AFANDE MILLANπ Sehemu ya 66 na 67
Mwandiishi; LISSA
Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita cheo , ila huwa namuheshimu sana , basi mi sikumueleza sana uyu mzee ile deep, nilimwanbia tu kuwa nimepata binti, nagitaji anisaidie kuwa mshenga wangu mana nataka kuoa sasa, nakupembuka uyu afande alicheka sana ,akanmbia weee kijana ndo anataka kuoa now ,unasema kweli, ushachoka kuangaika na wanawake sasa, nikasema afande mnige asa ayo ya nn, ebu kuwa mshenga wangu kwanza na balua inatakiwa kwenda leo, na sitaki kuchelewa kuoa, afande mnige aknmbia ilo lishapota mm siwez kukukatilia ww mkuu, ila tu nimecheka mana nimeona sasa umekomaa kiakili mpaka unataka kuoa, basi sawa haina shidaaa , nakuandalia iyo balua na utanipa location nipeleke, nikasema sawa mzee wangu na asante sana
Na baada ya apo sasa ndo nikampigia zena tukasalimiana, akanmbia ameshamueleza mjomba wake na shangazi yake juu ya suala langu la kupeleka posa ,na wapo kiwalani, so naruhusiwa kupeleka balua sas, nikamuomba zena anielekeze vizuri mtaaa ambao shangazi yake na mjomba wake wanakaa, zena akanielekeza vizuri, na mm wala sikufanya ajizi, nilivyoamaliza kuongea na zena tu, nikampigia afende mnige nikamuuelekeza ,akanmbia sawa, na nikamtumia na pesa ,mana kwenye barua nilimwambia aweke laki 5 na yeye usumbufu nimampa laki 1, basi bwan mida ya mchan, yule mzee alinipelekea barua kwa kina zena, na alinambia amefika na amepokelew vizuri, na barua imepokelewa ,ila sasa et shangazi na mjomba wake na zena wao walitaka mda wamfanyie sherehe mtoto wao, na sio nimuoe ndani ya week ila afande mnige aliwakatalia ,aliwaambia ndoa ni jambo la haraka, ni vyema kwanza nimuoe kisha sherehe zitafata uko mbele , basi bwana baada ya barua sasa, nikaanza pilika pilika na zena za kujiandaa na ndoa,
Sitaki kuwambia kwa mda wote zena alikuwa ni mwanamke mwenye furaha mnoo, yani alikuwa na rahaa kweli kweli, sio yey tu ata mm nilikuwa na rahaa, ila kila nikikumbuka mm nimeoa na siku zena akijua kuwa tayali nimeshaoa, na yeye namuingiza katika matala badi kitawaka , basi ikawa nikikumbuka hivyo, najikuta mood inakata kabisaa, basi bwana, tukafanya shopping ya ndoa , kama kununua nguo na kila kitu na balua yangu ilijibiwa ndani ya skku 2, nikasema siku ya 5 nataka kuoa, apo mm nipo kwa zena sijaludi kwangu, namwambia jalia nipo job ndo nlala uku na kazi zimenibana sana, yani mm na zena ni kama vile tulishaoana ,mana mm mda mwingi na kuwa kwake, so nilitaka iwe halali tu sasa, ili niwe na uwezo wa kummiliki kabisa zena,
Basi bwana mungu akajalia na siku ya 5, nikaenda kufunga ndoa na zena, ndoa yangu ilikuwa ni mm na ibraa, na uyo mshenga wangu yani afande mnige, ndo nilienda nao, na nashukuru bwana nilifanikiwa kumuoa zena, siwafichi nilikuwa na furahaa mno, nilikuwa na amani sanaa, yani amani ilijaaa mnoo, basi baada ya ndoa ,mi nikabeba mke wangu na tukaludi kwa zena, tulipofika ndani, niliona kama zena ana maswali hivi, akanuuliza kwani mbona imekuwa hivi kama imekuwa hark harka inakuwaje, mbona katika hii ndoa sijamuona ata mzazi wako mmoja ,na ata ndugu zako sijawaona , na wakati unanaielezaga kuwa ndugi zako wengine wapo dar, au uwa sielewi, mbona kama umeniona kisiri siri na kwa kunificha millan , mh kazi imeanza ,nikasema no kwa nn nikuoe kwa siri mwanamke nnayekupenda, hapana mke wangu ila nimefanaya hivyo sababau ya kazi yangu
Zena akasema kazi yako kivipi, nikasema kwanza kuhusu wazazi, ni hivi zena unajua mama na baba wameshakuwa watu wazima ,sasa kuwapandisha boti na kuanza kuangaika na mizigo kuja huku inakuwa sio swa, ila maam kanipa baraka zote, na baba wala hana shida ameridhia pia, ila tu wamemnambia baada ya mda nikupeleke nyumbani wakakauone, si inajua wazee awa inabidi sisi ndo tuwafate sana,na sio wao kuja,zena akanmbia sawaa nimeeelewa na ndugu zako.wa apa dar je kwa nn wameshindwa kuhudhulia , nikasema sasa mm kazi yangu haitaki show off mama, mi nipo katika kitengo muhimu sana kazini, so haiitaji msongamano wa watu nasipendi kuchanganika na watu, ila ndugu zangu wote wanaelewa kuwa kwa sasa nimeoa na nna jiko na jiko lenyewe ndo wwe zena wangu, nakupendaa sana, zena akatabasamu kisha akanmbia nakupenda zaidi mume wangu, nyieee hii siku zena alipendeza sna ,yani full pikooo, mtoto kapambwa kapambika kweli , nilitamani tupate uhuru zaidi ila watoto sasa, inakuaje unazini
Basi nilipata faragha nae kidogo sana, mana hii siku aka kadogo kalikuwa kanasumbua ,ila wala sikuwa na presha mana uyu mmni mke wangu wa ndoa , so ntaspend nae sana tu, basi bwana hii siku mm nililala apa kwa zena ,na asubuh sana niliamkia kazini ,na nikawa busy sana na kazi zangu , nikiwa busy kazini, dalali wa pugu akanipigia akanmbia nyumba imepatikana sasa na ni nzuri sana, na mwenye nyumba ana taka kodi kuanzia miezi 4, nikasema sawa nitumie picha ha nyumna , kweli dalalai akanitumia picha, woow ilikkuwa ni nyumba nzuri mnoo, yani sana tu, na nikapapendaa mnoo yani mnooo , basi nikamwambia dalalai napataka na jioni naenda kuilipia , yule dalali akanmbia sawa, aseeee ni kweli mimi jioni nilivyotoka job tu nikaenda pugu kuiona iyo nymbaa, yaaaa niliipitisha ilikuwa ni nzuri sana, nikaona apa zena kutamfaaaa ,alafu hii nyimbo ni ipo sehemu iliyotulia sana, nikaona apa panamfaa zena kabisaa, basi mwanaume nikalipia pale kabisaa, na nikamwambia mama mwenye nyumba kuwa kesho na mapema naamia na familia yangu na akanikabizi na funguo kabisaa,
Basi apo nikaludi kwa zena mida ya kama.saa 4 usiku ndo nafika pale ,nikamkuta zena ananisubiri na watoto walishalala, akanikalibisha vizuri mnoo, basi baada ya salama na kupat chakura, nilikueleza kuwa kesho tunaamia pugu sasa, na uko ndo yatakuwa makazi yetu mapya mke wangu,zena akanmbia mm nilizani tunaenda kuishi kwako viwege, kwa nn pugu tena, mh nikasema mke wangu viwege pale mm nimepangisha , na sitamani tukaidhi pale mana pale wanawake niliozaa nao wanapafahamu, naogopa watakuwa wanakuja kukufanyia fujo na kukufanya uumie mke wangu, na ndo mana nimetafuta ukoo ,ili tuendeshe maisha yetu kwa amani, zena akanambia ahaaa sawa mume wang , asante sana kunijali na kunifikilia nakupenda sana, nikasema nakupenda pia mke wangu, kiukweli nilishajiapiza ntatumia gharama yoyote kumficha zena kuwa mm nimeoa, niliapa ntafanya asijue kabisa, yote ni sababau nampemda sana na namuhitaji mnooo , sio sababu kwamba tumezaa, no.ni sababau mm.nampenda sana zena, yani nilikuwa najikuta kila siku nampendaaa sana uyu dada, nazidi kuongeza upendo kwake, azeee zena ana sifa za uwanamke mnoo, ukiacha uzuri wake,
Basi kweli kesho yake bwana ,tukaaamia pugu, uko pugu nilinunua baazi ya vitu ambavyo zena hakuna navyo, na baazi nilimbadilishia ili kuendana na ile nyumba, na maisha sasa yakaaanza pugu nikiwa na zena, siwafichi mi uku pugu nilikaaaa week 2 na zena, apo jalia sijaongea nae kabisa, mana nikifika kwa zena simu nazima ama naweka kindege, so hakuna usumbufu wowote wa simu napata, siwafichi, mi nampenda zena ,na penda kuwa nae mda wote ,nakuwa na rahaa na amani mnoo, na apo zena kamimba kake aka kanchomoka, na katumbo kanakuja ni kama cha miezi 3 kasoro hivi, nyieeeee mi nilishau kama nna mke anaitwa jalia ,akiri na moyo wote vilikuwa kwa zena ,so sikuwa namkumbuka jalia kabisaa, yani nilikuwa naona zena ndo familia yangu, na ndo mke wangu, na awa akina ummy na arshaina ndo wanangu, yani mpaka ibraa alikuwa anambia nakosea nibalnce niende na kwa jalia ila hapana sikuwa nataka nilikuwa naenda zangu kwa zena, na ata zena alikuwa annaipenda mno na kunifurahia sana tu, naweza kusema nyumba yetu ilikuwa na amani na upendo mkubwa mnooo ,yani upendo kweli kweli, basi bwana siku iyo nakumbuka nilikuwa kazini mida ya asubuh hivi naona simu ya brooi, nikapokea ile simu, kaka akanambia dogo kwa nn huludi kwa mkeo, nilishajua anamuongelea jalia mh, na yupo serious mana.kaka.hakutaka ata kuanza ma.salamu
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni