Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia

“Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒

“Hutanipeleka hostel?”

“No, sina muda”

“Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?” Noela alitia huruma

“Ni juu yako. Chukua taxi au pikipiki utajua mwenyewe”😒

Noela akavuta pumzi kwa huzuni kisha akamwambia
“Kwa nini unanifanyia hivi na Nimeshakuomba msamaha”

“Tutazungumza kesho” kisha akamwacha Noela pale na kuondoka.

Alirudi kwa marafiki zake kuwaambia kuwa party imeisha na kila mtu akaanza kutawanyika. Kwa kua Salmon alikataa kumrudisha hostel, Noela akaamua kumtafuta Iris ili warudi pamoja.

Cha kushangaza hakumwona Iris popote. Basi Hakuwa na namna nyingine zaidi ya kurudi hostel peke yake.

Alitembea taratibu hadi akafika nje ya geti akisubiri taxi au pikipiki, lakini kwa kuwa ilikuwa giza na muda umeshapita, ilikuwa ngumu kupata usafiri. Akiwa pale, akasikia kama kuna mtu nyuma yake.

Kugeuka tu anakutana uso kwa uso na Mr. Marvel.

“Unataka nini?……….pia Sijisikii vizuri kukuona baada ya kile kilichotokea”

“Kile kilichotokea hotelini kilikuwa kosa”

“Ndiyo, lilikuwa kosa la kusahaulika and please usimwambie Salmon. Nampenda, sitaki kumpoteza” Noela aliomba🙏

Mr. Marvel akatabasamu “Sitomwambia chochote. Lakini Salmon ni mwanangu, namfahamu! Sidhani kama anakufaa and i know Mwishoni lazima utaumia”

“Sijaomba ushauri wako maana kinachoendelea kati yangu na mwanao hakikuhusu. Kaa ukijua Tunapendana” Noela akamjibu kwa hasira😡

“I know that! But Sitaki kukuona unaumia because itanivunja moyo. Nakupa onyo Noela, be careful”

“Asante, lakini sihitaji onyo lako” Noela Akageuka akiondoka Kwa hasira maana alihisi Mr Marvel anamchefua tu.

Alitembea kutoka kwa akina Salmon akielekea kwenye kituo cha daladala mpaka akahisi miguu inataka kuingia tumboni. Kila akitembea anaona kama hafiki alafu mbaya zaidi hapakua na boda wala Tax inayopita🥺.

Bahati nzuri kuna gari likapita na kusimama mbele yake. Dereva akashusha kioo akiwa ana smile taratibu

“Hellow! Nimetumwa na Mr. Marvel nikurudishe hostel”

“Sitaki! Sijaomba kupelekwa!” Alikataa

“Hapa mpaka ufike kituo cha daladala utasota sana! Pia sio salama maana kama juzi kuna sista alikabwa apo mtaa wa chini na nusu wambake! So utaingia nikupeleka ama nikuache uende??”🤔

Noela kusikia vile akaogopa, akajitafakari na kuona kweli anahitaji usafiri. Kwaiyo akaweka kiburi pembeni, Akazunguka upande wa pili na kukaa siti ya nyuma kimyaaa🤐.

Imagine Boyfriend wako anakataa kukupeleka nyumbani na hata usafiri hakuitii, ila baba ake anatoa private car speacial for you ikupeleke hadi mlangoni! How romantic💕💕

Hapa kweli Noela inabidi afungue macho yake lasivyo atalia sana.

Basi, Safari ikaendelea mpaka wakafika hostel. Noela akamshukuru dereva then akashuka na kuingia ndani hakutaka hata maneno mengi.

Baada ya kuhakikisha Noela ameingia ndani Salama, dereva akampigia Mr. Marvel kumpa taarifa kuwa ameshakamilisha kazi yake.

“Boss, tayari! Kafika salama”

“Good job George! Nina kazi nyingine nataka kukupa. I want taarifa zote kumhusu Noela, kuanzia Familia yake, marafiki na anachofanya kila siku. Umenielewa?”

“Nimekuelewa boss” kisha simu ikakatwa.

Ukweli ni kwamba Mr. Marvel hakuwa tayari kumuacha Noela. Moyo wake ulimwambia Noela ndiye mwanamke anae takiwa kuwa nae kwaiyo kumtoa kichwani na moyoni ni ngumu sana🥰.

Basi alisimama taratibu ili aende chumbani kwake kupumzika, ila kabla hajafika mbali, alisikia kelele toka chumba cha Salmon.

“Party imeisha, watu wote wameondoka hizi kelele ni za nini?”

Alisogea mpaka mlangoni mwa chumba Cha Salmon, akafungua na kuingia ndani. Alichokiona kilimkasirisha sana. Eti Salmon na Iris walikua wakifanya mapenzi kitandani bila hata uoga.

Aiseeee hasira zikampanda Mr Marvel vibaya mno

“Upuuzi gani huuuuu!” Alipiga kelele🗣️🗣️🗣️😡

Haraka Salmon akamsukuma Iris pembeni na kusimama kwa uoga maana hasira za baba yake anazijua vizuri kabisa.

Mr. Marvel akamwangalia Iris akamwambia
“Ondoka nyumbani kwangu! Get out….”🗣️

“Lakini nitaenda wapi usiku huu?” Iris aliuliza

“Unadhani najali??? I said get outtttttt (toka njeee)”

Weeeh Iris akaona hapa kachokoza nyuki, fasta fasta akachukua nguo zake, pochi na viatu akatoka spidi kama hana akili nzuri.

Huku nyuma alimuacha Salmon akiwaza ni namna gani atajitetea kwa baba yake.

“Ni upuuzi gani unafanya ndani kwangu Salmon???? Are you crazy? (Wewe ni kichaa)”😡

Salmon akajitetea “Lakini Dad sijafanya kosa”

“Unaona ulichofanya ni sahihi? Umenitambulisha kwa yule binti ukasema ni mpenzi wako, now nakukuta na mwingine and then unasema hujafanya kosa!”

“I know Dad! Noela ni mpenzi wangu lakini siwezi kukaa na msichana mmoja kila wakati. Mimi bado kijana nataka kuonja na wengine”

“Fanya unavyo fanya ila Sitaki kuona wasichana wengine ndani ya nyumba yangu Unanisikia?…….”

“Ndio Dad” 😔

“Also Hiyo tabia ni mbaya, kama unajua wazi unampotezea binti wa watu mda ni bora umuambie mapema!”

“Nimekuelewa Dad! Sorry…….haitatokea tena”

“I hope so” Mr Marvel hakutaka kuendelea kuongea, akaondoka zake.

Mpaka pale akaona kuna umuhimu wa kuongeza nguvu ili kumpata Noela ikiwa kijana wake haonyeshi nia yeyote ya kua nae. Ali smile taratibu mpaka anafika chumbani kwake😊.

Je nini kitatokea?
Nakuja………..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia

“Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒

“Hutanipeleka hostel?”

“No, sina muda”

“Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?” Noela alitia huruma

“Ni juu yako. Chukua taxi au pikipiki utajua mwenyewe”😒

Noela akavuta pumzi kwa huzuni kisha akamwambia
“Kwa nini unanifanyia hivi na Nimeshakuomba msamaha”

“Tutazungumza kesho” kisha akamwacha Noela pale na kuondoka.

Alirudi kwa marafiki zake kuwaambia kuwa party imeisha na kila mtu akaanza kutawanyika. Kwa kua Salmon alikataa kumrudisha hostel, Noela akaamua kumtafuta Iris ili warudi pamoja.

Cha kushangaza hakumwona Iris popote. Basi Hakuwa na namna nyingine zaidi ya kurudi hostel peke yake.

Alitembea...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*

858
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8

651
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15

320
MY CRAZY BOSS 16

MY CRAZY BOSS 16

290
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

184
SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33

SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33

158
SHAMIRA sehemu ya 30&31

SHAMIRA sehemu ya 30&31

131
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

94
THE SECRET MESSAGE 💬05

THE SECRET MESSAGE 💬05

82
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

75

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.38K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.15K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.37K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.24K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE 💬05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema “Chiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?” Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema “bila shaka dada yangu mzuri.” Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest