Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
Gonga94 ยท Stories

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“

sehemu ya 9
Mwandishi:lissa mwalla
Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi mdogi, nikiona aibu nikapokea tu pochi yangu na kuanza kuondoka, ivan hakusema kitu wala alinitizama tu. Elvis na Bella wakaongozana na mm hadi kwenye gari ya elvis mm nikiwa na mawazo sana. Tukipanda gari na kuanza kuondoka zetu mdogo mdogo huku mm nimeishiwa maneno. Elvis akasema Vip uko poa? Nikasema yah niko poa. Akasema Mbona kama umechange gafra hiv? Nikasema hapana kuchoka tu, akasema pole naomba mnielekeze basi kwenu au si tunaenda kwangu? Nikasema hapana, nikaanza muelekeza kwangu tulifika tukashuka nae akashuka. Bella akitangulia ndani mm nikabaki na elvis nje. Elvis akasema tee nimevutiwa sana na ww, nimekupenda sana mm ujue,naomba nitafakari nifikirie unikubalir basi uwe wangu.nikasema elvis wanaume mm siwaamin kabisa mnakuaga na maneno mazur lkn mwishowe ni maumiv.akasema sio wote dia,sio wote ambao tuko hivo na huwezi chukia wote sababu ya kuumizwa na mmoja labda mana ww ni mwanamke hujaenda usista kiasi kwamba unatakiwa uwe na familia yako siku moja nikasema nataman sana ningekua sista mm.akacheka akasema unaonekana umeumizwa sana lkn nakuahidi kutibu vidonga vyako.sikukazimish kunipa jibu haraka noo nakupa muda ila wakat tunaendelea kuonana na kuwa marafiki au unasemaje?niliwaza nikaona muda unaenda nikasema sawa,ili tu aniache aende nikalale.akifurahi akanibusu shavuni kisha akaaga na mie nikaingia ndani.nikikuta bella katoka kuoga anajifuta apande kitandani,alivoniona akasema ehee imekuaje shoga?umemkubali elvis?nikasema mmh hapana.bella akasema kwa nn sasa?iv unashida gani na wanaume ww?nikasema sina shida yoyote,akasema au msagaji shoga angu?nikastuka nikasema wewe hapana kabisa.akasema sasa nn,mans elvis mkaka mzur maji ya kunde,kaenda kwa hewa,kaka anaonesha anapesa na gari ww unataka nn?na mm namuona anakupenda we utakaa singo hadi lini?unakificha hiko kitaliwa na nyenyele shaur ako.nikasema dia nishawahi kutana na kiama kwenye mapenzi tangia siku ile sina ham kabisa, akasema uiikutananna nn? Nikasema acha tu rafiki wangu mwanaume wangu wa kwnza akinitenda sana mpaka sikujiona kama binadam mm kiukweli napenzi shikamoo. Bella akasema pole dia lkn sio wote wapo hivo, na hayo yaliyokea zamani sa iv umekua unajua zur na baya ebu jitizame ulivo mzuri dokta mtarajiwa umeumbika unarangi nzuri haiboi dia jipr nafasi ufurahie tena mapenzi. Nikadema nitajitahidi dia wangu. Basi alinishauri pale hadi tukalala lkn sikuwa na mpango wa kumkubaki elvis. Niiimuwaza Ivan pia japo hajaniona muda mrefu lkn hakushoboka, ni waz alikumbuka kabisa nn kilichotokeaga au amenisahau labda? Nikitafakari huku nikijisemea sitaman kumuona hata mara moja tena, mmh lkn kawa mzuri mkaka msafiiii anavaa viuri ananukia vizuri macho yakr mmh kifua na alivojaaliwa mshedede na anavojua mapenzi mmh Ivan wee, nilijikuta nawaza hivo sasa. Lkn maanaume yimamu hawez kuwa na mm baada ya yale niliyomtenda siku zile. Nililala zangu kulivokucha niliwahi kuamka na kujiandaa kwenda kanisani, nilikua napenda sana kwenda kanisani na sikosi kabisa kanisani.nilisali zangu nikarudi nyumbn nikakuta bellla ameshaamka amepika tukala akaniaga anaenda kwa biyfriend wake hatorudi hivo tutaonana chuo kesho, nikasema sawa. Nilijilaza zangu kitandani nikijibunmsg za elvis alikua ametuma nyingi wakati niko kanisani, nikiwa najibu msg mlango wa get on kwangu uligongwa nikahisi bella mana sinaga ugeni, nikasema tokea lini unagoangaga wee naee ebu ingia mlango uko wazi. Aniliongea huku nimelalia tumbo nasoma msg, mlango ulifunguliwa nikasema umesahu nn mke wa mtu?sikuangalia muda huo, nikaskia aisee nishakua mke wa mtu? Alikua saut ya kiume nikistuka nikakurupuka nikakaa alikua ni Ivan, nilistuka zaidi ya mwanzo. Nikasema ww umepajuaje hapa? Akasema ndio unavokaribishaga wageni hivo, nikasema hapana nimeshangaa kukuona. Akasema haya nikaribishe sasa. Nikasema karib.Akasema asante nimekuja kukusalimia,nikasema asante m Nipo, umepajuaje akasema mm mwanaume najua ninachotaka kujua hivo usiulize kabisa nimepajuaje.nilimtizama sikuamin,akakaa kitandani,akasema ehee nambie habari ya siku?nikasema salama.akasema shemeji hajambo?mana jana nilikuona uko nae busy nikaona acha mambo yasiwe mengi nikakukaushia tu.nikatabasam nikawaza kusema sio shemeji yako lkn nikakaa kimya mana nilijua atajua namuongopea,nikatabasam tu.akasema mbona hujib?nikasema sikutegemea kukuona mana ni muda mrefu sana nikajua hukunikumbuka.akasema mm siwezi kukusahau tee kabisa siwezi kukusahau hata uzeeke.nikaona aibu mana kweli kwa alichokiona ni lazima asinisahau.akasema umekua sana siku hizi tee unasoma wapi?nikasema nasoma muhimbili,akasema unasoma nn?nikasema nasoma medicine ,akasema wow unataa uwe dokta?nikasema ndio,akasema safi sana na ulivokua utapendeza sana.nilimtizama kisha nikasema asante.nilikua najistukia sana yani kitendo cha kumuona ni kama nilikua nimerudia lile tukio,nilijiskia aibu sana hata maongezi yalikua hakuna.ivan akasema una muda naweza toka na wewe?nikasema nimetoka kanisani hivo nilitaka nipitie kidogo masomo mana nina test kesho,nilidanganya,akasema okay unamaliza test lin?nikasema wiki nzima hii nina test,niliongopa sikutaka kabisa kuonana nae.akasema okay basi nitasubir umalize nimemis kampan yako sana kama zamani tee,jana nilivokuaona nilifurahi sana ikabidi nifatilie wapi mnaenda.nikasema ahaa sawa.basi aliongea ongea mambo mbali mbali,akanikaribisha kwao kigamboni nikasema nitakuja siku.akasema nitafurahi sana.katika stor alipigiwa simu akapokea sikujua kapigiwa na nani ila nikaskia anasema sawa nakuja.akakata akasema naomba niende tutaonana siku ingine,nikasema sawa karibu lkn sikumaanisha.akasema asante.akachukua simu yangu akajibip kisha akasema haya kwa heri,niaksema sawa.ilimtoa tu hadi nje kisha nikarudi ndani kupumua sasa mana nilikua kama nimebanwa pumzi,nilikumbuka kilichotokea na akaja kunisaidia na tokea pale sikumuona ten,niliona aibu sana kiukweli nilitamani hadi kuhama pale.maumivu na fedhea ya kilichonikuta kilijirudia kichwani nikajikuta nachukia upya wanaume,nikachukua simu na kumtumia elvis msg,nikamwambia sina hisia na wewe kabisa naomba usinitafute tena sitaki chochote kabisa na wewe.elvis alinipigia sikupokea,alipiga sana nikaishia kuzima simu tu,nilijiskia huzuni na uchungu nilikumbuka nilivompenda sana reyhan lkn akaishia kunifanyia unyama.nilishika simu na kumuomba baba anihamishe mana siwezi kaa tena pale.baba akasema mbina gafra sana,niaksema baba nakupa kesho tu unihamishe sitaki kukaa hapa tena binginevo nitamuambia mama kila kitu kuhusu wewe na frida,baba akasema sawa nitafanya hivo basi kama unaharaka sana njoo ukae kwa frida ili nikutaftie nyumba taratibu,kwa kuwaza kuhusu ivan niliona ni bora nihamie kw afrida tu.nilibeba nguo zangu kwenye vbeg nikaita bajaji,nilivunja laini kisha nikaondoka nikaenda kwa frida.sikumkuta baba nilimkuta tu frida,nilijawa huzuni sana frida aligundua akasema kuna nn?sikuwa tyr kumsimulia nikamwmabia nioneshe chumba nikapumzike.frida alinipeleka chumbn kisha nikajifungia na kuanza kulia,lile tukio nililofanyiwa lilinitesa sana hasa naialivomuona ivan.da frida alikuja mlangoni akaomba sana nimfungulie mlango mm sikumfungulia,sababu ananijua alijua kabisa nina shida,alitafutra funguo ingine akaingia.akasema kuna nn?nambie hata kama nimekosea naomba niambienaweza kukusaidia,nikasema nashindw kabisa kuishi kwa raha mm dada frida,da frida akasogea na kunikumbatia,akasema n nn?nikasema yalonitokea miaka ile yanajirudia tena,akasema nani kakufanyia hivo tena,nambie tukamfunge,nikasema hapana hayajatokea ila nimemuona iven,na amenifatilia tena hadi ninakoishi sio kataka kunichora huko?da frida akasema ooh pole mpenzi pole,lkn mambo yale yalitokea zamani ukiw amdogo sana na sasa umekua unatakiwa usahau ufanye maisha yaende mbele.nikase a da frida ni rahisi kusema lkn mm siwezi kusahau kabisa ivan alinikuta nikifanyiwa unyama na ingekua ulimwengu wa sasa ulivoharibika mm hata marinda ningekua sina,yani Yule reyhan popote alipo namlaani sana sana.da frida alizidi nikumbatia tu na kunibembeleza.nililia snaa hdi nikatulia mwenyewe.da frida akasema mdogo wangu huwezi ishi hivo,unahitaji msaada sana kw ahali yako.mambo yalitokea zamani unatakiwa uyasahau bana.nikasema mm siwezi kabisa kusahau na hakuna wa kunisaidia mm.da frida alinihurumia akanipa sana moyo nikatulia.baba alinitaftia chumba baada ya wiki akapata nikahamia lkn elvis aliendele kinufata shuleni sikuwahi mkubalia.ivan sikuwahi muona tena.nilikua naishi kwa mashaka chuoni,nilikua ni mtu wa kujificha sana ili nisionekane.nilimaliza mwaka wa kwanz asalama baba alihamishiwa dar hivo tukawa tunaishi makongo.nilisoma kwa kujificha hadi nilimaliza miaka minne ikatakiwa tuente intern sasa ile masomo ya udokta kwa vitendo hapo sijawhai kuwa na mwanaume tokea tukio lililonikuta,na kila mwnaume anaenifata namuona ni wale wale nachukia hata kama tulizoena unakua kama adui.niliamua kwenda intern mbeya hospital ya rufaa.siku moja tulialikwa na dokta mmoja kwake ilikua birthday yake,tulienda na wenzangu akiwemo bella mana alikua bdo ni rafiki angu.tulienda mitaa ya Soweto kwa huyo dokta aliandaa nyama choma kwake tukachoma nyama na kunywa.pale kuliku an wakaka na wadada pia,wengine walikua na wanaume zao lkn mm nilikua busy na nyama na vinywjai tu.kaka mmoja alinifata akajitambulisha kwa jina la stewart,kisha akasema anaomba kampani yangu.mm nilimtizama tu sikumjibu.,stewart alikaa karibu na mm na kuanza stor alijisemesha wee mm hata sikumtilia maani.kuna muda nikabanwa na mkojo nikanyanyuka na kwenda chooni,nilimaliza haja nikatoka nikamkuta stewart pale mata akanikumbatia na kuanza kuninyonya shingo,uwiii nilihisi anataka nifedhehesha nilipandwa hasira nilimsukuma akajigonga ukutani akawa haamkiโ€ฆโ€ฆ..

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“
JOGOO WA KIENYEJI
sehemu ya 10
Mwandishi:lissa mwalla
Nilichanganyikiwa,nilimshika nikamuamsha lkn alikua kimya tu,uzuri nilikua dokta niko mafunzoni nilianza mfanyia huduma ya kwanza huku nikisema stewart samahani,sikumaanisha kukuumizanilistuka mm uwii nafanyaje naomba uamke tafadhari,nililia huku nikiendelea kumfanyia msg ya mikono nikamtoa viatu namfanyaia massage tu,nikawa za nifanyaje?wazo likanijia nimuite bella,nikampigia simu akapokea nikamuita,alikuja mbio,akasema dia kuna nn mbon aunalia,nikamsimulia kilichotokea,akampima mapigo kitu ambacho mm nilisahau,akasema mmh mapigo kwa mbali sana,ebu tuite ambulance,kwani imekuaje?nikamsimulia kw amra ingine,akasema kwani dia una nn na wanaume mbona hivo?sasa stewat anashida gani?kila mdada kwenye sherehe anamtolea macho yeye,na unajua ni mwanajeshi halafu ni dokta nae yupo mafunzoni kama sisi?nikasema sijali yote hayo mm siwezi kuwa na wanaume mana haw asio watu ni wanyama,asingenigusa mm yote haya yasingetokea,bella akasem ahaya tuite sasa ambulance mana tusije mpoteza.nikasem achukua simu yangu natetemeka mkaka wa watu maskini Mungu anisaidie sikumanisha kabisa kumfanyia hivi nilijikuta tu.bella alitaka kupiga simu tukaona stewart anajigeuza huku anakohoa,nilisema stewart,umeamka?akanitizama akasema yah,nikasema tunataka kuita ambulance,akasema haina shida niko powa.niaksema lkn ulizimia. Akasema nitakua powa tu usijali,nikasema naomba unisamehe,sikumaanisha kabisa kufanya hivo,akasema najua na naomba unisamehe mana na mm n ilikustukiza tu.nikasema nisamehe snaa,akasema usijali.nilimsaidia kunyanyuka akasema narudi kule ,nikasema lkn naomba sana nisamehe,akasema usijali,akanitizama mm uso umeloa machozi akanipa kitamba achake akasema usilie mm niko powa.nilipokea kitambaa lkn sikuwa na raha,vipi angekufa/ningekua wapi mm na familia yake ningeiambia nn?bella akasema dia hali yako sio nzuri kabisa,unahitaji msaada kabisa wa saikolojia mana ww ni dokta huwezi fanya kazi ya kuokoa watu ukiwa na ww unahitaji kuokolewa,ni sawa na mgonjw akutibu wagonjwa.niaksema niko powa wala sina shid ayoyote na wewe umeanza.akasem anakwambia na nina wasiwasi sana na wewe kwa hiki kilichotokea nina wasiwasi.nikasema wlaa usiwe na wasiwasi kabisa.akasema aya bana haya wtende kwenye sherehe,nikasema kiukweli nataman kuondoka kabisa,.akasema jikaze bana tumalizie,niaksema sawa.tulirudi kwenye sherehe lkn sikumuona stewart kabisa,nilijiuliza atakua akzidiwa nini?nilitazama huku na huko hakuwepo ila rafiki ake ndio alikuepo nilimfata na kumuuliza,nikasema stewart yuko wapi?akasema kaondoka amesema amechoka sana.nikasema samahani unaweza nisaidia namba yake?akasema ndio bila shida.akanipa nikaandika nikaenda pembeni nikampigia,simu iliita ikakata nilipata wenge,nikapiga tena ikaita ikapokelewa akasema hellow,niaksema steward samahni umeondoka unajiskia vibaya?kichw akinauma au ni nini?akasema tayla eeh?nikasea ndio akasema noo niko powa nimechoka tu nimetaka niwahi kupumzika,nikasema ahaa basi ukijiskia vibaya naomba uniambie,akasema sawa usijali,alivosema vile akakata simu.nilijiskia vibaya sana,nilika kwa muda pale kisha nikamwambia bella mm natangulia nyumbn,bell akasema sawa basi nitakukuta.nilitoka nikachukua bod abode nikaenda hospital mana tulikua tunaishi kota moja pale kuna ndugu yake bella ni dokta wa rufaa litupokea.nilikua na mawazo mno siku hio,nilikua natamani kujua kila muda stewart anaendeleaje.niliingia whtsap nikaona yupo online nikamtumia msg vipi unajiskiaje?akasema niko powa.nikasema asante.niliwaza waza hadi nikapitiwa na usingizi,asubuhi nilimpigia akasem ameamka poa kabisa.nikafurahi snaa.sisis tulikua rufaa yeye alikua meta mana amesomea magonjwa ya kike.zilipita siku mbili niliitwa na dokta mmoja mkubwa tu wakike yeye sio mwanafunzi ila anacheo pale rufaa,akasema nimekupenda sana tayla napenda niwe nafanya kazi na wewe pia.nikasema sawa lkn ww uko sana kwenye saikolojia mm siko huku,akasem sio mbaya na wewe unaweza hifunza vitu viwili au kimoja,ukimaliza kazi zako huko unakuja ofisini kwangu sawa?nikasema sawa.nilianz akwenda kwamaa Yule kazini ananifundisha vitu ahdi nikamzoea na vile fieldyetu ni mwaka mzima nilikua na uda mwingi tu.nilifanya nae kazi kama mwezi na katika kufanya sana nae kazi alikua ananipeleleza mambo mbali mbali kama nina mchumba au boyfriend naonaje wanaume wanaonifata na kuuliza natamani watoto wangapi?majibu yangu hayakua ya kuridhisha mana nilikua naonesha wazi nawachukia wanaume.siku moja dokta perus (dokta wa saikolojia anaenipa kazi)akasema anataka kusafir akaomba nimsindikize,niaksema sawa.nilikubali tukapanga ipo safari mana alisema ni weekend hivo tukaondoka.alinipeleka matema beach kwenye hotel Fulani,akachukua vyumba viwili ilikua hotel nzur haswa.akasema weka begi lako chumba hiko mana ndio chumba chako hadi hii weekend iishe niaksema sawa.nilifurahia sana mitoko,akasema badili nguo tukaogelee nimetamani sana maji na kijua kimewaka huku kyela joto kali,nikasema sawa,nilienda kuweka begi kisha nikavaa nguo za kuogelea mana aliniambia nibebe nikatoka tukaenda kuogelea ,tuliogelea tulivochoka alikua kumbe ashaagiza msosi tukaenda kula,tulikula kisha tukanza kunwa wine tulikunywa sana dokta akawa amelewa lewa kiasi,dokta peru akasema tayla,nikikuona najikumbuka sana mm,nikasema kwa nn,akasema mm nina siri moja ambayo sipendagi watu wajue kabisa,ni siri ya unyama niliofanyiwa nikiwa na umri mdogo sana,nilimskiliza kwa umakini,nn alichofanyiwa huyu?akasema niliwachukia sana wanaume kw aukatili niliofanyiwa nilijiona kama sipo duniani kabisa,niliona hii dunia ni ya wenyewe na mm sipo miongoni mwao kabisa.nilishangaa nn kilimpa?nikajikuta nimesema pole sana dokta nn kilikupata lkn?akasema nilibakwa na babangu wa kufukia ambae alikua anaishi na mama yangu kipindi hiko,alikua ananibaka sana,niliogopa kumwambia mama nikaenda mwambie jirani yetu ambae alikua rafiki wa mama nae akamwambia mme wake hatimae mme wake nae akawa ananibaka hadi siku moja nilizimia akanitupa barabarani nikiwa ucho tena nikiwa darasa la sita.iinitesa sana hio hali sikuweza kabisa ishi na mm.niaksema uliwezaje sahau?na mbona uemolewa na unawatoto?akasema nilipata msaada wa saikolojia,mama yangu alivojua ndie alienihamisha kule nilikokua naishi na kunipeleka Kenya huko nikataftiwa dokta akanipa ushauri sana,ndio mana nikasomea hii kozi niweze saidia wenzangu.nilimtizama machozi yalinitoka.akasema nn mbona unalia?nikasema hakuna kitu.akasema tayla nimekuamin na siri yangu hii sikuwahi mwambia mtu kabisa,naomba na wewe uniamin mm na uniambie nn kinachokuliza.nililia sana nikajikuta na mm nafunguka,nilimsimulia kila kitu kilivokua akanipa pole ,niaksema lkn yalikua makosa yanu kuw ana wanaume wawili,akasema hapana ulikua mdogo sana dia ,kilichotokea kwako hakikupaswa kitokee hata siku moja.alianza kunipa maneno ya faraja dokta na kuomba nimuami nianze kuhudhuria kwenye kipindi ili nipone,nikasema unahisi nitapona dokta?akasema ndio utapona kabisa kama unataka kupona lkn,nikasema natamani kupona natamani kuw akama wasichana wengine lkn siwaamin kabisa wanaume.akasema sio wote wabaya dia kuna wema kama mm nimepata mwanaume ananipenda sana na maisha yanaendelea mana sisi hatuhusiki na mabaya yanayotendeka kwetu,hatuhusiki na ushetani tuliofanyiwa,tayla ww ni bint mzuri sana kuanwanaume wanakupenda na kutaka kukuoa uwe na familia yako tena pamoja na uzuri umeongezea kusoma dia niruhusu nikusaidia kama mm nilivosaidiwa,unatakiw akuona dunia katika maana ingine,dunia ni nzuri ukiruhusu furaha,na kazi unayofanya afya yake ni uwe salama kichwani dia,niaksema sawa huku nikilia.tulienjoy weekend japo alikua ananishauri na kunipa kipindi nikiwa kule kule,ananipa mifano ananifundisha kuongelea hali ilionikuta kama kawaida na hutokea tu kwa watu na maisha yanaendelea.tulirudi jumapil kisha tukaendelea na maisha huku mm nikifanya kazi na kila siku nina kipindi nae cha lisaa limoja.ilichukua mwezi nikawa kama niko poa kabisa,dokta akasema unaendelea vema sasa mpenzi,nikasema asante akasema jumamos uje kwangu tusherehekee nitakupikia chakula ch ausiku sawa.nikasema asante sana.jumamozi ilifika nikaenda kwake mida ya saa 12 kama nilivokubaliana nae,nilifikanikakuta dokta yuko busy jikon mm nikaka seblen na wanawe walikua wanafanya homework nikawa nawasaidia,nikiwa busy na homework mlango uligongwa mtoto mmoja akenda kufungua nikaskia anasema anko Keanuu,mamaaa mamaa anko Keanu amekuja,dokta akasema ooh Keanu karibu mm niko jiko,niligeuka kumtizama alikua ni stewart,kasema asante sista nimeleta alta wine kama upendvo,dokta akasema safi snaaaa ,nilishangaa,akaja hadi kwangu akanisalimia,nikatabasam nikasema salama,akasema karibu kwetu,nikasema mm ndio nikukaribishe.akatabasam huku akiniangalia mana hatukuwahi onana tokea siku ya tukio.msosi uliandaliwa wote tulikaa mezani akiwemo mme wa dokta ambae nae ni dokta tukala huku tukipiga stor,familia ya dotta ilikua na furaha sana mme wake alikua anamjali sana,mana hadi chakula alikua anampakulia kikimwagika kidogo anamfuta,nilipenda mana mahaba yalijaa mezani.tulimaliz akula tukanwa kidogo nikashukuru kwa chakula dokta peru akasema sijakutambulisha huyu anaitwa Keanu stewart ni mtoto wa mamangu mkubwa kabisa tena ni last born wake,nikasema nafurahi kumfahamu,akasema Keanu huyu anaitwa tayla,ni dokta mwanafunzi mzuri sana anafanya sana kazi,anaheshima sanaaa.keanu akasema nafurahi kumfahamu.basi tuliendela kunywa kisha mm nikaaga Keanu akasema ngoja nikusindikize.nikasita lkn nikasema sawa.tulitoka tukapand gari niliyohisi Keanu alikua anaendesha akanipelea mpka rufaa mana dokta alikua naishi uzunguni.tulifika tukashuka Keanu akanipeleka mpaka mlangoni kisha akasema mm siingii,nikasema sawa usikumwema,akasema sawa nawe pia,nikageuka kutaka kufungua mlango,Keanu akanishika mkono n akunivutia kwake uwiiiiiii hajakoma huyuโ€ฆโ€ฆ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10


๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“

sehemu ya 9
Mwandishi:lissa mwalla
Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi mdogi, nikiona aibu nikapokea tu pochi yangu na kuanza kuondoka, ivan hakusema kitu wala alinitizama tu. Elvis na Bella wakaongozana na mm hadi kwenye gari ya elvis mm nikiwa na mawazo sana. Tukipanda gari na kuanza kuondoka zetu mdogo mdogo huku mm nimeishiwa maneno. Elvis akasema Vip uko poa? Nikasema yah niko poa. Akasema Mbona kama umechange gafra hiv? Nikasema hapana kuchoka tu, akasema pole naomba mnielekeze basi kwenu au...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jogoo-wa-kienyeji-9-na-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jogoo-wa-kienyeji
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

983
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

907
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

344
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

291
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

276
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

214
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

212
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

191
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

179
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

171

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.96K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  โ€‹Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA โ€‹Episode 1
@majario LIVE

โ€‹Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest