*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐ฅ) EP 15.
Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani, ilibidi, king awe anasafili na Mimi uku anarusha ndege pembeni yake niwepo, nikatulia na nikiwa nae tu sifanyi Fujo kabisa natulia, haka kama anakazi simsumbui..
Alikuwa ananidekeza mno, nilijikuta nanawili na kunenepa na mimba ilinikubali hata sikuharibika, siku Moja tukiwa zetu tunatembea tulikuwa Nairobi, tunakutana na vicram, hapo kimimba kina miezi 7 ni alishituka kuniona na mimba tena kubwa, alisogea bila ata salamu, salha kumbe uliniacga na mimba mke wangu? Kwa nini Sasa hukusema mke wangu..
Nilimshangaa huyu nae katokea wapi, king alinikingia kifua, vicram naomba umuache mile Kwa amani, mateso uliyompa yanatosha, na kingine usipoteze muda kumfatilia hii sio mimba Yako," king tutazinguana sana, najua kabisa salha Hana mwanaume mwingine, Kwa muda mfupi hivi hawezi kuwa kapata bwana wakumpa mimba ifike hivi, na kipindi Niko nae hakuwahi kunichit namjua vyema mke wangu, vicram aliongea bila hata kuweka kituo...
Vicram we kweli kichaa, Yani ulijua nitakaa kukungoja wewe,kuwa muelewa hii sio mimba Yako, vicram hakuelewa, ilรญbidi tutumue nguvu, ndo tukaondoka, na uzuri siku hio hio tulikuwa tunaludi zetu Tanzania,tuliludi maisha yakaendelea, kumbe vicram aliamua kwenda Kwa baba kushtaki, aisee kiliumana nikaitwa ilibidi tujiandae wote tukayamalize...
Tulifunga safali ilibidi twende na ndege nilikuwa kavivu mno king alichukua private yakwake akanipeleka, Mzee alichukia mno, nimemtia aibu, kesi ikaanza nikasema sio ya vicram lakini, hakuelewa kabisa, tukakubaliana twende nje kupima DNA, kwasababu huko DNA inapimwa ata ukiwa na mimba...
King alinitetea, Kwa Sasa tungesubili ajifungue amechoka kumzungusha zungusha sio sahihi Kwa Sasa, ila hili tails hata halikuelewa, ilibidi tu tukapime, kweli majibu yakatoka hamuwezi kuamini aisee majibu yalivyotoka ๐ญ๐...
Itaendelea...๐ฅ
*MY HOT PILOT*
(rubani wangu๐ฅ)
MTUNZI: SMILE SHINE
EP 16.
Majibu yalitoka, kuwa watoto ni WA king, sikuwa na mtoto mmoja niwa tatu, ila kibaya nilikuwa nahali mbaya, ikabidi nijifungue kabla ya muda kuokoa watoto na Mimi, vicram alilia kama mtoto, hakutarajia, kabisa kumbe hata yule mkewe alimbambikizia mimba, mtoto alivyozaliwa ni mchina mtupu, akampa talaka na kumbe alikuwa kwenye mission ya yule baba ake mdogo, ikabidi wafatilie wafuasi wake wote, make yeye tayari alikuwa jera, lakini alikuwa anawatu nje anawapa kazi...
Walisumbuana mpaka kuja kuweka Kila kitu sawa, king alimhurumia sana akamshauli apimw Hali yake asiogope, alileta ubishi na kiburi ila badae alikubali alipima akakutwa alikuwa ananywesha vitu, kwenye vinywaji vyake, ndo vimepelekwa kufifisha uwezo wake wakuzalisha, na kama angeendelea zaidi asingewahi kupata mtoto kabisa ashukuru akawahi tatizo lilikuwa mwishoni aisee alilia, ikabidi aingie kwenye matibabu, baba alimkazia king alipe mahali nikiwa Reba jamani dah,nilifanikiwa kuleta watoto ila Hali yangu ikawa mbaya mpaka nikazimia, aisee king alilia, alikosa uvumilivu kama mwanaume walikuja kunionesha wake maness wa pale jinsi mme wangu, alivyo kuwa ananililia Kwa siku mbili zote nilizokuwa sina fahamu hajaweza hata kula...
Nilijisikia amani na furaha Kuona, kumbe anaenijali na kunihitaji kweli, alikuja kutoka kulipia bill akakuta nimeamka alisahau ata kama anamadawa mkononi alinikimbia kunihug,akataka kuangusha dawa bahati nzuri ness, akaziwahi, king alifurahi mno, familia pia ilipata taarifa, tulikaa hosptal Kwa miezi mitatu ndio tukaruhusiwa, vicram alimaliza matibabu yake nae akalejea ila hakuacha kunisumbua, salha mke wangu nisamee Niko tayari kuwalea hao watoto kama wakwangu naomba nikukejee plz๐ญ๐, nakupenda kweli Toka moyoni ni tamaa tu, n sikujua kama sijiwezi bila wewe...
Nimeshajitambua mke wangu, nakuapia nimejifunza naomba nipe nafasi Moja tu ya mwisho, nitakutreat vizuri, tafadhari naomba unielewe,nilimkazia alikuwa anakuja naa maua yake kujitilisha huruma, akaona Mimi sielewe akaenda Kwa Mzee, na uzuli ni kwamba jana yake king, alitoka kunitolea posa na fain juuu...
Alimweka wazi haiwezekani tena Mimi nimeshatolewa mahali Jana tu, tayari ni mke wamtu na Leo ndo anajiandaa kwenda dar Kwa ajili ya kuhudhuria harusi, aisee vicram alilia kama mtoto mdogo, ilibidi tu akubali kushindwa ila akiweka uadui na king, akaanza kumfatilia Ili kama ikitokea kafanya kosa aliliport kwangu mapema,Ili niombe talaka anioe, aliamini ataweza kunipata tena, alifanya visa na mitego kibao, Kwa wadada aliwalipa Ili tu wamshawishi king achit nao, afu ushahidi unifikie, lakini alifeli, king alikuwa smart sana haendeshwi na hisia kabisa...
Itaendelea...๐ฅ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni