JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
Mwandishi:lissa mwalla
Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au nasemaje?kwak dar sipajui mm nilianzaje?niliwaza nikakosa raha.nilirud nyumbn nikajilaza chumbn nikiwa mwingi wa mawazo,
Mida hio ilikua saa nne asubuhi hiv,nililala mpka saa nane mama alitudi akaniamsha,niliamka cha kwanza nikashika simu,mama akasema umelala sa iv unaumwa?na mbona unaangalia simu?nikasema nilikua naangalia muda tu mama,akasema unaumwa?nikasema hapana mama wala siumwi kabisa,akasema basi amka unisaidie kumenya ndizi uganda zipo jikon baba yako anakuja leo nataka nimpikie ndizi nyama.nikasema sawa.nilinyanyuka nikaenda kuandaa ndizi lkn akili haikua pale kabisa,niliwaza mengi sana kuhusu mimba yangu na hatma yangu,niliwaza au nitoe mimba?mmh nitakua nimeua na nina enda kanisani sasa kanisa gani wanapokea mtu kama mm?eeh Mungu nisaidie niliomba huku nikimenya ndizi.keanu aliamua kunikomoa yani mapenzi yote yale mahaba yote yale leo ananiuliza hiv?niliwaza huku mchozi ukinitoka.mara mama aliingia akaniona akasema unalia nn?ww mbn sikuelewi una nn?nikasema hakuna kitu mama.akasema kwa hio ww chizi sasa unalia bila sababu?nikasema hamna macho tu yananiuma,mama akasema haya mficha maradhi kifo humuumbua.nilimtizama tu nikaendelea na kaZi.nilimenya nikamaliza akaja akasema nensa kapumzike acha nipike mie nimpikie mme wangu,nilimuonea huruma angejua baba anaishi pia na frida asingesema mama hayo mama yangu.akasema na wewe dokta tee ukija kuolewa tu ujuenunatakiaa mme kumpikia wewe kama ww sio msichana wa kAzi,vinginevo msichana wa kaZi atakua mke mwenzio mana akipika vitam kuliko ww mmeo atatamani zaidi kwake.maskin mama yangu japo alikua anampikia baba lkn baba ana frida mm nikasema mama sidhani kama nitakuja opewa,mama akasema kwa nn usiolewe mwanangu?nilivokuzaa nilikunenea maneno matamu ya uchungu,nilisema utakua na akili utasoma na kupata kazi nzur kisha utaolewa na mwanaume mzuri sana utaishi vizur na kwanza mwanangu ww umejitunza mpaka
Leo sijawahi skia una mwanaume mwanangu umejitunza usichana wako vizur,pili ww mzuri tatu umesoma mwanangu,mwanaume gani asietaka kuoa mwanamke kama
Ww?nikamtizama nikatabasam ikwa woga kwanza yani mama anahisi mm msichana?nishatembea na wanaume watano tena watatu wale ilikua kwa mkupuo siku moja muda mmoja na hapa mm mjamzito bwana hapokei
Simu.niliumia sana.nikatoka tu jikon kimya kimya nikawaza niende hata msamvu tu nikabuz buz (kipindi hiko baba karudi tena morogoro tunaishi kihonda kwenye nyumba yake) lkn nikaona haina mana,nikapata wazo nimwambie tu da frida mana ndio suluhu atanipa wazo litaniingia.nilitoka nje nikijifanya naenda dukani huko nikamtwangia da frida nikalalamika kila kitu,da frida akasema wala usichanganyikiwe,umemaliza chuo salama unasubir tu chet na graduation ,babako alishaanza kusuka mipango ya ww kupata kazi serikalini tulia utalew mimba hio,mtoto ni wa mama siku zote tulisana achana nae.nikasema lkn naumia mana kanuacha gafra sana,akasema tulia hawaachagi kwa saut mdogo wangu tulizana mtizame Mungu si unasali ww?nikasema ndio. Akasema achaaa hajakuua utazaa mwanao atakua zawadi yako mana kuna wengi wanalia wanataka mimba na hawapat tulizana sawa.nilimskiliza alinishauri mno na kunitia moyo,akasema kama vipi njoo dar upoteze mawazo huku nitakudekeza utapumzika sawa?nikasema sawa.nilirudi nyumbnnikiwa na wazo la kwenda kwa da frida nikamwambia mama nataka niende dar nikafatilie mambo ya chuo huko.mama akasema lini wataka kwenda?nikasema kesho.akasema mpigie kakako akutumie pesa.nikasema sawa.kaka tommy alikua engineer hivo anapesa nikampigia nikamdanganya mambo kibao akasema ananitumia pesa nikasema sawa asante kaka.niliingia chumbn nikapanga nguo zangu baadhi tayari kwa safari.kaka alinitumia pesa ya kutosha nikamjuza mama na kumshku kisha tukakaa kumsubir baba.baba alifika tukasalimiana mm nikamuacha na mke wake na kwenda kulala zangu.siku hio hata sikula usiku kabisa.nikiwa fofofo nikaskia simu yang inaita hiv,mmh naota au nn?nilikua nimeiweka chaji mbali kidogo nikaona uvivu nikaiacha.kulikucha nikaichukua kisha nikaangalia nikaona namba ngeni niliipigia lkn haikuwa hewani,mmh nani sasa alipiga jmn? Nikasema atapiga tena kama anashida.nilijiandaa nikamuaga mama na mme wake kuwa naondoka zangu wakasema sawa.niliondoka zangu nikaenda msamvu nikakwea hood hadi dar.nilimkuta da frida ananisubir stend tukaondoka hadi kwake kipindi hiko anaishi kwake amejengewa kimara na baba na alikua mjamzito kipindi hiko.tulifika kwake nilikuta ameniandalia vyema misosi na chumba kizuri,nilimshkuru snaa,tuliongea mengi na alinielekeza namna ya kuishi na mimba na mengine mengi.siku hio tulilala pamoja mm na da frida usiku tena simu yangu iliita,da frida alinisogezea mana alikua jirani nayo.ilikua ni ile namba nikapokea nikaskia bby uko poa?alikua ni keanu,nilikuupuka nikakaa kitandani nikasema umeamua kunitafuta umefikiria sana ee?akasema hapana bby mm nipo kikazi mahali sikukujuza sababu ilitakiwa iwe siri,nilipokua naongea simu yangu ilizima chaji na tupo porini nisamehee mamangu,jana nikapiga usiku hukupokea hii simu n ya mwenzangu kafanikiwa kuificha mahali inapatkna kwa muda tu.nikasema usemayo ni kweli au unanipanga?akasema kweli kabisa sa kwa nn nikupange?sijagombana na ww na hakuna baya mtoto wa watu umenifanyia na kuhusu mimba nimefurahi sana sana mpnz wangu,asante kwa zawadi hio,nina wiki moja huku nakaa nikirudi nitafanya juu chini nije nionekane nyumbn kwenu,pia kwa sasa nimempa namba wifi ako mkubwa atakupigia na mkubaliane aje kukuchukua akupeleke dar wakakuone nyumbn mana niemewambia una mimba tyr.sikuamin maneno yake,nikasema unanitania?akasema hapana niko serious kabisa.nakupenda na nilikuahidi kukuoa na sasa una mimba yangu nina kila sababu ya kuharakisha.nikasema asante sana.akasema kwa hio uko nyumbn au?nikasema hapana niko dar kwa dadangu frida,keanu akasema kumbe rahisi kesho dada atakuja basi.naomba nikuache mpnzi wangu nakupenda ww na mwanangu mana muda umeisha sasa iv,nikasema sawa bby asante.nilikata simu da frida alikua anaskia kila kitu akasema uhuuuuuuu afadhari sasa nina amani,
Nikasema siamin mpaka nione kafanya.tukacheka tukalala zetu.kesho yake saa 12 asubuhi simu yangu iliita namba ngeni nikapokea akasema hellow wifi,nikajua mambo yamekwiva,nikasema
Hellowa shikamoo,akasema marahabaa,sasa naomba nikufate basi nikupeleke kwa mama na baba .nikasema sawa akaniambia muda nikawa nasubir sasa.aliwahi kufika kwa maelekezo kisha tukaondoka hadi kigamboni kwao sasa.tulifika salama nilipokelewa kama
Malaika niliandaliwa misosi nikala balaa kisha wakasema nibaki nilale nikakaataa nikasema siku ingine wakasema sawa.nilirudishwa nyumbn mida ya saa mbili usiku nikiwa na raha kama zote mana nimeshapata uhakika wa ukweni.zilipita siku tatu nikaona niende kariakoo kununua vitu mbalimbali,nilichukua bajaji nikaenda nilifika kakoo nikaanza kuzunguka mara nikaona heren nzur sana na mikifu kwenye duka fulani nikaona acha niingie.niliingia nikaanza kuangalia bila hata kuangalia nani anaeuza nilitizama mara nikaskia karibu dada.mmh saut haikua ngeni maskion mwangu niligeuka fasta kumuangalia cheeeeeee alikua ni reyhan na weupe wake pale.........
πππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni