AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana
umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa
na changamoto ya biashara ya utumwa. Na
baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa
wamepelekwa katika soko la utumwa kwa
ajili ya kuuzwa. Na watu waliokuwa
wanawanunua walikuwa wakiwatumia katika
shughuli za kilimo. Yaani hapa wanauzwa
kama vile nyanya ambavyo zinauzwa
masokoni. Da. Ila wakoloni noma sana.
Kimwili cha Minata ni kidogo kidogo
fulani hivi. Sasa kutokana na mwili wake
wafanyabiashara wengi sana walikuwa
wakimkwepa. Yaani hawakutaka kumnunua.
Da maskini ya Mungu kanaonekana kama
vile akana nguvu za kuweza kufanya kazi
kwenye hayo mashamba. Watu pekee ambao
walikuwa wakiuzwa kwa bei nzuri ni wale
ambao walikuwa na miili mikubwa tena na
nguvu za kutosha. Sasa aliyekuwa
anammiliki Aminata alimpiga mnada lakini
watu hawakutaka kumnunua kabisa. Sasa
ikabidi amuze kwa bei ya jioni lakini
huwezi amini watu bado walikuwa
wakiendelea kumkwepa tu. Basi bwana
alitokea mchizi fulani hivi ambaye
alikuwa anaonekana kupendeza kuliko
wote. Akataka kumnunua Minata. Lakini
ukweli ni kwamba huyu mwamba anamnunua
kwa mipango yake binafsi tu na wala sio
kwa ajili ya kazi za mashambani. Yaani
in shoti ni kwamba huyu mwamba alitaka
binti wa watu kumchukua kwenda kumtumia
kama chombo cha kutimiza matakwa yake
mwenyewe. Yatakuwa ni matakwa gani haya?
Hebu ngoja tuone. Eh bwana kwenye hii
muie huyu binti alipitia misukosuko sio
poa lakini aliendelea kuonyesha ujasiri
wake mpaka mwisho. Na huko mbele kuna
matukio mengi sana ambayo wewe mwenyewe
lazima utabaki mdomo wazi na hutaweza
kuamini kabisa kama huyu binti mdogo
angeweza kuyafanya. kabla Aminata
hajapelekwa kwenye hilo soko la utumwa
mwanzoni kabisa mambo yalikuwa hivi.
Aminata alizaliwa katika kijiji fulani
hivi ambacho kinaitwa Bo. na mama yake
Aminata ni mkunga mzuri sana hapo
kijijini na alikuwa akiwazalisha watu
vizuri sana na alikuwa akitamani sana
mwanaye hapo mbeleni aje kuwa mkunga
mzuri kama yeye. Siku moja Minata na
mama yake walikwenda kwenye kijiji
fulani hivi cha jirani kuweza kuzalisha
lakini ghafla waliingia watu wageni
ambao hata wenyeji tu katika kijiji hiki
hawakuweza kuwajua. So Aminata na mama
yake wakaamua kuondoka kurudi kijijini
kwao. Sasa katika kijiji chao kuna
mwanamke mmoja hivi ambaye ni mke wa
chifu na jina lake anaitwa Fanta. huwa
hampendi kabisa Aminata na hana sababu
yoyote ile ya kumchukia huyu binti wa
watu. Baba yake Aminata ni mtu wa ibada
sana na jamaa alikuwa akimpenda sana
binti yake na ndio maana alikuwa akimfua
ili awe na ujasiri wa hali ya juu. Sasa
majira ya asubuhi sana Aminata pamoja na
00:02:46.920 wazazi wake walikuwa wakielekea mahali
00:02:48.879 fulani hivi lakini ghafla wakahisi kama
00:02:50.959 kuna kitu hakiko sawa. Yaani hukupita
00:02:53.120 muda mrefu walitokea majangili fulani
00:02:55.159 hivi ambao ni mablaki kama wao tu na
00:02:57.519 mwamba mmoja akawa ameshika chuma bwana.
00:02:59.920 Sasa cha kusikitisha mama alishambuliwa
00:03:01.959 na kupoteza maisha. Baada ya mama baba
00:03:04.400 yake na Aminata naye alikula chuma. Da.
00:03:07.920 Hili lilikuwa ni tukio lililomuumiza
00:03:10.080 sana Aminata. Sasa Aminata yeye
00:03:12.159 alichukuliwa kama mateka na aliweza
00:03:14.159 kushuhudia kwa macho yake kabisa kijiji
00:03:16.120 chao kikiteketea kwa moto chote. Na pia
00:03:18.480 kulikuwa na vifo vingi sana. Na watu
00:03:20.480 wengine walichukuliwa kwenda kuuzwa kama
00:03:22.519 Minata. Basi bwana walianza safari yao
00:03:24.720 kuelekea sehemu husika. Sasa huyu
00:03:26.799 anayeongea na Aminata hapa anaitwa
00:03:28.760 Chokolo na hapa ndio wamekutana kwa mara
00:03:30.920 yao ya kwanza lakini yeye kwa huu muda
00:03:33.080 hakuwa mateka maana alikuwa na maelewano
00:03:35.120 mazuri sana na wale watekaji waliokuwa
00:03:37.080 nao kwenye huu msafara. Kutokana na
00:03:38.760 safari kuwa ndefu Chokolo alimpatia maji
00:03:41.120 ya kunywa Minata lakini Fanta yule
00:03:43.319 mwanamke ambaye alikuwa akimchukia sana
00:03:45.040 Aminata alimkata jicho sio poa na
00:03:47.720 hakutamani kabisa Minata kusaidiwa.
00:03:50.159 Yaani mtu yeyote ambaye alikuwa
00:03:51.720 anashindwa kuendelea na hii safari
00:03:53.560 huwezi amini wajuba walikuwa
00:03:55.079 wanammalizia njiani ili azije akawa
00:03:57.519 mzigo kwa wenzake. Na majamaa wana roho
00:03:59.799 mbaya sana yaani hata ukiswali pia ni
00:04:02.799 kosa kwao. Ona wanachomfanyia Aminata.
00:04:05.360 Aminata akiteseka ndio furaha ya Fanta.
00:04:07.640 Da.
00:04:09.079 Sasa wakati walipokuwa wanaendelea na
00:04:10.959 safari yao huku akikatiza kwenye jangwa
00:04:13.280 kwa kuwa Chokolo alikuwa na maelewano
00:04:14.799 mazuri na viongozi wao ikabidi amfuate
00:04:16.839 kiongozi wao mmoja na kumuombea Minata
00:04:19.000 aweze kufunguliwa maana hapa walipo ni
00:04:20.959 mbali sana na walipotoka. mateka
00:04:22.840 hawawezi kukimbia alafu pia hizo ringi
00:04:24.800 walizofungwa shingoni ni nzito sana so
00:04:27.120 wanaweza kuchoka alafu huko mbeleni
00:04:29.039 wakashindwa kuendelea na safari basi
00:04:30.840 bwana walitembea sana mpaka wakafika
00:04:32.960 karibia na ufukwe na ghafla alitokea
00:04:35.160 mzungu fulani hivi kwa ajili ya
00:04:36.639 kuwachukua kuendelea na safari aminata
00:04:38.759 alikuwa hajawahi kumuona mzungu hata
00:04:40.479 siku moja yaani kwenye maisha yake so
00:04:42.400 akawa anauliza eh yule ni mzimu au
00:04:45.160 mwamba akamwambia hapana yule ndio
00:04:46.560 anatakiwa atupeleke huko tunakoelekea
00:04:48.440 sasa yaani hapa wasaliti wakubwa ni
00:04:50.759 waafrika yaani waafrika amewasaliti
00:04:52.840 waafrika wenzao. Na hiyo yote ni ili
00:04:54.680 kunufaisha ngozi nyeupe tu. Chokolo
00:04:56.639 aliambiwa awarudishie minyororo yao hao
00:04:58.800 mateka ili kuweza kuendelea na safari.
00:05:00.960 Yaani hapa wanashangaa kweli kweli maana
00:05:03.320 haya mazingira hawajawahi kufika hata
00:05:05.639 siku moja. So wakatakiwa kupumzika
00:05:07.919 kwanza. Lakini cha kusikitisha zaidi ni
00:05:10.000 kwamba waliwekwa sehemu fulani ya wazi
00:05:11.919 hivi ambayo mvua ilikuwa ikiwachapa
00:05:14.120 balaa. Palivyokucha tu kabla ya
00:05:15.960 kusafirishwa kwa boti ikabidi wapigwe
00:05:18.039 alama kwanza. Da. Yaani wauni walikuwa
00:05:19.919 wakichukua chuma cha moto kisha
00:05:21.680 wanakiweka kifuani. Oh ya we shukuru
00:05:23.759 Mungu umezaliwa sasa. Basi bwana wakati
00:05:25.880 wapo majini ikaja meli nyingine kubwa
00:05:27.919 hivi so ikabidi wahamishwe ili kuweza
00:05:29.800 kuendelea na safari yao. Walipoingia
00:05:31.639 ndani ya hiyo meli kubwa waliwakuta
00:05:33.400 waafrika wenzao ambao walikuwa wakiteswa
00:05:35.720 sana. Basi bwana wakawa wanachunguzwa
00:05:37.479 pale. Lakini kwa mtu yeyote ambaye
00:05:38.960 alikuwa akigoma au kuleta ubishi wowote
00:05:41.400 wajibu alikuwa akimtupa baharini.
00:05:43.080 Mwanzoni Fanta aliweza kugoma kabisa ila
00:05:45.479 Minata akamwambia kubali tu anti la
00:05:47.960 sivyo anaweza kukuua hawana masiara ise.
00:05:50.440 Basi bwana Fanta alikubali kuchunguzwa.
00:05:52.600 Sasa humu ndani kulikuwa na mjamzito
00:05:54.600 mmoja hivi. Wajomba wakaona husu sio
00:05:56.199 utakuwa mzigo sasa hebu ngoja tumtupe tu
00:05:58.600 baharini. Lakini Aminata aliweza
00:06:00.520 kuwaambia wasimtupe yeye ataweza
00:06:02.560 kumzalisha pale atakapokuwa na uchungu.
00:06:04.520 Na Minata alijiamini kabisa maana
00:06:06.199 alishafundishwa na mama yake. Basi bwana
00:06:08.720 kila mtu alishangaa sana kuona binti
00:06:10.880 mdogo kama Aminata kuwa na uwezo wa
00:06:12.880 kuzalisha. Chokolo huku sasa na yeye
00:06:15.360 amekuwa mateka maana viongozi aliokuwa
00:06:17.440 na ukaribu nao walishakabidhi mzigo wao
00:06:19.960 wakaondoka kuelekea wanapopajua. So
00:06:21.840 Chokolo na yeye akawa ni mtumwa. Sasa
00:06:23.639 ndio hivyo tena safari imeshaiva
00:06:25.440 kuelekea Carolina kwenye mji fulani hivi
00:06:27.560 ambao unaitwa Half and Chars. Yaani hapa
00:06:29.479 hakuna mtumwa hata mmoja ambaye ana
00:06:31.400 matumaini ya kurudi kwenye ardhi yao
00:06:33.360 tena. Maana hapa ni mbali sana
00:06:35.120 ukilinganisha na walipotoka. Kutokana na
00:06:37.360 kwamba safari iliwalazimu kuchukua siku
00:06:39.680 kadhaa njiani basi kila mmoja alipewa
00:06:41.960 jukumu la kufanya humu ndani ya hii
00:06:43.720 mele. Sasa humu ndani Aminata alikutana
00:06:46.000 na mwanaume fulani hivi ambaye
00:06:47.759 alishawahi kuwa chifu wa kijiji jirani
00:06:49.639 na walipokuwa wanaishi. Sasa alimuuliza
00:06:51.919 binti jina lake ni nani? Binti akamjibu
00:06:54.160 Aminata. Na hapa tunawaona watu ambao
00:06:56.080 wamefungiwa ni wengi mno na wote
00:06:58.039 walivutiwa sana na maneno ya kishujaa
00:07:00.039 aliyokuwa anaongea Aminata. Sasa kwenye
00:07:02.120 hiki chombo bwana kuna mwamba mmoja hivi
00:07:04.360 ambaye anaitwa Tom. Huyu jamaa alikuwa
00:07:06.280 akitaka Aminata awe karibu naye sana.
00:07:08.520 Akawa anamshawishi Aminata aweze
00:07:09.960 kubadilisha jina ili aitwe Mary. Lakini
00:07:12.199 Aminata aligoma kabisa. Huyu mzungu
00:07:14.280 alitokea kumuelewa sana Aminata. hapa
00:07:16.400 alikuwa akimuonyesha mahali ambapo
00:07:18.240 chombo chao kipo na wapi wanapoelekea.
00:07:20.639 Sasa baada ya kupiga stori mbili tatu
00:07:22.599 pale mwamba akampa maji ya kunywa
00:07:24.400 minata. Ehe mara ghafla akamshika bega.
00:07:27.000 Kumbe mzee alikuwa akitaka kumzagamua
00:07:28.800 bwana. Da sasa hadi aminata jamani.
00:07:31.199 Binti akaona hapa si salama hata kidogo
00:07:33.800 ila na yeye hajambo maana alimchapa sio
00:07:36.599 poa. Aminata alifanikiwa kumzalisha yule
00:07:39.080 mwanamke aliyekuwa mjamzito na huyu Maza
00:07:42.080 akaamua kumuita mtoto wake Aminata.
00:07:44.319 Maana kama sio yeye huenda angeshatupwa
00:07:46.599 baharini akafa yeye pamoja na mtoto wake
00:07:48.599 tumboni. Sasa asubuhi palipokucha wale
00:07:51.199 wazungu waliwabambia sana wanawake. Aise
00:07:53.879 mateka wa kiume walikuwa wanachukia
00:07:55.919 hatari. Hoya yaani mademu waliua
00:07:58.000 wakipelekewa moto sio poa hiyo siku. ila
00:08:00.599 sasa Fanta na yeye akatumia chansi hiyo
00:08:02.840 hiyo kummaliza kiongozi mmoja hivi
00:08:05.080 ambaye alikuwa akijipendekeza kwake na
00:08:07.080 Aminata naye alifanya mchakato wa
00:08:09.120 kuwafungulia wenzake wote. Sasa Fanta
00:08:11.720 alivyotoka nje tu akawa anawalia rada
00:08:14.039 wale majamaa na huku nyuma alikuwa
00:08:16.159 ameficha silaha yake. Sasa hii silaha
00:08:18.199 yenyewe itafua dafu mbele ya bunduki
00:08:19.960 kweli. Basi bwana Fanta akawatonya
00:08:22.159 wenzake kwamba waanze kuwaua hao
00:08:24.159 viongozi. Sasa mbanga ikaanza kuchezwa
00:08:26.680 bwana. ila Minata na Chokolo wao
00:08:28.800 walikuwa wako chobingo wamejificha. Sasa
00:08:31.000 kutokana na kwamba Waafrika hawakuwa na
00:08:33.080 silaha nzito yoyote ile walizidiwa nguvu
00:08:35.320 na wakafungwa kamba ili kuweza kuuawa.
00:08:37.760 Waliokamatwa ni Fanta na yule jamaa
00:08:39.279 ambaye alikuwa chifu wa kijiji jirani na
00:08:41.240 alipokuwa anaishi Minata. Sasa hawa
00:08:43.159 wawili ndio ambao walikuwa wakipanga hii
00:08:45.279 mishen nzima na ndio ambao wameonekana
00:08:47.200 wakipambana sana. Ila ndio hivyo tena
00:08:49.080 mishen imeshafeli. Wazee hawakutaka
00:08:51.320 kupoteza muda kabisa. Huwezi kuamini
00:08:53.600 walikula shaba za kutosha kisha
00:08:55.600 wakawatupa baharini. Baada ya hili tukio
00:08:57.880 mateka wote wakawa wameshaanza kuingia
00:08:59.680 uoga sasa. So ikabidi wakae kwa kutulia
00:09:02.200 wakisubiri wafike tu wanapopelekwa.
00:09:04.320 Baada ya safari ndefu tena ngumu ya
00:09:06.480 zaidi ya wiki 10 wakiwa baharini,
00:09:08.399 hatimaye watumwa walifanikiwa kufika
00:09:10.200 katika ardhi ya South Carolina lakini
00:09:12.480 walikuwa wamechoka balaa. Huwezi amini
00:09:14.560 bwana ile kufika tu watoto wa kizungu
00:09:16.519 walikuwa wakiwatupia takataka hawa
00:09:18.360 waafrika na huku mama zao wakiwakata
00:09:20.800 jicho kwa dharau yaani kama vile wameona
00:09:23.079 vinyago. Hapa tunaona wakipelekwa
00:09:25.120 kuhifadhiwa sehemu fulani hivi ili
00:09:26.959 kusubiria kesho waweze kupigwa mnada kwa
00:09:28.959 wamiliki mbalimbali wa mashamba. Yaani
00:09:30.839 sehemu aliyohifadhiwa ilikuwa ni mbichi
00:09:32.959 mbichi fulani hivi. Yaani ni kama vile
00:09:35.000 sehemu ambayo huwa watu wanamwaga maji
00:09:36.920 machafu alfu baridi la hapa huwezi amini
00:09:39.240 friji ikasome. Yaani mpaka mimi ambaye
00:09:41.200 nakumwagia hizi nondo hapa natetemeka.
00:09:43.360 Na ndio kama hivyo tena unavyoona vifua
00:09:45.440 vyao vipo wazi tu. Ah ila wazungu
00:09:47.680 walijua kutunyoosha walahi. Du na hii
00:09:50.360 stori inaka ukweli ndani yake. Aminata
00:09:52.720 na Chokolo kwa kuwa wamezoeana ilibidi
00:09:55.040 washikane kisawasawa ili kubadilishana
00:09:57.279 joto la mwili. Najua mwamba hawezi
00:09:59.079 kusimamisha maana sio kwa mbanga hizi.
00:10:01.480 Sasa baada ya masaa kadhaa kupita kuna
00:10:03.839 mzungu mmoja ambaye ni kiongozi alikuja
00:10:06.399 akawapatia mibakuli fulani hivi ambayo
00:10:08.560 yalikuwa na mabaki ya vyakula iliokotwa
00:10:10.880 okotwa huko mtaani wanapoishi wazungu.
00:10:12.880 So ndio wamewapa hawa watu weusi ili
00:10:14.800 wale na wao. Kutokana na njaa waliyokuwa
00:10:16.920 nayo watumwa walikimbilia lile sufuria
00:10:19.160 ili waweze kupata chochote kitu. Chokolo
00:10:21.399 alikuwa akimpenda sana Minata. Yaani
00:10:23.360 mwamba alikuwa akijipenyeza penyeza
00:10:24.959 kuweza kuchukua msosi kisha anampatia
00:10:27.079 Minata. Lakini baridi lilikuwa
00:10:29.000 halivumiliki hata kidogo. Aminata
00:10:31.079 alikuwa akitetemeka sana mpaka Chokolo
00:10:33.120 akawa anaanza kuogopa na kuhisi kwamba
00:10:35.240 huenda Minata anaweza kupoteza hata
00:10:36.920 maisha. Lakini binti alikuwa
00:10:38.160 akimhakikishia Chokolo kwamba ni lazima
00:10:40.360 watatoboa tu. Sasa mimi sijui hata
00:10:42.440 watatoboaje lakini tutajua tu hapo
00:10:44.399 mbeleni. Yaani kwa hali ya kushangaza
00:10:46.279 walianza kuona mwanga fulani hivi
00:10:47.880 ukitoka juu na kuamulika. Yaani kwa
00:10:50.120 ishara kama hiyo kwenye mila zao
00:10:51.920 waliamini kwamba ushindi wao bado upo na
00:10:54.480 watashinda. Sasa asubuhi iliyofuata
00:10:56.600 mateka wote walipakwa mafuta ya nguruwe
00:10:58.839 ili ngozi zao ziing'ae wapendeze yaani
00:11:01.079 waonekane wana afya ili waweze kuuzwa
00:11:03.120 kwa bei nzuri huko kwenye hilo soko la
00:11:05.000 binadamu. Muda si mrefu rafiki yake
00:11:07.040 Aminata Chokolo alianza kuingizwa kwenye
00:11:09.120 mnada na bei yake ilikuwa ni kama pa
00:11:11.320 saba hivi ambayo kwa pesa za Tanzania
00:11:13.279 kwa miaka hii ni kama vile 24 tu. Ila
00:11:16.120 hiyo ilikuwa ni kipindi hiko cha nyuma
00:11:17.720 sana. ila kwa sasa ingekuwa ni pesa
00:11:19.399 nyingi tu basi bwana kwa kawaida yao
00:11:21.560 mnada unaanzia na bei ya chini alafu
00:11:23.480 then wakulima wanapanda da so bei
00:11:25.680 ikafika mpaka pauni nane hivi ambayo ni
00:11:27.760 sawa na 2,000 ya kitanzania na hapo
00:11:30.079 ndipo mchizi akatengana na aminata sasa
00:11:32.320 sijui kama uko mbeleni watakuja kuonana
00:11:34.480 au vipi hebu ngoja tufuatilie ila
00:11:36.920 aminata alisikitika sana maana chokolo
00:11:39.160 ndio alikuwa mtu pekee ambaye amemzoe
00:11:41.560 sasa ikafika zamu ya minata kupigwa
00:11:43.480 mnada akachukuliwa na kupandishwa mpaka
00:11:45.399 juu jukwanani sasa huyu dalali alimsif
00:11:47.839 fia sana huyu binti yaani sifa
00:11:49.440 zilizomwagwa hapo ndoto magari akasome
00:11:51.760 lakini sasa kamwili kake maskini ya
00:11:53.680 Mungu kalikuwa ni kadogo so akaonekana
00:11:55.720 kama vile ni mtumwa ambaye hataweza
00:11:57.440 kufaa kufanya kazi sasa mwishowe
00:11:59.560 alitokea mwamba mmoja hivi yeye alikuwa
00:12:01.600 ni mmiliki wa shamba moja hivi la indigo
00:12:03.680 aliweza kutoa pauni tano ili kuweza
00:12:05.680 kumnunua najua utakawa unajiuliza shamba
00:12:07.639 la indigo ni nini ngoja sasa nikuambie
00:12:09.720 shamba la indigo ni shamba ambalo lina
00:12:11.680 mimea aina fulani hivi ambayo kisayansi
00:12:13.720 wanaita indigofera na mara nyingi majani
00:12:15.800 yake enzi hizo yalikuwa yakitumia ika
00:12:17.680 kutengenezea rangi ya blue ambayo hiyo
00:12:19.680 rangi walikuwa wakipaka kwenye nguo,
00:12:21.639 vitambaa, nyuzi na kipindi hiko mashamba
00:12:24.120 yalikuwa ni mengi sana na yalikuwa ndio
00:12:26.120 mchongo mzima enzi hizo. Yaani ukiwa na
00:12:27.920 shamba la indigo moja basi wewe ni
00:12:29.760 tajiri. Okay. Acha tuendelee sasa. Bei
00:12:32.120 aliyonunuliwa Aminata ilikuwa ni bei ya
00:12:34.279 chini sana. Yaani anayepiga mnada
00:12:36.240 hajaamini kabisa kama atanunuliwa kwa
00:12:38.360 pesa ndogo kiasi hiko. Hiyo ina maana
00:12:40.360 kwamba ameuzwa kwa bei ya jioni. So
00:12:42.240 ikabidi wamtoe pale jukwani. Na pia huyo
00:12:44.440 mwamba kwa kumwangalia tu hata kabla
00:12:46.440 hajamchukua huyu binti ni wazi kwamba
00:12:48.800 nia yake haikuwa nzuri hata kidogo.
00:12:51.000 Aminata pamoja na mateka wengine kadhaa
00:12:53.279 walifungwa kwa pamoja na kupelekwa
00:12:54.959 kwenye hayo mashamba ya indigo. Huyu
00:12:56.800 binti ni mdogo sana kulinganisha na hizi
00:12:59.040 mbinge mbinge anazopitia. So kutokana na
00:13:01.600 njaa uchovu huwezi amini bwana binti wa
00:13:04.000 watu alidondoka chini pu na kupoteza
00:13:06.360 fahamu. Yaani ama kweli alistahili
00:13:08.199 kuuzwa kwa bei ya jioni. Sasa uzuri ni
00:13:10.480 kwamba huku alipo kwa sasa alikutana na
00:13:12.880 mjakazi mmoja hivi ambaye alikuwa na
00:13:14.920 roho nzuri sana lakini huyu Maz alikuwa
00:13:17.279 hana mtoto wa kumzaa. So alimtre Minata
00:13:19.680 Zifu alikuwa ni mtoto wake wa kumzaa.
00:13:21.680 Insot alimuonyesha upendo sana. Miaka
00:13:23.800 kadhaa ilipita na huyu ambaye tunamuona
00:13:26.279 hapa kitandani ndio aminata sasa na
00:13:28.920 amekuwa pisi ya kwenda. aliyemnunua
00:13:31.120 alikuwa akimsubiria kwa hamu sana ili
00:13:32.760 aweze kufikia umri kama huu. Yaani ni
00:13:34.839 kama vile ununue parachichi ulieke ndani
00:13:36.800 usubirie liive. Ndivyo alivyofanya
00:13:38.760 mwamba. Huyu jamaa bwana alimnunua
00:13:40.920 minata kwa bei ndogo sana na haikuwa kwa
00:13:42.920 ajili ya shambani. Ah ah bali alikuwa
00:13:45.079 akimsubiria akue ili aweze kumpidi
00:13:47.440 diization aminata. So in short nia yake
00:13:49.839 haikuwa nzuri hata kidogo. Mwamba kwa
00:13:51.839 kuzuga akajifanya kama vile amefuata
00:13:53.680 chai. Huyu Maza hapa jina lake ni Jojo
00:13:57.160 na alimwambia Aminata kwamba inabidi awe
00:13:59.720 makini sana na huyo jamaa maana sio mtu
00:14:02.120 mzuri hata kidogo. Yaani Aminata na yeye
00:14:04.360 mwenyewe pia hamkubali mchizi hata
00:14:06.360 kidogo. Kati ya hawa watumwa ambao
00:14:08.199 wameletwa huku, Aminata alikuwa ni
00:14:10.120 mwafrika pekee ambaye alikuwa akijua
00:14:12.279 kusoma na kuandika lugha zaidi ya moja.
00:14:14.399 Pia Minata anamchukulia Jojo kama vile
00:14:16.680 mama yake wa kumzaa. Yaani kwa namna
00:14:18.560 anavyoishi kama wewe ni mgeni haya
00:14:20.480 maeneo huwezi kuamini kama sio mtu na
00:14:22.519 mama yake kabisa. Na hiyo yote ni
00:14:24.279 kutokana tu na namna walivyokuwa
00:14:25.680 wakipendana. Aminata alikuwa akikubalika
00:14:27.800 na watu wengi sana wa maeneo ya hapa na
00:14:29.959 walikuwa wakimchukulia kama vile mdogo
00:14:31.759 wao. Sasa siku moja kulikuwa na wageni
00:14:33.959 ambao walikuja kufanya biashara na
00:14:35.959 mwamba aliyemnunua Aminata. Sasa mke wa
00:14:38.440 huyu mgeni alitokea kumwelewa sana
00:14:40.560 Aminata na akataka kuwa naye karibu.
00:14:42.720 Sasa jamaa akaona m mbona Aminata
00:14:44.600 anasifiwa sifiwa hivi na kila mtu sio
00:14:46.839 wanaume wanawake yaani kila mtu akaona
00:14:50.160 ngoja achomoe Bet tu basi bwana wageni
00:14:52.800 walipoondoka akawa kama anamtongoza
00:14:55.120 Aminata lakini Jojo alikuja kumtoa
00:14:57.240 kijanja na kumwambia kwamba jikoni kuna
00:14:59.440 kazi nyingi sana so anatakiwa aende
00:15:01.040 jikoni chap aminata akapewa habari njema
00:15:04.480 juu ya mtu aliyekuwa amepotezana naye
00:15:06.079 kwa muda mrefu sana ikabidi akimbie
00:15:08.079 chapu kwenda kukutana naye. Hatimaye
00:15:09.800 Chokolo na Aminata waliweza kukutana kwa
00:15:12.079 mara nyingine tena. Yaani tangu
00:15:13.600 apotezane ni miaka 10 sasa Mwamba
00:15:15.720 alifurahi sana kukutana na Aminata. So
00:15:17.920 ikabidi Mwamba ampe mchumba zawadi ya
00:15:19.759 Lemba fulani hivi la maana. Aminata na
00:15:21.920 Chokolo wanamilikiwa na mabosi wawili
00:15:23.759 tofauti na ndio maana hawakuwahi kupata
00:15:25.880 nafasi ya kukutana hata siku moja. So
00:15:28.079 hapa pia wamefanya kuibia ibia tu. Sasa
00:15:30.560 leo wakati Aminata anafanya usafi jamaa
00:15:33.120 mmoja alikuja na kumuita na kumwambia
00:15:35.199 kwamba anaitwa na bosi. Basi ikabidi
00:15:37.279 aende. Alipofika mwamba akamwambia
00:15:39.399 asogee karibu yake. Sasa akaulizwa kama
00:15:41.920 ana mpenzi lakini bidada akamwambia
00:15:43.920 kwamba hapana bossi sina mpenzi. So
00:15:45.839 mchizi akafunga mlango bwana mba na
00:15:48.199 kuanza kupeleka mdomo shavuni mara
00:15:50.800 uminata
00:15:53.519 alikataa kabisa. Sasa upir wa jamaa
00:15:56.279 mzito kilo 150 mchizi anataka ra bwana
00:15:59.639 so bibi akamlaza chini du yaani hata
00:16:01.880 mimi mwenyewe siamini kama mwamba
00:16:03.519 alikula tunda kirahisi rahisi. Sasa nje
00:16:05.800 kulikuwa na binti mdogo na alikuwa
00:16:07.639 akisikia kila kitu. Alivyomaliza tu
00:16:09.759 mshikaji akatoka mle ndani kisha akaja
00:16:11.639 jamaa mmoja hivi akamkuta Minata yupo
00:16:13.720 hoi. So Jojo alijaribu kumkiakia pale
00:16:15.920 Aminata ili awe sawa hata kiafya. Baada
00:16:18.319 ya muda alikuja yule mke wa yule mgeni
00:16:20.600 ambaye alikuwa akitamani sana kuwa na
00:16:22.120 ukaribu na Aminata na leo amemletea
00:16:24.399 zawadi ya kitabu na kumwambia kwamba
00:16:26.560 akisome atafurahia sana. Sasa sijui hata
00:16:29.120 hiko kitabu humo ndani kina siri gani.
00:16:31.279 Sasa leo tunamuona Amina haata akiwa
00:16:33.279 amekutana na Chokolo tena. Kwa kuwa
00:16:35.040 walikuwa wakipendana sana huwezi amini
00:16:36.920 bwana waliweza kuoana tu kienyeji
00:16:38.600 yenyeji lakini hapa hakukuwa na mzungu
00:16:40.680 hata mmoja. Aise ilikuwa ni furaha sana
00:16:42.880 kwao. Sasa baada ya miezi kadhaa
00:16:44.440 tunamuona Minata akiwa ni mjamzito. Yule
00:16:46.639 bosi wake aliyembaka alimuita na
00:16:48.839 kumuuliza hiyo mimba ni ya nani? Lakini
00:16:50.880 Aminata hakuongea chochote. So jamaa
00:16:52.720 akawaambia watu wakusanyike kisha akawa
00:16:54.920 anamvuta kisawasa wa Aminata. Baada ya
00:16:57.399 hapo jamaa aliagiza kisu bwana kisha
00:16:59.720 akatoa maagizo kwamba nguo za minata
00:17:01.959 zote zitolewe nje. Jamaa na roho mbaya
00:17:04.199 huyu sio poa. Ona anachomfanyia binti wa
00:17:06.520 watu alimnyoa nywele zote tena kwa kisu.
00:17:09.400 Bwana huyu jamaa alifanya hivi kwa
00:17:11.400 sababu alikuwa akimchukulia Minata kama
00:17:13.240 ni msaliti vile maana mchizi alikuwa
00:17:15.319 anataka penzi la moja kwa moja ila
00:17:16.919 bidada aligoma. Sasa muda ukafika Minata
00:17:19.480 akajifungua mtoto wa kike tena kazuri
00:17:21.799 sio poa. Sasa hapa mwamba alikuwa
00:17:23.760 akijaribu kuangalia kama ni damu yake au
00:17:26.400 vipi lakini akaja kugundua kwamba mtoto
00:17:28.760 alikuwa ni Black bwana akaona sepe zake.
00:17:31.400 Sasa Jojo alikuwa akimsihi sana Aminata
00:17:33.840 awe makini maana huyo bosi wake
00:17:35.960 ameshajua kwamba mtoto sio damu yake na
00:17:38.160 pia ni mtu katili sana. So hashindwi
00:17:40.120 kumfanyia mtoto kitu kibaya. Sasa majira
00:17:42.360 ya usiku wakati Aminata akiwa amelala
00:17:44.600 ghafla akaja chokolo. Aminata akawa
00:17:46.600 anamlaumulaumu pale kwa nini mchizi
00:17:48.400 amechelewa. Lakini jamaa alifurahi sana
00:17:50.559 kumuona mwanaye na waliweza kumpa jina
00:17:52.720 la Mayi. Sasa asubuhi wakati Aminata
00:17:55.159 akiwa yupo shambani mbaya wake alikuwa
00:17:57.520 akimchora tu. Yaani ni wazi kwamba
00:17:59.520 anamtamani sio poa. Yaani anataka
00:18:01.360 kumfanyia kitu kibaya. Usiku wakati
00:18:03.400 Aminata akiwa amelala akasikia mwanaye
00:18:05.640 akilia. Ile kuangalia tu hehe mtoto
00:18:08.120 hamuoni bwana. ikabidi atoke nje chapu
00:18:10.640 na kumbe yule muuni alikuwa ameshamuiba
00:18:13.080 bwana da na anataka kumsafirisha ili awe
00:18:15.480 mbali na Aminata na huyu jamaa amefanya
00:18:17.440 hivi kama kumkomoa bibie sasa Aminata
00:18:19.880 muda wote hana raha kabisa lakini Jojo
00:18:22.400 alikuwa ndio mtu pekee aliyekuwa
00:18:24.080 akimfariji baada ya wiki kadhaa kupita
00:18:26.520 Aminata aliweza kuuzwa kwa yule bi dada
00:18:28.840 aliyemletea kitabu maana kwa sasa huyu
00:18:30.919 mzungu ni mjamzito so inabidi akasaidie
00:18:33.120 kazi alivyofika tu kwake akakaribishwa
00:18:35.320 kwenye chumba kimoja kizuri sana yaani
00:18:37.039 ni tofauti na alipotoka na huyu bosi
00:18:39.320 wake hapa anaitwa Ana. Hapa Aminata
00:18:42.000 alimwelezea kila kitu kuhusu mtoto wake
00:18:44.480 na Ana aliweza kumwahidi kwamba
00:18:46.039 atamsaidia kutafuta. Baada ya Ana
00:18:48.039 kufanya uchunguzi wake hapa akawa anampa
00:18:50.280 taarifa Minata kwamba kuna mahali ambapo
00:18:52.600 mtoto wake huenda aliuzwa. So ikabidi
00:18:54.880 watoke moja kwa moja mpaka kwenye hilo
00:18:56.919 soko la utumwa. kufika huko wakaulizia
00:18:59.440 ulizia pale wakaelekezwa kwa tajiri
00:19:01.400 fulani hivi mwanzoni aligomewa kufika
00:19:03.440 kwenye hiyo nyumba lakini aliweza kufosi
00:19:05.520 mpaka akafanikiwa kuingia ndani sasa
00:19:07.480 kumbe mtoto aliyekuwa anamfuatilia siku
00:19:09.520 zote sio wa kwake bwana aise alichoka
00:19:12.240 sana so hapa ana alikuwa akimpa moyo
00:19:14.880 bidada akimwambia kwamba asijali
00:19:17.120 atampata tu mwanaye. Ana na Aminata
00:19:19.520 wamekuwa wakiishi kwa upendo sana baada
00:19:21.919 ya miezi kadhaa Ana alijifungua mtoto wa
00:19:24.200 kiume. Sasa hili tukio lilimfanya Minata
00:19:27.200 awe mpweke sana maana mtoto wake ndio
00:19:29.360 hivyo tena alichukuliwa na aliyekuwa
00:19:31.400 bosi wake wa mwanzo na kupelekwa mbali
00:19:33.159 na yeye. Sasa bwana ugonjwa wa MPOX
00:19:35.360 ulikuwa umeenea sana so watu ikabidi
00:19:37.640 wawe makini sana maana huo ugonjwa
00:19:40.000 unaambukiza kwa kugusana tu. Usiku wa
00:19:42.679 Minata alisikia mtu akigonga mlango ile
00:19:45.559 kucheki tu hivi ah kumbe ni chokolo
00:19:47.799 bwana. Aise kila mmoja alikuwa amemmiss
00:19:50.280 mwenzake sio poa na waliongea mambo
00:19:52.440 mengi sana ila chokolo aliweza kumuona
00:19:54.440 Aminata kwamba ni mzembe sana kwa sababu
00:19:56.320 alishindwa kumlinda mtoto wao. Pamoja na
00:19:58.400 hayo yote upendo wao upo pale pale so
00:20:01.440 hapa tunawaona wakinong'onezana maneno
00:20:03.360 yao ya kimahaba bwana baada ya hapo ni
00:20:05.600 mizagamuo tu. Sasa asubuhi bossi anakuja
00:20:08.280 kwenye chumba cha Aminata anashangaa
00:20:09.960 kukuta kuna dume bwana. He aise mwamba
00:20:12.440 aliwaka sana. Ila Minata alimwambia
00:20:14.600 kwamba huyu ni mume wake kabisa
00:20:16.120 kihalali. Lakini boss hakutaka kumuona
00:20:18.320 kabisa huyo jamaa na akamwambia kwamba
00:20:20.400 yaani aondoke achape lapa muda huo huo.
00:20:22.679 Sasa upande wa Anna na hapo tunamuona
00:20:24.679 yeye pamoja na mtoto wake wakiwa na
00:20:26.559 ugonjwa wa Empox. Yaani huu ugonjwa ni
00:20:28.520 mbaya sana hususan kwa watoto na watu
00:20:30.559 ambao kinga za mwili ziko chini. Yaani
00:20:32.799 hapa Ana ameshakata tamaa ya kupona
00:20:35.000 kabisa. So akawa anamwambia Minata abaki
00:20:37.400 salama duniani. Kisha aliweza kumuombea
00:20:39.400 msamaha mumewe kwa kumtimua Chokolo. Na
00:20:41.600 kweli bwana Ana aliweza kufariki. Sasa
00:20:43.880 siku moja asubuhi bossi alikuwa akiongea
00:20:45.760 na Aminata. Lakini bidada akawa anajibu
00:20:48.159 ovyo tu. Hehe. Bossi alishangaa sana. Na
00:20:50.760 hapa issue ni kwamba Aminata amegundua
00:20:52.880 kwamba bosi wake mpya huyu ambaye
00:20:54.640 anaishi naye hapa na yule wa zamani
00:20:56.480 ambaye alimbaka ndio amehusika
00:20:58.240 kumtenganisha na mwanaye ambaye amekuwa
00:21:00.440 akimtafuta kwa muda mrefu sana. Jamaa
00:21:02.720 alipoona Aminata anamjibu kwa dharau
00:21:04.840 ikabidi amwashe koya lakini Bid dada
00:21:06.640 naye akamrudishia. Kisha alimsema sana
00:21:08.919 mwamba na kumwambia kuwa amehusika na
00:21:11.120 kumtenganisha na mwanaye na alimwambia
00:21:13.159 kwamba amegundua siri hiyo ambayo
00:21:15.120 alificha akishirikiana na yule bosi wake
00:21:16.919 wa zamani kwa muda mrefu sana na
00:21:18.559 anamwambia kwamba wameamua kumuuza mtoto
00:21:20.440 wake kwa watu ambao ni ngumu sana
00:21:22.200 kuwafikia. Lakini jamaa alikiri kwamba
00:21:24.640 walifanya hivyo kwa ajili ya kumpatia
00:21:26.440 mtoto wa Minata maisha bora zaidi ya
00:21:28.480 yale ambayo yalikuwa akiyaishi. So
00:21:30.080 alimuuza mtoto kwenye familia ya
00:21:31.760 kitajiri sana huko London. mwajiri wake
00:21:34.000 alijitetea sana lakini Aminata hakutaka
00:21:36.520 kumwamini hata kidogo na Aminata
00:21:38.600 alimchukulia kama adui yake vile sasa
00:21:40.880 baada ya kuongea sana bidada alimtupia
00:21:43.000 kikaratasi usoni ambacho kina ushahidi
00:21:44.760 mzima baada ya kujua ukweli huo Amina
00:21:47.120 hata alilia sana na mbaya zaidi moyoni
00:21:49.200 mwake akawa amejaza kisasi dhidi ya wale
00:21:51.559 waliomtenganisha na mtoto wake. Je
00:21:53.360 atawafanyaje hawa watu sasa? Mimi na
00:21:55.360 wewe hatujui ila hebu ngoja tuangalie
00:21:57.240 huko mbeleni huenda akawafanya kitu
00:21:59.000 kibaya. Ukiachana na hayo Aminata ana
00:22:01.360 akili sana. So huyu bosi wake alikuwa na
00:22:03.799 safari nyingi sana za kwenda New York.
00:22:05.679 So ikabidi awe anaenda naye kwa ajili ya
00:22:07.520 kumsaidia kwenye kazi zake mbalimbali.
00:22:09.720 Maana mkataba wao unamruhusu huyu bossi
00:22:11.679 kumtumia Minata kuwa msaidizi wake
00:22:13.240 anapokuwa safarini. Walifika Hafenvon
00:22:15.360 huko New York na hapa ilikuwa ni mwaka
00:22:17.440 1775.
00:22:19.200 Sasa baada ya kuwasili Marekani
00:22:21.120 walikaribishwa fresh tu na jamaa fulani
00:22:23.000 hivi ambaye anaitwa Francis. Yeye
00:22:25.039 alisema kwamba asili yake ni mtu wa
00:22:26.679 Jamaica. Baada ya Minata kusaini saini
00:22:28.760 pale aliulizwa na Francis kama Samuel ni
00:22:31.039 mmiliki wake yaani yule boss aliyekuja
00:22:33.039 naye maana hilo ndio jina lake Samuel.
00:22:35.279 Aminata alisema ndio lakini sio
00:22:36.760 permanent ni kwa muda tu. Sasa wakati
00:22:38.960 wakiwa wanapata lunchi pamoja Aminata
00:22:41.120 alikuwa akimuuliza kama kuna uwezekano
00:22:42.919 wa yeye kutoroka. Na Francis alimwambia
00:22:45.120 uwezekano upo lakini bado kutakuwa na
00:22:47.039 vipengele kama kawaida. Sasa hapa plani
00:22:49.320 ya Minata ni kutoka hapa na kuangalia
00:22:51.520 namna yoyote ya kuweza kurudi Afrika.
00:22:53.520 ila jamaa akamwambia kwamba itakuwa kazi
00:22:55.679 bure maana bado biashara ya utumwa
00:22:57.640 inazidi kupamba moto. So hata kama
00:22:59.720 atarudi Afrika ni lazima atakamatwa na
00:23:02.159 atakuja kuuzwa tena kwenye nchi za huku
00:23:04.039 huku Marekani au hata Ulaya. Francis
00:23:06.279 alimwambia hapa New York pako vizuri tu
00:23:08.760 na inabidi apaamini tu aweze kuishi.
00:23:11.120 Sasa hapa tunamuona Samuel ambaye ni
00:23:13.200 mwajiri wake amemfuata Minata na
00:23:15.400 kumwambia kwamba kuna barua za kujibu
00:23:17.440 hapa. So ikabidi Aminata afanye hivyo.
00:23:19.640 Sasa wakati Aminata yupo busy kujibu
00:23:21.679 barua anashangaa kuona nje kuna vurugu
00:23:24.320 sio kawaida tena wanaokiwasha ni watu
00:23:26.400 weupe dhidi ya weupe wenzao. Aminato
00:23:28.520 wakati huko nje akamuuliza mtu e kwani
00:23:30.120 kuna nini? Mchizi akamjibu hapa
00:23:31.559 tunapigania uhuru wetu hatutaki upuuzi.
00:23:34.120 Sasa hapa Minata akajua kwamba sio
00:23:36.240 kusema tu watu weusi ndio ambao
00:23:37.880 wanapigania uhuru bali hata wazungu
00:23:40.000 wenyewe kuna baadhi ya maeneo hawana
00:23:42.039 uhuru hata kidogo. Sasa hapa Francis
00:23:44.200 akawa anamwambia Minata huu ndio muda wa
00:23:46.000 wewe kumkimbia tajiri wako. sasa na
00:23:47.919 inabidi ufanye mchakato sasa hivi maana
00:23:50.279 asipokuona ataisi umekufa kwenye haya
00:23:51.919 machafuko na wala hatoweza kupoteza muda
00:23:54.080 wake kukutafuta. Ghafla akamwona tajiri
00:23:56.200 yake ikabidi akajibanze kwa Francis
00:23:58.240 kwanza kisha baadaye ndio akatoka kwenda
00:24:00.120 kujificha. Sasa hapa alikuwa akimshukuru
00:24:02.799 sana mwamba maana haamini kama kuanzia
00:24:05.080 sasa atakuwa huru. Alipotoka nje
00:24:07.240 akaminyana minyana pale kupita katikati
00:24:09.200 ya watu mpaka akafanikiwa. Hapa
00:24:11.039 tunamuona akiwa msituni na alikaa humu
00:24:13.360 kwa muda kidogo. Kisha siku moja akarudi
00:24:15.520 tena na akapokelewa vizuri tu na Francis
00:24:17.919 na kupewa chakula. Then mwamba akampatia
00:24:20.320 pesa lakini Aminata yeye alizikataa.
00:24:22.840 Mchiz alimwambia hapana apokee tu maana
00:24:25.039 amempa kama rafiki yake so asiwe na
00:24:27.039 wasiwasi. Kisha Aminata alielekezwa
00:24:28.799 aende kwa jamaa fulani hivi ambaye
00:24:30.240 anaitwa Krebo ili aweze kumsaidia
00:24:32.279 makazi. Maana hapa siku kama mwajiri
00:24:34.600 wake atarudi kufanya biashara zake
00:24:36.799 akimkuta itakuwa ni mambo mengine. Huyu
00:24:38.960 msichana hapa anaitwa Datilda ambaye ni
00:24:40.760 mke wa Krebo na pia ni mjamzito. Maeneo
00:24:43.039 ya hapa Minata alikuwa akiwasaidia watu
00:24:44.840 sana kujifungua maana huo ndio ujuzi
00:24:46.799 wake. Na kutokana na kwamba yeye ndio
00:24:48.600 alikuwa mwafrika pekee anayejua kusoma
00:24:50.799 basi alikuwa akiwafundisha Waafrika
00:24:52.600 wenzake kusoma. na maeneo ya hapa
00:24:54.480 walikuwa wakifurahi sana maana walikuwa
00:24:56.000 hawamilikiwi na mtu yeyote yule. Sasa
00:24:58.279 hapa Francis alimuomba Aminata
00:25:00.279 amsindikize mahali fulani hivi walitoka
00:25:02.520 na kuelekea hiyo sehemu na kumbe sehemu
00:25:04.640 yenyewe ilikuwa ni mahali ambapo
00:25:06.200 kulikuwa na vita. Aminata hakutaka
00:25:07.960 kabisa kufika hapa lakini Francis
00:25:09.840 alimwambia kwamba endapo angemwambia
00:25:11.760 kuwa wanakuja huku basi Aminata angegoma
00:25:13.799 kabisa kuja. So ndio maana hakutaka
00:25:15.320 kumwambia ukweli. Kuna mzee mmoja hivi
00:25:17.440 akamuita Aminata ili aweze kumpatia
00:25:19.520 msaada. Yaani hapa majeruhi walikuwa ni
00:25:21.919 wengi balaa. Ona kama huyu mwamba hapa
00:25:24.320 alikuwa na jeraha kubwa sana mguuni
00:25:25.880 kwake. So alikuwa akitakiwa kukatwa
00:25:27.720 mguu. Hoya huwezi amini huduma ilikuwa
00:25:29.520 ikitolewa lakini walikuwa wakitumia
00:25:31.120 msumeno kuweza kukata miguu ya watu
00:25:33.200 yaani bila ganzi. Du sio poa. Sasa
00:25:36.200 wakati wanatoa huduma ghafla wakavamiwa.
00:25:38.799 Aminata na Francis ikabidi wakimbie
00:25:40.919 chapu. Sasa leo Aminata alikuja kuitwa
00:25:43.480 na kuambiwa kuwa kuna mtu amekuja na
00:25:45.720 anamtafuta sana. Huwezi amini bwana
00:25:47.520 alikuwa ni Chokolo ambaye ni mume wake.
00:25:49.480 Kwa kuwa ni muda mrefu hawajakutana
00:25:51.399 ikabidi wazigusan bwana. Hapa tunamuona
00:25:53.919 Chokolo akitambulishwa na Minata kwa
00:25:55.880 Francis na waliongea mambo mengi sana
00:25:57.919 juu ya Waingereza na Wamarekani ambao
00:26:00.159 wanapigana kila siku kuweza kupambania
00:26:02.120 uhuru wao. Lakini watu weusi hawaamini
00:26:04.279 hawa waingereza na Wamarekani hata
00:26:06.039 kidogo kutokana na kwamba hawa watu
00:26:07.880 wanapigania uhuru wao kwa masilahi yao
00:26:09.679 wenyewe. Lakini ghafla ilikuja barua
00:26:11.840 kutoka kwa Waingereza na kuwataka negros
00:26:14.279 yaani hawa watu weusi ili kupigania
00:26:16.399 uhuru dhidi ya Wamarekani. Aminati
00:26:18.200 alibidi apeleke huo ujumbe kwenye jamii
00:26:20.159 ambayo anaishi nayo. Lakini Wauni
00:26:22.159 walihoji sana maana hawaamini Wamarekani
00:26:24.760 wala Waingereza. Lakini Francis
00:26:26.640 alijaribu kuwaelewesha vizuri ili waweze
00:26:28.760 kukubali ombi hilo. Krab alikuwa akijipa
00:26:30.720 hopu sana maana anajua kwamba mwanaye
00:26:32.520 anaweza kuzaliwa kipindi ambacho
00:26:34.039 kutakuwa hakuna machafuko kabisa. Yaani
00:26:36.279 wakati wakiwa wanaongea alikuja askari
00:26:38.360 mmoja hivi wa Kibritish ambaye
00:26:40.039 alimuulizia Minata kisha akaondoka naye
00:26:41.919 mpaka kwa binti fulani hivi ambaye
00:26:43.559 alikuwa ni mjamzito na alikuwa
00:26:44.840 akikaribia kujifungua. Aminat alimuuliza
00:26:47.000 huyu binti kwamba ana umri gani ila
00:26:48.919 mwamba akamjibia chapu kwamba eti ana
00:26:50.840 umri wa miaka 22 ila binti mwenyewe
00:26:53.159 alijibu kwamba ana miaka 15. So Aminata
00:26:55.799 akamwambia huyu jamaa kiasi anachotaka
00:26:57.919 ili aweze kufanya kazi na kama hatopewa
00:27:00.080 hiyo pesa basi inabidi aondoke zake tu.
00:27:02.279 Basi mchizi alikubali kulipa hiyo pesa.
00:27:04.200 Aminata alimwambia huyo askari wa
00:27:05.559 kizungu ampishe ili aweze kuendelea na
00:27:07.640 kazi. Sasa hapa Minata alianza kumuuliza
00:27:09.760 huyu binti vipi huyu jamaa anakutreat
00:27:11.600 vipi? Binti akajibu kwamba anapendwa
00:27:13.760 sana na pia anamhudumia bila ubaguzi.
00:27:16.159 Lakini binti mwishoni akaanza kuongea na
00:27:17.840 kusema kwamba hataki mtoto kwa sasa. So
00:27:19.880 atakapomzalisha tu angalia namna yoyote
00:27:21.919 ya kuweza kumtupa huyo mtoto hata mtoni
00:27:23.640 tu maana bado anahitaji muda zaidi wa
00:27:25.640 kuweza kuenjoy na mpenzi wake mzungu.
00:27:27.559 Aminata akamwambia okay sawa hamna shida
00:27:29.559 utakapokuwa unapush mtoto ndio utasema
00:27:31.600 kutoka moyoni kwamba huyo mtoto nimtupe
00:27:33.880 au nimwache tu utamlea. Sasa Aminata
00:27:36.120 alimwambia hivi maana anajua uchungu
00:27:38.120 atakaopata huyu binti hatoweza kuwa na
00:27:40.480 mawazo ya kumtupa huyu mtoto hata
00:27:42.080 kidogo. Na hii sehemu tunaipita lakini
00:27:44.799 nahisi huko mbeleni itakuwa ina maana
00:27:46.480 kubwa sana. Huyu mtoto ambaye
00:27:47.960 anamzalisha hapa ni nani? Na ni kwa nini
00:27:49.720 yule askari wa kizungu hakutaka Minata
00:27:51.559 aweze kujua umri halisi wa huyu binti?
00:27:53.640 Hebu ngoja tutajua tu huko mbeleni.
00:27:55.440 Wakati Aminata akiwa na chokolo
00:27:57.159 wakisaidiana kazi yule askari muingereza
00:27:59.640 alikuja na kumshukuru Waminata kwa
00:28:01.519 kumzalisha mpenzi wake salama na pia
00:28:03.760 alitaka kuongea na Chokolo pamoja na
00:28:05.760 vijana wengine. Sasa kumbe yule British
00:28:08.200 ambaye ni askari aliwataarifu akina
00:28:10.000 Chokolo kwamba wanahitajika kwenda
00:28:12.039 kwenye uwanja wa vita ili wakawasaidie.
00:28:14.480 Aminata alimuuliza kwa hiyo mume wangu
00:28:15.799 ulikataa jamaa alimwambia kwamba
00:28:17.200 amekubali da Aminata alimind sio poa.
00:28:19.960 Hapa akawa anamwambia nimeshapoteza
00:28:21.799 mtoto so sitaki kukupoteza na wewe mume
00:28:24.039 wangu. Jamaa akawa anasema Wamarekani
00:28:25.919 hakuna chochote walichotuahidi so ni
00:28:27.960 bora tujiunge na Waingereza ili tuweze
00:28:29.679 kupambana na hao Wamarekani. Basi bwana
00:28:31.760 asubuhi kila mwanamke aliweza kumwaga
00:28:33.760 mume wake ambaye anaenda kupambana. I
00:28:35.679 say vita ilipigwa sio poa na watu wengi
00:28:37.840 sana walikufa. Yaani kama mume wako au
00:28:40.279 ndugu yako yeyote alirudi salama basi
00:28:42.279 unatakiwa uchinje ng'ombe. Sasa kuna
00:28:44.320 jamaa mmoja hivi mweusi aliyefanikiwa
00:28:46.559 kurudi akatoa taarifa kwamba wamekufa
00:28:48.760 watu wengi sana tena hususan Negros.
00:28:50.960 Yaani aliongea kila kitu na kusema kuwa
00:28:53.039 vifo ni vingi mno. Na wakati huu Aminata
00:28:55.399 alikuwa hajui chochote kuhusu Chokolo
00:28:56.919 kama yuko hai au vipi ikabidi amuombe
00:28:59.159 Francis waende kumtafuta Chokolo. Jamaa
00:29:01.320 hapa alikuwa anaamini kwamba Chokolo
00:29:03.080 atakuwa ameshakufa. Ila Minata alitaka
00:29:05.159 wakamtafute hivyo tu. Basi bwana
00:29:07.240 waliingia uwanja wa vita kwenda kumsaka
00:29:09.360 Chokolo. Hoya we hebu cheki hali yenyewe
00:29:11.600 ya haya maeneo alafu unaenda kumtafuta
00:29:14.120 mtu ambaye alikuwa kwenye hii vita ukiwa
00:29:16.240 na matumaini kwamba ni mzima. Du yaani
00:29:18.519 hapa sidhani kama mtu unaweza kuwa na
00:29:20.840 matumaini kumkuta mtu yeyote mzima.
00:29:23.120 Walitembea mpaka wakafika sehemu fulani
00:29:25.200 hivi na kumuona Krebo yaani yule mume wa
00:29:27.600 yule mrembo aliyekuwa na mimba.
00:29:29.200 Walivyokutana naye aliwaelekeza alipo
00:29:31.000 Chokolo. Yaani walimkuta Chokolo akiwa
00:29:32.960 hawezi hata kuongea ikabidi wampeleke
00:29:35.159 mpaka nyumbani. Sasa hapa Chokolo
00:29:37.200 aliweza kupata fahamu lakini hali yake
00:29:39.440 bado sio nzuri hata kidogo. Mapigano
00:29:41.480 yaliendelea na Waingereza pamoja na
00:29:43.480 negros yaani watu weusi walishinda. Sasa
00:29:45.960 kipengele kikawa kipo kwa Francis ambaye
00:29:48.279 alikuwa karibu sana na Wamarekani.
00:29:50.080 Francis alikuwa akihofia kuonekana kama
00:29:52.120 yeye ni msaliti maana siku zote alikuwa
00:29:54.360 akifanya kazi na Wamarekani. Pia bidada
00:29:56.480 alimsihi awe makini sana maana hata hao
00:29:58.960 waingereza ambao wamewasaidia huwa ni
00:30:01.200 kama kinyonga yaani wanabadilika muda
00:30:02.960 wowote ule. Basi bwana baada ya hiyo
00:30:04.919 vita Aminata kuna sehemu alikuwa anataka
00:30:07.519 kuelekea ila Chokolo alitaka kwenda naye
00:30:09.640 kama kumlinda hivi lakini Aminata
00:30:11.440 akamwambia ataenda pekee yake tu. Sasa
00:30:13.559 wakati anakatiza kwenye chocho fulani
00:30:15.120 hivi kuna wahuni wa kimarekani wakataka
00:30:17.320 kumteka. Lafla alitokea askari
00:30:19.279 muingereza akamsaidia. So Aminata
00:30:21.240 alienda kuonana na kiongozi mmoja hivi
00:30:23.200 ambaye anaitwa Kapten alimuuliza B dada
00:30:25.360 yupo huru kwa muda gani hapa Marekani.
00:30:27.360 Aminata akamjibu ni miaka nane sasa
00:30:29.360 Kapten akamtaka afanye kazi chini ya
00:30:31.399 Wabritish maana ana akili sana lakini
00:30:33.679 Aminata alitaka kugoma kutokana na ahadi
00:30:36.120 feki ambazo Waingereza siku zote
00:30:37.919 wamekuwa wakizitoa kwa hawa watu weusi.
00:30:40.000 Jamaa akamwambia sasa hivi hapa Marekani
00:30:42.279 sio salama hata kidogo. Na kama endapo
00:30:44.399 atakubali kufanya kazi chini yao basi
00:30:46.360 yeye pamoja na wenzake weusi watapelekwa
00:30:48.480 mahali fulani hivi ambapo ni koloni la
00:30:50.480 Kibritish na lipo nje kidogo na Marekani
00:30:52.760 na wataishi freshi tu yaani bila
00:30:54.480 wasiwasi wowote. Aminata alikubali kisha
00:30:56.919 akasepa zake. Usiku wa leo Negros yaani
00:30:59.600 hawa watu weusi walivamiwa na wamarekani
00:31:02.159 na walitaka baadhi yao kuwateka
00:31:03.679 kuwafanya wawe kama watumwa. Ais kwa
00:31:05.519 bahati mbaya KBU alitekwa na asubuhi
00:31:07.440 ilipofika askari wa Kibritish na akina
00:31:09.320 Aminata walipambana sana ili KBO aweze
00:31:11.760 kuachiwa lakini ilishindikana na
00:31:13.639 Wamarekani walitaka kumsafirisha KBO
00:31:16.120 kwenda mbali na hapa New York kwenye hii
00:31:18.360 bandari hapa wakati wanataka kuondoka
00:31:20.000 naye palichimbika sio poa. So jamaa
00:31:22.159 aliacha mke wake pamoja na mtoto wake na
00:31:24.399 ilikuwa ni kipindi kigumu sana kwa
00:31:25.840 familia yake. Leo Aminata pamoja na
00:31:27.919 Francis waliitwa mahali fulani hivi na
00:31:29.880 Wabritish kuweza kudiscuss life la mtu
00:31:31.880 mweusi. Na hapa waliambiwa waorodheshe
00:31:34.120 watu weusi wote ili ijulikane idadi yao
00:31:36.399 kamili. Maana mpango uliopo ni
00:31:37.960 kuwahamisha kwenda Washington. Of course
00:31:40.039 walifurahi sana baada ya kusikia hivyo.
00:31:42.120 Alivyofika nyumbani alimwelezea kila
00:31:44.279 kitu Chokolo na walifurahi sana. Na pia
00:31:46.559 Bidada akampa habari Chokolo kwamba kwa
00:31:48.960 sasa yeye ni mjamzito tena. Ohya sio
00:31:51.399 poa. Sasa asubuhi yake Aminata
00:31:53.559 alikabidhiwa kitabu cha kuweza kuandika
00:31:55.559 majina ya historia za hawa watu weusi.
00:31:57.760 Kila mtu alikuwa akielezea historia ya
00:31:59.720 maisha yake. Yaani hapa hawa maniga
00:32:01.919 wanaona ni kitu cha ajabu sana mwafrika
00:32:04.039 mwenzao kumuona akiwa anaandika na
00:32:06.000 kusoma vizuri tu. na wanashangaa sana
00:32:08.080 kwa sababu kati yao hakuna anayejua hivi
00:32:09.919 vitu hata kidogo. Yaani wanaona kama ni
00:32:11.679 uchawi. Sasa kuna binti mmoja hivi
00:32:13.799 ambaye jina lake alijitambulisha kama
00:32:15.480 yeye ni Aminata na akasema kwamba mama
00:32:17.720 yake alifariki. Aminata alifurahi sana
00:32:19.840 kumuona. Mwana Mentalix kama unakumbuka
00:32:22.480 yule Maza mjamzito alitaka kutupwa
00:32:24.679 baharini ila Minata aliweza kumuombea
00:32:26.760 asitupwe na kusema kwamba atamzalisha
00:32:28.639 yeye mwenyewe basi yule mtoto ndio huyu
00:32:30.480 hapa. Kama unakumbuka jina lake yule
00:32:32.120 Maza alimuita Minata. Ah binti
00:32:33.919 ameshakuwa mkubwa kabisa huyu. Sasa
00:32:36.000 kutokana na kazi nzuri ya kuwakusanya
00:32:38.080 negros Aminata alipewa tiketi kadhaa
00:32:40.639 kuweza kusafiri. So hapa alikuwa
00:32:42.240 akiagana na Francis wanaenda mbali na
00:32:44.279 New York. So wataonana tu hapo baadaye.
00:32:46.559 Sasa wakati wakiwa wameshakabidhi hizo
00:32:48.240 tiketi kwa maaskari bidada anashangaa
00:32:50.600 akiambiwa kwamba haruhusiwi kusafiri
00:32:53.000 maana kuna uhalifu mkubwa sana ambao
00:32:55.039 ameufanya. Ni uhalifu gani tena huo sasa
00:32:57.679 bwana? Kumbe yule tajiri wake wa mwanzo
00:32:59.639 kabisa ndio amemleta mahakamani bwana.
00:33:01.960 Da. Sasa alijuaje kama yuko hai na
00:33:03.840 mwamba alikuwa akisisitiza na kusema
00:33:05.399 kwamba Aminata bado ni mtumwa wake.
00:33:07.440 Aminata akajitetea pale kwa kusema
00:33:09.320 kwamba aliuzwa kwa Mr. Samuel na wala
00:33:11.399 sio huyu. Na Mr. Samuel aliweza
00:33:12.960 kumwachia Uhuru baada ya kujibu hivyo
00:33:14.840 akaulizwa kibali cha kuwa huru kiko
00:33:16.679 wapi? Bi dada akawa hana majibu. Ikabidi
00:33:19.000 sasa aitwe jamaa ambaye amemshtaki yaani
00:33:21.240 yule tajiri wake wa mwanzo. Mwamba
00:33:22.760 anapigilia msumari tu na kusema kwamba
00:33:24.919 Aminata bado anamiliki na ushahidi anao.
00:33:27.559 ila Francis ali kati na kumuomba jaji
00:33:30.120 wapewe kama masaa mawili hivi ili
00:33:31.960 Aminata na yeye pia aweze kutafuta
00:33:33.760 ushahidi wake. Basi bwana jaji aliweza
00:33:35.720 kukubali lakini Aminata waliweza kumweka
00:33:37.720 gerezani kwanza mara ghafla akaja yule
00:33:39.760 tajiri wake wa zamani akawa anamuuliza
00:33:41.559 kwa kumkejeli. Unadhani utanikimbia? Eh
00:33:43.960 Aminata n yeye alikuwa akimjibu shombo
00:33:45.720 sana ila mwamba alikuwa akimwambia
00:33:47.240 kwamba ndege mjanja ndio unasa kwenye
00:33:48.960 tundu bovu na wewe umeshanasa. Sasa
00:33:51.399 baada ya muda kwenda Aminata aliweza
00:33:53.360 kupelekwa mahakamani tena lakini bibeye
00:33:55.600 akawa hana hata ushahidi ila Francis
00:33:57.799 alimtafuta Mr. Samuel ambaye ni tajiri
00:34:00.039 wa pili wa Aminata yaani yule ambaye
00:34:01.639 alikuja naye huku Marekani. Na ukweli ni
00:34:03.519 kwamba huyu ndio ambaye alisafiri naye
00:34:05.159 mpaka New York kikazi. Na kama
00:34:06.840 unakumbuka huyu ndio alihusika pia
00:34:08.639 kwenye mishen ya kumtenganisha Aminata
00:34:10.560 na binti yake. Sasa wakati Aminata yupo
00:34:12.879 gerezani jamaa alikuwa akimuomba msamaha
00:34:14.839 Aminata kwa kumtenganisha na mwanaye.
00:34:16.918 Lakini Aminata kwa uchungu alikuwa
00:34:18.280 akimwambia kwamba hatakuja kumsamehe
00:34:20.359 hata siku moja. Asubuhi ilipofika jaji
00:34:22.679 alitoa maamuzi ya kumtimua Mr. Climate
00:34:25.320 yaani yule tajiri wa mwanzo kabisa wa
00:34:27.239 Minata. Na uzuri ni kwamba huyo ndio
00:34:28.879 ambaye alimshtaki. So kwa sasa
00:34:30.399 ameshatimuliwa kwa sababu yeye
00:34:32.040 alishamuuza Minata kwa Mr. Samuel. Jaji
00:34:34.399 alimuuliza Mr. Samuel ambaye ndio
00:34:36.119 mmiliki halali wa Aminata kama ana neno
00:34:38.199 lolote la kusema. Ila jamaa ana roho
00:34:40.520 fulani hivi ya ubinadamu. Akasema hana
00:34:42.560 la kusema zaidi ya kumuomba msamaha
00:34:44.239 Minata na kutaka bibi awe huru tu kwenye
00:34:46.320 maisha yake yote. Aminata aliweza
00:34:48.320 kuachiwa huru na kuondoka zake lakini
00:34:50.560 sasa meli aliyotakiwa kuondoka nayo
00:34:52.520 ilikuwa tayari imeshasepa. Yaani
00:34:54.199 Chokolo, mke wa Krebo na mtoto wa Krebo
00:34:56.800 walikuwa wameshatangulia tayari. Francis
00:34:58.960 alimtaka Aminata abaki ila bibi aligoma
00:35:01.760 maana alikuwa anaumisi tu wa chokolo.
00:35:03.920 Leo Aminata ameamua kumpa busu takatifu
00:35:06.800 Francis. Mambo hayo? He mbona amemkisi
00:35:10.520 hivi sasa jamani? Hebu ngoja tutajua tu
00:35:12.839 kila kitu uko mbeleni. Huenda kukawa
00:35:14.720 kuna siri kati yao hawa wawili. Baada ya
00:35:16.960 hapo bibi akaamua kusepa zake hapa
00:35:19.240 Minata anaonekana yupo kwenye chombo
00:35:21.079 kuelekea Washington. Alivyofika tuwa
00:35:23.560 kuna wauni fulani wanataka kumzingua.
00:35:25.440 Mara ghafla akaja jamaa mmoja hivi
00:35:26.880 ambaye anaitwa Jason akamtetea. In short
00:35:29.040 Jason alimpokea vizuri sana bibie. Na
00:35:31.280 hiyo yote ni kutokana na kwamba Aminata
00:35:33.440 ni negro mwenzake. Aminata akamuuliza
00:35:35.480 jamaa kama kuna mtu yeyote ambaye
00:35:36.839 anamjua anaitwa Chokolo ila mwamba
00:35:38.599 akamwambia hamjui ila kama yupo
00:35:40.440 Washington basi lazima watampata tu.
00:35:42.599 Sasa wakati wapo njiani kuelekea kwenye
00:35:44.560 makazi maalum ya Negros njiani Aminasa
00:35:46.920 alikuwa akishangaa sana. Maana utaratibu
00:35:49.240 wa huku bwana watu wakifa huwa wanatupwa
00:35:51.800 tu. Yaani huwa hawazikwi. Kutokana na
00:35:53.800 baridi kali jamaa akaivua koti maiti
00:35:56.000 moja hivi ili Aminata aweze kuvaa maana
00:35:58.520 Minata alikuwa anatetemeka sio poa. Bibi
00:36:00.680 alikataa kuvaa hilo koti. Jamaa
00:36:02.400 alimwelewesha pale mpaka mwishowe bibi
00:36:04.800 akakubali. Baada ya safari ndefu
00:36:06.720 waliweza kufika kwenye makazi yao. Sasa
00:36:08.760 ila namba ya watu ambao walikuwa wakifa
00:36:10.440 huku ilikuwa ni kubwa sana. Na hiyo yote
00:36:12.520 ni kutokana na njaa, hukumu, maradhi.
00:36:15.319 Yaani kama wewe ni bingwa wa kupinga
00:36:16.880 serikali basi ujue utanyongwa tu. Huwezi
00:36:19.800 kupinga namna hiyo. Kwenye hii jamii pia
00:36:21.800 wanaishi Waitish. Sasa kutokana na njaa
00:36:24.240 kali wajuba wakipata tu vyakula vyao
00:36:26.599 watu weusi hufanya mchakato wa kuviiba
00:36:28.440 bwana kisha wanakimbia. Yaani sio poa.
00:36:31.040 Hapa tunawaona watu weusi wakiwa wapo
00:36:33.040 kanisani. Na huyu unayemuona hapa
00:36:34.599 anaitwa Pastor Moses. So hapa pastor
00:36:36.480 alikuwa akitoa neno pamoja na
00:36:37.880 kubadilishana mawili matatu na waafrika
00:36:40.079 wenzake. Baada ya ibada Aminata alikuwa
00:36:42.319 yuko na Pastor Moses. Lakini ghafla
00:36:44.359 uchungu ukamwanza. Pasta ikabidi
00:36:46.280 ampeleke ndani chapu na of course
00:36:48.079 aliweza kujifungua mtoto wa kiume salama
00:36:50.359 kabisa. Lakini majira ya usiku Aminata
00:36:52.560 alianza kujisikia vibaya na mtoto wake
00:36:54.480 pia akawa anaoma kali sana. Baada ya
00:36:56.760 kupambania maisha ya mtoto pale mwisho
00:36:58.720 wa siku bwana huwezi amini mtoto
00:37:00.319 alifariki. Da mtoto wa pili huyu. Hapa
00:37:02.960 Minata alikuwa na uchungu sio wa kawaida
00:37:05.079 maana mtoto wa kwanza alichukuliwa
00:37:06.960 akapotezwa. Huyu wa pili wa kiume
00:37:08.920 amefariki. Siku zilienda Aminata akaenda
00:37:11.560 sehemu fulani hivi kuweza kuomba kazi.
00:37:13.680 Kwa kuwa yeye alikuwa anajua kusoma na
00:37:15.240 kuandika basi bwana akapatiwa kazi ya
00:37:17.119 kuweza kuchapisha magazeti na kuyauza.
00:37:19.359 Na kila kazi aliyokuwa anafanya ilikuwa
00:37:21.599 ikimfurahisha bosi sana. Maana mauzo
00:37:23.800 yalikuwa juu kuliko mwanzoni kabla ya
00:37:25.839 yeye kuingia kwenye hii kazi. Na wazungu
00:37:27.680 walikuwa wakichukia sana jinsi ya Minata
00:37:29.720 alivyokuwa akipendwa na namna
00:37:31.119 anavyochapa kazi. na huyu bosi wake hapa
00:37:33.400 anaitwa Elizabeth. Sasa wakati Aminata
00:37:35.720 yuko na pasta wakiwa wanapata kahawa
00:37:37.599 kidogo ile kufungua tu Aminata aliweza
00:37:39.760 kukutana na yule kapten ambaye alimpa
00:37:41.800 maagizo ya kukusanya taarifa za watu
00:37:43.839 weusi kipindi wapo kule New York kama
00:37:46.160 unakumbuka na alifurahi sana kukutana
00:37:48.240 naye. Sasa wakati wa usiku Kten
00:37:50.440 alimuomba Aminata awe msaidizi wake
00:37:52.640 kwenye kazi mbalimbali na Aminata
00:37:54.480 alikubali maana ilikuwa ni kama fursa
00:37:56.200 kwake. Wakati wa asubuhi Aminata aliweza
00:37:58.480 kumuona Chokolo bwana da walikumbatiana
00:38:00.720 na walifurahi sana. ila sasa jamaa akawa
00:38:03.280 anauliza mtoto yuko wapi aminate ikabidi
00:38:05.440 amwambie kwamba mtoto alifariki wiki
00:38:07.280 mbili tu zilizopita sasa kutokana na
00:38:09.560 kwamba Minata alikuwa anafanya kazi na
00:38:11.480 kapten yule mwanamke ambaye alimwajiri
00:38:13.520 ambaye anaitwa Elizabeth alikuwa
00:38:14.680 akikasirika sana so alikusanya kikundi
00:38:16.680 cha watu na kwenda kuamua kumfanyia
00:38:18.160 vurugu. Huwezi amini bwana walifanya
00:38:20.000 vurugu na Mshoe wakamuua Jason yule
00:38:22.520 jamaa ambaye alimpokea Minata huku. Sasa
00:38:25.000 Minata alichukia sana ikabidi aende
00:38:27.319 kumwelezea Kapten. Basi bwana na Kten
00:38:29.599 naye alimwambia kwamba asijali hilo
00:38:31.400 swala atalishughulikia tu. Sasa kuna
00:38:33.240 jamaa mmoja hivi mtu mweusi alienda kwa
00:38:35.599 Elizabeth na kumchoma kisu. Yaani
00:38:37.040 ilikuwa ni kama vile kulipiza kisasi
00:38:38.960 maana huyu ndiye ambaye aliwashawishi
00:38:40.400 wale wauni wa Kibritish kuweza kufanya
00:38:42.400 vurugu. Yamaa aliyemchoma kisu na yeye
00:38:44.400 hakufika hata mbali. Alikamatwa na
00:38:46.240 Wabritish na kuweza kuuliwa hapo hapo.
00:38:48.520 Yaani hayo mambo yote ambayo yalikuwa
00:38:50.319 yakiendelea hapo Aminata alikuwa
00:38:52.400 akiyashuhudia kwa macho yake mawili.
00:38:54.400 Yaani kwa sasa kundi kubwa la Wabritish
00:38:56.480 hawawataki kabisa watu weusi na ndio
00:38:58.440 maana wanawaua. Baada ya Minata hapa
00:39:00.400 kuona kuna mtu ameuliwa akaamua apite
00:39:02.560 njia ya maporini asije akauliwa na yeye.
00:39:05.160 Sasa hapa tunamuona pasta naye akilia
00:39:07.640 sana baada ya kanisa lake kuchomwa moto
00:39:09.800 na sasa hawatakuwa na sehemu ya
00:39:11.560 kukusanyika kabisa na kuweza kuabudu.
00:39:13.920 Sasa kutokana na kwamba Wabritish
00:39:15.720 wameamua kukiwasha Aminata alikuwa
00:39:17.560 akimtafuta mpenzi wake Chokoro kwa hudi
00:39:19.680 na uvumba. aliita sana ila wapi lakini
00:39:22.440 ghafla akamuona Chokolo akiwa na kijana
00:39:24.680 mwingine ambaye kama vile alikuwa
00:39:26.240 akimsaidia hivi basi bwana
00:39:28.240 wakakumbatiana hapa na Aminata
00:39:30.079 akamwambia Chokolo asije akamwacha tena
00:39:32.359 kutokana na kwamba hapa Washington kwa
00:39:34.319 sasa sio sehemu salama hata kidogo.
00:39:36.680 Aminata na Chokolo walipanga mpango wa
00:39:38.720 kuweza kurudi Afrika. Sasa hatujui kama
00:39:40.920 huko Afrika ambako anataka kuelekea
00:39:43.000 kutakuwa ni salama kwao ama ndio
00:39:44.760 atatekwa na kurudishwa tena kwenye
00:39:46.240 biashara ya utumwa. Basi bwana safari
00:39:48.160 ilianza kuelekea Afrika yaani hapa
00:39:50.480 waliokuwa wanasafiri ni pastor Aminata
00:39:52.800 Chokolo Kapteni ambaye ni mzungu na
00:39:55.240 baadhi ya waafrika lakini insurahi sana.
00:39:58.520 Walipokaribia kufika Minata aliweza
00:40:00.359 kukumbuka kisiwa cha kwao akawa
00:40:02.359 anawaonyesha pale. Baada ya kufika
00:40:04.240 salama Siera Leon Waingereza
00:40:06.000 waliwasaidia kujenga mji mpya ambao
00:40:08.160 ulikuwa ukiitwa free toown yaani mji
00:40:10.240 huru. Na sasa Minata pamoja na Chokolo
00:40:12.440 watakuwa wanaishi kama mke na mume tena
00:40:14.400 kwa uhuru sio wa kawaida. Lakini maswala
00:40:16.520 ya utumwa still yalikuwa yakiendelea
00:40:18.560 kama kawaida. Sasa siku moja wakati
00:40:20.640 Aminata anafanya kazi zake akamuona
00:40:22.760 kijana mdogo sana akiwa amefungwa
00:40:24.359 minyororo na alivyomuona aliweza
00:40:25.920 kumchukulia kama vile mwanaye. Kwa
00:40:27.760 huruma alimfuata na kumpatia kikombe cha
00:40:29.599 maji. Ila cha kushangaza sasa huyo
00:40:31.480 mfanyabiashara wa kizungu alikuwa ni
00:40:33.599 katili balaa maana hakutaka Chalii anywe
00:40:36.000 maji hata kidogo. Na hapa Minata alikuwa
00:40:38.200 anajua fika yale yote ambayo wataenda
00:40:40.480 kupitia hawa watoto baada ya
00:40:41.960 kusafirishwa kama watumo. Minata
00:40:43.960 alikusanya negros wenzake wote ili
00:40:46.359 angalau aweze kuzuia hao vijana
00:40:48.200 wasipelekwe utumwani. Na misheni kubwa
00:40:50.240 ambayo Aminata yuko nayo hapa ni
00:40:51.680 kukomesha kabisa biashara ya utumwa.
00:40:53.760 Kutokana na mabishano ya hapa na pale
00:40:55.839 Chokolo akazinguliwa sana lakini hakupoa
00:40:58.280 wala nini. Na hapo alikuwa akimshuhudia
00:41:00.040 mwafrika mwenzao kabisa tena mweusi
00:41:02.280 akilipwa pesa eti tu kwa sababu
00:41:04.040 amewasaidia wazungu kuweza kuwakamata
00:41:05.720 hawa vijana na kuwafanya mateka ili
00:41:07.720 wazungu wakawatumie kwenye shughuli zao.
00:41:09.480 Sasa kutokana na kwamba Chokolo alikuwa
00:41:11.079 ni msumbufu majamaa wakawa wamekasirika
00:41:13.440 sana. Alimfuata na kumchimba biti zito
00:41:15.640 kichizi. Sasa pasta akawa anamshusha
00:41:17.720 hasira chokolo huku jamaa anayewasaidia
00:41:19.800 wakoloni akitazama tu. Sasa hapa mzee ni
00:41:22.119 kama vile amepoteza nuru kwenye macho.
00:41:23.920 Sasa sijajua ni presha au ni nini lakini
00:41:25.920 akawa anawagusagusa vijana pale mara
00:41:28.000 akamgusa kijana mdogo kabisa na huyu
00:41:30.079 huenda ana miaka hata 10. So mzee
00:41:31.880 akamkumbatia. I say hilo tukio
00:41:33.839 liliwakasirisha sana hawa majamaa.
00:41:36.040 Wakamwambia mzee amrudishe huyo mtoto
00:41:38.079 chapu. Mzee akaanza kutoatoa pale
00:41:40.079 vifungu vya Biblia. Mwamba kutaka stori
00:41:42.160 nyingi akamchome Kabeto moja hivi la
00:41:43.920 tumboni. Ghafla hali ya hewa
00:41:45.359 iliharibika. Askari walikuwa wakipiga
00:41:47.480 risasi ovyo sana ila walikuwa akizipiga
00:41:49.599 juu. Aminata naye aliumia sana kwa kifo
00:41:51.560 cha mzee. Bibi alidhani akija huku
00:41:53.800 itakuwa ni amani tu kwa kwenda mbele
00:41:55.560 lakini ndio hivyo tena hakuna amani wala
00:41:57.760 nini. Kwa sasa bibiye anaumia sana ila
00:42:00.280 hapo mbele najua tu kabisa atakuwa ni
00:42:01.920 mtu mwenye furaha isiyoelezeka. Na hii
00:42:04.200 mu bwana au haya matukio kwa namna moja
00:42:06.560 au nyingine yanaonyesha uhalisia wa
00:42:08.520 mambo namna yalivyokuwa kipindi hiko cha
00:42:10.640 utumwa ambacho alipitia babu zetu. Sasa
00:42:12.839 hapa Aminata alikuwa akimtaka Chokolo
00:42:14.640 waelekee kijijini kwao ambako Aminata
00:42:16.720 amezaliwa na hiko kijiji kinaitwa Bayo.
00:42:19.079 Ila Chokolo anahofia sana maana hata
00:42:20.920 yeye mwanzoni alishirikiana na watu
00:42:22.880 weupe kuwateka watu na kuwafanya kama
00:42:25.079 watumwa. Ila Minata akamwambia hayo
00:42:26.800 mambo ni ya zamani na sasa yameshakuwa
00:42:28.800 mapya. asiwe na wasiwasi wowote. Basi
00:42:30.920 Chokola alikubali bila kusita na Aminata
00:42:33.200 alifurahi sana. Hapa tunawaona
00:42:34.839 wakielekea kwenye hiko kijiji na hapa
00:42:36.640 walikuwa hawajui kabisa kama kuna hatari
00:42:38.720 kubwa sana ambayo iko mbele yao. Kuna
00:42:40.599 sehemu moja hivi walifika wakakutana na
00:42:42.319 yule jamaa Black ambaye huwa anawauza
00:42:44.400 wenzake kwa wazungu. Tena hapa alikuwa
00:42:46.319 yuko na watoto wadogo kabisa kwa ajili
00:42:48.160 ya kuwapeleka wakawe kama watumwa. Hapa
00:42:50.240 kuna binti mdogo sana. Yaani Aminata
00:42:52.400 akimtazama huyu binti anakumbuka yeye
00:42:54.440 namna alivyokuwa mdogo miaka mingi sana
00:42:56.160 iliyopita. ikabidi ampe maji maana
00:42:58.480 alikuwa anaonekana kama amechoka sana.
00:43:00.760 Sasa kutokana na kwamba Aminata na
00:43:02.599 Chokolo waliumia sana baada ya kuwaona
00:43:04.640 watoto wadogo wakifanywa watumwa
00:43:06.280 waliamua kujificha mahali na kuanza
00:43:08.319 kupanga mipango ya kuwatorosha. Sasa
00:43:10.319 usiku ulipoingia waliona kabisa kwamba
00:43:12.480 majamaa watakuwa wameshalala. Chokolo
00:43:14.319 aliamua kwenda kimya kimya na
00:43:16.079 kuwafungulia wale watoto bwana. Na
00:43:17.880 wakati huo Aminata alikuwa amejificha
00:43:19.960 kwenye majani. Lakini alitokea jamaa
00:43:21.680 mmoja hivi akamkamata chokolo na kumpiga
00:43:23.640 visu kisawasawa. Wakati huo Aminata
00:43:26.079 alikuwa akishuhudia kila kitu ikabidi
00:43:28.160 aende chapu pale kuweza kumsaidia
00:43:29.760 mumewe. Wewe dada ambaye unatazama hapo
00:43:31.400 ungekuwa ni wewe ungeweza kufanya kitu
00:43:33.400 kama alichofanya Aminata? Hebu niwekee
00:43:35.359 comenti yako hapo. Basi bwana Minata
00:43:37.319 alifanikiwa kumuua adui lakini cha
00:43:39.440 kusikitisha ni kwamba Chokolo
00:43:41.280 ameshafariki. Siku mbili zilizofuata
00:43:43.559 Aminata alikuwa tayari ameshafika kwenye
00:43:45.280 kijiji cha Bayo ambapo ndipo
00:43:46.839 alipozaliwa. Basi hapa kijijini Aminata
00:43:49.000 alikuwa akikaa na watu na kuwasimulia
00:43:50.920 kila kitu alichowahi kukipitia kwenye
00:43:53.079 maisha yake. Na miaka 10 baadaye Aminata
00:43:55.640 akawa ni mtu muhimu sana na pia alikuwa
00:43:57.599 ni mwaminifu sana kwa Waingereza. So
00:43:59.760 Aminata alipata mwaliko fulani hivi
00:44:01.480 kwenda London na alialikwa huko kwa
00:44:03.240 heshima kubwa sana. Na watu waliomwalika
00:44:05.160 ni wale wale ambao mwanzoni walimfanya
00:44:07.240 kama mtumwa. Na hapa alikuwa
00:44:08.680 ameshakamilisha kazi yake ya kuandaa
00:44:10.599 kitabu cha watu weusi ambacho kilikuwa
00:44:12.359 kinaitwa Book of Negros. Hiko kitabu
00:44:14.480 kilikuwa kinaelezea kwa kina wanajeshi
00:44:16.640 zaidi ya 3000 ambao walikuwa ni weusi
00:44:18.760 namna walivyoungana na kupoteza maisha
00:44:20.839 yao kwa sababu ya harakati za Uingereza.
00:44:23.040 Na hiyo ilikuwa ni kama vile alama
00:44:24.520 isiyofutika kwa Waingereza katika
00:44:26.480 historia yao. So kwa kutambua utumishi
00:44:28.559 wake serikali ya Uingereza ilimpa
00:44:30.559 heshima kubwa sana na wa kumchukulia
00:44:32.520 kama mtumwa. Aminata alielezea mambo
00:44:34.480 mengi sana waliokumbana nayo wakiwa kama
00:44:36.720 negros na Waingereza waliingiwa na aibu
00:44:38.800 sana baada ya ukweli aliouongea Minata
00:44:41.079 juu ya biashara ya utumwa. maana vyote
00:44:43.000 hivi alikuwa akiviandika mwenyewe kwenye
00:44:44.880 kitabu. Sasa siku inayofuata watu wengi
00:44:47.079 walikuwa wamenunua kitabu cha Aminata na
00:44:49.119 hapa alikuwa akiweka saini kwa kila
00:44:50.720 kitabu. Huwezi amini bwana hata Mr.
00:44:52.680 Samuel na yeye pia alikuwepo na pia
00:44:54.720 alikuwa akitaka kuwekewa saini kwenye
00:44:56.200 kitabu chake. Huyu Mr. Samuel kama
00:44:57.800 unamkumbuka ni yule mzee ambaye alikuwa
00:44:59.839 ni bosi wake wa pili aliyesafiri naye
00:45:01.760 kwenda kule Marekani. Sasa baada ya
00:45:03.400 mchakato wa kupinga biashara ya utumwa
00:45:05.559 kura za maoni zilipigwa na Waingereza
00:45:07.359 wengi walipinga kuwafanya Waafrika kama
00:45:09.599 watumwa wao. Miaka kadhaa ikasonga. Kama
00:45:12.000 unavyomuona Minata anaanza kuwa
00:45:13.559 mshangazi sasa maana anazeeka huyu. Huyu
00:45:16.200 kapteni alishawahi kumwahidi Aminata
00:45:18.400 kwamba atampatia ramani ya Afrika na
00:45:20.559 hapa ndio ametekeleza ahadi yake. Yaani
00:45:22.440 Aminata hakuamini kabisa maana hii
00:45:24.640 ilikuwa ni ndoto ambayo iko nayo kwa
00:45:26.119 muda mrefu sana. Yaani shote alikuwa
00:45:27.880 akitamani kuona ramani ya Afrika ilivyo.
00:45:30.640 Sasa leo wakati yupo nje akamuona Mr.
00:45:33.040 Samuel akiwa amesimama akasema hapa leo
00:45:35.359 lazima nimfuatilie huyu Mr. Samuel.
00:45:37.520 Lakini jamaa alitembea na kuingia ndani
00:45:39.079 ya nyumba moja hivi. Aminata yeye akawa
00:45:40.880 amesimama nje. Wakati anataka kuondoka
00:45:42.960 ghafla Samuel alitoka na dada mmoja
00:45:45.000 hivi. Na hii sio mara ya kwanza kumuona
00:45:47.079 huyu binti. Binti aliongea vitu vingi
00:45:49.160 sana kuhusu Aminata maana alishaelezewa
00:45:51.200 habari nyingi sana kuhusu Aminata. Na
00:45:53.040 huwezi amini bwana kumbe huyu binti ni
00:45:54.920 mtoto wa Minata ambaye aliibiwa na yule
00:45:57.200 mwajiri wake wa mwanzo kabisa na
00:45:59.079 kutenganishwa naye. Hapa alimuuliza wewe
00:46:01.079 ni Mayii. Binti akaitikia akimaanisha
00:46:02.920 ndio. Da. Aminata alimkumbatia mwanaye
00:46:05.880 pale maana ni muda mrefu sana kuweza
00:46:07.680 kumtia machoni. Yaani ni zaidi ya miaka
00:46:09.760 20. Aminata alimpa shukrani sana Mr.
00:46:12.119 Samuel na nadhani kwa sasa kinyongo cha
00:46:14.000 Aminata kwa Mr. Samuel kitakuwa
00:46:15.680 kimeshakwisha japokuwa hakupata nafasi
00:46:17.960 ya kukaa na mwanaye kwa muda mrefu.
00:46:19.640 Mwanangu unayetazama hii muifunza kitu
00:46:22.200 gani? Hebu niandikie kwenye comment hapo
00:46:24.480 chini ili tuweze kudiscus. Lakini pia
00:46:26.559 usisahau kuniambia unatazama kutokea
00:46:28.040 wapi na mwisho kabisa usisahau
00:46:29.599 kusubscribe na kubonyeza alama ya
00:46:31.319 kengele kulike na kushare ili uwe
00:46:33.520 mwanafamilia wa mentalics. Na pia kama
una tangazo lako tutafute kwenye hiyo
namba tuweze kuyajenga. Ulikuwa na mimi
mchizi wako IO. See you next time.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni