AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 74 na 75
Daaah apo na mm nilishachanganikiwa ,nikabaki nimemshika mkono zena sasa, nimemshika tu mke wangu kumtuliza, ila.wapi zena ana hasira ana lia tu, ananambia anataka twende viwege, akahakikishe uko kuna nani, nikanyamaza kimya kisha nikamsogelea mke wangu, nikamwmabia zena ebu tulia plssss usilie mpaka watoto wakasikia, zena akanmbia nani unahisi ana shida mala.zote ww ndo una shida ni ww, mala zote unaanzisha matatizo ww, na kwa sababau hujatulia millan, uyo mwanamke.wa kipemba ni mwanamke wako umemueka kwako si ndio, nambie ni kweli.umemuoa nambieee, nikasema.hapana sina mwanamke wa kipemba, ila nisikilize basi,.uyo mwanamke wa kipemba , nilicheat nae siku 1 tu, ndo mama.ahmed aliniona nae, kiukweli niliona bola.nikubali nusu shali, kwa mke wangu, kuliko shali kamilo, dooh yani kusema hivyo, zena akanisukuma akaaanza kulia kwa hasiraaa, akanmbia kwa nn unanaifanyia hivi millan, ni kipi sikufanyiii mume wangu mpaka unaenda kucheat eeeh nambie
Nikasema mke wangu tumeumbiwa tamaa tu, ila nakupenda sana naomba plssss unielewe mke wangu na unisamehe tu, na nilicheat zamani sana sio hivi karibun now nimetulia, nisamehe siludii mama.na uyo mwanamke wala now sipo nae ,nishaachana nae ,niamini mke wangu, niamini malkia wangu, zena akawa analia tu, mala namsikia ummy anagonga mlango ,nikaju watot wamesikia mama yao analia, nikatoka chapu, nikamkuta ummy mlangoni na mdogo wake arshaina, ummy akasema baba mama analia nn, anaumwa mama, nikasema ndio mama anaumwa ,aya njoeni uku wanangu, basi ummy akanambia naomba kumuona mama, nikasema.hapana now mama.hajisikii sawa kabisaaa nyie njooeni uku kusha mam tutaongea nae baadae sawa, ummy akasma sawa, basi mi nikawatoa nikawapeleka sebleni nikawaawashia tv, ila.ummh ana akili wala hakuwa sawa, nahisi kabisa alikuwa ananjiuliza kwa nn mama analia kule , basi nilivyowawashia tv, nikamwambia ummy usije chumbani naongea na mam, ummy akanmbia saw baba, nikamuita dada wa kazi, akaja nikamwambia waangalia watotot na wapakulie chakula, wale ,uwaogeshe wapumzike, akanmbia sawa kaka hakuna shida
Basi mm.nikaludi chumbani kwa mke wangu, namkuta anamnyonyesha shady ila bado hayupo saw, nikakaa pembeni yake, kiukweli hii siku niliumia mi sipendi kabisa kumfanya zena alie kwa sasa, nampenda mnook uyu mwanamke, basi mi nikawa nimekaa pembeni , zena alipomaliza kumnyonyesha mtoto akaenda bafuni akaoga ,kisha akaludi akamuogesha mwanae, nikaona kamlaza, akatoka njeee, nikajua kaenda kuwaangalia akina ummy, na baada ya mda akaludi, hakuongea na mm tena ,akapanda kitandani akamkumbatia mwanae et analala, mi nikapanda mpka kitandani, nikalala nyuma yake ,kisha nikamkshika.kiuno chake, nikasema.mke eangu, plssssss usinikasilikie naumia sana unavyokasilika naomba unisamehe, zena kanmbia niache nipumzike, sihitaji tena kuwaza mambo yako na kukuwaza wewe, doooh nikakausha kimyaaaaa
Nyieeeee mi nikamtumia smq mwanangu ibraaa nikampanga kilichotokea na kila kitu yani, ibraa akanmbia uyo mama ahmed katumwa ama ,mbona mwanamke mpekeneke sana, nikamwambia yule demu bado ananitaka sio bule , daah ananichania mikeka kila siku ibra akanmbia sikia we ongea nae vizur zena , shikilia apo apo ni kwa bahati mbaya ulicheat na uyo demu, ila usikubali kuwa umeoa na ni mke wako,balaaa litakuwa kubwa zaidi kaka, nikasema saw kaka ,siwez kukubali ata siku mojaa hilo suala, basi nilivyomaliza kuchati na ibraaa, nikaweka.simu pembeni, nikamsogelea zena naona kafumba macho yake nikajua kalala, na mimi nikmsogelea mke wangu, nikalala nyuma yake, nampenda sana uyu mwanamke ,yani namuelewa mnooo zena mm, daaaah na mm usingizi ukanipitia ,nyieeee mida ya saaa 8 usiku, nilistuka baada ya kusikia kwikwi za zena akilia, mie chapu nikainuka ,nikaaa kitandani ni kweli alikuwa anamnyonyesha mtoto ila analia, mh. Nikamchukua mtoto kwanza kisha nikatoka nae mpaka sebleni, kisha nikaenda kumgngea dada wa kazi chumbani kwke, akafungua mlango, nikampa mtoto nikamwmabia mbembeleze alale mama yake anaumwa, akanambia sawa kak kisha akamchukua mtoto.
Nikaludi chumbani sasa kwa mke wangu, daah nimamsogelea nikamkumbatia nikasema nyamaza plsss, zena akawa analia kwa nguvu sasa, analalamika namuumiza sana kila siku kwa nn, kwa nn namtesa na wakati ananipenda sana, naangaika na wanawake njeee na nna familia teali kwa nn namfanyia hivyo, au nataka yeye ateseke na watoto, nilijisikia vibaya, nilimpigia magoti mke wangu, nikasema zena mm nimekukosea ww, siwezi kurudiia daima mke wangu nisamehe nimejilekebisha siludiii tena yani siludiii tena kabisaaaa, ntatulia mama, zena akawa bado analia ,nikainuka nikamnyanyua mke wangu, nikampeleka bafuni, uko nikamwagia maji ,mana alikuwa na hasira, nikaona nimshushe hasira kwanza ,baada ya apo tukaludi ndani, nikampakata, nikamwambia basi mama yameisha mke wangu acha kulia basi nakupemda sana, zena akanmbia uyo mwanamke ni bado upo nae, nikasema.hapana sipo nae kabisaaa, na sijuh ata yupo wapi, niamini mke wangu, zena akawa katulia ila bado ana hasira, nikamsogelea mdomo wake nikaanza kumkissss taratibu uku napapasa kiuno chake chenye shangaa
Zena akatulia.kabisaaaaaa , na yeye akaanza kunipa.ushirikiano, tukakiss kwa mda sanaa, namuona ndo hasira zimepoa ana twetwa tu, nikasema basi mama , aya yasituhalibia furaha yetu na fumilia yetu ,mke wangu, naomba utulie kabisaa sawa, zena kwangu wewe ni wa zaidi ndo mana nimekuoa mengine ni tamaa tu za wanaume, si unaona nimekuoa mke wangu, na usijali mm mwezi huu naomba likizo nakupeleka nyumbani zanzibar mke wangu sawa ukaonane na wazeee kabisa. Na ndugu zangu wakakujue, zena akanmbia sawa, nikaona ananingalia jicho la kulegea ,nikatabasamu na yeye akatabasamu, sababu m namjua mke wangu, akitaka game haombi na macho yake tu yananambia, ntaona macho yake tu, najua leo anataka , hasemi kabisaaaa, basi nikawa nishamuelewa ,nikamlaza kitandani, kisha sasa nikaaanz akucheza na mwili wake, ahaaaaa zena akapagawa, na nikamtomba kweli kweli uhuuu usiku,basi tukasahu kabisa hasira na kila kitu na tukazama katika dimbwi la mapenzi, na tukafuria sana mapenzi yetu, hii siku nilimsugua aswaaa zena , zen alikuwa ni anaguna tu, zena bwana ,nampenda sana uyu mwanamkeee, basi usiku sana, ndo tumeachiana ananambia mi namtaka mwanangu, nimasema.ebu muache leo alale n dada njooo apa mke wangu nikamkumbatia akwa anacheka, akanmbia mh unataka ujana wakati ushakuwa ni baba wa watoto wengi ,nikasem ebu achana na ayo now natka kuwa na mwanamke wangu nnayempenda sna, zena akanmbia plssss millan kama.upo na uyo mwanamke wa kipemba naomba uachane nae sitaki plsss sitaki kabisaa, nikasema nilishaachana nae mda sana naomba nielewe mke wangu, zena akanmbia sawa , basi hii kesi ndo iliisha hivi
Na asubuh mke wangu wala hakuamka na kisilani kabisa ,aliamka kama kawaida , na hakuletea hasira kabisaaaa, akaandaa watoto kw ajili ya shule mana mpaka arshaina tulimpeleka shule, ana miaka.2 kasoro akacheze tu, mana akikaaa apa nyumbani wanamsumbua sana mke wangu, na bado anaangaika na aka kadogo, baada ya kuandaa watoto shule tukanywa chai, watoto wakafatwa na school bus, na mm nikamuaga kuwa naelekea kazini, akanmbia sawa uwe na kazi njema, ila naomba nikusihi kitu kimoja, nikasimama.nikasema ndio nakusikiliza mke wangu nambie, akanambia plsssss usigombane tena na mama ahmed, wala usiende kwake kumfanyia fujo ,wala usimpige , naomba uend kazini, na tuendelee na maisha yetu mm nimesmpotezea, na omba uzingatie hilo, nikasema.sawa mke wangu sitamftafuta na wala.sitafanya chochote kibaya kwake, zena akanambia sawa kisha akanikisss akanmbia uwe na kazi njema mume wangu, nyieeeeeee kwa hili huba mi naaachaje kuvurugwa na zena,
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni