Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ilipoishia sehemu iliyopita....
Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO........
Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe katika ufalme wake hakuwapa ata mda wa kujiandaa na walinzi walipewa maagizo ya kuwa sindikiza na kuhakikisha wameondoka katika ufalme wa YUNDI.

Princess Nailet hakuamini kama baba yake anaweza kumfanyia maamuzi kama yale bira kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Nakuchukia sana baba!!!! nakuchukia!!"
"Sawa ata unichukie ila nafanya ivi kwa ajili yako huwezi kuwa karibu na kipofu na wewe ni binti wa kifalme"
Alikimbia huku akilia kuelekea chumban kwake.

"akikisheni mnakuwa naye karibu huyo asitoke kwenda popote"
"Ndio mfalme"
Yalikuwa ni maagizo ya mfalme juu ya kumuangalia Princess Nailet

Yunde alijiona mkosaji baada ya kusikia tarifa zile za Yao na Lindiwe kufukuzwa kwa wivu wake wakijinga.
"Nimefanya nini mimi Yunde,natengana na mwanaume niliyekuwa nampenda kwa ujinga wangu mwenyewe, alijutia nafsi yake"

***************
Katika kijiji cha Nyengweli kilicho ndani ya ufalme wa ADELI,
Binti Amma akiwa polini anatafuta dawa za matibabu kwa ajili ya wagonjwa alikutana na yule mzee aliyepiga magoti mbele yake ile siku aliyomtazama kwenye mkono wake.

Kwa mara nyingine tena mzee yule alipiga magoti mbele yake kama kutoa heshima kwake.

"Leo ni mara ya pili unapiga magoti mbele yangu kwani kitu gani kinachokufanya upige magoti?"
"Wewe ni mtu mkubwa sana kwenye hii falme ya ADELI lazima nikupe salamu yako kama inavyostahili"
"Hapana nahisi umechanganya mzee wangu mimi ni tabibu tu"
"Ni ngumu kuelewa ila mda mwafaka utafika na utaelewa"
Mzee yule alisimama na kuondoka zake na kumuachia Amma maswali mengi kwenye ubongo wake.

Amma baada ya kumaliza kuchimba dawa alirejea nyumbani kwao na kumkuta baba yake, alimweleza kila kitu kuhusu yule mzee juu ya kumpigia magoti kwa mara nyingine walipokutana huko polini.

"Unajua binti yangu mama yako aliwahi kusema ivi, ukiona mtu mkubwa anakuheshimu ujue kuna vitu vya maana vipo ndani yako".
"Umeongea kuhusu mama na umenikumbusha,ivi yupo wapi mama yangu???"
"Ni simulizi ndefu binti yangu"

Amma alisimuliwa kila kitu kuhusu mama yake na alihuzunika sana kusikia kwamba alishafariki zamani, pale yeye alipozaliwa .

***************
Asikari kutoka katika ufalme wa YUNDI baada ya kuwafikisha mpakani Prince Yao na Lindiwe waliwaacha wenyewe waendelee na safari yao na waliwakumbusha kuwa hawatakiwi kuonekana tena katika ufalme huo.

"Mama huku tunaenda wapi???"
"Usijali huku tunakoenda ndio nyumbani na sio huko tuliko toka"
"Unamaana gani kusema ivyo??".
"Utafahamu kila kitu tukisha fika Prince"
"Umeniita Prince?????"
"Kwasababu unafanana na prince"
"Mmmh",Prince Yao aliamua kuguna tu kwa majibu yale ya mama yake.
Lindiwe aliamua kupindisha baada ya kuona anaelekea kulopoka kila kitu kuhusu Prince Yao.

****************
Ndani ya ufalme wa ADELI mambo yalikuwa yameharibika kila kitu kilienda ndivyo sivyo mfalme Kojo alikuwa kwenye kipindi kigumu sana,

"Mfalme naomba ukae umesimama mda mrefu sana, Malikia andwaa aliongea kumtuliza Mfalme Kojo.
"Emu niache ni siku mbaya sana kwangu, General katoroka alafu nimemtambulisha mtoto ambae sijui ata limetokea wapi hilo litoto??".
"Ni sawa mfalme tutatafuta njia ya kumtafuta Prince wa kweli,hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hii mfalme".

Walipokuwa wakiongea maongezi yale, kuna mtu alikuwa akiwasikiliza.

"Mnasema Prince mliyemtambulisha sio Prince wa kweli??? ilikuwa ni sauti ya Yanite"
"Tatizo jingine hilo"
"Baba mimi kuuliza nilichosikia imekuwa tatizo????,Princess Yanite aliongea.
"Ongea na mama yako akwambie kila kitu",Mfalme aliondoka kwa hasira chumbani na kuwaacha Malikia Andwaa na Yanite............ITAENDELEA

Lindiwe na Prince Yao wanaelekea wapi baada ya kufukuzwa na Mfalme Tengu?? na je?Malikia Andwaa atamweleza ukweli Princess Yanite kuhusu Prince Yao???,sehemu ya 15 inamajibu zaidi

Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............15
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita......
Baba mimi kuuliza nilichosikia imekuwa tatizo????,princess Yanite aliongea
"Ungea na mama ako akwambie kila kitu"
Mfalme aliondoka kwa hasira chumbani mle na kuwaacha malikia andwaa na Yanite.....

ENDELEA NAYO....
Hakukuwa na siri tena Yanite alisikia maneno yote waliyokuwa wakizungumza.
Malikia Andwaa aliona ni wakati sahihi wa kuweka kila kitu wazi mbele ya Princess Yanite hakuona haja ya kuendelea kumficha tena.

"Maongezi uliyoyasikia niya kweli yule sio Prince halisi tuliye mtambisha".
"Mama una chosema ni cha kweli?"
"Ndio mwanangu"
"Na Prince wa kwel yupo wapi???"
"Prince wa kweli anaitwa Yao na ni kipofu, alizaliwa akiwa na tatizo la macho tuliamua mimi na mfalme akalelewe mbali kisiri,na wenye hii siri ni mimi na mflame tu".

Malikia andwaa alimkalisha Yanite chini na kuanza kumpa historia nzima jinsi ilivyokuwa mpaka Prince Yao wakaamua kuchukua mamuzi ya kumuondoa.

Yanite alihuzunika kusika story ya kaka yake.
"Ni makosa yenu haikutakiwa kumtenga Prince na sizani kama atarudi hapa ila mimi nitaenda kumtafuta mwenyewe kaka angu".

Alinyenyuka na kuondoka, jumba la kiflame sasa amani ilikosekana ilikuwa siku mbaya kwa Mfalme Kojo na Malikia andwaa baada ya siri nyingine kugundulika.

******************
Cheki yeye alikuwa anazunguka tu katika jumba la kifalme kutazama uzuri wa jengo lile na kupishana na wafanya kazi mbalimbali wa kike na wakiume.

"huku kuna wanawake wazuri kuliko ata Yunde niliyemuacha YUNDI huku sitoki na acha aolewe na yule kipofu,alisema na nafasi mwenyewe".

Walinzi waliokuwa kwenye ile mipango ya kumtafuta Prince feki walimuona nakuanza kumteta bira yeye kujua.

"Huyu jamaa anabahati sana kupata nafasi ya kuwa prince"
"Ongea taratibu kumbuka hii ni siri tunajua sisi tu"
"ata kama ni siri lakini jama kapata bahati sana natamani iyo na nafasi ya Prince feki angenipa mimi mfalme"

Kipindi wanaongea rafiki yake na Nzegi alikuwa anasikia kila kitu na hapo alitambua siri nyingine katika jumba hilo la kifalme.
Aliondoka taratibu bira kusikika na kwenda msituni kuwatafuta General na Nzegi ili awape tarifa zile.

Haikumchukua mda mrefu mlinzi yule kuweza kufika msituni kwa ajili ya kutoa tatifa ile aliyoisikia kuhusu Prince aliyetambulishwa.

Wakiwa mafichoni general na nzegi walisikia mluzi ukipigwa na ilikuwa ni ishara Nzegi anayoitambua walisogea maeneo husika ya sauti ile ilipokuwa inatoka.

"Kuna tarifa mpya na nzuri kutoka katika jumba la kifalme"
"Tarifa gani izo?"
"Inasemekana Prince yule aliyetambulishwa sio Mwana wa Mfalme wa kweli".
"unasema kweli????,Nzegi aliuliza wakati huo General yupo kimya tu akisikiliza mazungumzo yao"
"Ndio na uhakika na ninacho ongea".

"Wewe rudi katika jumba la kifalme na umshawishi huyo kijana kuja nae hapa,tumeshapata mtu wa kusaidizana nae tayali"
"Sawa General"
Asikari yule aliondoka na kuwaacha General na Nzegi.

"Mda wa kukaa sasa umeisha leo usiku waziri mkuu tunaanza nae hana ulinzi wa kutosha lazima afe usiku wa leo,
General sasa alipanga kuingia vitani lasimi na Waziri mkuu ndie atakaye anza nae"
.
*********************
Tangu Prince Yao na Lindiwe waondoke Princess Nailet aliamua ajifungie chumbani kwake na Mfalme alianza kupata mashaka baada ya ukimya wa binti yake.

"Fungua mlango Princess"
Baada ya kuona hakuna mwitikio wa mlango kufunguliwa Mfalme Tengu alitoa amri,
"Vunjeni mlango haraka".Mfalme aliongea akiwa na wasiwasi mkubwa juu ya usalama wa binti yake.
Walinzi walifanyikiwa kuvunja mlango na mfalme kuingia ndani akiongozana na walinzi wake,

ilikuw ni kama bahati tu walimkuta anataka kujinyonga hapo ndipo mfalme alijua kuwa binti yake amezamilia kweli.

"Kwanini unanifanyia ivi binti yangu??"
"Nimechagua kufa kuliko kuona Yao anaenda mbali na maisha yangu".
"Unajua kabisa wewe ndie mtu peke uliyebaki kwenye familia yangu unataka huu ufalme ubaki mikononi mwa nani???"

"Mimi ilo sijali, baba naomba uniambie una mrudisha Yao au humrudishi??"

Lilikuwa ni swali gumu sana kwa mfalme tengu na ukizingatia ndie mtoto pekee alienae,

"Asikari",mfalme tengu aliita kwa hasira
"Nendeni mka warudishe haraka"
"Mfalme tayali wameshavuka mpaka"
"Nimesema nendeni mkawarudishe",Mfalme aliongea kwa hasira na mboni za macho yake zilibadilika na kuwa nyekundu hali iliyo waogopesha walinzi wake.
Hawakuta kupoteza mda tena waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea .............ITAENDELEA.

Asikari wa Mfalme Tengu watafanyikiwa kuwapata Prince Yao pamoja na Lindiwe??,na Je?Yanite atachukua uamzi gani juu ya tarifa alizopewa na Malikia andwaa kuhusu kaka yake???,tukutane sehemu inayofata.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

Ilipoishia sehemu iliyopita....
Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa......

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA NAYO........
Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe katika ufalme wake hakuwapa ata mda wa kujiandaa na walinzi walipewa maagizo ya kuwa sindikiza na kuhakikisha wameondoka katika ufalme wa YUNDI.

Princess Nailet hakuamini kama baba yake anaweza kumfanyia maamuzi kama yale bira kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Nakuchukia sana baba!!!! nakuchukia!!"
"Sawa ata unichukie ila nafanya ivi kwa ajili yako huwezi kuwa karibu na kipofu na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-sehemi-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu-sehemi-ya
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

530
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

237
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

161
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

41

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest