AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia baba , baba kibao, ummy akanmbia bba poleee mama kasema unamwaa, nikasema ndio naendelea powa sasa wanangu, mala zena akaingia ndani, akasema ummy mchukue mdogo wako mkale sasa, mumuache baba apumzike ,ummy akasema.sawa maam ,kisha akanifata akanibusu akanmbia nkupenda baba, nikasema nakupenda binti yangu, na arshaina nae akamuiga dada yake akaja kunibusu, nikacheka tu, mana arshaina bwana, basi ummy akambeba mdogo wake kisha waktoka ndani,
Zena aknisogelea ,akanmbia vp unaendeleaje, mi nikamuuliza bado hujaondoka na wanao, zena akasema akanisogelea akawa ananishika kunipima joto la mwili, kisha akatoka ndani, akaludi na maji ya baridi, na kitambaaa akaja kunikanda kunishusha homa sijuh , ila nilikuwa nimenuna , ila ilikuwa usoni tu, ula moyoni nilikiwa na rahaaa mnoo, basi mtoto akawa anendele kunikanda taratibu, uku ananishika shika, adhssss sielewi ata na nyege zikatokea wapi, nikapeleka mkono wangu kwenye kiuno chake ,nikaanza kukibinya, zena akanmbia nn sasa ebu niache uko huoni unaumwa ,nikasema we ni mke wangi lakini nataka haki yangu, zena akacheka , akanmbia nisamehe kwanza mume eangu najua una hasira sana na mimi, nisamahe millan wangu, nikamwambia nipe kwanza nakusameheeee
Akanmbia badi ngoja wanao walale kwanz ndo kwanza wanakula , nikasema.sawa ,basi alipomaliza kunikanda akaenda kunilete chakura akaanza kunilisha , taratibu , daaah nilikuwa nasikia raaha sana kumuona zena wangu, zena akawa annilegeze jicho kweli kweli, nilikuwa nainjoy sana kumuona mke wangu, basi nilipomliza kunywa akanipa na maji kisha akanipa na dawa nikameza, eeeh mlango unagongwaa, zena akaenda kufungua et ni kina ummy, wameingia ummya nanambia baba leo sisi tunalala uku na wewe gunakuangalia si una umwaa , kha awatoto mbona jau awa mi nataka kumkamia mama yao tumalize hasira zetu, nikasema.mm naendele vizur wanangu mkalale sasa , soooh si wakagoma et hawataki wanataka kulala na mm, ahaaa nikaona zena anacheka
Basi ikabidi tukae nao pale ,basi ni fujooo, ni story zao za shule tu, mala ummy anakuja anaishika shika et ananipima joto, aseee nna familia ya upendoo mnoo basi vikakaaa sna kufika saa 6 usiku wote wamelala, weeee tukshilikiana na mke wangu kuwapeleke chumbani kwao , mpaka uyu mdogo tukamlaza uko uko, ila yeye tukamlaza chini, kwenye kigodoro mana ummy na mdogo wake ni walalavi sana, kisha sasa tukaludi chunbani , acheni hii siku, zena alinipa penzi tamu kweli kweli, alinikatikia viuno mpaka nikichanganikiwa , anilipa kila style mke wangu, nilitimba mpaka nikatomba tena, mtoto alijiachia sanaaa, na aliililia kweli kweli, aseeee hii siku penzi lilikuwa tamuuuuu mnoooo, aseee nilimwmabia zena nakupenda sna mke wangu nakupenda sana, na zena alinambia nakupenda sana mume wangu millan, nakupenda mnoo, nilimkumbuka hii siku ,nikwambia unakumbuka tulipoanza kukutana mm na wewe tulikuwa tumezingua mnooo , leo na wawtoto wawili umenizalia, ase zena akawa anacheka, apo ni tunapiga story uku tunakulana , nyiee mpaka saaa 10 alfajir ndo tumechiana tipo hoi, na hatukalala bado tuliendelea kuongea, nilikua namuweka sawa zena
Nilimwmabia kama kumuoa ni mm ndo nimemuoa japo mama hataelewa kwa sasa, ila ataelewa tu, akanmbia lakini mama yako hanipendi mnoo mapaka naogopa nikasema.mm ndo mumeo unaogopa nn, ebu tulia sasa , nimemuacha jalia, najua kila kitu kuwa alikuwa anamtuma mama ahmed kukufanya ww usiwe na rahaa mke wangu, na wewe ulikuwa hunambii kabisaa, sikia iyo tabia sio nzuri kuanzia leoe usinifiche chochote mke wangu kinachokutokea , asa uyo mama ahmed anapokutafuta nambie swa ,akanmbia ndio mume wangu, nikasema sawa, kule viwege napangisha , na apa tunahama, nataka tukakae sehemu ambayo tutakuwa na amani , akanmbia sawa mume wangu, basi tukasameheana na mke wangi na yakasha kabisaa, na kweli mm kule kwangu viwege nilipangisha ,tena kila kitu nilimkabizi zena ndo akawa ananismamia mana mm nilikuwa busy kazini
Na kisha apa pugu tukahama, tukaamia gongo la mboto town apa , uku napo tukapanga nyumba nzima na maisha ya furaha na amani yakaanza apo, aseee mi najivunia sana mke wanguz najivunia sana zena , zena ni mwanakk
e , ni mwanamke mzuri mnooo, amenifanya nimeacha mamabo yote ya kipumbvu na nifocus na maisha , mana zena alikuwa anajuua kunituliz na kunishaur mamabo ya maana nuu ya maisha , baaad aya miaka 3 nilijenga kabisaaa nyumba yangu nyengine, maeneo ya chanika na tukaamia chanika mwetu sasa ,na mpaka sasa ndo nakaaa ukoo, ni kwetu kabisaa, siwambiia niliingia kwenye kilimo cha mpunga,na nashukuru napata pesa sana, zena alinishauri nikafungua mpaka duka la nguo kariakoo pale, na mala nyingi mke wangu zena ndo anakuwa anashinda pale akipambana na biashara, aseee nna mafanikio mengi amabyo niliyapata nikiwa na zena, kweli ukiona mwanaume mwenye mafanikio basi jua nyuma yake kuna mwanamke imara
Hatujaongeza mtoto mpaka sasa , ni vile zena kazuia hataki kuzaa harkaa haraka et, anambia mpka awa wasogeee kwanz ndo atanizalia, mi nilimwambia sawa wala sikuwa n shida na mpaka leo ummy namlea kama mwanangu, tena mama yake akimwabia kuwa uyu sio baba yako mzazi ,hataki, anakuja kuniuliza uku analia mda mwengine, et mama anambia ww sio baba yangu ni kweli ,namwambia sio kweli weee ni binti yangu wa kwanza kabisaa na nakupenda sana , basi ummy anashangilia kweli kweli,, na nishamkataza zena.kumwambia mtoto kuwa mm sio babaha yake sio sawa itampa mawazo, umepita mdaa sana , sasa ummy kapo darasa la.7, na.wanangu wote wanasoma shule nzuri mashalaa, na sina shida kwenye suala la maisha, zena ana akiri mnoo, kuna mda mpaka nasema daah nilikuwa wwapi kutokumpata zena mapema, daab mpaka.sasa nimejenga nyumba nyingi mno za kupangisha ,na yote ni akiri ya zena, mi binafis nililizika na kijumba changu kimoja cha viwege na kigari kimoja basi, ila zena ndo alikuwa ananionesha nn maana ya maisha ,alikuwa ananmbia lazima tutafute na tufate, tusiwe wa kulizika na kipato, ni tunafanya dua na tunatafuta zaidi, sababu ga famili, bask namuelewa sana mke wangu,mimi pesa nilikuwa napata ila nilikuwa namaliza kwa wanawake na pombe,but now.nimepoa sana, mpaka washikaji wananmbiaga wanahisi mke wangu kanizungukia sehemu kunitiliza nabakiaga nacheka tu
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni