Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
04 Feb 2026
11 views
VYOTE NDANI GONGA94
Cristiano Ronaldo anafikiria kuondoka kwenye Ligi Kuu ya Saudi msimu ujao. Ronaldo kwa mujibu wa ripoti yuko tayari kulipa kifungu cha euro milioni 50
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
zilizo kwenye mkataba wake na kuondoka Saudi kutokana na kile anachoona kama upendeleo kwa Al-Hilal.
Ronaldo anasemekana kuchukizwa sana, huku akisema klabu zinamilikiwa na mtu mmoja na zina tofauti ya alama moja lakini.
"Klabu moja inasajili Haider Abdulkarim. Klabu nyingine inasajili wachezaji wengi wakubwa, hususani Karim Benzema."
Kwa upande wa Maafisa wa Saudi Public Investment Fund (PIF) wamesema.
"Usajili wa Al-Hilal unafadhiliwa na Al-Waleed bin Talal. Ikiwa mashabiki wa Al-Nassr wanataka usajili wa aina hiyo, lazima walipe wenyewe. Pia PIF inaamini Al-Nassr ilipokea msaada wa paundi milioni 100 msimu uliopita."
Maafisa wa PIF pia walimtumia ujumbe wa kusema.
"Cristiano, tafadhali acha kufanya hivyo na anza kucheza tena. Timu yako Al-Nassr ina mchezo muhimu dhidi ya Al-Ittihad siku ya Ijumaa, na tunataka ucheze."
Wanashangazwa na kutoridhika kwake, siyo tu kwa sababu ya mshahara wake, bali pia kwa sababu alionekana kuwa na furaha na nafasi muhimu ndani ya uongozi wa Al-Nassr.
Wakati huo huo, maafisa wa Ligi Kuu ya Saudi wameshauri Ronaldo aache kugoma na arudi kucheza, wakisisitiza kuwa kinachoendelea hakionyeshi picha nzuri kwa ligi.
P.S. Ronaldo akiondoka Ligi ya Saudi Arabia nayo inaondoka kwenye macho na masikio ya watu 😅.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
REAL LOVE* Chapter 10
yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini j...
Cristiano Ronaldo anafikiria kuondoka kwenye Ligi Kuu ya Saudi msimu ujao. Ronaldo kwa mujibu wa ripoti yuko tayari kulipa kifungu cha euro milioni 50
zilizo kwenye mkataba wake na kuondoka Saudi kutokana na kile anachoona kama upendeleo kwa Al-Hilal.
Ronaldo anasemekana kuchukizwa sana, huku akisema klabu zinamilikiwa na mtu mmoja na zina tofauti ya alama moja lakini.
"Klabu moja inasajili Haider Abdulkarim. Klabu nyingine inasajili wachezaji wengi wakubwa, hususani Karim Benzema."
Kwa upande wa Maafisa wa Saudi Public Investment Fund (PIF) wamesema.
"Usajili wa Al-Hilal unafadhiliwa na Al-Waleed bin Talal. Ikiwa mashabiki wa Al-Nassr wanataka usajili wa aina hiyo, lazima walipe wenyewe. Pia PIF inaamini Al-Nassr ilipokea msaada wa paundi milioni 100 msimu uliopita."
Maafisa wa PIF pia walimtumia ujumbe wa kusema.
"Cristiano, tafadhali acha kufanya hivyo na...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/cristiano-ronaldo-anafikiria-kuondoka-kwenye-ligi-kuu-ya-saudi-msimu-ujao-ronaldo-kwa-mujibu-wa-ripo