Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)
Gonga94 ยท Stories

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 87
Mwandishi; lissa wa huru media

Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha Nikasema ndio madame .akasema sikia nataka kukuomba kitu shamira. Nikasema sawa nakusikiliza kitu ni kipi. Akasema shamira unajua mwenzio wewe naona damu zetu kama zinaendena endena yani najikuta nakupenda tu mdogo wangu. Nikacheka nikasema najia madame. Akasema sasa sikua nataka kukupa mchongo wa kupiga pesa zaidi ya apa japo sio wa mda mrefu ila mchongo wa maaana
Nikasema ndio nakusiiliza dada. Akanmbia sasa ni hivi pale home kwetu. Tulikuwa na dada wa kazi ambaye alikuwa anamuangalia gift na kutusaidia kazi za ndani. Sasa amepata dharula kidogo mama yake anaumwa .ameomba kama miezi 3 akamuuguze.
Sasa inabidi apatikane mtu wa kukaa na cha utundu wetu.ila kabla kaka hajatafuta mtu nikasema nije kuongea na wewe. Uje kutusaidia basi kwa mda mchache .nikasema hakuna shida ata madame mimi nipo teyali. Akanambia sasa kuhusu pesa ndo utafurahi .broo hanaga shida na mtu kabisa cha muhimu mpende mwanae tu .utakuwa umeuwini moyo wake. Utashaanga miamala ya pesa mpka utachanganikiwa. Ukifanya masihatra utajikuta unalipwa kuliko mwenye kazi serikalini.yani cha muhimu ni ufanye mwanae acheka mda wote .nikasma wala usijali .akasema basi powa leo tutaondoka wote ntakupitisha ukachukue nguo zako basi .na apa nafasi yako nakuwekea ikipita iyo miezi 3 unakuja kuendelea na wateja wako .nikasema sawa madame wal hamna shida akanmbia sawa.

Basi kweli nikafanya kazi sana na mida ya usiku love pascal na mimi tukaenda mpka home. Mimi nikabeba nguo zangu nikamuaga mshikaji wangu pascal kisha tukaelekea kwa kina love sada.ilikuwa ni mitaa ya msalato jamani jamani nilipelekwa katika nyumba moja matata sana yani nzuri sitaki ata kuwasilmulia yani mka nje tu nilosalimu amri.mh ni pazuri mno .uyu dada wa kusure hivi na anatafuta pesa jamani khaaaa .watu wana maisha bwana.basi love akanikalibisha ndano vizuri. Aseee bonge la sebire. Kuna sofa kali na nzuei .ndo nikakalibishwa apo. Tv sasa namuona mtu mzima mzima. Basi love akaenda kuniletea juice nikawa nakunywa sasa. Nikasema jamni love na hamu sana ya kumuona gift
Akasema ngoja nimfate chumbani kwake ukute nacheza cheza uko.nikawa natabasmu. Akaenda kumfata sasa akaludi na mtoto kamshika mkono uku wanongea tena ako katoto kanaongea mno. Anamuuliza aunt umeniletea biscuit.yani kanaonesha kana vurugu . Kisha wakafika mpka nilipo. Jamani dunia ndogo nilipomuangalia uyu mtoto moyo wangu ulifanya paaaaaah mpka glass ya juice ikanitoka mkononi

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 88
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Asee ni kweli inakalibia miaka mitano tangu nimtelekeze mtoto wangu cairah lakini hii siku nilipomuona uyu mtoto tu nilijua ni binti yangu.๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Sikuamini mimi amekua mrembo jamani na vile mtoto wangu ni mzuri. Bas akawa kazidi.Kamevaa vizuri na kupendeza amekuwa mtoto wa kisurre kabisa jamani. Yani kawaka na kupendeza mno jamani . Mnajua mtoto kang'aa mno. Nilipata mshangao wa gafra .love akaniuliza wewe shida nini mbona umeangusha juice. Aseee ndo nikastuka .nikasema love nimepata mtetemeko wa gafra ata sielewi imekuwaje kuwaje .nisamehe madame love. Akasema jamani pole kisha akanyanyuka akaenda kuchukua mop akawa anasafisha nilipomwaga ile juice. Aseee jicho langu lilikuwa kwa uyu motot.nikakumbuka kumbe ndo mana walikuwa wananambia nafanana na mtoto wao. Sabababu ni mwanangu ohh my god nashukuru sana nimewahi kuonann na mwananangu mimi .mh japo itakuwa ngumu kueleweka il ntajua nafanyaje kuwa na binti yangu mimi
Basi nadame alivyonalimaliza pale akamkumbatia gift. Akawa anaongea na e vingeleza ata sielewi jamani nilibaki nimekodoa tu.mtoto anatema un'gen'ge kama nilimzaa marekani aseeee.nikawa nawaza sijuh kapona moyo. Yani nilikuwa nipo very excited ata sielewi .kama nilichanganikiwa hivi.basi nikasema love naomba kwenda wash room . Na madame akanielekeza haraka nikaenda .nyie nilifika chooni nahaha nilichanganikiwa kwa furahaa uku machozi yakinitoka.nilisema yule ni mtoto wangu ila ntajihakikishia kama ni mwanangu. Mana mimi mwanngu ana alama kwenye kiuno na ata mimi iyo alama ninayo piah .kwaiyo nilimzaa nayo

Nililia piah kuwa je nitaeleweka mimi wakijua kuwa mimi ndo mama wa uyu mtoto ntaonekana muuwaji mno. Eeeh mungu wangu nisaidie. Na ndo nikaaanza kumvutia picha yule mwanaume ambae nilimtelekezea mtoto kwenye gari yake. Sasa ndo kumbu kumbu inakuja kweli ni dan .mh kazi ipo nilikaa wash room kama dakika 30 sielewi. Nipo nazunguka tu .na kunawa maji usoni. Mpka nikaja kustushwa na sauti ya madame love akiniita we shamira. Shamira upo powaa nikasema ndio madame natoka akasema wahi basi. Nikasema sawa kisha nikatoka sasa. Nikasema samahani da love nimepata tumbo la gafra ndo mana akasema jamani pole kipenzi changu .twende basi broo karudi antaka kukuona au bado haupo sawa. Nikasema kwa sasa nipo sawa twende. Mh nyie nikajikaza tena .nikalidi mpka sebleni kweli nikamkuta kaka yake ambaye anaitwa daniel.
Nikakuta dani kampakat gift jku wanaongea na gift namchezea ndevu baba yake .mh kazi ipo basi nikamsalimia dani. Akaniitikia kisha akanikalibisha .mimi nikasema asante. Akasema shamira sio? Nikasema ndio ni shamira . Akasema sawa umeona ulivyofanana na binti yangu. Nikatabasamau tu nikasema sio sana mbona. Love akasema mh we ujajiona tu ndo mana ila mungu kajua kuwaumba na udongo mmoja bwana mh mie nikauchuna kimya . Mana ni mwanangu kw nini nisifanane nae.et jmani

