Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
25 Feb 2026
95 views
VYOTE NDANI GONGA94
MY CRAZY BOSS 11
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"Asante sana Joy kwa kunikubalia kuwa wangu nakuahidi maisha bora kuliko unavyodhania, nitakupa maisha bora sana 😘😘😘".
Nikamuangalia boss palee anavyojimalizaa ntafanyaje sasa ndo nsharopokaa mie acha tu niyakoge sina budi nshayakanyaga
Mmmh ila mbona kama nampenda hivi?? Mmmh ila sawa.
Nakupenda sana joy😘😘sitokusaliti kamwe hata kama ukubwa wa masikio yako utazidi😁😁,jamani huyu boss🙌🙌.Tukakumbatiana pale kiaibu aibu
Baada ya muda tukaongozana hadi nnje huku nikiwa nimeshikwa mkono na MR😘 sio boss tenaa.Aliniongoza hadi garini akanifungulia mlango kisha akaniamuru nikae.
Haikuchukua muda tulifika hadi getoni kwangu mchikichini.
"Nitakumiss sana Usiku wa leo Joyce,sitamani kabisa kuwa mbali na ww".
"Nitakumiss pia boss,nyie😜😜sijui hata vimaneno vinatokaga wapi ila ndo hivyo".
" Tukiwa wawili naomba uniite Erick sawa enhee??."
" Sawa bo....ooh Erick".niliitikia.
Basi boss akanivuta ,akanikiss kwenye paji la uso 💋💋halafu akaniachia,nyie🥰🥰,raha iliyojee penzi jipya
Ile natoka kwenye gari ,nikasikia "Joy ntakumiss jamani,usiondoke".
🥰🥰🥰🥰Ntakumiss pia jamani Erick my boo
Asiwaambie mtu penzi jipya linautamu wake buana😘👌yaani mautamu utamu kama chocolate
Mie kwa aibu aibu ya nataka sitaki nikatoka nnje nikaelekea hadi mlangoni mwa chumba changu,huku nikiangalia angalia nyuma💋💋boss akanipa ishara ya busu kwenye kioo mie moyo ahhhh🥰🥰🥰looooh looooh hoi twaabani mie,nitake nini tena huba ndo kama hilo sasa ndi ndi ndi
Buana usiku ulikuwa usiku kwangu kila mara namuwaza boss wangu nyie japo hazijatimia ilaa mmmh kama mahaba anayajua hivi😁
Asubuhi niliamka mapema kama kawaida nikajianda ,uyoo hadi nyumbani kwa boss
"Oooh karibu mpenzi ,kufika na kufika ni kama alikuwa akinisubiria akanipa morning kiss😘😘".
"Asante ".
"Haina haja ya kuniandaa nipo tayari twaweza kwenda,boss alizungumza"
Kwa pamoja tuliongozana hadi ofisini,tulioifika wafanyakazi wote walikuwa wakinishangaa hadi nikaanza kuhisi vibaya
" Usishangae sana ni wazi kuwa umeanza kuwaka kwa kuwa upo na mimi🤣🤣".Boss alizungumza
"Asante sana Joy kwa kunikubalia kuwa wangu nakuahidi maisha bora kuliko unavyodhania, nitakupa maisha bora sana 😘😘😘".
Nikamuangalia boss palee anavyojimalizaa ntafanyaje sasa ndo nsharopokaa mie acha tu niyakoge sina budi nshayakanyaga
Mmmh ila mbona kama nampenda hivi?? Mmmh ila sawa.
Nakupenda sana joy😘😘sitokusaliti kamwe hata kama ukubwa wa masikio yako utazidi😁😁,jamani huyu boss🙌🙌.Tukakumbatiana pale kiaibu aibu
Baada ya muda tukaongozana hadi nnje huku nikiwa nimeshikwa mkono na MR😘 sio boss tenaa.Aliniongoza hadi garini akanifungulia mlango kisha akaniamuru nikae.
Haikuchukua muda tulifika hadi getoni kwangu mchikichini.
"Nitakumiss sana Usiku wa leo Joyce,sitamani kabisa kuwa mbali na ww".
"Nitakumiss pia boss,nyie😜😜sijui hata vimaneno vinatokaga wapi ila...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-crazy-boss-11
Maoni