Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU 11
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Katika jumba la kifalme baada ya mfalme Tengu kugundua binti yake hayupo alipata mashaka na kujua, huenda atakuwa katika mikono isiyo salama, sababu haikuwa kawaida kuondoka bira kuaga aliagiza vijana wake wamtafute haraka na...

ENDELEA NAYO.......
Mfalme Tengu akiwa anahangika kumtafuta binti yake,
Upande wa pili nyumbani kwa Lindiwe story zilichukua nafasi baada ya Princess Nailet kukalibishwa na kumkuta Prince Yao ndani. ilikuwa ni furaha kwake kumuona na kuzidi kukagua uzuri wa mwanaume yule aliovutiwa nae,

Lindiwe aliligundua hilo baada ya kuona Princess anamuangalia sana Yao na pia hakuna chochote cha maana alichozungumza Princess tangu awasili pale.
"Princess, Mfalme atakuwa ana wasiwasi na wewe ni usiku sana??".
"Ata usijali kwakuwa nimepafahamu kila siku nitakuwa na kuja kuwaona na ata kesho pia nitakuja".

Princess Nailet aliamua kuondoka maeneo yale huku akiwa na furaha isiyokuwa ya kawaida,
"Princess unafuraha sana siku ya leo??"
"Ni lazima niwe na furaha kwa sababu leo ni siku yangu ya kuzaliwa, pia nimeona kitu nilichokuwa nikikitafuta kwa mda mrefu"
"Unataka kusema tayali umempenda yule kijana kipofu???"
"Hayo ni ya kwangu mimi".

Princess Nailet anafika nyumbani na kumkuta Mfalme akiwa na hasira sana juu ya yeye kuondoka bira ruhusa,
"Tabia gani hii umeanzisha ya kuondoka bira ruhusa???,mfalme alifoka kwa hasira"
"Baba leo ni siku yangu hupaswi kuwa na hasira juu yangu"

Princess Nailet alijua mfalme anampenda sana mana ndie mtoto pekee kwake.

******************

Ni siku nyingine mpya baada ya safari ya mda mrefu ya usiku kucha ya asikari wa ADELI waliotumwa na mfalme pamoja na Cheki kijana waliyempata,
wanakaribia kufika katika kasili la kifalme la ADELI na tarifa zinapelekwa kwa mfalme juu ya ujio wao.

"Tayali kijana ameshapatikana kama ulivyotoa wazo lako".
Mfalme Kojo alimfikishia tarifa zile Malikia Andwaa.
"Haitakiwi achukue mda kukaa hapa inatakiwa tuongeze nguvu ya kumtafuta kijana wetu lazima nimtafute mwanangu , Malikia andwaa aliongea kuonyesha bado anatamani kujua Prince Yao alipo".
"Akija muonyeshe upendo mbele za watu ili watu wasishituke kama sio mtoto wako,mfalme aliongea na kuondoka".

Tarifa zilisambaa za chini juu ya Prince kuonekana na kesho ndio ilikuwa siku ya utambulisho wake.
Mlinzi mkuu Nzegi alielekea gerezani kwenda kumpa tarifa zile General,
"Hii ni habari njema sana kwangu,acha leo wafurahi ila kesho wakisikia nimetoka furaha yote itapotea"
"Ni kweli General ngoja nikaweke mipango sawa"
"Nakuamini Nzegi kijana wangu".

Mpango uliendelea kuwa palepale wa General kutoroka siku ya utambulisho wa Prince katika ufalme huo wa ADELI.

**************

Katika ufalme wa YUNDI, wafanyakazi katika jumba hilo la kifalme walishangaa kuona Princess Nailet anaamka asubuhi na mapema na haikuwa kawaida yake.

"Usiku kwangu ulikuwa mrefu sana sura ya Yao hainitoki katika kichwa changu, ni lazima nimuone asubuhi hii",ni maneno aliyokuwa akizungumza na nafsi yake Princess Nailet

Aliondoka katika Jumba la kifalme bira kuwa na msaidizi yeyote na kuelekea katika makazi ya Prince Yao,

Lindiwe alishangaa kumuona Princess asubuhi na mapema nyumbani kwake tena bira walinzi akiwa peke yake.
Walisalimiana kama ilivyo mila na desturi

"Mama najua unashangaa kuniona asubuhi hii katika makazi yako ila nina shida na Yao na maongezi nae".

Lindiwe hakuwa na kipingamizi alimfata Prince Yao, Princess Nailet alimshika mkono Yao na kumsogeza pembeni kwa ajali ya maongezi zaidi.

Wakati yote yanaendele binti Yunde alishuhudia tukio lile la Princess kumshika mkono Yao nakujikuta wivu ukimuingia,
"Hapana haiwezekani tangu lini ana mazoea na Yao, kwanza asubuhi hii huyu anafanya nini na Yao?,au wamelala wote????,
Pasipo kufikili mara mbili roho ya wivu ikamuingia hakuta kuona mwanamke yoyote anakaa karibu na Yao zaidi yake yeye,
Aliondoka mbiombio mpaka katika jumba la kifalme......ITAENDELEA

Kijana cheki anafikishwa katika ufalme wa ADELI je? atafanyikiwa kutambulishwa??,na Vipi kuhusu Yunde anayeenda kutoa tarifa kwenye jumba la kifalme nini kitatokea? Tukutane hatua ya 12.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU 11


Ilipoishia sehemu iliyopita........
Katika jumba la kifalme baada ya mfalme Tengu kugundua binti yake hayupo alipata mashaka na kujua, huenda atakuwa katika mikono isiyo salama, sababu haikuwa kawaida kuondoka bira kuaga aliagiza vijana wake wamtafute haraka na...

ENDELEA NAYO.......
Mfalme Tengu akiwa anahangika kumtafuta binti yake,
Upande wa pili nyumbani kwa Lindiwe story zilichukua nafasi baada ya Princess Nailet kukalibishwa na kumkuta Prince Yao ndani. ilikuwa ni furaha kwake kumuona na kuzidi kukagua uzuri wa mwanaume yule aliovutiwa nae,

Lindiwe aliligundua hilo baada ya kuona Princess anamuangalia sana Yao na pia hakuna chochote cha maana alichozungumza Princess tangu awasili pale.
"Princess, Mfalme atakuwa ana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
MFALME KIPOFU 12 na13
MFALME KIPOFU 12 na13
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 9
Story.....................MFALME KIPOFU 8
Story.....................MFALME KIPOFU 8
MFALME KIPOFU  27
MFALME KIPOFU 27
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
MFALME KIPOFU  19 -- 20
MFALME KIPOFU 19 -- 20
MFALME KIPOFU  21 -- 22
MFALME KIPOFU 21 -- 22
MFALME KIPOFU  25 -- 26
MFALME KIPOFU 25 -- 26
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU  17 -- 18
MFALME KIPOFU 17 -- 18
MFALME KIPOFU  23 -- 24
MFALME KIPOFU 23 -- 24
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

369
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

340
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

329
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

177
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

124
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

115
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

53
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

37
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

34
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

34

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.7K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest