Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Gonga94 · Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.

Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi

Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza kwa hasira.

"Umekuja kufanya nini Enzo?" Enzo akatabasamu na kuja kunikumbatia.

"Kwani ujanimisi jamani

"Acha ujinga wako Ebu niachie, we Suzy mchukue kaka yako na mwende sitaki kuwaona"

Nilizungumza mdomoni tu lakini moyoni nilikuwa nasikia raha hatari.

Enzo akaniachia kisha akamgeukia Suzy na kumwambia.

"Sikia kanichukulie BEGI langu la nguo kwenye gari Mimi Ndio nimeshaamia kwa Wifi yako"

"Nini wewe?"

Nilimuuliza Enzo kwa mshtuko wa hali ya juu. Kwa mwendo haraka Suzy akatoka nje na kuniacha Mimi na Enzo

"Enzo Hapana aaaah uwezi kuishi hapa na Mimi, me sitaki matatizo mwenzio

Nilizungumza

"ISHANI, Yaani Kamal matatizo Yaani Ndio

kwanza unayaapokes Ndio yanaanza, Kuanzia Leo nitakuwa nikiishia hapa, Kuanzia Leo nitaishi maisha ya kawaida kabisa na sio Mtoto wa Tajin, Kuanzia muda huu nitakuwa

mchumba wako mtifu na ata ukitaka niwe

houseboy wako, am ready mama"

Nilibaki nikimshangaa tu Enzo anavyojielezea.

"Enzo acha Bwana, sikiliza, hapa ni NYUMBANI kwangu na maamuzi ni ya kwangu, nimeshasema uwezi kuishi hapa"

"Kwa mchumba wangu ni kwangu"

Alizungumza Enzo kisha akajitupia kitandani.

Nilimuangalia Enzo na kutabasamu kisha nikazungumza kimoyomoyo..

"Kumbe napendwa eeeeh"

Muda huo huo Suzy akiwa na mabegi mawili ya nguo za Enzo

"Hivi wewe uko serious?"

Nilimuuliza Enzo kwa herufi kubwa Maana amenishangaza Walahi, yuko serious anataka

kuishi na Mimi.

"Sikiliza me nalala nimechoka sana, Suma atakuja kuchukua gari ilo kurudisha NYUMBANI, pangapanga nguo kabatini"

Mimi na Suzy tukabaki tukishangaa tu, Yaani tulikuwa tunshangaa Enzo na mambe anayoyafanya.

Ndani ya nusu Saa tu kweli Suma akaja

kuchukua gari ya Enzo na kuondoka nayo

"WiFi me naenda mbaki salama"

Alizungumza Suzy kisha akaondoka zake nilibaki nikimshangaa tu Enzo wangu na kujichekea Mwenyewe Kama Chizi aliyekutana

na jalala jipya.

Aaaah ba mtu ameshasena anataka kukaa

Mimi Nani nikatae? Kwa utulivu kabisa nikaanza kutoa nguo kwenye mabegi na kupanga kwenye kabati langu la ngue.

Sikuishia hapo, nikachukua moja ya t-shirt ya ba

mpenzi nikavaa na kuendelea na kazi zangu.

Baada ya muda nikatoka nje na kukutana na pili, ni wazi Kuwa pili alikuwa ananisubili sana

Maana alivyoniona tu akanishika mkono na

kunisogeza pembeni kidogo.

"Wewe Mbona mimemuona Enzo akingia Ndani

kwako na si kumuona akitoka ?"

Nikamuangalia pili na kutabasamu kisha

nikajibu.

"Amelala"

"Nini wewe? Yaani Enzo amelala Ndani kwako? Usiniambie mmerudiana ?"

Kwa aibu nikaangalia chini na kujibu.

"Amesema ananipenda na ataishi na Mimi hapa

Pili akacheka sana na kuzungumza

"Mwalimu wako wa mapenzi alikuloga tangu

ukiwa tumboni Walahi, we ishani wewe, Walahi unanishangaza, Kwahiyo, Walahi naishiwa Maneno Mtoto wa mama pili Mimi

"Lakini bado nampenda

Pili akaniangalia weeeh, mwisho akaniuliza.

"Umepika nini kwani Maana njaa inaniuma

hatari

Nikaingia Ndani na kutoka na chakula na

kumpatia shoga yangu wa kufa na kuzikana.

Yaani alipokuwa pili Nipo, nilipo Mimi pili yupo.

Siku ziliendelea kusonga uku mahusiano yangu

na Enzo yakizidi kunawili, Walahi upendo kweli bado upo lakini ni mpaka ukikutaria na mtu.

sahihi kwenye maisha yako na Nafikili Mirni Mtu sahihi kwenye maisha yangu ni Enzo tu

Ikiwa ni siku ya weekend, siku hiyo Enzo Angu

akaenda kazini hivyo tulikuwa tu NYUMBANI

wote

Siku hiyo nilikuwa Karna princess, Enzo alifanya kazi zote, nikipikiwa mwenzenu, niliogeshwa na

kila kitu.

"Ila Enzo unanidekeza sana ujue"

Nilimwambia Enzo wakati akinilisha

"Nisipokudekeza wewe nimdekeze Nani Mimi?

wewe

Kama mzuwanda wangu tu

Eeeh Yaani kwenye uwepo wangu jua Kuwa

nitakudekeza, nitakulea, nitakufanya Uwe

Furaha wakati wote

"Nakupenda mume wangu"

Nilimwambia.

na

Muda huo kwanza tukaganda tukiangallana tu, na Ndani ya dakika chache tu zoezi likabadilika chakula kikawekwa pembeni tukaingia

kwenye mipinduko ya kiutu uzima.

Nyieeeeeh mainishauri kwa huyu kaka Maana

nahisi namwagaga mpaka ubongo, Yaani sina

akili timamu mbele yake, my zangu

nawakumbusha likija suala la huyu Kijana please msinishauri kabisa mtanichanganya.

Maisha yangu na Enzo yakawa ni maisha ya

Furaha sana, maumivu na vilio viliniepuka

kabisa

Waswahili usema penzi paja namimi nawaunga mkono, ishani Mimi ni muislam pure lakini nikaanza kwenda kanisani kwajili ya Kijana

wangu Enzo.

Ikiwa ni siku nyingine Tena, wapendanao sisi,

tukafunga safari na kwenda sokoni pamoja, sio kwamba ndio Mara ya kwanza hapana, hii Imekuwa Kama desturi kwetu mpaka sokoni

walitukalili.

Nikiwa bize nachagua kuku ili niweze kuchinjiwa,

gafla nikashtuka baada ya kuitwa Jina kwa haraka nikageuka ili kujua Maana ilikuwa ni SAUTI ya kike na nikajikuta nikikutana uso kwa

uso na mama Yangu Mdogo

Najua mama yangu Mdogo mnamkumbuka na

Karma mmemsahau huyu ndiye ambaye alikuwa

akiniuza kipindi naishi Nyumbani kwake.

"Unajua nilikuwa nahisi Kama nakufananisha kumbe ni kweli Mwanangu jamani"

Alizungumza ma Mdogo na kutaka

kunikumbatia

Kiukweli huyu mama namchukia sana na alipotaka kunikumbatia tu nikamkataa.

"Excuse me"

Nilizungumza na kutaka kutoka eneo llo lakini ma Mdogo akaniwal na kunishika mkono

ISHANI Mwanangu nimekutafuta sana Binti

yangu

Nikamuangalia na kuangalia mkono wake

alipokuwa amenishika na kwa dharau ya hali ya

juu nikamwambia

"Wewe Ebu achia mkono wangu kwanza

Ma Mdogo akaniachia na kuniambia.

"Nina mengi ya kuzungumza wewe Binti yangu, unaweza kuja NYUMBANI? Au niambie. unakaa wapi me nitakuja"

Muda huo huo Enzo akarudi kwani allenda

kununua vitu vingine upande wa pil

Enzo

Ma Mdogo alimuita Enzo kwa bashasha sana akionesha Kuwa bado anamkumbuka vizuri

sana

Enzo akaishia kumshangaa tu ma Mdogo kisha

akashika mkono wangu na kuzungumza.

"Tunaweza kuondoka sasa Mke wangu"

Ma Mdogo akashtuka sana na kuuliza kwa

mshangao wa hali ya juu..

"Mike"

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*


SONGA NAYO.

Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi

Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza kwa hasira.

"Umekuja kufanya nini Enzo?" Enzo akatabasamu na kuja kunikumbatia.

"Kwani ujanimisi jamani

"Acha ujinga wako Ebu niachie, we Suzy mchukue kaka yako na mwende sitaki kuwaona"

Nilizungumza mdomoni tu lakini moyoni nilikuwa nasikia raha hatari.

Enzo akaniachia kisha akamgeukia Suzy na kumwambia.

"Sikia kanichukulie BEGI langu la nguo kwenye gari Mimi Ndio nimeshaamia kwa Wifi yako"

"Nini wewe?"

Nilimuuliza Enzo kwa mshtuko wa hali ya juu. Kwa mwendo haraka Suzy akatoka nje na kuniacha Mimi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kumi-na-moja

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kumi-na-moja
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

914
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

522
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

447
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

432
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

354
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

306
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest