu wengi sana katika tuitions zake wanafunzi waliambiana akija wasikose kwenda. Imeeleza hata kabla hajahitimu degree yake ya kwanza tayari alitunga vitabu vyake vya Physics ambavyo viliuzika sana
Baada ya ku-disco UDSM, inaelezwa takribani miaka nane baadaye alirudi tena kuanza upya kusoma BSc In Petroleum Engineering ila kabla ya kuhitimu alifar!ki dunia 2020
Kwa siku kadhaa sasa, mitandaoni Elias Kihombo posts kumhusu zinasambaa sana wengi waliopitia mikononi mwake katika somo la Physics wakimtaja kwamba bila shaka yeye ndie Tanzania One maarufu zaidi na genius zaidi kuwahi kutokea Bongo. Inaelezwa shule nyingi za secondary zilitaka kumpa ajira ya kudumu kufundisha ila alikataa ili kufanya ziara zake za kufundisha tuition shule mbalimbali nchini
Nini mtazamo wako, kuna T.O mwingine mkali zaidi kumzidi Elias Kihombo?
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hus...
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
pichani aliyesoma PCM alipata division 1.3 akiwa na A za juu katika masomo yote kuliko wanafunzi wengine wote wa michepuo mingine kitaifa. Alihitimu secondary ya Tosamaganga
Kidato cha nne pia alihitimu Tosamaganga 2003, inaelezwa alipata division 1.14 akiwa na alama A katika Physics na Chemistry pamoja na B katika Mathematics na Biology, hivyo matokeo yake Kidato cha nne japo alifanya vizuri lakini wengi hawakumtarajia sana kama angekuja kushika nafasi ya Kwanza kitaifa form 6 kwa kupata alama za juu zaidi
Baada ya form six alijiunga na University Of Dar es salaam(UDSM) alichukua BSc In Telecommunication Engineering(4yrs) lakini ikiwa imebaki...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/alishika-namba-1-kitaifa-matokeo-ya-mitihani-kidato-cha-sita-mwaka-2006-elias-kihombo
Maoni