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 89
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi dan akasema sasa shamira nazani love ameshakueleza kilichokuleta apa nami naomba nikazie tu. Nikasema sawa .akasema utafanya kazi kwa mda tu mpka dada atakapoludi.na kubwa zaidi nimekuleta apa umuangalie binti yangu kipenzi gift. Heee si gift akadakia. Et dady mimi uyu ata simtaki mbona mbaya.namtaka dada pendo yule yule khaaaa kiliniuzi dakika 2 .mie mbaya na yeye ule msula wake ukoje sasa wakati tunafanana mno.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Basi baba yake akatabasamu kusha akamwambia. Sikia malkia wangu da pendo si nilikwambi ameenda kwao mala moja. Utakuwa na uyu kisha da pendo akiludi uyu anondoka. Et kinabinua midomo .alafu baba yake ndo anambembeleza yani anakiomba .khaaaaa kwanza niliona uyu mtoto ana malezi ya kipumbavu ila nikakausha kimy. Love akawa anacheka akasema shamira usijisikie vibaya .ni mtoto kwaiyo usimzingatie sana .nikasema sawa madame hamna shida
Basi ktoto kikagom et akanitaki mie mbaya khaaa uyo pendo naona alikuwa pisi kali๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„. Basi baba yake akambembeleza sana tena uku kampakata nakwambi ndo akakubali. Akasema aya dady ila da pendo si ataludii.baba yake akasema yes ata ludi malkia wangu. akasema uyu atanipikia chakura kizuri kama da pendo kweli. Baba yake akasema yes atakupikia uwe na amani mtoto wangu mzuri sawa .basi akiitikia sawa .mh mwenzenu nilibaki kimya jamani. Ata kama nilimtupa mtoto aya malezi yake anayolelewa wala sikuayaelewa mimi. Yani kitoto kinadeka mno ata hadabu kwa mgeni akana. Mimi tangu nimefika ajanisogelea na wala hajanisalimia dooh
Basi madame love akanichukua akanitembeza vizuri nyumba yao . Na akanambia niwe free tu wao hawana shida . Nikasema sawa kisha tukaingia jikoni kuandaa chakura. Na baada ya apo tukala kwa pamoha. Nyie niliyaona malezi ya watu bwana mtoto anakalibia miaka mitano ila analishwa uku mwenyewe anakula. Basi madame love ananambia yani uyu ukimpa chakira unamsimamia ale uku unamlisha na wewe mana sio mlaji kabisa kama navyomfanyia baba yake apo. Nikasema sawa .
Basi mtoto anaongea jamani mh. Na yupo busy na baba yake. Na baba nae anamjibu. Yani niliona kweli dan anampenda sana uyu mtoto. Nilimuacha sehemu sahihi mno .ila aya malezi ni ya kipimbavu. Ila nashukuri mwanagu yupo vizuei na kanaendelea vizuri mno. Na kina afya full kimenenepa jamani. Kazri mpka rahaa .mdomoni sasa kama mie mama yake maneno yanavyomtoka mh

Basi baada ya chakura mimi nikaingia chumbani kwangu nikaenda kupumzika . Aseee hii siku ilikuwa ni siku ambayo nilipata amani sana kwenye moyo wangu. Mana nilitambua mtoto wangu hakufa kumbe ohh mungu asante ila nilipata huzuni piah ntajieleza nini siku wakinijua kuwa mimi ndo nilimtupa mtoto mh. Ila nikasema kwakua mtoto anaishi pazuri anapata amani na upendo mimi ngoja nikaushe kwanz kisha uko mbele nitajua nini cha kufanya ili mambo yakae sawa daaah๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช
๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 90
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Basi niliwaza mambo mengi sana uo usiku sijuh ata nilikuaja kialala saa ngapi ila asubub niliwahi sana kuamka nikafanya usafi nyumba nzima .kisha nikaenda kuandaa chai ya maziwa kama nilivyoelekezwa nikaandaa mayai .yani nilianda kila kitu nikatenga mezani. Kisha nikaingia chumbani kwa mtoto wangu sasa. Mana niliambiwa namuamsha asubuh na muandaaa ndo anenda shule.basi nikaingia woow jamani. Kilikuwa ni chumba kiziri mno kilichopambwa ma vitu vya pink .na kulibandikwa picha zake nyingi . Nilisogelea na kuanza kuangalia picha moja moja jamani. Mpka machozi yalinitoka hakika ni binti yangu. Na picha nyingi alikuwa na daniel aseee. Na mwanngu alikuwa anaonekana ana furaha sana yano mno. Basi nikamsogelea pale kitandi alipolala nikamuangalia sana binti yangu yani sana jamnai daah
Kisha nikaanza kumuamsha mungu wangu nilikoma. Mtoto mbishi jamani daah. Niliamsha mimi mpka nilikoma . Haamki ndo kwanaza ananambia dont touch me.kinavuta shuka kinageuka upande wa pili nyie niliamsha mpka nilikoma. Nikaona uyu wanamlea vibaya wanamchekea chekea. Nikamtoa shuka kisha nikakinyanyua kwa nguvu.kikaanz kulia et . Wala sikukijali mimi nikakipeleka bafuni. Nikakiogesha uku kinalia .nilimuangalia ile alama ya kiunoni kwanza nankweli nilimkuta nayo . Nikashusha pumzi tu. Nikaendelea kumuogesha uku analia .alivyomaliza tukatoka basi nikawa nambemebleaza anyamaze. Akawa hataki ananambia naenda kukusema kwa dady wangu unanitesa khaaaa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Sasa mimi nimemtesa nini uyu mtoto ebu nyie nisaidieni kwanza . Mana nayaona mapya leo . Mi nikaona apa kazi nnayo .nikamfuta maji nikampaka mafuta yake kisha nimamvesha fomu zake za shule nikambebea na begi lake tukatoka chumbani kufika sebleni na baba yake ameshavaa anatoka chumbani.nyie mtoto mnafiki uyu kama niliyemzaa kikaanza kulia kwa sauti sasa baba yake amsikie wakati alishanyamaza. Hee baba yake akamkumbatia anamuuliza vp mama yangu imekuwaje .anasema uyu baba simtaki . Kaniongesha maji ya baridi. Looh mtoto na uongo anao nyie . Wakati nimemuogesha maji ya moto. Nikaona daniel kaniangalia kisha akasema we hii dodoma asubuh ina baridi unamuogeshaji mtoto maji ya baridi tena au unataka kumpa homa eeeh. Nakuuliza . Nikasema mimi nimemuogesha maji ya moto lakini .kikawa kinakazia baba uyo muonga kaniogesha ya baridi .loooh ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Basi baba kae kavimba nakwmbia kama anataka kunivamia vile

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 91
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Nyie mimi niliishiwa pawa .nikabaki kimya mana naongea nini. Daniel akaanza kunifokea . Akawa anasema kama huwez kufata taratibu za hapa kazi itakushinda sijuh unaelewa. Mtoto wangu ap ni malkia unamfanyia kila anachokitaka sijuh tunaelewena wewe. Nikasema ndio samahani. Basi mda uo uo na madame love alikuwa anatoka kashajiandaa . Akakuta nasemwa na broo wake kweli kweli. Akauliza kuna nini tena jamani. Akasema si uyu mtu wako. Asubub hii anamuogesha maji ya baridi mtoto anataka kumpa homa binti yangu sio. Love akasema jamni kaka labda hakuelewa mbona yanaongeleka .sikia shamira asubuh muogeshe mtoto maji ya moto. Sikutaka kujielezea tena wala nikasema sawa

Basi nikawakalibisha dining ila teali nilishamkwaza daniel niliona upendo wake wa dhati juu ya mtoto wangu maskini. Kuna vingi natamani kuvijua ila naanzaje kuviulizia mimi. Nabaki kimy tu napambana na hali yangu. Basi daniel hakula sana ata naona sababu nilishamkwaza asubuh.uyo nilomuogesha na maji ya baridi sasa anafukia uyo nilikuwa nakiangalia nikaona hizi tabia za kishenzi nyengine ni za hamadi walalh๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Basi baba yake akawahi kunawa akawa anamsubili bint yake. Uku anamsaidi kumnywesha chai. Basi kinaongea jamni mh. Baba utanipeleka lini dar kisha tuende beach. Mh basi na baba yake anamjibu . Basi anamuuliza swli lengine. Au namuuliza auny yake love.mie ata haniongeleshi nishamuogesha maji ya baridi kama anvyosema ntamwambia nini mie. Nikabaki zangu kimya tu.
Walivyomaliza kula wakaaga na kuondoka zao.nikajua wanampeleka kwanza shule mtoto wao .mie nikatoa vyomba na kuviosha na kuendelea na ratiba zangu zengime
Mda wa kama saa 7 mtoto akaludo sasa. Mana alikuwa yupo nursery tu. Na aliludishwa na school bus ..alinikuta sebleni naangalia tv hajanislimia ata ananambia . Wewe njoo unibadilishe nguo. Nyie ivi uyu mtoto anajua nilichanika mimi ndo yeye akatoka . Ila muacheeni nitamkomesha. Nikanyanyuka nikamvua nguo kisha nikampeleka bafuni.nikamuogesha maji ya moto. Nikamwambia aya unaona aya ni maji ya moto eeh sio anakuja baba yako unaongopa umeongeshwa maji ya baridi. Kikabaki kimya kijuso kidogo.nikamuogesha pale. Kisha nikamvalisha nikaenda kumtengea chkura.

Nillikuwa na hamu ya mwanangu nikamsogelea nikaanza na kumlisha uku na yeye anakula .basi akala vizuri apo wala hatukugombana .alivyoshiba akanambia nataka kulala nikamchukua nikampelka chumbani kwake nikamlaza miguuni mwanagu nikaaanza kunbeleza mpak kikalala miguumi kwangu nilikuwa nina amani sna kuwa na mwanangu .

Nilipooona usingiz umemkolea nikamlaza kitandani kwake.nikaendelea nanratiba zangu nyengine.
Basi mida ya jioni ndo kikaamka sasa. Akanmbia kwani wewe unaitwa dada shamira eeh. Nikasema ndio mtoto mzuri. Akasem aaha mimi sitako uniamshe asubuh asubuh. Khaa sasa anaendaje shule uyu. Nikabaki nakiangalia tu. Basi kikanipa mashartu yake na yeye. Nikaona iki kitoto kichizi kweli kilivyomaliza kikaenda chumbani kwake.nikakingalia kinavyolinga kumbe apa kimefadhiliwa tu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

โ€‹

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)


๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 87
Mwandishi; lissa wa huru media

Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha Nikasema ndio madame .akasema sikia nataka kukuomba kitu shamira. Nikasema sawa nakusikiliza kitu ni kipi. Akasema shamira unajua mwenzio wewe naona damu zetu kama zinaendena endena yani najikuta nakupenda tu mdogo wangu. Nikacheka nikasema najia madame. Akasema sasa sikua nataka kukupa mchongo wa kupiga pesa zaidi ya apa japo sio wa mda mrefu ila mchongo wa maaana
Nikasema ndio nakusiiliza dada. Akanmbia sasa ni hivi pale home kwetu. Tulikuwa na dada...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-87-mpk-91-season-four

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA 82 MPK  86
SHAMIRA 82 MPK 86
SHAMIRA  ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA 49 to 50
SHAMIRA 49 to 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.

365
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.

336
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

316
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)

SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)

276
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

220
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

207
SHAMIRA 67 to 70

SHAMIRA 67 to 70

197
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

182
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

149
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

148

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.77K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.92K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.75K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.73K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

๐Ÿ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 โ€œKeti tafadhali.โ€ Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha โ€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.โ€ Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea๐Ÿ’ต" Nyie njooni niwaambie kitu โ€ฆโ€ฆโ€ฆ mnazijua chapati? Sambusa je ? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ๐ŸŒบ *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3) Post Mpya
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 71 Mwandishi; lissa wa huru media Nikamwambia sawa nashukuru kama mimi ndo kiboko yako. Basi mchumba akaenda kuoga akatoka mwepesi kabisa akavaa kisha akachuku pochi aknihasabia laki 8 .akanipa...

๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA Post Mpya
๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA
@majario LIVE

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Kenya ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, Burundi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, Rwanda ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ na USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Wote wamevaa rangi za nchi zaoโ€ฆ lakini NANI AMEUA STYLE ZAIDI? ๐Ÿ‘‘๐Ÿ”ฅ โš ๏ธ CHAGUA NCHI MOJA...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest