AFANDE MILLAN๐ 70 Hadi 72
Sehemu ya 70
Siwafichi umaraya sikuwa nimeacha ila.nilipunguza sana, yani sanaaaaaaa , yani nachepuka sawa ,ila kwa kutokezea sana, nilitulia na awa wake zangu wawili, ata ibraa alinambia nimechange sana , nimepunguza baazi ya tabia, ata kutumia pesa vibaya niliacha, ata kulewa sikuwa nakunywa kabisa, mana zena alikuwa hapendi kabisa ninywe, na siku nikinywa pombe, nikuludi kwa zeja nimekunywaa, aseee zena ana mind tena ataninunia kabisaa, anambiaga ye hapendi kuongea na walevi, so kuna vitu nikawa naviepuka kabisaaa , ili tu nisimkwaze mwnamke wangu, ila bado.nilikuwa nahudumia wanagu vizuri mnoo, japo mama ahmed alikuwa na mdomo sana ,ila alipunguza nilimwmabia ukiniletea mdomo.namsusa mtoto uyuoo simuhudumii ,wee akapunguza kabisaaa
Basi bwana siku iyo, sasa mama ahmed kanipigia simu nipo kazini, nikaona kumekucha mana namjua uyu mwanamke ni ana mdomo sana ,nikapokea simu nikasema nn wewe mi nipo kazini si nimetoka kukutumia pesa juzi tu, mama ahmed akasema we nn , si nimekupigia nikupe hongera halooo ,majilani cha umaraya kaoa, kwaiyo ww ukaona ukituamibia sie kuwa umeoa mpemba mwenzio utaumwa ama, nikajua basi ameenda kule kwangu cha umbeya uyu kisha kakutana na jalia, nikasema unazungumzia nn sikueleiw, akasema bwana eeeh mi leo nimetoka kwako , heeee nashangaaa nakuta new brand ananmbia mkeo , aseeeee kutuchezea kote sie wabongo umeenda kuoa mpemba mwenzako kweli ww nyoko, nikasema.aya we kwangu ulienda kufanya nn na pesa nishakupa
Akasema ahaaa nilikuja sababau nilikumiss tu nije kukuona ila basi si umeoa sawa baba, nikasema.yaa nimeoa na ndo ukome sasa kuja kuja nyumbani kwangu, yule wa sasa hivi sio mwanamke tu, yule ni mke naomba uwe na adabu unapokuja nyumbani kwangu, nina mke sasa, na sio kuja , mm na wew ni tunapigiaana simu masula ya kwenda nyumbani kwangu ukome,sijuh unanaielewa ww, akasema bwana ww kujishaua tu wala.sina shida na wewe mie kimpango wako, kisha akakata sumu, yani katika.wanawake ambao najutia kuzaa nao, badi ni uyu mwanamke ahaaaa anannipelekesha sana mshenzi uyu, yani ana mdomo kama nn, basi mi nikampotezea ila nikampigia simu jalia na nikamuuliza kuhusu suala la mama ahmed, akanambia ni kweli.mama.ahmed alienda pale na kamwambia maneno ya kejelo sna ila yeye kampotezea ,nikamambia achana nae uyo mwanamke ni chiz ila.nimezaa nae so kuwa nae makini na uwe busy na mambo yako na akija tena mfukuze ,jalia akasema.sawa mume wangu mwnamke wa vile hawezi.akanishuhulisha mimi , nikasema powa mke wangu
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
AFANDE MILLAN๐
Sehemu ya 71 na 72
Basi ikakata miezi 2, apo sasa mimba ya zena ikatimiza miez 9 , ikawa namsikilizia sasa kwa ajili ya kujifungua, kwakua alichoka.sana ,mimi.nikamtafutia dada wa kazi sasa, mana alichoka mnoo, na mm nakuwa nipo busy na kazi, na kuna mda anakuwa anashindwa ata kuhudumia awa wanae wengine kutokana na hali yake, nikaona nimsaidie sasa mke wangu ili apumzike kidogo ndo nikamtafutia dada wa kazi, basi bwana ,siku iyo usiku mida kama ya saa 9 nakumbuka ndo zena alianza kuumwaz ila akanmbia hado uchungu hujachanganya nimngojeee nisiwah kumpeleka hospital, nikasema.sawa basi hatukulala, ni ana lalamika tu anaumwa kiuno nimkande mala nimfanyie iki hivyo, nikimwambia twende hospital ananmbia bado uchungu haujachanganya huu, basi na mm namskiliza mpkaa kumekucha kabisa asubuh saa 12 ,akanmbia sasa nipeleke hospital ushanichanganya mwanao anataka kuja
Na kweli mm nilifanya hivyo, nikampeleka hospital nzuri ya private na iko uku uku pugu, hakukaa sana maskini mpaka saa 3 asubuh akaniletea tena mama , yani alijifungua tena mtoto wa kike, aseeeee furahaaa ilikuwa kubwa sana kwangu, nilifurahi sana, nilikuwa na amani mnoo, sikuwa na watoto wa kike kabisa kabisaaa, so zena akaniongezea bwna, so nikawa na arshaina ambae kana mwaka na nusu, na uyu mdogo wake, nilifurahi sanaa, nilipoitwa kumuona mke wangu nilimwambia asante kwa hii zawadi mke wangu, nakupenda sanaa, akanmbia asante na wewe mume wangu kwa kuniongezea familia, basi.nikakabeba mwanangu pale mh kafamana.sana na arshaina, ila tulimkomaza arshaina bwana mwaka mmoja na nusu nae ashakuwa dada mh
Basi zena wala hakuwa na shida na tulikaaa hospital mpaka jioni tu sie tukaruhusiwa, asee nilikuwa na rahaaa sana nilitamani nimpigie.simu mama yangu mzazi jisha nimueleze furaha yangu ila naanzia wapi, tena apo.ata zena akitaka kuongea na mama namlusha lusha tu, si najua mama kwanza hajui.kama.mm nimeoa mwaamke mwengine tofauti na jalia, na mwanamke mwenyewe ni zena ambae alishamkataa kabisa na alishanambia yeye anamtaka jalia tu, so ata suala la matala.mama yangu hakuwa analitaka kabisaaaa yani, basi bwana aka katoto kangu ka pili nikampa jina la shadya, na mdogo mdogo zena akaanza ulezi sasa, aka kalikuwa kamepoa sana wala sio msumbufu kama arshaina ata, ila sasa arshaina ndo msumbufu bado , si kadogo, basu achaaa anamsumbia sana mama yake, anakuwa anapmabana nao hivyo hivyo tu, na bado kuna ummy ambae kwa mda uo alikuwa anatimiza miaka 6 ambae nae bado akili hazisomi vizuri kabisaaa,
Kiukweli kwa uhuu mda mimi nilimwambia jalia kuwa kwa sasa aniache kwanza niwe na zena mana ametoka kujifungua jalia akanmbia ni sawa naelewa, mh nilichokuwa nampendea nalia ni muelewa sana , yani hana shida kabisaaaaaa , ninapomueleza kitu wala hana shida ni habishi wala hakakatai.ananambia tu sawa ,nikawa naona kabisa kuwa kama hana shida na ni muelewa acha tu niwe nae na zena wala hawezi kujua. Siku iyo bwna nakumbuka ilikuwa mida ya kama.saa 4 usiku,nipo kwa zena na tena tulikuwa chumbani tunaangaika na watoto, mimi nacheza na mdogo uyu kisha yeye alikuwa anamvalisha arshaina ,ummy alikuwa kashalala, basi bwana nikiwa busy na kubembeleza mwanangu naona simu yangu inaita kisha jina ni mama.ahmed mh, nilishangaa uyu sa hizi anataka nini na pesa nimetika kumtumia kama jana yake.kwa ajili ya mtoto, nilitaka nisipokee ile simu kabisaa mana namjua mama.ahmed ataalibu mada , mi sikutaka kabisa kupokea ile simu yake, ila sasa mke wangu zena akanikata jicho kisha akaniuliza kwa nn huipokei ihii simu, nikasema mke wangu si unamjua mama ahmed ataanza fujo tu, achana nae , zena akanmbia hapana mpokelee kama mtoto anumwa je, au bado unatembea nae, nikasema hapana kabisa mke wangu sitembei nae ,zena akavuta ile simu kisha akaipokea akweka loud
Akanisogezea simu niongee sasa mana mm nilishika mtoto , nikasema.hallow, mama ahmed akasema we baba vp, nikasema powa mama ahmed mbona simu za usiku unanitisha , akasema loooh yani wewe unajishaua siku hzi tangu umuoe uyo mpemba wako mie hnanaiona mavi au sio, doooh moyo wangu ukafanya paaah, mana mama ahmed kasharopoka issue za mpemba, mi nikapotezea nikasema bwana ebu sema shida yako unataka nn, akasema wala sina cha kusema nimeona nikusalimie tu handsome boy wa kipemba japo hunitaki , na mwanao anataka kuongea na wewe, nikasema sawa hakuna shida nipe simu niongee nae, akanmbia ahaa basi utaongea nae kesho, kisha akanikatia simu, nyieeee uyu demu ni jau ,nikaona zena kama anajiuliza hivi
Kisha akaniuliza umeoa mpemba mbona sijaelewa hito kauli , mama ahmed alikuwa anamaanisha nn kukwambia hivyo, nikasema sikia zena unajua uyu mama ahemd ni kama ananitaka na si unaona mke wangu kapiga simu huu mda wa saa 4 usiku , anachokipngea wala hakielweki, na uko nyuma alikuwa ananisumbua sana ndo mm nikamwambia bwana usinizingue mi nishaoa, sas naona kajiongeza labda kahisi nimeoa mpemba mwenzangu, zena akaningalia sana akanmbia naomba uwe muadilifu kwnagu millan naomba utulie plssss sitaki presha kabisa mume wangu ,naomba uwe muaminifu kwangu na mimi.niwe muminifu kwako tuangalie watoto wetu, mana watoto bado ni wadogo.san wanatuhitaji.mnoo, nikasema.ni kweli. Mke wangu kila kiltu kitakaa saww , na mm unanihisi tu vibaya mke.wangu ila.mm now.nimebadilka kabisa,wala sina tabia zile, kabisaa, zena akanmbia sawa kama umebadilika ata mm nakuombea sana mume wangu uzidi kubadilika mume wangu, ila ata apa ulipofikoa nashukuru sana , umekuwa baba mzuri kwa wanagu na mume bola kwangu, nikasema asante mke wangu , kisha nikawa nabembeleza mwanagu, ila mama ahmesd aliniitibua mnoo apoo
Basi tukabembeleza watoto.wetu na tukapumzika, na asubuh sana niliamka kwa ajili ya kuwahi kazini sasa na mke wangu zena akaniandaa maskini kwa ajili ya kazini ,japo watoto wanamsumbua mnoo ila wla hakusahau majukumu yake kama.mke kwangu ata siku moja, ananifanyia yote ,labda siku mm mwenyewe nimwambie pumzika mke wangu, nitafanya mm, basi hwana nilivyoingia kazini, cha kwanza nilimpigia mama ahmedi , ila hii siku wala hakunipokelea simu zangu kabisa, ila nilimtumia sms za kumkomesha kwamba ni marufuku kunipigia simu usiku saa nne bila ya hivyo mtamkomesha. Ila.wala hakunijibu pia na mm nikakausha tu
Badi maisha yakawa yanaemda na baada ya aka kachanga kufikisha miezi 2 mi nikaludia zamu kama kawa, na kwa jalia nikawa naenda japo kwa siku chache, namdanganya zena nna shift za usiku kazini, ama nasafiri naenda kwa jalia , kuna mda namdnganya nadafiri ata week nakuwa kwa jalia, ahaaa apo jalia alikuwa anajituma sana kwa ajili yangu , na ananipa mapenzi kweli kweli, so nikaw ata na yeye simpotezei sana na suala la pesa namzingatia mnoo si ni mke wangu sasa, unazani nafanyaje ,nakumbuka siku iyo ilikuwa ni week end nilikuwa nyumbani tu kwa zena, ila.ummy akawa anataka nimtoe out et anataka akale kuku za njee , ummy bwanaz na zena akaasema ata baba mm nimemiss kitoka out na wewe so pleassss tutoe baba. nikasema.okey bwana familia.sindo mmetaka aya mnambie mnataka.twende wapi.na tikale nn , zena akasema twende fun city kigamboni , mana kule kuna michezo ya watoto na watoto wakainjoy nikasema.sawa mama mtu jiandae tunaenda ,basi ummy alifurahi mnoo akanmbia asante baba nakupenda sana, nikasema asante kushukuru mwanangu ,basi kweli.wakajiandaa na nikawapeleka kigamboni funcity bwana, basi dooh ummy alifurahi kweli.kweli.mana kulikuwa na michezo ya watoto.mingi mnoooooโค๏ธ๐
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni