Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
Gonga94 Β· Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa.

"ISHANI umemuona amina wangu?"

Mama amina aliniuliza kwa bashasha ya hali ya Juu

Nikawaangalia kwa muda na kweli walikuwa wamefanana sana kisha nikauliza.

"Kwahiyo huyu Ndio Binti yako Amina ambaye anaishi Dodoma ?"

Yaani niliuliza makusudi nikitaka kupata Uhakika.

wa mambo husika.

"We uoni tulivyofanana jamani, Yaani huyu Ndio kifungua mimba wangu, jamani amina wangu Karibu Mwanangu niikumisi sana Binti yangu

Alizungumza mama amina na kumshika mkono Binti yake kisha wakaenda kukaa kwenye viti, muda huo macho ya Amina ambaye Mimi namjua kwa Jina la pully, yalikuwa yakiniangalia Mimi tu.

Kwanza Nikacheka na nikagonganisha mikono yangu kwa upashukuna ambao nilikuwa nao kwa wakati huo.

"Pole na safari Mwanangu"

Mama amina alimwambia Binti yake.

Mimi sasa Binti yenu nisiyekuwa na uvumilivu rikadakia

"Safari kutoka masaki au ?"

Amina akashtuka sana na kubaki akiniangalia, mama amina akaniuliza.

"Umesemaje?"

"Nimesema Amina ni Mrembo sana Kama Mtoto wa masaki

Muda huo huo Simu ya mama Amina ikaita, akapokea na akazungumza kidogo kisha akasimama na kuniambia

"ISHANI, endelea kumpa kampani mrembo wangu hapa kuna Mzigo naenda kuuchukia hapo magomeni Mara moja

"Sawa mama

Nilijibu kwa Furaha sana Maana nilikuwa nikitamani sana muda kukaa na huyu pully

wa mchongo,

Kwa muda huo wa jioni, hakukuwa na wateja wengi hivyo ata muda wa kupiga umbea unapatikana

Nikanawa mikono yangu kisha nikamsogelea Pully na kuzungumza.

"Kwahiyo Jina lako ni lipi kati ya Amina na pully

Pully akaniangalia tu kisha akageukia upande wa pili akiwa hana majibu sahihi ya kunipatia.

Kwakuwa nilipanga kumnyoosha nikaendelea. kumtibua

"Kwahiyo Enzo anajua Kama huyu Ndio mama yako mzazi na Jina lako ni Amina na sio pully?"

Pully akanigeukia kwa hasira sana na kutaka

kuzungumza lakini nikamuwal.

"Aaaah Twende polepole Bwana, nimpigie aje

hapa au? Lazima ajue Majina yote mawili ya Mke wake au sio? Sasa, nikuulize, Yule mama

Tajiri ni Nani yako ikiwa huyu mama anayechomeka na moto kila siku Ndio mama

yako mzazi

Pully akaniangalia kwa SAUTI ya hasira

akanifokea

"ISHANI, kimya na kwenye maisha yangu hakuna

kitu kinakuhusu

Nikatabasamu na kumuuliza.

"Kwahiyo mama amina anajua Kuwa wewe ni

Mke wa mtu Sasa hivi?"

"Ishani ishani, achana na Mimi nimekuambia

Sawa, sitaki na Tena sitaki endelea kuangaika na maisha yako ya kimasikini na kutangatanga

Weeeeh hapo nilijikuta nikipata hasira zaidi, nikasimama na kuzungumza.

"Labda Kama nitakufa lakini nikiendelea kuishi

hakuna rangi utaacha kuona"

Kisha huyo nikaondoka zangu na kwenda

kusafisha vyombo vichafu ambavyo vilikuwa vikigalagala kwa wakati huo

Muda wangu wa kuondoka ulipofika nikaondoka

zangu NYUMBANI

Kiukweli nilikuwa Nina maswali mengi sana Kwa

wakati huo, niliwaza pully ni ana Lengo gani na Enzo wangu Nyleeeh ninavyompenda Enzo halafu mjinga mmoja tu anajitokeza na ujinga

ujinga wake.

Kiukweli siku hiyo nilikosa usingizi kabis nilibaki

nikiwa sina amani kabisa.

Asubuhi na mapema nikamka na Kama kawaida nikaingia zangu kibaruani, siku hiyo nilimkuta

pully ambaye kwa Jina lingine ni amina akiendelea kumsaidia kazi mama yake.

"Leo umechelewa sana Ishani

Mama amina aliniambia pale tu aliponiona.

"Nisamehe mama yangu Leo kulikuwa na foleni

sana

Nilijibu kwa utulivu wa hali ya juu.

"Jitaidi kuamka mapema Bwana, Yaani Leo nimshukuru amina Mwanangu amekuja

kunisaidia

"Haitajirudia Tena"

Nilijibu kisha nikaenda kwenye sehemu ya kubadili nguo nikavaa nguo za kazi na kwenda kuendelea na majukumu yangu ya kila

Siku

Katika siku niliunia Basi ni hit, siku hiyo mama amina muda wote alikuwa bize na Binti yake,

katika siku nilifanya kazi Kama mbwa ni hil

jamani muda wote mama amina alikuwa

bize akipiga story na amina wake, siku hii

nilifokewa bila sababu nilitumwa uku na uku

pasi na kuonewa huruma Wala kupumzika

"Ishani umefata vile vyombo ulivyowapelekea wale mafundi au?"

Mama amina aliniuliza kwa SAUTI ya juu kabisa.

"Hapana namalizia kuosha vyombo tu halafu

naenda kuchukua

Nilijibu kwa upole kabisa.

"Yaani unafanya kazi polepole Kama jongoo Kama utaki kazi si uache au ? Na vyombo

vyangu vikipotea tu unaenda kuninunulla au nakukata mshahara wako sitaki uzembe kwenye

kazi yangu

Kwanza nilibaki nikishangaa tu Maana huyu mama hakuwai kuzungumza na Mimi hivi ata siku moja, Yaani muda wote alinifanya Mimi

Kama Binti yake yake lakini Leo cha moto

nakiona Walahi

Basi nikaosha vyombo vyangu haraka haraka kisha nikaenda kufata vyombo vingine mitaani.

Siku zote uwa naondokaga pale Saa 2 lakini siku hii ilikuwa tofauti kabisa, mpaka inafika Saa 4

usiku hakukuwa ata na dalili ya Mimi kuondoka Maana nilikuwa nikipewa kazi juu ya kazi

"Mama nimemaliza kila kitu

Nilimwambia mama amina.

"Haya kwaheri

Alijibu kisha akaendelea kupiga story na Binti

yake.

"Kwani unasubili nini Binti?"

Amina ambaye ni pully aliniuliza baada ya kuona nikiwa nimesimama tu BADALA ya kuondoka.

"Nasubili Pesa yangu

Nilijibu kwani Mimi na mama Amina uwa

tunalipana kila siku elfu 7.

Mama amina akaniangalia na kujibu.

"Nitakupa kesho bado sijapiga mahesabu"

Kisha mama amina na Binti yake wakanyanyuka na kuondoka zao na kuniacha Mimi nikishangaa

shangaa tu.

Kwa wakati huo Nilihisi kuchanganyikiwa kabisa,

Maana sikuwa ata na Pesa ya nauli Mara

nyingi uwa nategemea Pesa ambayo nalipwa Ndio niturnie nauli ya kurudia NYUMBANI

Basi ISHANI Mimi nikashika njia na kwenda

dukani kwa mangi na kumkopa Pesa na mangi.

alinipa pasi na wasiwasi kwani Mara nyingi

bidhaa za mapishi uwa tunanunua kwake..

Nikiwa nimesimama kwenye kituo cha daladala,

ikaja gari moja nyeusi na kusimama pembeni yangu, na polepole vioo vikashushwa nikajikuta

nikakutana uso kwa uso na Enzo

Kwnza moyo wangu ukalipuka kwa furaha ya hali ya juu, lakini sikutaka kuonesha ilo kwa Enzo, ha

kwakumuonesha Kuwa sijali lolote nikasogea sehemu nyingine,

"ISHANI, Ishant, we ishani"

Enzo aliendelea kuniita akitaka nipande kwenye

gari yake

"Dada unaitwa

Akzungumza Mdada ambaye alisimama pembeni yangu na alikuwa akisubilia daladala.

"Me sio ISHANI"

Nilijibu uku nikitamani ata kucheka..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*



Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa.

"ISHANI umemuona amina wangu?"

Mama amina aliniuliza kwa bashasha ya hali ya Juu

Nikawaangalia kwa muda na kweli walikuwa wamefanana sana kisha nikauliza.

"Kwahiyo huyu Ndio Binti yako Amina ambaye anaishi Dodoma ?"

Yaani niliuliza makusudi nikitaka kupata Uhakika.

wa mambo husika.

"We uoni tulivyofanana jamani, Yaani huyu Ndio kifungua mimba wangu, jamani amina wangu Karibu Mwanangu niikumisi sana Binti yangu

Alizungumza mama amina na kumshika mkono Binti yake kisha wakaenda kukaa kwenye viti, muda huo macho ya Amina ambaye Mimi namjua kwa Jina...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-tatu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-tatu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

628
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

610
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

346
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

314
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

171
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12

152
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11

150
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

132
MY CRAZY BOSS 15

MY CRAZY BOSS 15

127
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13

104

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.34K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.09K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.73K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.57K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.38K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.36K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

πŸ’¬03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusΔ±?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! πŸŽ‰πŸ‘ Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE πŸ’¬ 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest