AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 83 na 84
Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa nakuja leo tungeongea tu mama akasema tuongee nn una dhalau ww , nakupigia simu usiku kucha hupoki simu zangu si ndio, ina mana mm sio wa maana kwako, wa maaana ni uyo maraya wako nakuuliza ,umejizaa wewe mshenzi, au we ndo umenizaa mm ebu nambie, mh mda uo uo naona zena alisikia kelele akawa anatoka sasa , ile kafika sebleni, jalia akasema mama mwanamke wake mwenyewe ndo uyu
Nyie mama aga hakuliza ile.zena anashnaga,mama.kamvaa zena akanza mpiga, aseeeee niliwahi nikamshika mama ,nikamwabia mama plssssss acha mama.achaa, apo kaka yangu ni katulia tuli.anaangalia tu, zena akawa anashanga uku analia mana mama aliwa kumpiga kama makofi mawili hivu ya shavuni, aseee nilimshika.mama yangu nikamtoa njeeee, nikaludi ndani nikafunga mlango, nikasema.broo nendeni mi ntakuja, kaka akanambia we fala.nn unamtoa mma yako njee kwa ajoli ya uyu maraya, nikasema.kaka kama ni maraya ni wangu ndo.nampemda sana unataka nimuache mama apa ampige mwanamke wangu bila sabau siwezi kukubali kabisa wakati mke wangu hajui lolote juu aya aya ni mm nilimdanganya kwa kila kitu , kaka anifata akanikwida et anataka kunipiga , akanambia unanikalipia mm mshenzi ww, ahaa hii siku nilichafukwa na mm nikamkwida pia kaka.nikasema we ni nani kwani usinizingue ww, ebu acheni kunipelekesha mm, nimeshasema.simtaki uyo jalia sasa. Na nikija uko nakuja kumpa taraka yake full stop nazani.mnataka kunijua vizuri kuwa mm ni mwandawazimu.jalia akasema.heeee tarka.kivipi, nikasema toka kwangu kwanza mshenzi uyu, mana nilijua uyu jalia ndo anayapika.aya mambo ,basi broo.akaniachia akanmbia fresh ila ipo siku utajutia aya, nikasema.sina cha kujutia na muache kunipangia mm sio mtoto, basi broo akatoka njee na jalia akatoka ndani kwangu, basi namsikia mama anatukana uko njeeee ,hivi mnajua wapembana wana matusi sip powa wakivurugwa , basi mama yangu ni noma, ahaaa alikuwa namtukna zema kwli kweli, na mutusi ya nguoni kabisaa, mpaka mm ndo nikawa naona aibu sasa
Walivyotoka mi nikaenda kulock mlango wangu nikaludi kwa zena.sas, zena akawa analia.sana, , akanmbaia mi siwez kama mama yako ndo hanitaki kiasi iko nipe tarka yangu siwez tena kabisaaa ,nilimwambia wewe ntakupiga nikuue usiendeleee kunichanganya kabisaa ,nani anakupa taraka.nani anatoa taraka ni mm ama.kivuli changu , zena sikuachi ata iweje,sikuachi ata dunia ipinduke unataka kwenda wapi na wanangu ,iko kitu hakipo zena , hizi ni changamoto tu amabzo kwa sasa tunazipitia . Na tutazimaliza tu,.na tena.simtaki.na uyo.jalia.wao, ni mm.na wewe na familia yetu kwa jalia ntalea mimba tu,.naomba uwe na amani, zena bado.akawa analia tu kisha akaenda chumbani .nikawa kama nimevurugwa nikakaa kwanza kwenye sofaaaaa pale sebleni mana dah
Apo nilisikia nje kimya nikajua mama katikana kalizika.ndo kaenda kwa jalia.sasa, alafu broo nae ananilietea michongo sio mi leo nilipagawa nilikuwa nataka ata kupigana nae, mana mtu ukimuheshimu ana hisi kama unamuogopa sana, na vile ni mwanajeshi anajiona mwamba akwende
sasa nikawa nimetulia.katika sofaaa nikiwa pale sasa , simu yangu inaita anayenipigia.ni mama ahmed mshenzi uyu nikapokea nikasema.we maraya ndo umemuelekeza jalia.kwangu sio,kwaiyo ulikuwa unanifatilia ama vp, mama ahmed akasema.miillan mi.nataka.nikuelezee ukweli wa aya mambo ili niwe na amani mana mm naishi kwa kujificha jificha sana sababu nakuogopa ww, nikasema sawa endelea kujificha hivyo hivyo nisikukamate nitakapokukamata nazani ntakuua na ntasahau kabisa kama mm na wewe tumewahi kuzaa kabisaaa. Mama ahmed akanmbia sikia millan nikwambie katika ao wanawake zako wawili zena ndo mwanamke millan sikufichi ata mm nilikuwa nakuhitaji sana ,ila kwa zena nimepiga salute, zena ani mwanamke mzuri sana anakupenda mnoo, nahisi ata nikifa leo, kama ahmed atalelewa na zena.basi mm ntakuwa na amani sana, nikasema.so unataka nn kwenye maisha yanguz we si ndo umenivurugia kila kitu, fresh ntakushika tu maraya ww
Mama ahmed akanmbia mm nilikiwa natumwa tu millan, ni jalia ndo.alikuwa ananituma kwa kila kitu, na jalia ndo anajua mipango yote ,mimi alikuwa ananilipa pesa tu, ila.nimegundua ni mwanamke mwenye roho mbaya sana, nikakaaa vizuri nikasema kivip wewe na jalia mmejuana lini mama ahmed umekuja na drama.zako.nyengine sasa si et, mama ahmed akasema sikia ,mimi.niliwahi kuja kwako mala moja tu kule viwege kwa jalia na nikakutana na jalia, na iyo siku mm nilijitambulisha kuwa ni mzazi mwenzako, sijuh jalia aliona nn kwangu akanza kunitafuta na akaanza kunipa pesa nikufatilia.na nimpe yeye majibu ya kila kitu na akawa anannilipa pesa yote ni ww uachane na zena
Na mm alikuwa ananituma kila.sehemu ata kule funcity ile.siku nilikuwa na jalia, na yeye ndo.alinituma, ata lile deal.la kuwafumania, jalia ndo.alinituma nimstue zena alafu nimlete aje kuwafumanai akitamani sana uachane na zena lakini.naona anazidi kuvuka mipaka anaanza kunambia anataka kunipa.dawa nije kumuekea zena naogopa.sana naona jalia ni muuaji alafu zena nimemsoma.kwa mda mchache ni mwanamke mzuri sana kwako, nishatumwa mengi sana na jalia ,na nikawa namwambia na kumjaza maneno zena ,ila hajawai kupanik kabisaa, nisamehe sana millan ,naogopa.sana sijuh utanifanya nn utakaponishika, aseee nikakata simu pale pale kisha nikaenda chumbani kwa mke wangu, nikakauta katuloa kajiinamia bado, nikamwambia mama ahmed alikuwa anakwambia nn, mke wangu akabako kimya analia, nikasema nambie zena ,akanmbia mengi tu kuwa unanaisaliti, na una mwanamke uliyemuoa , mpaka picha za ww na jalia alikuwa ananionesha na ile siku nimekuja kuwafumania ni yeye ndo aliinita aseeeee nilichoka na zena hakuwahi kunambia kabisa kuwa anatafutwa na mama ahmed , aseeee nikamuacha zena ndani kisha nikatoka njee, nikaingia ndani ya gari yangu na moja kwa moja mimi.nikaenda mpaka.kwa jalia nna hasira snaa yani nna hasira mnoo, yani nilikimbiza gari kisenge
Nikafika mpaka kwa jalia, nimefika pale nakuta kama kuna malumbano ndani, mana mm bado sikuwa nimeingia ndani, namsikia jalia analia anasema amechoka hataki tena hii ndoa, kisha mama ndo anambembeleza kuwa atulie yeye ndo kaja kuweka sawa, apo mm nilikuwa nimesimama mlangoni kabisaa, namsikia jalia ansema mama nimevumilai sana na kama mwanamke nimepigania sana hii ndoa ila wapi mwanaume hanitaki kbisaaa ,mama nimemdanganya mpaka nna mim nikihiisi atanipemda ila wapi hakun mapenzi kabisaaa, mama nishafanya kila kitu, nimetumie mpaka pesa kufanya millan anakuwa wangu ila wp mama hanitaki , na hanipendi nimshindwa kwa kweli, ebu nataka furaha na mm sasa, yeye anamsikiliza zena tu, hataki kumuumiza zena kwa chchote siwez kuwa mtumwa tena, basi mma anmwambia hapna mwanangu jamni usiwe na hasira tulia na mm ndo nimemzaa millan na kila kitu kitakaa sawa, yani mama ndo anambembeleza jalia ,nikaona kwli mama kampnda jalia sanaaa
Mi nikafungua mlngi nikaingia ndani, nikakuta jalia ameshafungasha mabegi yake na kil ktu, nikmuuliza kumbe huna mimba ulikuwa unanidanganu sio, jalia akanmbia sikia sitaki maongezo ten millan , nipe taraka yangu nikafanye maisha yangu, nimekaaaa apa na wewe na wakati wanaume weng sana uko pemba, niliheshimu maombi ya wazazi wako kunioa ww, il sasa nimechoshwa na hiii ndoa, na kuanzia leo sikutaki na sina mimba yako mm, nikasema.ooh ndo mana ulikuwa unamlipa mama ahmed aje kufanya ushenzi kwa zena si ndio, jalia akanyamza ,niksem.jalia ninajua ujinga wako wote , ulikuwa unafanya kila njia niachane na zena sio ,jalia akanmbia kwa sasa haina maana ,nilikuwa napmbana kipindi nakutaka now sikuhitaji tena nimeshaona huwezu kumuheshimu yoyote mbela ya zena na ndo mana umemjibu vibaya mama yako na ulikuwa unataka kupigan mpaka na kaka yako , mi sikuongea tena ,nikaingia chumbani nikachukua karatasi na peni nikaludi sebleni, nikaanza mumuandoka taraka jalia, mama aksema weeee ole wako umuache jalia , naomba sana usiandike tarka nasema aya yanazungumzika kbisa , mi sikumsikiliza mma.nikaandika trk 3, nikampa jlia ,nikamwambi a kuanzia leo ww sio mke wangu na sikutki tena.jalia akanmbia asante na kuanzia lek wewe sio mume wangu na sikutaki tena, kisha akavuta tarka.zake.akaaanza kukokota mabeg , nyieee mama akanmbia wewe mtoto una laana nakuuliza una laaana una muacha mke mzuri kwa sababu ya yule mshenzi wako? , niksema.mama mimi yule mshnzi kwangu ndo wa muhimu na.ndio yule nnayempenda sana naomba jmkubali tu kuwa ni mkweo na ukubali wajukuu zako ,mama kanambia nipe.nauli naondoka kwanu na sitaki uje pembe mshenzi ww, nilikaza moyo , nikatoa pes nkampa.mama nkmwmabia safari njema mama yangu
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni