Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
Gonga94 · Stories

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.....

Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue

"Unamaanisha kwamba Zuri kaolewa au..??"

Nilirudia kumuuliza mama kwa mara ya pili ili nijihakikishie, mama alinitazama kwa muda kisha akazungumza

"Ndio ni mke wa mtu yule, na ni mama wa mtoto mmoja.."

Eeeh ila wanawake acheni kabisa wanawake saluti zenu walahi, maana unakuta msichana ameng'aa harafu mzuri balaa ukimtazama unajua tu huyu bado hajaolewa

Ila sasa kumbe wameolewa na tena ni mama watoto, jamani jamani mie sikuwa najua kama Zuri ana mtoto lakini pia kaolewa hii ni kwamba zuri ni mzuri mno

Na pia Zuri ako na mwili soft yani ngozi yake inag'aa muda ote na anaonekana bado mdogo mno, sasa ndio maana sikuweza kulijua hilo sasa hapa mama kaniambia na kijana wenu ndio moyo wangu upo pale

So saivi sina hamu kabisa, yani nahisi joto na baridi vikinisumbua kwa wakati mmoja, nikabaki namtazama mama yangu jamani ili walau anionee huruma mtoto wake amshauri Zuri aachane na mumewe na kuja kwangu

Eeh mie nae nimezidi, basi bwana taratibu nikataka kuondoka zangu mama akanizuia kwa kunishika mkono

'Frank nafahamu kwamba unampenda Zuri, ila kijana wangu nikwambie tu zuri ni mke wa mtu na mumewe sio mtu mzuri kabisa, hapo unavyomuona Zuri usomuone anacheka yule

Ila anamaumivu makubwa mno kwa sababu familia ya mumewe wanamnyanyasa sana, huwezi amini Frank hata mshahara wake wote wanachukua wao

So mimi kama mzazi ambaye ninajua uchungu na maumivu ya mwana nikaamua kumchukua Zuri ili aishi hapa kama dada wa kazi lakini pia namfanya kama binti yangu ila kwa muda huu anaishi hapa kama familia tu maana kule ukweni kakwe alikuwa anateseka sana.."

Mama alikuwa anazungumza lakini hata sikuwa namuelewa kabisa, so nikaondoka zangu na kuelekea chumbani kwangu, kichwa kilikuwa kizito hata kuona mbele aikuwa naona kabisa

Siki hiyo ikapita na siku nyingine ikashika nafasi, siku hii bwana niliamka nikiwa na kachuli flan hivi kwa Zuri kisa tu nimesikia kuwa ameolewa lakini pia anamtoto

Wivu sio mzuri kabisa, maana baada ya mimi kufika sebleni nikamkuta Zuri akiwa amekaa anacheki movie yake pendwa, maana ilikuwa tayari saa tano, kutokana na mimi kutokuwa sawa nilichelewa kuamka

"Zima hiyo TV, harafu kuna nguo zangu kule chumbani kwangu nahitaji uzifue.."

Nilimwambia kwa ukali lakini pia na wivu juu, Zuri akabaki ananitazama tu kama sinema ya fimu ya yesu, huku akitaka kulia kabisa

"Unanitazama nini?? Kafue nguo bwana.."

'Sio zamu yangu, ni zamu ya Anita.."

"Hayo mimi sijui, ila ninachotaka nguo zangu ziwe safi basi.."

Nilizungumza kisha nikaa kwenye sofa, Zuri akanyanyuka akiwa mnyonge nikamuita tena akageuka na kunitazama

"Kwahiyo unaondoka, umeniona nimekula au..??"

"Lakin..."

"Nataka chai mimi..."

Eeh mie nae nimezidi bwana khaa hata kama ni wivu ila sio kwa style hii walah

Basi zuri wala hakunijibu nikaona anaondoka tu

nikabaki na hasira kwa sababu nilifikiria. ataninyenyekea ila wapi baada ya muda kidogo akawa ameleta chai na kuniwekea juu ya meza na muda huo huo Ethan na kaka Idress wakawa wamefika pale

Zuri alikuwa ni mtu mtaratibu mno lakini pia mpole ambaye hapendi kuongea sana, basi baada ya Ethan na Idress kufika pale wakawa wamekaa na kubaki wakituangalia tu mtu mbili

sie

"Zuri mbona leo huna raha..??"

Ethan akaanza sasa maswali yake yale, nikamkata jicho ila wapi huyu kijana sijui kichwani mwake anafunza kweli au vipi

"Aah niko sawa tu.."

Alijibu zuri huku akitaka kuondoka lakini nikamzuia

'Mbona chai haina sukari...??"

Nilimuuliza kwa ukali, mpaka Ethan na Idress wakabaki wananishangaa maana sio kawaida yangu kuongea na Zuri namna ile......

Itaendelea..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*


SONGA NAYO.....

Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue

"Unamaanisha kwamba Zuri kaolewa au..??"

Nilirudia kumuuliza mama kwa mara ya pili ili nijihakikishie, mama alinitazama kwa muda kisha akazungumza

"Ndio ni mke wa mtu yule, na ni mama wa mtoto mmoja.."

Eeeh ila wanawake acheni kabisa wanawake saluti zenu walahi, maana unakuta msichana ameng'aa harafu mzuri balaa ukimtazama unajua tu huyu bado hajaolewa

Ila sasa kumbe wameolewa na tena ni mama watoto, jamani jamani mie sikuwa najua kama Zuri ana mtoto lakini pia kaolewa hii...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/in-love-with-zuri-sehemu-ya-sita

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi in-love-with-zuri-sehemu-ya-sita
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

980
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

679
NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65

NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65

227
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

221
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

208
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽

198
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

184
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽

143
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

107
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86

21

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.87K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.41K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.76K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.65K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue "Unamaanisha kwamba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
@majario LIVE

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema “kulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema “Acha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema “huna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽
@majario LIVE

“Leo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa “Okay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani “We dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600–2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" “Twende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰 Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, we’ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni ✅️Makamu wa Rais CAF ✅️Mwenyekiti wa Fedha CAF ✅️Waziri wa Fedha Morocco 🇲🇦 ✅️Mjumbe wa kamati ya...

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:46 Nilimwambia “nina kichukulio?, Dorice natamani unielewe huyo mwanaume alivyo kwanza Hapana sitaki, na unajua mimi kwasasa akili ni mwanangu tu na hata hivyo hawezi kunitaka mimi. Kwa kipi...

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86 Post Mpya
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
@majario LIVE

Mwigizaji na gwiji wa sanaa za mapigano Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, huku taarita zikieleza kuwa alikuwa akiugua kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa familia...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest