Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.
Gonga94 · Stories

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.

K sal ft ferooz Mwana mkiwa

Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo & Domokaya inayoitwa starehe na fedha ila haikufanya pouwa baada ya hapo kimya hadi leo

Kali P - Imekaa vibaya

Baada ya hii ngoma sijawahi mskia tena huyu jamaa mpaka leo

Kalapina - Mstari wa mbele

Hili dude la Mwana kikosi cha mizinga ni kali sana, na mpaka leo Kalapina hajawahi tena hit nyingine kama hii, ngoma zote zilizofuata ni average

K basil - Ridhiki

Ni moja ya nyimbo pendwa kwa wakati ule, ila jamaa hakufanikiwa kutengeneza Hit song nyingine mpaka leo

Balozi Dola soul - Kwenye chati

Baada ya hii huyu mkali hakuwahi tengeneza hit nyingine

John mjema - Wachumba 30

Jamaa alitoa hit song moja, mpaka anafariki hakuweza kutoa ngoma ingine kali

Ziggy D -Eno mike

Hii ngoma ilivuma sana kipindi imetoka naweza kukiri ni moja ya ngoma nnazopenda hadi leo, ila Ziggy dee hakufanikiwa kutoa ngoma ingine kali kama hii

Fresh P ft Juma Nature Tina

Jamaa alitamba sana mwaka 2006 kipindi hii ngoma inatoka baada ya hapo mpaka leo hajaweza kurudi tena

Richie longomba -Funguo

Hii ngoma ilikua kali sana ule mdundo sijui nani aliupiga ila ni moja ya ngoma iliyovuma sana

Ocg ft Juma nature Aqwelina

Hawa jamaa walikua watatu wakitumia herufi za mwanzo za majina yao ndo wakaunda hilo kundi walifanikiwa kutoa hit song moja iliyotengenezwa studio za Bongo record na producer alikua Soggy doggy

Rich one ft Juma nature Hatuna kitu

Huyu jamaa naona mziki anafanya kama fani tuu, alitoea hii ngoma yake moja ambayo mpaka leo hajaweza kurudi na ngoma ingine

Dolo ft Juma jature Razia

Dolo naye ni kama rich one tuu amebebwa sana na crew yake ya TMK ila uwezo wa kawaida, ndo maana baada ya radhia hakuweza kurudi tena

Mazense crew ft Juma nature - Riziki

Hawa jamaa nao walipata ngekewa kupata chorus ya juma nature ngoma ikawa kali sana ila tangu kipindi hiko hawajaweza kurudi tena

Adili -ft Mandojo & Domo kaya - Peke yangu

Huyu jamaa hii ngoma ilimtambulisha vizuri sana lakini kwa bahati mbaya hajawahi kufanya ngoma ingine kubwa kama hii

Fagio la chuma - Fagio la chuma

Hii ngoma ilivuma sana miaka ile ya 2000 baada ya hapo jamaa hawakurudi tena

Squeezer ft Juma Nature - Naja

Huyu jamaa ana uwezo mkubwa sana, ila katika solo project ana hitsong moja tuu hii aliyofanya na Juma nature

Univeral corner - T.shirt & jeans

Hii ngoma ilifanya watu wakaanza kuvaa T.shirt na jeans ilivuma sana ila jamaa hawakuweza kuja na ngoma ingine

Tng squard - Bongo dotcom

Hii pia ilitikisa sana miaka ile inatoka lakini hawa jamaa ni kama walibahatisha tuu

Man ex ft Duly sykes - Nimechezea bahati

Huyu jamaa alifanya hii ngoma kwa beat ile ile ya wimbo wa Bwana misosi nitoke vipi, ngoma yake ikawa kubwa sana ila hakuweza kurudi tena

Picco - Kikongwe

Huyu jamaa hii ngoma ilipendwa sana miaka ya 2002 baada ya hapo jamaa yuko chalii

Stopper ryames - Mtu tatu ndani ya track moja

Jamaa namkubali sana kwa uwezo wake ila hajaweza kutengeneza heat song nyingine kama hii

H mbizo - mpenzi wangu

Huyu jamaa baada ya kutoa hii ngoma akapotea mazima

Pingu na deso ft Mr blue - Jonita

Hawa jamaa walikua ni member wa Tiptop connection chini ya kaka yake Babu tale, the late Abdu bonge, walifanikiwa kutoa heat song moja wakapotea mazima

Dani msimano - siku nzuri

Huyu jamaa alikua ni rafiki wa karibu sana na Mr ebo & wagosi wa kaya, hii ngoma yake ilipendwa sana, ili akashindwa ku maintain akapotea mazima

Pig black - Nini mnataka

Huyu jamaa alipata bahati ya bit kali sana na ngoma yake ilivuma sana baada ya hapo jamaa akapotea

Mack dizo ft Duly sykes Suger mamy

Hii ngoma ilimtambulisha vizuri sana mack dizo ila hakuweza kuendelea kutoa ngoma nyingine kali

Alcom ft mishi - selina

Huyu ustazi ana roho safi sana watu wanaokaa kinondoni B wanaweza kumuelezea vizuri anaishi jirani na Hardman yule aliyetamba na ngoma ya Tamala,
Alcom baada ya selina hajawahi kufanya hit song nyingine

Chelea man - Msela

Huyu jamaa alishawahi kupita pale tiptop connection, alibahatika kutoa hit moja tuu hii ya msela , baada ya hapo alishirikisha ngoma ingine inaitwa heshima ,ngoma ni ya Afande sele ila haikufanya pouwa sana baada ya hapo akapotea mazima

Oten -Nicheki

Hii ngoma ya Oten ilivuma sana miaka ile ya 2000, baada ya hapo alitoa ngoma kadhaa zilifanya pouwa lakini hajawahi kutoa hit song kali kuifunika hii ngoma yake ya kwanza iliyo mtambulisha

JI -kidato kimoja

Ngoma ilitoka 2008 na ilifanya pouwa sana ila mwamba baada ya hapo akapotea mazima

Roho saba - Nakupenda hiphop

Huyu jamaa namkubali sana, nafaham ngoma zake nne
•Nakupenda hiphop
•Waite polisi
•stay
•Focus

Ila zote hizi hazikufikia level ya Nakupenda hiphop, nliskia jamaa ni mwanajeshi na ameacha muziki

Rado- Usiulize

Hii ngoma ilifanywa studio za Baucha kinondoni, ilikua ni dis truck kwa Fid q, ngoma ilisumbua sana, baada ya hapo rado alitoa ngoma zingine lakini mpaka leo hajaweza kutoa ngoma kali tena na ameshapotea

Sajna - Iveta

Hii ngoma ilifanya pouwa sana, akaja na ngoma ingine akimshirikisha Lina, baada ya hapo kapotea mazima

2 berry ft shirko - Wewe tuu

Hawa jamaa walitia hitsong moja baada ya hapo wakagombana kila mmoja akawa anafanya kazi kama solo artist, Berry black aliweza ku maintain kwa kipindi kifupi akaja kupotea , Berry white hakuweza ku maintain kabisa

Offside trick ft AT - Samaki

Hawa jamaa baada ya hii ngoma hawakufanikiwa kutengeneza hit nyingine

Amini - Bado robo saa

Amini licha ya kua THT baada ya robo saa mpaka leo hajatoa hit nyingine

Vumilia - Utanikumbuka

Huyu dada naye alipita THT, na anaonekana alitokea maisha magumu sana, alifanya ngoma kama mbili ila hii ya Utanikumbuka ndo ilimtambulisha kwenye game baada ya hapo, akatoa ngoma ingine inaitwa tatizo ni umaskini haikufanya poa sana, na kuna ngoma alifanya na Ney wa mitego pia haikufanya vizuri, akapotea mazima

Edru g ft barnaba - Scola

Baada ya scola alifanya ngoma zingine lakini hakuna iliyopenya akapotea mazima

Mataluma -Mama mbaya

Huyu jamaa naye alibahatisha ngoma moja na akapotea

Top c ft Ali kiba -Ulofa

Ngoma ilitengenezwa chini ya studio za Bob junior magomeni, ngoma ilipendwa sana hii, ila top c hakuweza kutengeneza hit nyingine safari yake ikaishia hapo

Spince ft Ali kiba - Ayaya

Huyu bwana mdogo naye baada ya ayaya hajaweza kurudi tena

Ally nipishe - My

Baada ya hii alifanya ngoma zingine akishirikiana na wasanii wa THT lakini hakuweza kurudi tena

Chibwa ft juru - Nishai

Chibwa anauwezo mkubwa sana nashindwa kuelewa alipatwa na nini baada ya hii nishai sijamskia tena kwenye solo project mpaka leo

Mo music - basi nenda

Jamaa alitubariki ngoma moja ya mapenzi iliyopendwa sana ila hakuweza ku maintain akapotea mazima

Juru- Mbulula

Huyu bwana mdogo wa arusha alituletea hit song moja akachimba mazima

Coyo - Itakucost

Huyu ngosha alikimbiza sana na hii ngoma, akatoa zingine zikawa average baada ya hapo kapotea

Gigy money-Nampa papa

Gigy naye alibahatisha hii ngoma moja na mpaka leo hana ngoma ingine kali kama hii

Lody music - Kubali

Huyu bwana mdogo hii ngoma aliitendea haki sana, baada ya hapo kajitahidi kurudi lakini wapi

Kontawa ft Nay wa mitego- Champion

Baada ya champion,sijawahi kuskia ngoma ingine kali kutoka kwa huyu bwana mdogo, ngoma zote anazotoa ni average, sahv kinachomfanya aendele ku rotate ni content zake anazofanya instagram ila huku kwenye music simuoni kama ana safari ndefu

Dayoo - Mwaka wa kuforce

Baada ya mwaka wa kuforce dayoo hajaweza kutoa hit nyingine mpaka leo japo anapambania nafasi

Kama kuna wengine nimewasahau ongezea kwenye comment.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.

Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.

K sal ft ferooz Mwana mkiwa

Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo & Domokaya inayoitwa starehe na fedha ila haikufanya pouwa baada ya hapo kimya hadi leo

Kali P - Imekaa vibaya

Baada ya hii ngoma sijawahi mskia tena huyu jamaa mpaka leo

Kalapina - Mstari wa mbele

Hili dude la Mwana kikosi cha mizinga ni kali sana, na mpaka leo Kalapina hajawahi tena hit nyingine kama hii, ngoma zote zilizofuata ni average

K basil - Ridhiki

Ni moja ya nyimbo pendwa kwa wakati ule, ila jamaa hakufanikiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wasanii-waliotoa-hit-moja-kali-kisha-wakapotea-kimyakimya

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wasanii-waliotoa-hit-moja-kali-kisha-wakapotea-kimyakimya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72

AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72

1.25K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

799
SHAMIRA Sehemu ya 110&111

SHAMIRA Sehemu ya 110&111

582
SHAMIRA 112 na 113

SHAMIRA 112 na 113

418
SHAMIRA 107 Hadi 109

SHAMIRA 107 Hadi 109

387
 💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 8,9,10

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 8,9,10

120
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 6 na 7

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 6 na 7

108
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "9_10"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "9_10"💓😽

102
LETICIA 7-----------14

LETICIA 7-----------14

75
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA:

KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA:

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.83K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.35K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.96K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.75K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.62K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
LETICIA 7-----------14 Post Mpya
LETICIA 7-----------14
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 7 na 8 Mwandishi; LISSA Basi hata hatukukaa sana wazazi wakarudi saa 3 ,na wakawa wanalalamika wamechoka walipitiliza kuoga na kulala ata chakula hawakula ,mama alisema wamekula uko walikotoka.​ Mimi...

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. Post Mpya
wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.
@majario LIVE

Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "9_10"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "9_10"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Chap yule jamaa akashuka kwenye gari na mzigo wake wa mboga , akashika sijui ni kisimu akakibonyeza chwaaaaaa chapuuuuuuu geti waaaaa likafunguka akaingia ndani bahati nzuri ...

SHAMIRA 112 na 113 Post Mpya
SHAMIRA 112 na 113
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 112 Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI ) Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi sasa mm na mke wangu tukatafuta mahari tukawa tumekaa , tukawaacha ummy na mdogo wake wanacheza, aka kadogo nikawa nimekashika mm, mke wangu akataka chipsi kuku...

SHAMIRA Sehemu ya 110&111 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 110&111
@majario LIVE

(SEASON FOUR) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikawa nalia nikamwambia love nampenda sana kaka yako plsss namuhitaji sana naomba anielew ni maisha...

KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA: Post Mpya
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA:
@majario LIVE

1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' a.k.a tetesakrin 5. Kupamba kadi na pamba sebuleni 6. Ukumbi wa sherehe kupambwa...

SHAMIRA 107 Hadi 109 Post Mpya
SHAMIRA 107 Hadi 109
@majario LIVE

Sehemu ya 107 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema acha na masuala ya mtoto bwana apa nipo mimi na wewe plsss mpenzi . Nikajikuta nacheka tu akanmbia daah ukicheka...

Jamie Carragher baada ya Senegal🇸🇳 kuinyang’anywa(na CAF)ubingwa na kuitangaza Morocco🇲🇦 kuwa mabingwa wapya:🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🎙 Post Mpya
Jamie Carragher baada ya Senegal🇸🇳 kuinyang’anywa(na CAF)ubingwa na kuitangaza Morocco🇲🇦 kuwa mabingwa wapya:🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🎙
@majario LIVE

“Sawa, subiri kidogo… kwa hiyo Senegal wanashinda fainali ya AFCON, mashabiki wanashangilia, wachezaji wanainua kombe, kila mtu anasherehekea halafu sasa wanaambiwa: 'Hapana, samahani, Morocco ndio washindi 3-0!' Unatania?" "Yaani, hii ndiyo...

 💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 8,9,10 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 8,9,10
@majario LIVE

O8 Unamaanisha hii simu📱ni yangu 🤔 nilimuuliza , Ndio ni yako lete nisevu namba yangu baadae nataka tuongee kuhusu kazi . Sawa nashukuru 🙏 sana kaka Denis Mungu akubarikii ulipotoa akuzidishie....

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 6 na 7 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 6 na 7
@majario LIVE

O6 Umekuja tena ? nilimuuliza . Ndio kwani ni vibaya kuja kukujulia hali wakati wewe ni jirani yangu sasa kwanini jana ulikataa kuwa sio wewe wakati nakufahamu vizuri hadi nimeenda kumuuliza...

AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72
@majario LIVE

Sehemu ya 70 Siwafichi umaraya sikuwa nimeacha ila.nilipunguza sana, yani sanaaaaaaa , yani nachepuka sawa ,ila kwa kutokezea sana, nilitulia na awa wake zangu wawili, ata ibraa alinambia nimechange...

LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest