Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU  21 -- 22
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU 21 -- 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Sehemi..ya............ 21
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote......

ENDELEA NAYO.......
Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu wote katika mji wote ADELI

Chike pamoja na rafiki wa Nzegi walijadiliana namna ya kufanya ili tarifa ziwafikie General na Nzegi,
"Mimi naona tusubiri kesho tukitoka sasa ivi hapa itaonekana kama sisi ndio tumepanga"
"Upo sahihi kabisa tutawapelekea tarifa kesho asubuhi na mapema",Cheki aliongea.

Cheki na Mlinzi yule walikubaliana tarifa zile za matabibu kutafutwa na kukamatwa watazipeleke kesho mapema asubuhi.

************

Upande wa Princess Nailet akiwa amechoka siku iyo baada ya kumtafuta Yao na Mama yake mlezi siku nzima mpaka usiku unamkuta pale aliamua kukaa na kupumzikaa,

Akiwa amekaa pale kutokana na uwepo wa giza alimuona kijana kwa mbali aliyekuwa akitembea kwa shida na alikuwa akielekea sehemu yenye kolongo kubwa mbele yake.

"Huyu haoni mpaka anelekea kwenye kolongo??au atakuwa na matatizo ya akili???.,Princess Nailet alijiuliza.

Alivyoona kijana yule amelikaribia lile kolongo alikimbia kwa kasi na kumsukuma pembeni.

"Unaakili wewe au umechoka kuishi mpaka unataka kujiua???"
"Kwani wewe nani??"
"Heeeeh Yao!!!!! kumbe ni wewe????"
Princess Nailet hakuamini kumuona Yao maeneo yale mtu ambae alimtafuta karibu kutwa nzima na hatimae anakutana nae kwenye mazingira asiyoyatalajia.
Alimukimbilia na kwenda kumkubatia Prince Yao ambae alibaki tu kumuuliza kuwa ni nani aliyemkumbatia??.

Palepale Lindwe pamoja na rafiki yake walifika na kukuta lile tukio la wao kukumbatiana, na Lindiwe alishangaa sana kumuona Princess Nailet maeneo yale.

Princess aliwaeleza amekuja ADELI kwa ajili yao, nao hawa kusita kumpokea na kumkaribisha katika makazi yao ila Prince Yao alikuwa na hasira kwa tarifa alizopewa za kitendo cha wazazi wake kumpeleka nchi za mbali.

**********

Ni asubuhi na mapema kamata kamata ilianza kwa yoyote yule aliyekuwa anafanya kazi ya utabibu katika ufalme wa ADELI.

Upande wa binti Amma akiwa hana hili wala lile alishangaa asikari wa kifalme wamewasili kwenye makazi yao,

"Karibuni,tuwasaidieni nini??"binti Amma aliuliza
"Sio kila anayekuja hapa anahitaji kutibiwa sisi leo tumekuja kuwatibu nyinyi",asikari aliongea.
"Kututibu sisi, kivipi???"
"Aise kamateni huyu binti hatuna mda wa kusubiri".
"Mbona mnamkata binti yangu???"
"Na wewe umejileta, aya kamata na huyu"

Hawakutaka maneno mengi walikamata karibu kila mtu aliyekuwa na chembechembe ya utabibu na kuwapeleka katika jumba la kifalme.

******************

Princess Nailet akiwa na Prince Yao wamekaa mahali,
"Princess kwanini unapoteza mda wako kunijali mtu ambae sina thamani yoyote ile?"
"Hapana usiseme ivyo wewe unathamin kubwa mno kwenye maisha yangu".
"Una mana gani kusema ivyo??"
"Nakupenda Yao nataka uwe baba wa watoto wangu".

Prince Yao alishangaa kusikia neno lile kutoka kwa Princess Nailet na licha ya upofu wake haikumaanisha kwamba hajui kama kwenye hii dunia hakuna kitu kinachoitwa mapenzi alifahamu na hakuamini kama kuna mwanamke atakaye mpenda kutokana na hali aliyonayo.

"Princess, huwezi kuishi na mimi mtu ambae sioni nitakuwa mzigo kwako naomba utafute mtu mwingine anayeendana na hadhi yako".
"Yao, ata mimi napenda kuwa na mizigo napenda uwe mzigo wangu na niishi na wewe mpaka mwisho wa uhai wangu"

Princess hakutaka kuipoteza ile nafasi ya kueleza hisia zake kwa Prince Yao ni namna gani anavyompenda na Prince alimuomba ampe mda kidogo ili atafakari kwa kina zaidi juu ya jambo lile.

*****************

Tarifa zinawafikia General na Nzegi juu ya mfalme kuwa katika hali mbaya na wanapongezana kwa kazi kubwa waliyoifanya,

"Safi sana Cheki wewe rudi katika jumba la kifalme ukashirikiane na mwenzako kutupa tarifa huku",
Alikuwa ni Cheki au Prince fake aliyewaletea tarifa zile General na Nzegi.

"Alafu nilitaka kusahau kuwapa tarifa mhimu asikari wa kifalme wana wakamata matabibu wote wa ADELI wakafanyiwe uchunguzi ni nani aliyetengeneza ile sumu tuliyompa mfalme".

"Mbona hukutuambia mapema shiiiiit!!!!",
General alichomoa upanga wake na kuanza kukimbia kwa kasi ya ajabu Cheki na Nzegi waliunga tela kumfata anapoelekea.

Safari ya General iliishia yalipo makazi ya Amma pamoja na baba yake ila alikuta kuna ukimya wa hali ya juu.
"Haitakiwi waishi hawa kamwambie mlinzi afanye afanyalo wauwawe kabra hawajatoa siri......ITAENDELEA..

BAADA YA HII KUNA FARASI MWEUPE 🦄🦄🦄 NA IPO FULL kwa Tsh 1000 tu unajipatia Hii ni🔥🔥🔥 NJOO TUPANDE FARASI MWEUPE PAMOJA.

Mambo yanazidi kuwa matamu Amma yupo kwenye hatari na Princess ameshaonyesha hisia zake kwa Prince Yao. tukutane sehemu inayofata..
[12/12/2025, 6:40 AM] zooper simulizi2: Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemu...ya........ 22
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita............
Safari ya General iliishia yalipo makazi ya Amma pamoja na baba yake ila alikuta kuna ukimya wa hali ya juu.
"Haitakiwi waishi hawa kamwambie mlinzi afanye afanyalo wauwawe kabra hawajatoa siri........

ENDELEA NAYO.......
Cheki aliondoka kuwahi katika jumba la kifalme ili akampe tarifa mwenzake anayetakiwa afanye kazi ya kuwaua Amma na baba yake mapema kabra hawajatoboa siri yoyote.

Wakati Cheki yupo njiani anakuja katika kasili la kifalme,
Mabinti wa kifalme wote walikuwa kwenye majonzi makubwa juu ya Mfalme wao kuwa katika hali inayotishia maisha yake,

"Nyamaza mdogo wangu,nitamtafuta mtu aliye tengeneza hii sumu na kumpatia baba yetu lazima atalipa",Yanite aliongea huku akimkumbatia mdogo wake aitwae Yanni.
Malikia hakuwa na la kusema mbele ya binti yake mkubwa baada ya yeye kutamka maneno yale.

"Malikia tayali matabibu wote wamesha kamatwa na tunasubiri utaratibu wa kuanza kuwahoji".
"Ivi wewe mjinga ety, mnataka mpewe utaratibu gani?, kwani hamjui sheria za kifalme zilivyo??,
Wote wapigwe mpaka waongee ni nani aliyetengeneza iyo dawa".
Amri ilitoka kutoka kwa Malikia na asikari alitoka kwenda kutekeleza wajibu.

Hatimae Cheki anafika katika jumba la kifalme na kukuta watu wakitandikwa mmoja baada ya mwingine mpaka apatikane aliyetengeza sumu ya kumuua mfalme, cheki anaelekea kwa mwenzake wanaye shirikiana naye,
"Aise mambo sio mazuri huko"
"Kwanini???"
"General kasema wale watu walio tengeneza sumu inatakiwa wafe wakiwa humuhumu ndani. kabra hawajatoboa siri".
"Mimi nawauwaje sasa huoni walivyo wengi pale".
"Wewe ni asikari unajua mbinu zote tumia mbinu zako kuwaondoa duniani mimi tarifa nimekufikishia".

Cheki aliondoka baada ya kumfikishia tarifa mwenzake na kumuacha akiwatazama Amma na baba yake jinsi ya kuwaua wakiwa wanasubiri zamu yao ifike ya kwenda kuadhibiwa na kuhojiwa.

******************

"Lindiwe unahabari za kinachoendelea huko?????",
"Habari gani tena nasikia hali ya mfalme ni mbaya sana amepewa sumu na haijulikani nani kampa sumu".rafiki wa lindiwe aliongea na kumfikishia tarifa zilizomwacha mdomo wazi na ata Prince Yao nae alikuwa maeneo yale akiwa pamoja na Princess Nailet.

Damu ni nzito kuliko maji ndicho kilichotokea kwa Prince Yao alivyosikia yale mazungumzo hakuta kupoteza mda tena,
"Mama naomba unipeleke nikamuone Mfalme",
"Mfalme!!!!!!!!!!!"
Princess Nailet alishangaa ila Lindiwe alimsimulia kiufupi tu na hii kumfanya asiamini kama Prince Yao ni mwana wa Mfalme.

"Ni sawa nitakupeleka lakini ni hatari sana na ata kwenye mlango wa siri sizani kama tutapata msaada wa mtu kutufungulia ili tuingie ndani".
"Mama wewe twende nataka nikaongee na Mfalme",Prince Yao aliongea.

Lindiwe aliamua kutimiza ombi la Prince Yao la kumpeleka katika kasili la kifalme lakini pia Princess Nailet aling'ang'ania kwenda ili akajihakikishie kama Prince Yao ni mtoto wa Mfalme kweli licha ya Lindiwe kumzuia.

******************

Asikari waliotumwa na mfalme Tengu wanafanyikiwa kufika katika ufalme wa ADELI na kazi ya kumtafuta Princess Nailet inaanza ili wamrudishe kwa mfalme wao.

*******************

"Sasa hapa natumia njia gani kwenda kuwaua",
baada ya kuwaza kwa mda mrefu alipata wazo ambalo aliona ni sahihi kulifanya ili aweze kumuua Amma pamoja na baba yake na siri ibaki kuwa upande wao tu.

Kila tabibu alijuta siku iyo kwanini alichagua kufanya ile kazi, watu walikuwa wanapigwa na wengine mpaka kuzimia kutoka na mateso makali.

"Baba mimi naona sio sawa kwa hichi tunacho kifanya watu wanateseka kwa makosa yetu sisi".,Amma aliongea.
"Mwanangu hakuna njia nyingine ya sisi kufanya zaidi ya kunyamaza kimya, naomba unyamaze wakikusikia tu nitakukosa binti yangu".

"Nyie mnaongea nini hapo???"
Asikari aliongea kwa ukali baada ya kuwaona wakishauliana,
"Subrini zamu yenu ifike nakuja kuwatesa mwenyewe".

Vitisho vya asikari yule viliwafanya wakae kmya na kutii amri.

Asikari alipata njia sahihi ya kuwaua Amma na baba yake,
"Mimi mjinga kabisa mbona sikufikilia hii njia mapema ningekuwa nimeshamaliza kazi zamani tu".

Kwakuwa walikuwa wamepanga foleni ya kusimama, na mlundikano wa watu ulikuwa mkubwa basi alichomoa kisu kidogo ambacho ni ngumu mtu kukiona nakuanza kutembea alipo Amma na baba yake.

Amma akiwa hana hili wala lile asikari alimsogelea na aliandaa kisu ila baba yake aliona lile tukio,
Asikari yule alichoma alipo Amma lakini Amma alijikuta yupo chini na kisu kile kikamchoma baba yake aliyeanguka chini,
Asikari alijichanganya kwenye umati wa watu ili asikigundulike baada ya kufanya tukio.

"Baba!!baba!!",Amma aliita baada ya kuona baba yake yupo chini na akiwa na jeraha.
"Utanisamehe binti yangu kwakukuacha peke yako ila naomba nikuambie kitu cha mwisho tu"
"Baba usiongee tafadhalii, msada!!msada!!msada!!,
Watu walisogea kuangalia namna ya kumsaidia.

"Nisikilize mimi kwanza umeshachelewa binti yangu ninachotaka kukwambia ni kwamba ile ndoto ya
"CHUKUA MAJANI MAWILI KAYANYUNYIZIE MAJI YA MTO ADEYU, KISHA JANI MOJA MUWEKEE KATIKA JICHO LA KULIA NA JINGINE MUWEKEE KATIKA JICHO LA KUSHOTO",
mana ya iyo ndoto yako ni kumtibu mtu kipofu kwa kufata hayo maelekezo, nisamehe binti yangu sikutaka kukwambia sababu ungekuwa mbali na mimi kwa kumtafuta mtu kipofu,
ivyo kuanzia sasa ivi utakuwa mwenyewe naomba umtafute mtu kipofu umtibu ili ndoto isiwe inakusumbua.

Maneno yale yalipenya katika masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwepo pale walisikia mazungumzo yale walikuwa wakitazama tu badala ya
kutoa msaada,Babaaaaa.............ITAENDELEA.

Kwanini Amma amepiga kelele je? amepata msaada au na yeye amechomwa kisu tena na asikari wa General na vip kuhusu Lindiwe atafanyikiwa kumpeleka katika jumba la kifalme Prince Yao, tukutane sehemu inayofata

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU 21 -- 22

Sehemi..ya............ 21
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote......

ENDELEA NAYO.......
Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu wote katika mji wote ADELI

Chike pamoja na rafiki wa Nzegi walijadiliana namna ya kufanya ili tarifa ziwafikie General na Nzegi,
"Mimi naona tusubiri kesho tukitoka sasa ivi hapa itaonekana kama sisi ndio tumepanga"
"Upo sahihi kabisa tutawapelekea tarifa kesho asubuhi na mapema",Cheki aliongea.

Cheki na Mlinzi yule walikubaliana tarifa zile za matabibu kutafutwa na kukamatwa watazipeleke kesho mapema asubuhi.

...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-21-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
MFALME KIPOFU 12 na13
MFALME KIPOFU 12 na13
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
MFALME KIPOFU 11
MFALME KIPOFU 11
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 9
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Story.....................MFALME KIPOFU 8
MFALME KIPOFU  27
MFALME KIPOFU 27
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
MFALME KIPOFU  19 -- 20
MFALME KIPOFU 19 -- 20
MFALME KIPOFU  25 -- 26
MFALME KIPOFU 25 -- 26
MFALME KIPOFU  17 -- 18
MFALME KIPOFU 17 -- 18
MFALME KIPOFU  23 -- 24
MFALME KIPOFU 23 -- 24
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

363
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

333
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

316
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

173
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

62
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

36
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

29
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

29
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

28
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

27

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17
@majario LIVE

SEHEMU YA 16 Denis hakujibu kitu alikata simu 📱 hapo hapo nilishikwa na machungu 😔 sana nilifuta namba yake kwa hasira😡nikaanza kulia 😭 kilichokuwa kinaniumiza zaidi ni kuachwa bila kutarajiwa halafu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest