Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
Gonga94 ยท Stories

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandishi:lissa mwalla
Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi nae pia dar? Umekuaje DA frida kamfanyia hivi mamangu? Nilijihoji bila kupata majibu, nilikaza mwendo nikaskia anitwa nyuma, alikua ni babangu anaita akasema tayla simama wee tee mwanangu simama nikuambie. Niligeuka niliona baba yupo na kitenge ananifuata tuu na singlend nikaona nitazidi mfedhehesha zaidia nikasimama. Akanifikia akasema mwanangu nakuomba turudi tukazungumze. Nikimtizama kwa hasira nikasema baba mm sina cha kuzungumza na ww, akasema usiseme hivo nataka tukazungumze kuhusu ulichoona, nikasema baba wewe ni baba yangu hipaswi kuniambia mm kitu ila unapaswa kumwambia mama. Baba akasema unanidharau si ndio? Pamoja na yote mm ni babako usisahau hilo pumbavu wewe. Twende hukooo haraka. Niligeuza na kuanza kurudi. Tuliingia pale kwa DA frida tukakuta DA frida amekaa kibarazani akiwa na mawazo mengi sana. Baba akasema ingia ndani, frida alinyanyuka akawa anaingia na mm nikawa namfata nyuma. Tuliingia seblen palikua pazur tu kuna sofa nzuri sana na tv kubwa ukutani pia kuna picha kubwa ya baba ingine ya frida baba na mtoto wao, nilimuonea huruma mama. Nilikaa baba nae akakaa akasema tee najua umestuka lkn sikupanga ujue kwa styl hii,siwez kuelezea mengi sana ila jua tu frida ni mwanamke wangu na huyu mtoto ni mdogo wako, sasa sitaki umwambie mamako ila mm mwenyew ndio nitamwambia wakati ukifika sawa??mm nilishindwa kujibu, mama yangu alimpenda frida sana, alimpa mpaka vyombo vya kuanzia maisha hakujua baba ndie anaanza nae maisha ,baba akasema unaniskia niaksema kwa nn lkn? Kwa nn mmemfanyia hivi mama yangu? Baba akasema sina sababu ya kukuekezea ww ilikuaje ni sababu za ndani kabisa mm na mamako ndio tunapaswa kujua na Si watoto. Nikasema sawa nimekuelewa. Akasema sitak kuskia hili popote had mm nitakaposema na kama mm babako basi utHmaheshim maamuz yangu vinginevo utapata laana. Na pia nataka umuheshim frida sana ni mamako mdogo huyu. Nilintizama frida nae alinitizama sikuamin, siwez msamahe kwa hili. Baba akasema mama tim leta juic hapa, DA frida aliamka akaenda let's, ilibidi ninywe kisha nikaaga. Baba alinipa pesa sh lak 1 naona alikua ananiziba nisiseme. Niliondoka zangu na kwenda kina Bella, nilikua sina raha wala aman, nikimuonea huruma sana mama yangu. Bella alijua sina raha akasema kulikon mbona hivo?,niaksema bela ivi ukijua babako anamsalit mamako utafanya nn? Akasema heee nitatumia hio kama fimbo mbon nitamchuna mshua hadi akome? Nikacheka niakasema akili zako ww unazijua mwenyew,akasema ndio mana unaweza mwambia mamako akafa presha bure sasa kilichobaki ni kumchuna mshua tu ili nufiche sir.nilifikiria kwel kumwambia mama ni hatar vip akipata presha kwel?mmh hapana.bella akishajiandaa tukatoka zetu na kwenda zetu coco.tulifiks tukanunua vinywaji vyetu tukaenda kuzunguka pemben ya ufukwe huku tukiongea ongea.tukifika sehem tulioona nzur bella akasema tuoge dia ,nikasema mm nabrid leo sigusi hayo maji.akasema poleeee ngoja mie nikaogelee.akatoa nguo akabakia na chupi tu na sidilia tu.nikamshkia simu na nguo pale nilopokaa.alienda akaogelea wee mm hapo niko mbali sana kimawazo kiasi kwamba alikuja mtu Kakaa jirani yngu lkn sikumskia hadu alivonishika bega ndipo nikastuka nikamtizama alikua n mkaka tu mtefu maji ya kunde.akasema unawaza nn mrembo?,nimekuita sana hujaitika.nikasema amna bana,akasema mmh haya bana mamboo lkn?,nikasema powa tu za ww? Akasema poa,mbn huogelei?nikasema siko poa leo.akasema okay.umekuja na nani?nikasema na rafiki angu.akasema ahaaa okay.basi alikaa pale kwa muda akinipa stor mwishon akaomba namba ya simu.nilisita kumpa lkn aliomba sana nikampa tu.tuliliendelea na stor hadi bela alivotoka kwenye majindio akaniaga sasa na kusema anaondoka.bella aliona akauliza akasema nani yule mkaka?nikasema hata jina simjui alikaa tu hapa.akasema ahaa nikajua umepata bwana.nikacheka nikasema bwana wapii niache mm. Muda ulikua umeenda kidogo Bella akavaa akasema twende tukale nataka leo nikuspoil dia wangu nikununulie misosi na bia kama unataka kunywa kunywa nina pesa. Pia nataka tutoke usiku na sie mana kama kusoma tunasoma siku moja moja tukishi kawa wasichana wenzetu wa chuo sio mbaya na sie tupate cha kusimulia wajukuu. Nikacheka akasema Ndio twende club bana, nikasema powa. Akasema haya tukale kwanza kisha twende geto kwako tukaoge tubadilike tutoke. Nikasema sawa. Tulienda pale pale tukaagiza chips zetu mishkaki na firigisi na maini tukaanza kula. Tulimaliza vyombo vikatolewa lkn muhudumu akawa haji kudai pesa, bella akasema huyu vipi yn katoa vyombo anataka hata kuchukua pesa tumbeambeleze? Hanijui nitaondoka mm. Nikasema. Mmh Bella watu wengi bana usifanye hivo mwite tu. Akasema sawa akamuita yule dada halafu akamwambia umeshiba pesa nn mbona hufati? Mhudumu Akasema Ishalipiwa yenu ndio mana. Bella akasema nani kalipia? Akaonesha meza fln walikaa wakaka wawilina mdada mmoja. Nilivoangalia alikua ni yule mkaka alinifata ufukweni. Bela akasema Mwambie tunashukuru. Tukinyanyuka na kuanza kuondoka. Tuliita bajaji tukapanda mara msg ikaingia ktk Simu yangu imeandikwa "mrembo unaondoka hata kuniaga jmn? Sio poa hivo"nilijua ni yule mkaka lkn sababu sikujua jina lake nikajibu "sorry nani mwenzangu?" "Akasema mm Elvis nimekutana na ww ufukweni nikaomba namba"
Nikasema "sorry kwa kuondoka bila kukuaga pia asante kwa msosi"akasema "usijali kwa hio mnaelekea wapi? Ningewasogeza"nikasema "usijali tumeshaondoka"akasema "powa basi "sikumjibu hio. Tulifika kwangu tulioga tukajiremba tukavaa nguo za kawaida tu surual na top tukatoka sasa. Tulienda club tukajiachia mnoo, tulivochoka tukarud nyumbn. Elvis aliendelea kunichatisha kila siku akiomba tuonane, nilijua mwishi wa hii n kunitongoza na mm. Nilikua sina mshipa wa kupenda hata yy sikumpenda sana. Siku moja nilikua chuoni nimemaliza vipindi nimekaa zangu namsubir bella alikua anamalizia pindi mara nikaskia tee mbona unanifanyia hivo? Nilistuka kuchrk ni Elvis ,mmh kanionaje hapa? Nikasema we umenionaje hapa na umefata nn? Akasema nilikuja kwa jamaa yangu ni mhasibu haba ndio nikakuona umekaa hapa. Nikasema ahaa
Akasema umeamin kwamba milima Haikutani ila binadam hukutana? Nikasema nimeamin, akasema wiki ya tatu hii hutaki tuonane kwa nn?nikasema masomo yamebibana, akasema ooh unasoma nn dokta au? Nikasema ndio, akasema utapendeza sana ukiwa dokta nikasema asante. Basi tuliongea kisha akaaga huku akiomba tuonane. Niliitikia lkn wiki mbili zilipita. Weekend ikifika kama kawa club tukaenda na bella katika kucheza nilishangaa nakumbatiwa na mtu, nikistuka kumchek n Elvis, niliona aibu nikajichekesha. Elvis akasema leo sikuachi mpaka tuongee. Nikasema sawa. Nikawa nae sasa huku akitambulisha rafiki ake. Walikua watatu yy na rafiki zake. Tulijiunga nao na kuendelea kunywa na kucheza. Tulicheza had usku mwingi tulichoka tukamwambia elvis akasema tuondoke atupeleke. Tulitoka nje ya club tukitembea kuelekea kwenye gari simu yangu ikikua inatetema nijaingiza mkono mfukoni nitoe huku siangalii mbeke mara niligongana na mtu nijaangusha pochi. Alienigonga aliinama kuokota kisha akanyanyua uso wake kunitizana ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ซsikuamini macho yangu niliekutana nae ...........

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8


Mwandishi:lissa mwalla
Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi nae pia dar? Umekuaje DA frida kamfanyia hivi mamangu? Nilijihoji bila kupata majibu, nilikaza mwendo nikaskia anitwa nyuma, alikua ni babangu anaita akasema tayla simama wee tee mwanangu simama nikuambie. Niligeuka niliona baba yupo na kitenge ananifuata tuu na singlend nikaona nitazidi mfedhehesha zaidia nikasimama. Akanifikia akasema mwanangu nakuomba turudi tukazungumze. Nikimtizama kwa hasira nikasema baba mm sina cha kuzungumza na ww, akasema usiseme hivo nataka tukazungumze kuhusu ulichoona, nikasema...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jogoo-wa-kienyeji-sehemu-ya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

975
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

899
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

338
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

290
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

275
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

214
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

212
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

191
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

171
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

169

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.96K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  โ€‹Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA โ€‹Episode 1
@majario LIVE

โ€‹Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest