AFANDE MILLANπ Sehemu ya 8
Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida, na hautakiwi kukataa wala kumshika mkono mteja kwamba asinuguse, na pia kama mteja atakutaka kwa uo usiku, unatakiwa kwenda kwa mtejaa kumlizisha, so ndo mana nakwambia unakubali kwenda kwa mteja ama hutaki kazi, yule zena akasema okey nimeshindwa kazi, mi siwez nikajizalilisha na nimekuja apa kufanya kazi na kutafuta pesa tu kwa njia halali na wala sio kujiuza na kuuzamwili wangu kivyovyote vile , na nilimanbiwa kazi ni kuhudumia wateja vinywaji na sio kulala nao, ntalala na wateja wangapi sasa kama ni hivyo, juzi mmetoka kunambia nikubali kushikwa okey nimekubali, kumbe imekuwa shida leo nikubali kwenda kulala na mwanaume et kisa ni polisi na ana cheo serikalini, khaa , ebu mm sitaki hii kazi yenu, .nikimshangaa sana uyu demu, mi nilizani kama vile kabanwa pabaya na lazima atakubali kwenda na mie , ila wapi demu akagoma kisha sasa akaondoka zake, daaah kuna jinsi nilimshangaa sana uyu bint, manager akanmbia samahani sana afande millan achana na utu demu, kama.vip we angalia mwanamke mwengine mbona tunao warembo wengi apa millan, nikasema ahaaa basi bwna mi kwa leo nilimtaka yule. Ngoja nikapumzike tu nyumbani, daah basi mwanaume nikaingia kwenye gari, ila nilimuwazia sana yule zena, yani kakubalia kuacha kazi kwa ajili yangu dooh
Basi mwanaume nikaludi mpaka kwangu, kwakua nilikuwa nishalewa, ahaa nikajitupa kitandani na viatu vyangu kabisaa., ata sikuchelwea sana usingizi ukanipatia kabisa, nikastuka asubuh sana, na hii siku mi wala.sikuwa naingia kazini, nikatulia zangu kwanza nyumbani kujipumzisha, ilipofika mida ya mchana kama saa 7, kuna docummentz za muhime sana ibraa, alinambia ananiletea nizisani, nikamwambia sawa hakuna noma we zilete tu hizo documents, na kweli mida ya jioni kama saa 10 hivi, akaniletea zile karatasi, ilikuw ani kuhusu kesi ya baba yake yule demu nilotika kumtomba jana, khaaa manazani nilijali, mi nikazisaini yani mzeee afikishwe mahakamani na uchunguzi uendelee kufanyika, baaada ya apo sasa , nikamwambia ibraa unajua jana nilienda gozmi kunywaa daah , akanmbia eeh umemnasa yule zena, nikasema bado mwanangu yile demu ana misimamao kisenge, ikabidi sasa nimueleeze ibraa kitu ambacho kilitokea jana yake, ibraa akacheka sana akanmbia mbona mambo ayoo, asa apo cha kufanyaaa we si unamtaka yule demu, nikasema mwanagu mi yule demu mpaka nilale nae yani nahisi nikilala nae ndo moyo wangu utakizika, ibraa akacheka akanmbia jamaa sheatani weweπ€£π€£π€£π€£πππππ
Basi fresh sikia mwanagu, cha kufanya, kwanza uyo demu ana misimmo yake, unachotakiwa kufanya kwanza na ww unatakiwa kujifanya upo cool, usifosi, kuwa mstaarabu na mtaratibu, utampata nakwambia, nikasema sijuh kwa nn ila yule demu mi nikimkaushia sijamtomba ntahisi naumwa ,mi nataka kuhakikisha mpaka nimelala nae, yani iwe au isiwe mpaka nilale nae yani ndo ntapata amani mimi, ibra akanmbia powa kaka, ukute umempenda bwana, nikasema weee mie uyo, millan nikaanza na kucheka, kiukweli mi wala sikumpenda yule msichana ila nilikuwa na tamaaa za ajabu, yani nikitamani mwanamke , iwe mvua na iwe jua mi lazima nilale nae, nikishalala nae sasa ndo nalizika kabisaaa nafata 50 zangu, basi bwana nikaongea sana na ibraa na mida ya jioni sana ndo akasepa kwake, mi apo nikavuta simu nikampigia shey, yule dada mi namba zake nnazo, na wala haikuchukua mda yule shey akapokea simu yangu, akanmbia ndio afande millan nakusikiliza, nikasema shey nisikilize unajua jana kuna vutu vilitokea na kama bina damu mi nimejikia vibaya sana, unajua sikupanga kabisa yule dada afukuzwe kazi , ila nilikuwa nimelewa sana , so nahitaji namba zake ata niweze kuzungumza nae na nione namsaidiajee
Shey akanmbia mh , afande millan ni kweli? Nikasema yaaah , akanmbia sawa ntakupa namba zake ila naomba usinitaje kabisa kuwa mm ndo nimekupa namba zake ,nyie kale kadada kwani kanajikuta nani, nikamwmabia shey wala usijali we nipe namba hatajua kabisa kama wewe ndo umenipa namba zake, akanmbia sawa , na uyu shey alipokata tu akanitumia namba za zena, na mwanaume mda uo uo nikampigia uyu demu, kweli haikuchukua mda uyu zena akanipokelea , akasema hallow, nikasema yes zena habari ni mimi afande millan plsss nakuomba usinikate simu nataka tuongee,
yule dada akanmbia sawa nakusikiliza ,nikasema zena najisikia vibaya sana na aibu kwa kilichotokea jana , sikupanga iwe vile zena, ila ni pombe zilinizidia naomba sana unisamehe zena , na ikiwezekana tuonane ,mi ntakusaidia ata msingi wa biashara ili ujisogeze kwa hiki kipindi ambacho upo tu na hauna kazi, zena akanmbia ooh millan, kumbe ulilewa jana ndo pombe zikasababisha vile. Mbona ulianzisha ayo maongezi yako ya kijanga tangu tu umefika, au ulipitoka uliuwa ushalewa pale ukaja kuongezea , dooooh mtoto ana kaba uyu, akasema sikia mi nakuheshemu sana wewe, japo wewe umekuwa hauna heshima mda wote kwangu, so naomba acha kuniletea drama zako mm ukihisi utanipat, millan story zako najizua sana, una majivuno sana we mwanaume na unakingia cheo sio, millan sio kila mwanamke unahisi ni maray na unaweza kuwa nae naomba tuheshiminae, sina shida ya msamaha wako, na wala sina shida ya mtaji, sipendi watu wenye drama mm, kisha akanikatia simu, dooob uyu demu ntamapata kweli mimi uyuπ€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni