AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 69
Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm, anajua kama kuna mwanamke anaitwa jalia umemuoa pia, nikasema hajui na sitaki ajue, nampenda sana zena, jalia akanambia kwaiyo mm ni nani kwako, mm ni kivuli chako ebu nambie, nikasema.jalia mi sikuplani kukuoa ww kabisaa sikupanga iwe hivyo ni vile wazazi walinilazimisha nikuoe ww, ni wazazi ndo waloniolea au mm ndo nilikuvunjia goti na kukuoa ww, sikia ni hipo hivyo jalia, kama kufosi kuwa na wewe nishafosi sana but nielewe kuwa mm sikupendi kabisaa, nampenda sana uyo zena, ni mwanamke mwenye mtoto wangu mdogo na ana mimba nawezaje kuwa nae mbali nampenda sana nisamehe jalia kwa hili, na zena haitaji matara kabisa, so siwez mueleza kuhusu wewe kabisaaa
Jalia alichoka mpaka akakaaa chini, akanmbia so mm unihitaji kabisaaa, nikasema jalia nahisi ata ayo matala mm sitayaweza na sitayatendea haki, na jitabase sana na zena sababau ndo nnayempenda we ntakusumbua tu, naomba sana tufikilie cha kufanya , ambacho ni sahihi ili baadae isije kuwa shida kwetu, jalia akanmbia no usiwaze kunipa taraka kabisaa millan, mana ata mm nakupenda sana, nakupenda mnooo mpenzi, nakuhitaji kweli kweli, plssss tuongeee mpenzi , nakupenda sana millan mm nakupenda ,na ndo mana wazazi wako walipokuja kwetu kueleza kuwa wanataka mm niolewe na wewe sikusita kabisaa na wala sikukataa sababu nakupe nda plsss millan, na unanaivutua mnoo
Nikasema sawa kama hutaki nikuache ww utaweza kuvumilia juu ya zena, mana mm sitaki zena ajue chochote kuwa nimeoa, sitaki aumie kabisa, nampenda sana, jalia akanmbia ni sawa kama ni hivgo tu basi ni sawa ,ila millan naomba unipe mda na mm plsss, sawa unampenda zena ila na mm nakupenda, basi katika week na mm naomba nipe.ata siku 2, nakupemda sana plsssss, nikaona kumuacha uyu mwanamke haraka hakara itakuwa jau kwa familia yangu, haitanielewa kwanza, nikaumuuliza we ndo umempigia simu kaka yangu na kumuelezea luwa mm siludi nyumbani, na sipokei simu zako, jalia akasema.nisamehe jamani
Niksema.sijasema uniombe msamaha ,
nimekuuliza ni ww ndo umempigia simu kaka yangu, akanmbia ndio , ni mm ila nisamehe niliona mm simu zangu hupokei kabisa ndo nijamshikilisha ,nikasema.sawa kuanzia leo sitaki kusikia kokote juu ya siri zetu za ndani, yani mm na ww na maisha yetu, sitaki kusikia unamwambia yoyote ,jnananielewa mm sindo mumeo, akanmbia ndio, nikasema.basi kama mm ni mumeo naomba ufate shelia zangu, na kila week ntakuwa nakuja kwako siku 2 ,naomba uwa makini sana jalia, bila y hivyo mimi na wewe hatuataelewana kabisa unanaielewa ww, jalia akanmbia ndio nimekuelewa wal hakuna shida
Basi sasa ndo tukaelewana hivyo, mm nikanyanyuka kupata chakura, kisha nikaludi chumbani kwangu kupumzika , na jalia nae akaenda kuoga kisha akaja kitandani , na akataka penzi, asa si mke wangu namuachaje, mi mwanaume bwan, basi mi nikala mzigo kama kawa, japo show inakuwa sio ya kibabe sana, kama kwa zena ,ila nilisex nae fresh kisha tukapumzika, basi tumelala uku jalia ni kanikumbatia mnooo,
hui usiku mm sikutka kuwasiliana kabisa na zena, mana nilimwambia zena nipo njiani, nikaofia nisije nikampokelea simu, alafu akahisi kama vile sipo safarini mamabo yatakiwa mengi, basi bwna, nikalala na jalia apa , na asubuh akaniandaa frsh kwenda kazini, nilimwambia hii week yote nipo kwako basi jalia alaifurahi mnoo, niliona ata jalia ananipenda sana ila sasa kipengele ni mm moyo umezama.kwebgine kabisaa
Badi hwana nilivyofika kazini mida ya mchana saa 6 ndo nilimpigia zena ,ninamwambia ndi nimefika kigoma, na ntakaa week nikifanya kazi, zena aknmbia ni sawa wala hakuna shida mume wangu nakutakia kazi njema, basi bwana nakumbuka ibraa alinambia yani we mbwa uwe makini sana, nikasema acha tu kaka, sina la kufanya wote wananihitaji, ibraa akanmbia ni kwli kaka nakuelewa sana pole sana, nikasema.asante kaka, basi hwana ikakataka week 1 nipo kwa jalia , na niliona jalia anajithidi sana kunifnya niwe na rahaa nikiwa nae, naweza kusema kwa kiasi flan alifanikiwa mana hiyo weeek ambayo mm nilikaa kwa jalia nilikuwa namkula weeeek nzima , mi ni mwanaume.siwez kulala na mwanamke week nzima na nisifanye nae chochote sio kweli, so kwa iyo weeek amabyo mm nilikuwa nakaa kwa jalia kuna bond pia nilishatengeneza nae.
Basi bwanaa siku ambayo ndo naondoka kwa jalia, nilimwanbia mm kesho naenda kulala kwa zena si nimelala.kwako week nzima, akanmbia ndio.naelwaz nikasema.sasa kule mi.sipendi simu za usiku kabisaa, apo nilipokuwa uku zena alikuwa anapiga sana zimu, na kuna mda naongea na simu mbele ya jalia na jalia aliniruthu kabiaa , ila ulivyofika mda wa kwenda kwa zena nilimwambia kabisaa jalia kuwa mimi.sitki kupigiwa pigiwa kabisaaa asa nyakati za usiku, ukiwa na.shida zako zote nambie mchana ila ntakuwa nafosi kila week niwe nakuja kulala kwako ata siku 2, jalia akanambia ni sawa na ntashukuru sana kama utakuwa unakuja ata kwa hizo week.2 ntafurahi sana,nikasema powa basi mi nikasepa.zangu kazini, na iyo siku nikaludia kwa zena sasa
Basi zena akanipa pole na safari, na watoto.wkanichangamkia sana, sasa basi kuanzia apo.ayo ndo yakawa maisha yetu, kwa zena nakaa week, siku 2 nafafuta sababu najifamya nalala kazini, kumbe naenda kwa jalia, ilikuwa hivyo, na nilikuwa najitahidi sana kumficha zena ukweli kuwa nna mke mwengine, na mama akinipigia simu kuniuliza naendeleaje na mke wangu, namwambia tupo sawa, naona ata jalia alikuwa anafanya kile nnachomwambia ,mana ata kaka hakunipigia tena simu kunipiga mikwala, wala yani bi mkubwa ( jalia )hakukuwa na kesi kabisaa, ilikuwa hivgo, na ata simu jalia hakuwa anapiga kabisa nikiwa kwa zena yani ikawa ,jalia anajua kuwa kuna zena ,ila.zena hakuwa anajua kuwa kuna jalia, basi nikawa napambana na wake zangh hivyo hivyo, kwenye suala la kuhudumaia kwa jalia sikuwa na shida, nilikuwa najitajidi kiukweli kwa kila anachokitaka kumtimizia , na zena akawa anaendelea vizuri mana sasa zena mimba yake ikafikisha miez 7, apo anadeka mno na mtoto yanii arshaina alishamueachishaga ziwa nashukuru arishaina kalikuwa kanaendelea vizuri japo mama yake alifanya haraka sana kumbebea mimba ,ila hatukuwa na jinsi ssa
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni