Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba.

"Mama umekuja kufanya nini hapa?"

Kila mtu akashtuka na kwa pamoja wakauliza.

"Mama...?"

Ooooh nimewapeleka mbele sana eeeh, najua mnataka kujua nimewezaje kumtoa mama amina mgahawani kwake na kumleta mpaka kwenye eneo ilo anyway Ngoja niwaambie ilikuwa hivi.....

Baada ya Mimi kuzungumza na Suzy na akaniambia Habari za birthday party, ndugu yenu nikapata wazo na sikutaka kupoteza muda kabisa, muda huo huo nikafunga safari na kwenda kwenye mgahawa wa mama amina kule manzese.

Kiukweli huyu mama anisamehe tu Maana nilimdanganya Kuwa Binti yake anataka kumfanyia surprise kwenye siku hiyo muhimu ya kuzaliwa, mwanzo alikataa akidai Kuwa mwanaume hayuko Dar Bali yuko Dodoma, aiseeeh nilitumia akili nyingi sana kumuaminisha Kuwa amina Ndio amenituma nimfuate na baada ya maelezo mengi Ndio akakubali kuongozana na Mimi mpaka NYUMBANI Kwa Enzo na hivyo ndivyo ilivyokuwa my zangu, pully Sijui amina ameanzisha na Mimi. namaliza.

Kwakuwa niliona drama limeanza vizuri kabisa na Mimi Ndio nimelianzisha, moja kwa moja nikasogea mpaka kwa MC na kumuomba maiki kisha nikaanza kuzungumza.

"Hello pully"

Hapo Kila mtu akanigeukia Mimi na kumuangalia kwa mshangao wa hali ya juu, msisahau Kuwa nachukiwa kwenye hii familia, Yaani ni Kama Nilijivika mabomu kwa wakati huo.

"Huyu mpuuzi ameingiaje hapa?"

Aliuliza madam groly kwa hasira uku akinisogelea na kutaka kuchukua maiki.

"Madam groly subili kwanza Basi nimalize

kilichonileta, najua sijaalikwa hapa lakini Nipo kuwasaidia mjue ukweli wa huyo mkwe wenu, Sijui pully, Sijui pulizo anajua Mwenyewe

Muda huo huo Enzo akanisogelea na kwa SAUTI ya utulivu akaniuliza.

"ISHANI unafanya nini eeeh? Acha Bwana, umekuja kufanya nini hapa "

Aaah kwa wakati huo, akili yangu ilikuwa ni kumzalilisha pully tu na sio kingine hivyo kwa haraka nikazungumza.

"Nimekuja kuwaambia ukweli Kuwa, huyu. mwanamke mnayemjua Kama pully, Jina lako la

kweli ni Amina, na mama yake mzazi ni huyu hapa anauza chakula manzese"

Hapo kwanza Kila mtu akashtuka na Kila mtu akamgeukia pully wa mchongo na mama yake fake.

Enzo akaona haya mambo Mbona yanakupa magumu kwa Namna yake, haraka akanipokonya maiki na kutangaza Kuwa shughuli imeisha na watu watawanyike tu, Kiukweli niliharibu sherehe ya watu, lakini siwezi kusahau Kuwa pully au kwa Jina lingine Amina aliharibu Bishara yangu kwa makusudi kabisa.

Baada ya muda Kila mtu akatawanyika na familia Kama familia ikakutana sebuleni kwaajili ya mazungumzo, Sawa Mimi sio mwana familia lakini Kwakuwa Ndio msema ukweli nikajikuta nikiungana nao kwenye kikao cha familia Yao.

"Nini kinaendelea hapa?"

Madam groly alimuuliza Antie Asu, aaah sikuwa nimewatambulisha Antie asu, anti Asu ni mama

Pesa sana na ni mtu wa Karibu sana na familia wa mchongo wa Pully na ni mwanamke Mwenye ya kina Enzo.

Ila Mimi ni mpashukuna jamani, imagine ameulizwa mtu mwingine lakini Mimi Ndio nikadakia.

"Mimi Nitakuambia "

Madam Groly akaniangalia kwa hasira na kunifokea.

"Funga Mdomo wako we chokolaa wa kinyakyusa"

Kaaaaaaaha Kwahiyo Mimi chokolaa, Sawa bwnaa.

"Antie Asu, Kama huyu ni Amina, Binti yako Pully yuko wapi?"

Aliuliza Suzy, hapo kidogo ata Mimi nilishindwa kuelewa Yaani Antie Asu Ana Binti yake anaitwa Pully? Na Kwanini amtumie amina kwenye Jina

la Mtoto wake.

Baba mzazi wa Enzo, akasimama kiume kabisa na kumsogelea mama amina muuza chakula na kumuuliza.

"Kwahiyo huyu ni Binti yako na anaitwa amina?"

"Ndio, kwanza Mimi mnanichanganya tu, Binti

yangu huyu ni Mwanangu ni mwana chuo Uko Dodoma halafu Saa Hizi mnaniambia ni Mke wa mtu ni nini kinaendelea hapa? We amina

umeolewa lini? Hiyo Mahari yako amekula Nani 20




Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*



Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba.

"Mama umekuja kufanya nini hapa?"

Kila mtu akashtuka na kwa pamoja wakauliza.

"Mama...?"

Ooooh nimewapeleka mbele sana eeeh, najua mnataka kujua nimewezaje kumtoa mama amina mgahawani kwake na kumleta mpaka kwenye eneo ilo anyway Ngoja niwaambie ilikuwa hivi.....

Baada ya Mimi kuzungumza na Suzy na akaniambia Habari za birthday party, ndugu yenu nikapata wazo na sikutaka kupoteza muda kabisa, muda huo huo nikafunga safari na kwenda kwenye mgahawa wa mama amina kule manzese.

Kiukweli huyu mama anisamehe tu Maana nilimdanganya Kuwa Binti...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-tisa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-tisa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

966

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

621
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

343
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

266
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7

123
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

117
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

114
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

113
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.39K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.16K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.58K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.37K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.27K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia โ€œOndoka! Unasubiria nini tena?โ€๐Ÿ˜’ โ€œHutanipeleka hostel?โ€ โ€œNo, sina mudaโ€ โ€œKwa nini? Nitarudi vipi jamani?โ€...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest