Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
Gonga94 · Stories

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MPYA MPYA MPYA
⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️
⚪️⚪️

Sehemu ya 1 na 2


Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha nne tulishamaliza mitihani yetu na mwisho, na kesho mapema sana kila mtu alitakiwa kuondoka na kuelekea nyumbani, na mimi tayri nilishaongea na baba na akanimbia ananitumia dereva wa kuja kunifata na kunirudisha nyumbani mana yeye amebanwa sana, nilikiwa na rahaaaa sana, nilimmis sana mama yangu, yani sanaaaaaa, nilikuwa na kihere here sana na ada nimimis dada amanda, uyu ni dada amabe amenilea tangu nikiwa na mika 10 mana wazazi wangu mimi ni watu wa kazi so wanakuwa busy sana , na dada amanda ni dada amabe anatusaidia kazi nyumbani , yani nilikuwa natamani kupambazuke haraka niludi nyumbani jamaani, ahaaaaaaaaaaa, basi hii siku mm na rafiki zangu hatukulala kabisaaaa ni story tu dom mwanzo mwisho, yani ni rahaaaa tupu, apo nilishapanga kila kitu changu katika mabegi, yani nilikuwa nipo stand bay kwa kuondoka, aseeeee tuliongea mnoo , usiku mzimaaaaa yani mpaka.saaa 10 ile alfajir mimi binafsi ndo nalijiona nimechoka sana , nikapanda kitandani na nikapumzika , na asubuh na mapema tukaanza kuamshana likuwa ni vibessss mnooo, jamani kuondoka nyumbani rahaa nyieeee , mwaka mzima nipo shule especiallay huu mwaka wa nne, hatukurudi likizo kabisaaaaaa ni tuligongeka kweli kweli, so nilichoka maisha ya uku shule na nilikuwa natamani sana kwenda nyumbani

So tulikuwa na rahaa sana.na ndo siku ambayo tulikuwa tunamaliza kidato cha nne, yani tulishafanya mitihani kabisaaa, na hii siku sasa ndo baba alikuwa kanitumia dereva anifate uku arusha niliposoma na aniludishe tabora isevya ndo nyumbani kwetu, na baa yangu mm ni mwalimu wa chuo cha ualimu ngazi ya diploma na yeye ndio mkuu wachuo, na mama yangu mm ni daktari mkubwa katika hospital kubwa ya tabora , so kwefu sisi jamani mpunga upo , ila nashukuru tu kwa kweli, so ata mm nimesoma arusha marian girls private school na ada nilikuwa nalipia milion 4 kwa mwaka mmona, na nimeanzaa tangu primary mm kukaa bweni na kusoma shule za private mpaka namaliza form four, so kwa kiasi flni sijakulia katika mazingira ya shida kabisaaaaa,

Jamani mm naitwa zara jackson nyalugwe, mm ninmtoto wa pekeee kwetu, yani kwa baba yangu na kwa mama yangi, mm ni binti nnayependwa sana na wazazi ,asa baba jamani, yani uwiii baba ananipendaa mnoo,yani baba ananilea kwa kunidekeza kweli kweli, nnachokumbuka mpaka huu mda mm namaliza kidato cha nne, baba yangu hakuwahi kunipiga ata siku moja, ata mma sikumbuki lini ni alinipiga labda kunisema tu, mimi bwana ni mnyamwez wa uko tabora isevya na ndio tunapoishi ila mama yangu ni msukuma wa geita, na mimi ni binti wa kawida tu, siwezi kusema.mm ni mzuri sana wala ni mbaya sana, ni binti wa kawaida , na ni mweusi pia , mie shepu wala sikujaliwa ,ila nashukuru nipo kazuri tu, na mimi bwana ninapenda kudeka sanaaaa, yani napendaa kudeka mnooooo asa kwa baba yangu

Badi bwana , kwakuwa kulishakucha haraka nikaanza kujiandaa kwa ajili ya saferi yngu ya kurudi nyumbani, mana nilishajua dereva wetu lmzee lazak atakuwa kashafika kunifata mana ni mtu makini sana ,basi nilipotoka kuoga nikavaaa traks zangu, na nikapendeza mnoo, baada ya apo sasa, nikatoka njee na mabegi yangu, nikakuta na.wenzangu kila mtu yupo assemble na mabegi yake kusubili wazazi,mana sisi shuke yetu , ni lazima tulikuwa na rahaaa mnoo, basi kila mtu akawa anafatwa na wazazi wake , mie nikawa nimetulia sasa namngoja dereva we tu mzeee lazaki ili anipeleke nyumbani, jamanii nilikaaaa kuanzia asubuh mpaka saa 5 sijaona gari ya nyumbani, yani wenzangu ni wazazi wao wanafika wanachukuliwa wanaondoka mm ni nimetulia tu ata sioni dalili , aseeee nilichukia nikaenda kuomba simu kwa mwalimu kwanza kisha nikapewa

Nikampigia simu baba , nikasema baba shikoamoo, baba aksema.marhaba mrembo wangu vp ameshafika dereva, nikasema.baba kwani imekuwaje mbona mpka.sasa sijafatwa wenzangu wote ni wanaondoka kwa nn unanaifanyia hivi, mi nishachoka kukaa shule jamani, bab akanambia ahaa sory jamani mtoto wangu, sikia ni hivi mzeee alfani kwa sasa amestafu kazi, kuna dereva mpya tumemuajili ndo anakufata ,ila alinambia njiani kulikuwa kuna shida kuna sehemu alikuta kuna ajali nahisi apo ndo kumemsimamisha na kumchelewesha , ila atakuwa anakalibia kufika punguza hasira malkia wangu sawa, nikasema no dady ebu lipigie ilo dereva lako jipya liambie liwahi kufika nimechoka sana baba, kukaa uku arusha nna hamu sana na mama yangu ,sasa mpaka.sasa hivi hajafika apa.unazani inakuaje baba, si ntafika uko usiku sana lakini

Baba akanmbia muhimu kufika binti yangu, ata ukifika usiku kuna shida gani na unarudi nyumbnai na mma atakuwa anakungojea kwa hamu ebu tulia nampigia simu sasa hivi kumuulizia amefika wapi sawa, nikasema.sawa dady ,basi nikamrudiiashia simu mwalimu kisha sasa nikarudi kutulia na wenzangu nikiendelea kusubir , aseee jamni nilikaaa mpaka saa 7 mchana sioni dereva wa bab wala nini nilimind mnajua nilichukia yani tulibaki wachache mnooo, mpaka hamu ya kurudi nyumbani ikaisha kabisaaaa, aseeee nilikuwa na hasira sana , nikaw nimenuna pale kweli kweli, yani saa 8 mchana ndo naona gari yetu ya nyumbani inaingia, naifahamu ni harrier nyeusj, na hii ndo kama.baba alininunulia mm na huwa naendeshwa nayo sana nikiwa nymbani, pale kisha akashuka kijana wa mkamu, alikuw ni mkaka mkubwa tu nikamkadilia umri anafika mika 30 uyu kaka, apo mm nilikuwa na mika 17, basi yule kaka alivyofika nikaona kaingia kwaenye ofisi ya walimu

Na baada ya mda akatoka mwalimu sasa, akaja kuniita akasema zara tayali dereva wa baba yako kashafika naomba ubebe mabegi yako usogee pale ili muweze kwenda nyumbani nikasema.sawa, ila nilikuwa nimechukia sana kwa nn achelewe kufika nyumbani mpumbavu uyu, basi nikavuta mabeg yangu mawili mpaka pale alipopark.gari, nilipofika nikayabwaga njeee yale mabeg pale, nikamwambia naomba uingize hizo begi ndani ya gari harakaa, yani niliongea ile kauli ya mamlaka kweli kweli, basi yule.kaka akaja akaninua mabegi yangu kisha akaweka kwenye buti ya gari , alafu akapnda nadani ya gari, apo mm tayari nilishapanda na nilikaaa mbele nikiwa nimevuta mdomo kweli kweli yani nilichukia mnoooo , basi yule.kijana akanambia ahaaa hujambo , wala.sikumjibu , sijuh alitegemea natamuamkia na hjvi kanitibua nilimkalia kimyaaa, yule kaka aksema okey mm naitwa melvin ndio dereva mpya pale kwenu zara ,samhani kwa kuchelewe nilikuta na ajali kubwa maeneo ya babati imasababaisha foleni kubwa ndo mana nimechelewa samahani sana

Nikasema.ww bwana ebu endesha gari unajiongelesha nn, umeshanichelewesha nimekaa apaa kutokea asubuh mpka.sa hizi saa 8 ndo unafika ,.kisha umefika badala unipeleka nyumbani, unaanz akuniongelesha ujinga ebu niendeshe mimi niende kwetu nikapumzike nimechoka san, yule kaka akaningalia tu kisha akasem sawa madame, na taratibu akaanza kudrive sasa, nilikuwa nimenuna mnooo, yani nimenuna kweli. Nikalaza siti na nikajipumzisha , basi uyu dereva akawa kimya na yeye ana drivee tu ,
Mpaka saaa 11 jioni tukawa tushaingia babati na tukaanzq kuitafuta singida, nikamwambia wewe naomba utafute sehemu nzuri nipate kuchukua chakuraa mana nasikia njaa sasa , uyu kaka akaningalia kisha akatabsamu alafu akanmbia

Zara unajua ww ni kabinti kadogo sana mm apa nnavyoongea na ww nna miaka 30, ila.ata siku mona sijawahi kiumzaliau mtu na huwa naongea ana kila mtu kwa heshima na kwa aadubu ata awe mdogo au mkubwa ,wote mm nawaheshimu, kwa nn wewe hauna heshima na wakati umetoka.shule.sasa uko shule.ww umejifunza nn , au kwa nn unaniongelesha vibaya mimi., aseee hii tabia unayo ionesha kwangu sio tabia nzuri, kama.issue ni kuchlewa kukuafata nimekueleza vizueri kuwa ni bahati mbaya nimechelewa sababau nilikutana na ajali plssss nakuomba uwe na adabu na mm, mana mm nyumbani nma wadogo zangu wakubwa kukupita ww na wananiheshimu kweli.kweli , hivi mnamsikia uyu mpumbvu nyoko nn, nikasema khaaaaa sasa nimekuzalau nn we mjinga nn, alafu maskini sijuh mnakuwaje na hizi akiri zenu ebu nipeleka mm nikapate chakura njaaa inaaiuma, uyu kaka aknmbia ahaaa sawa tajeer sasa mm sijupeleki kula kokote mpka utaponiongelesha kwa heshima, na ukifanya masihara utafika mpaka tabora hujala.ww, mi nikamsonyaaaa uyu kaka, khaaaaaa ,yani ndo kwanza tumeonana leo ila tayari tulishatibuana kabisaaaa

Itaendeleaaaa.......................



Aseeeeeeeee ni shidaaa hii kazi, mtainjoy sana watu wangu❤️💎🔴 , njooo inbox na buku tu ujipatie❤️

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

MPYA MPYA MPYA
⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️
⚪️⚪️

Sehemu ya 1 na 2


Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha nne tulishamaliza mitihani yetu na mwisho, na kesho mapema sana kila mtu alitakiwa kuondoka na kuelekea nyumbani, na mimi tayri nilishaongea na baba na akanimbia ananitumia dereva wa kuja kunifata na kunirudisha nyumbani mana yeye amebanwa sana, nilikiwa na rahaaaa sana, nilimmis sana mama yangu, yani sanaaaaaa, nilikuwa na kihere here sana na ada nimimis dada amanda, uyu ni dada amabe amenilea tangu nikiwa na mika 10 ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/zara-mpya-1-mpaka-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi zara-mpya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 90 MWISHOOOO

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 90 MWISHOOOO

1.36K
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

292
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108

242
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17

143
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

141
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

130
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.

54
Anaitwa Ramadhani Chobwedo (MBEUMO) wa Kubanika 😂 Chezaji la Kukamia Mechi Kubwa. 🙌🏼

Anaitwa Ramadhani Chobwedo (MBEUMO) wa Kubanika 😂 Chezaji la Kukamia Mechi Kubwa. 🙌🏼

7

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.68K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.64K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.07K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.02K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17
@majario LIVE

SEHEMU YA 16 Denis hakujibu kitu alikata simu 📱 hapo hapo nilishikwa na machungu 😔 sana nilifuta namba yake kwa hasira😡nikaanza kulia 😭 kilichokuwa kinaniumiza zaidi ni kuachwa bila kutarajiwa halafu...

Anaitwa Ramadhani Chobwedo (MBEUMO) wa Kubanika 😂 Chezaji la Kukamia Mechi Kubwa. 🙌🏼 Post Mpya
Anaitwa Ramadhani Chobwedo (MBEUMO) wa Kubanika 😂 Chezaji la Kukamia Mechi Kubwa. 🙌🏼
@majario LIVE

Binafsi bado sijaona cha kunishawishi kwa huyu mwamba tofauti na wengine wanavyompa Hype. Niliangalia mechi zote mbili walizocheza TRA United na timu za Kariakoo, kiufupi mwamba alikuwa Anajitutumua ili aone...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 90 MWISHOOOO Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 90 MWISHOOOO
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Na kama ni kweli zena kanizungukia namshukuru mana nilikuwa nishapotea sana lakini yeye ndo kaniludisha kwenye mstari, yani imetulia.sana.na ninawaza maendelea tu na familia yangu , mpaka sasa...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "14_15"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "14_15"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) nikalala wee kukakucha mapema sanaaa Nikakusanya ndoo zangu zilizojaa bites huyoooo site kwangu Nikafanya usafi pale nikapanga kabati langu nikaweka mzigo nikakaa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest