SHAMIRA 112 na 113
Sehemu ya 112
Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI )
Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe zangu. Niliagiza pombe za kutosha. Ma akwa simu nilikuwa napesa ndefu tu .nilivyotoka apo nikabeba bia zangu nikaludi nazo ndani sasa . Nilikunywa jamani kama chizi. Uani nilikunwa pombe ukua nalia .nikaa vhini kbisa nikisemansadamimo dunianai nafamyan nini mana kila siku ni mimi .yani kila leo ni mimi asee nilijiona na gundu na manuksi nikachuua mpka kuishi kiukweli sikuwa sawa ata kidogo nilikaya tamaa ya kuisji kabisa nilikuwa nakia sana
Nililia mno uku nalewa .nilikunuwa jamani yani nilokumbuka enzzi zangi. Nikajiona pia mimi ni mama mbaya aya kwa mtoto wanhu asseeee nolijiona mimi sio wa maana ata. Miminni wa kutumiwa na wanaime nankuachwa yu na siwezi pewa heshima na mwanaime ata siku moja. Nililia sana yani mno. Sijuh aya nikililala saa ngapi na mapombe yangu. Nilikuja kustika mlango unagongwa sana nikaenda kugungu kwa shoda kweli kwelinmana nilikuwa nipo tungi. Nikamkuya mdada akanmbia madame mda wako umeisha nikassema nipo apa kwa siki kazaa ntakuja kuongeza pesa sitaki usimbusmfu. Nikabamaiza mlango
Nikaludi kitandani tu niakpiga usingizi mzito bado sikuwa sana nilikuja kustuka saa 11 ya jioni simu yangi inaita sana .nikaangakia nacheki anayenipigia alikiwa nai daniel na nilimsevy my babyโค๏ธ .ila sikuttaka kupokea nikajua anantaka kunitukana tu .nikazima simu kabisa ili nisikpatikane na jioni kabisa ndo nikaenda kuoga sasa nimava nguo ile ila mana sikuwa na pesa.
Nikaenda mapomkezi nikilipia loddge soki 5 kisha nikaenda kufata msosi nikachukua na bia zangu nyenhine. Nilianza kula k wa nza nilivuoshiba ndl nikagigida mapombe yangu sasa nikawa nopo mbwi mpka najione hiruma kudadeki acheno tu. Kama kawa nikalala apo apo. Aseee nilikaa pale lodge mapka ziakkata soku 3 sikuwasha skmu kabisa mana sikutaka matatizo wala maneno ya mtu. Niliwaza sana nikaona kama vp mimo niludi tu dar .nikapambane tena uko aapa dodoma sipatako kabisa. Nikawasema kuhisu mtoto nataongea na love na atanielewa atakuwa ananipa ata cjamce ya kinionesha tu mtoto wangu. Moyo wangu ulokuwa uanauma sana yani sana .nilikuwa nalia mno . Moyo wangu uloumia sana ni mambo ambayo niliyafa ya mda lakini yananiumiza no nyie achni tu
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
SHAMIRA
Sehemu ya 113
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi siku ya nne nikashika kama kawa jioni kabisa nianunua chakura nimanunua na pombe zangu simu hio sijuh niliwa za nini nimaenda kununu na sumi ya panya nilipanga kujiua mana nilishajilna sina yhamani yena hapa dunia i kama vp ni vuema nami nikamfata mama yangu na shangazi ya gu. Sioni umuhimua wa kuosho tena ata sokutaka ata kidogo. Basi nimagika navitu vyangu ndani nikaviweka chini.kosha nikachikua sumu nimaweka kwenye bia nimachanganya vizuei na bia yangu .
Nimizamilia kujikatisha maisha kuna roho ilinambia ebu ata nimuone mwananhu mala ya mwisho basi nikavuata somu yangu kisha nikaiwasha . Nilipowasha tu simi zikaanza kuingia na wa kwanza kupiga alokuwa ni daniel. Nikajikaza nikapokea daniel akawa anongea kwa haraka upo wapi nnakuuliza upo wa shamira .nambie uko wapi. Nikasema uanataka niwe wapi kwanino unauliza kuhusi mimi. Akasema sikia mwnaio anakuhitajo usoje ukagamnya upimbavu wowlte ule uko ulipo sina hakika na akiri zako.mh nimasema sawa jope simu nio ge na mwanangu kwanza .akasema nambie kwanza uko wapi mtoto utaongea nae tu
Nikasema bwana mimi sitako unijue noko wapi ila yu naomba nimwambia asanye kwa juhisi zako hii ya mtoto wangu .ila usichome kumlea danieli. Usiache kimsapoti mtoto wangu. Ni binyi mdogo sana haelewi chochote. Ila nao.ba usimwabia kuwa nilimtelekeza kwako danielei nisamehe kwa yote.ila mwambia mtoto wangu asome ..elimu ndo kitu peme kitamsaidia asije akawa kama momi amam yake leo nangaika .niliamaliza uki nalia sana. Dani akanmbia tulia sjamira olsss alafy relax mama.nambie uko wapi nimekusamehe shamiea na nina kupenda sana nambie uko wapi.nikasema momi sitaki ujue nipo wapi kwahei nawatakiwa maisha mema acheni niwatangulia kisha nimakata simu. Baso daniel alokuwa anaipiga sana yani anpiga mno . Sokutaka tena kuishi nimala kwanza nikashiba vizuri apo .daniel anaipigaia sna uani sana nikavhukia nikapasua na simu yenyewe
Kisha nikavuata ile vhupa nilihoweka sumu ya panya nikaogida kweli kweli kama sina akieo nzuri . Nikamaliza bia yote kisha nikajilaza kusubiri hayama yangu sasa .nikawa nakumbua moment nzuei nikiwa na binti yangu jikawa nalia sana. Nikawa nasema gift mama anakupemda sana .ooh cairah wangu mama anakupemda sana. Nilianza kusikia maumivu makari ya tumbo nikawa ankia sana kwa maumibmvu.ika gaftamra jilokiki sauymti ya daniele ananaiita shaira sharlira fungu mlango.mh manazanainnaweza siwezi ata kidogo
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni