SHAMIRA 102 kwa 104
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
SHAMIRA
Sehemu ya 102
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata akamchukua mwanae akaendoka nae. Mh nikamtumia sms daniel. Nikamwambia gift kamsimulia aunt yake kuhusu ya jana .akanambia achana nao bwana .sister akikuuliza kataaa tu. Nikamjibu sawa .kisha nikaendelea kuwa busy na kazi zangu
Mchana sasa shoga yangu kaludi kimechafuka kwanza sijuh alikunywa juice akajimwagia jamani mh. Nimamuuliza wewe mbona umechfuka.akanambia si uyo joy kanimwagia juice shule. Nikajua watoto kwemye kucheza wanakuwa wanamambo mengi nikamvua nguo zake. Kisha nikaend kumuogesha .nikampeleka dining nimapakulia chakura .akawa anakula alipomaliza kikanyanyuka nikmwambia ludi apa utoe vyombo.akanitikisia mabega kuwa hataki. Nikasema ooh kwanini hutaki. Akasrma baba yangu kasema nisitoe.nikasema njoo utoe kakataa kikaenda sebleni kikawasha video akaweka cartoon.nikatoka nje kwenye bustani nikaraguta kibakora changu kizuri kabisa. Nilivyofika ndani nikakaikamata mikono yake.nikamtandika .akaws analia nikasema wewe hii mikono yako haiwezi kufanya kitu eeh si ndio nakuuiza wewe akawawa analia nikamtoa na bakora mpaka diningi akatoa sahani yake.akaenda kuweka jikoni
Nikamwambia sasa wewe si una mdomo wa kulopoka lopoka nataka nikusike unamjibu mtu jeuri na kuchapa wewe. Na ole wako uwe mjinga mjinga nakutandika pumbavu wewe .kikawa kinalia kikanambia da shamira nisamehe.kumbe kinajua kuomba msamaha nyoo. Nikamwambia aya nimekisamehe nikikutuma kitu unaenda haraka sawa .akasrma sawa
Jioni sasa nikampeleka chooni nimuogeshe akanmbia nataka kupuu kwanza. Nikamwabia aya jisaidie nikamuacha nikawa namngoja nje. Kimemaliza ananambia nichambishe. Nikamuelejeza jinsi ya kuchamba ata hakiwezi nimamwanbia weke mkono uko mie nikawa namwagia maji.alivyomaliza ndo nikamuogesha .nikamsaidia kimvesha chupi nguo zengine nikamwambia avae mwenyewe hajua ata kuvaaa jamnai aya malezi ya daniel hapana kwa kweli
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
SHAMIRA
Sehemu ya 103&104
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Alivyomaliza nikaenda nae dining nikampakulia chakura akala vizuri. Et kimeninunia khaaa. Aliposhiba akanawa akawa anaondoka nikamwambia wewe hii sahanai yako vp alaka kikaludi kutoa chezea mimi wewe kikapelea jikoni. Nikamwambia sahizi usiku hakuna kuangalia cartoon haraka nenda chumbani ukalale. Akasema mi nataka kuangalia sasa.nikasema utaangalia kesho au unagoma
Akatikisa kichwa kuashilia hapana. Akaenda zake kulala .na mie nijaingia chumbani kwangu.
Baada ya mda nikasikia mlango wangi wa chumbani ungongea nikajua ni love nikamwambia ingia basi akaingia .nikamsalimia vizuri akaintikia akawa ananingalia mpka nikawa naona aibu.akaniuliza ni kweli wewe na kaka dan mna mahusiano. Nikasema hapana hatuna. Akase.a kwaiyo hauna gift kaongopa sio.nikasema ni jana tu ilitokea bahati mbaya.akanambia sikia shamira wewe ni mdogo wangu .ngoja nikwambia kaka dan bado hajamove on kwa aliyekuwa mkewe mpaka kesho. Anaanzisha mahusiano na wa wanawake anawachezea chezea wanaachana sababu bado anampenda aliyekuwa mkewe na bado wanatembea japo uyo mwanamke kaolewa. kwaiyo kama mnapeana sawa peaneni na jikumbuke wewe ni mwanamke na ujiheshimu na ujithamini. Na wla sipingi wewe kuwa wifi yangu.no ila nimekutonya mapema namjua kaka dani miaka minne sasa ashakuwa na mahusiano na wanawake wengi wengii lakini hakuna cha maana. Na lingine kuwa makini katika mambo yeni si unaona mtotto kawakuta eeeh sio sawa hiiii. Nikasrma sawa love haitajiludia
Nikaona kanyanyuka kaondoka zake chumbani kwake nikabaki na aibu zangu ata sijielewi mh ni kweli sikuwa naona dalili ya uyu mwanaime kuwa ananipenda sana no ile kawaida tu .na dada yake alivyonipa aya maneno kanichanganya sana basi tu. Basi bwana ikapita weeek nipo na mtoto.nilimnyoosha akinijibu jeuro tu namchapa vizuri.nikimpa kitu anasrma asante.mwanzo hakuwa anasema kabisa.na akimaliza kula milimwambia unashukuru. Basi nikaona anayooka tu. Anakula akimaliza atatoa sahani yake .anakija kunambia asante dada kwa chakura.ata kama nikiwa chumbani.kalibadilika sana mwanagu usiku akishakula tu anaenda kulala mwenyewe.mpka love akawa anashangaa mana kila akiludi anamkuta kashalala. Na subuh anamuona ana tofauti mtoto. Na nilimkataza tabia yake ya kulopoka lopoka na umbea umbea nilimwambia nampiga nikisikia anasimulia simulia vitu visivyomuhusu. Kikapungiza kidogo.ila nilikuwa nampa nafasi mida ya jioni nacheza nae mpira.yani nilikuwa nampa haki zake zote kama mtoto. mana mtoto ukimpenda sana nayo inakuwa shida unamuharibu bila kujijua
Kwa mda wote uo ambao danieli alikuwa uko hakuwahi kunipigia ata ssiku moja. Ila asubub kabla dada yake ajaenda kazini anampigia video call anaongea na mwanae . Nikawa naona ao ndo wenye umihimu kwao bwana. Basi nilipambana na mtoto jamani akanyooka vizuri mpaka rahaa. Anakunya ka achamba mwenyewe. Mimi namsimamaia tu . anavaa mwenyewe .kasoro akienda shule tu ndo namvalisha. Ila akiwa nyumbani mwemyewe ana vaa nguo zake
Anashukuru ukimpa kitu mpka rahaam na mdomo nikaona kama.kapunguza kidogo mana ata shangazi yake hakuwahi kumwambia kuwa nimemchapa . Basi bwana week mbili zikapita na siku iyo sasa daniel akaludi.ilikuwa mida kama ya mchana .akamkuta mwanae wakakumbatiana.nami nikamsalimia akaniitika vizuri tu. kisha hakuwa na mda na mie tena akambeba mwanae wakaingia chumbani kwao .uko wakazamia jamani yani wakawa busy .wamaongea tu .heee baada ya mda nikaona daniel katoka kakasilika mno . Yani macho yamemtoka akanambia kwaiyo ww mpumbavu ndo ilikuwa kazi yako kunichapia mwamnangu eeh. We mwanamke mbona una roho mbaya sana. Mbona unamchukia sana mtoto wangu eeeh
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni