*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
SONGA NAYO
Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wake
Madam groly akamgeukia Suzy na kumuuliza.
"Huyu mbwa amefikaje hapa
Suzy wa watu akiwa
wasiwasi mkubwa sana
akataka kujielezea lakini nikawai na kujibu.
"Niko hapa kwa sababu makali kuhusu Enzo
Madam groly ni Kama alikuwa ataki kusikia SAUTI yangu tu, kitendo cha Mimi kumjibu tu, akanitandika kibao kingine.
Muda huo huo, mmoja kati ya wahudumu hospital, akafika eneo ilo na kuzungumza.
"Nick, Enzo ameamka na mnaweza kwenda kumuona yuko chumba Namba MBILI private "Saa Asante sana
Alijibu Nick kisha akaondoka kwa kukuambia akiwa kwenda kumuona Rafiki yake
"Unaenda wapi?"
Madam groly aliniuliza baada ya kuniona Kuwa nataka kwenda wodin.
"Madam groly please, niruhusu niweze kumuona
Enzo,
Nakuomba sana"
Nilimuomba madam groly kwa utulivu wa hali ya juu na machozi ya Kuwa yananitililika.
Madam groly skaniangalia kwa hasira
kwa ukali wa hali ya juu akazungumza
"Umeona hii sura yako Kama nguruwe poll, nisije nikaiona kule Ndani, ishani, najua unijui vizuri lakini safari hii nitakuja kumuonesha kila rangi ambazo wewe ujewai kuziona kwa macho ya kawaida, potea hapa"
Madam groly Wala hakusubilia majibu yangu,
kwa mwendo wa haraka akaondoka na kuniacha
Mimi na Suzy, Kwa upande wa Suzy pia hakuwa.
na msaada kabisa, alibaki akiniangalia kwa
huzuni na mwisho akaniaga na kutaka kuingia
Ndani, baada ya hatua kadha akasimama
pasi na kugeuka nyuma akazungumza.
"Nitakitaidi kumpiga Picha kwajili yako"
Kiukweli niliishiwa nguvu kabisa na kujikuta
nikikaa chini na kulia sana, moyo wangu ilikuwa
na maumivu makali sana kwa wakati huo.
"Kwanini nimempenda mtu ambaye siwezi Kuwa
nae ?"
Nilibaki nikijilaumu tu.
Baada ya Karna nusu Saa hivi, madam na Suzy
wakatoka nje
moja kwa moja wakaenda
kwenye magari Yao
"Mama kuja kitu nimesahau
tangulia
NAKLUJA
Alizungumza Suzy uku akiangalla uku na uku ni
wazi Kuwa alikuwa akinitafuta Mini
"Kachukue ulichosahau me Nakusubili hapa
Alizungumza madam groly ni Kama kuna kitu
Alihisi hivi, Maana alimkazia sana Suzy kwa
wakati huo,
Kwa utulivu wa hali ya juu Suzy akarudi Ndani ya
hospital na Sijui ata alipita kona gani gafla tu
akatokea nyuma yangu.
"Mamaaaaah
Nilishtuka baada ya Suzy kunishika bega.
"Polepole wewe, sikia, pita uku nyuma, kuna
mlango utauona pale utakutana
Nick
atakupeleka wodini kwa Enzo
Yaani sikuamini Kama Suzy Ndio ananisaidia
Mimi kiasi iko
Ukizingatia Mimi na yeye ni watu ambao
tumeishi Kama paka na panya
"Asante Suzy
Nilimjibu na gafia tu nikajikuta nikimuamini
kumkumbatia
"Hi Pesa utatumia Kama nauli ya kurudi
NYUMBANI
Alizungumza Suzy kunipatia kiasi cha
shillings elfu 20 na pasi na kupoteza muda.
akaondoka.
Na Mimi pia sikuwa na muda wa kupoteza,
haraka nikafuata maelezo ambayo luzy
alinipatia na mwisho nikakutana na Nick
moja kwa moja akanipeleka wodini.
Enzo
Nilimulta Enzo wangu kwa SAUTI ya chini sana.
uku nikizuia kilio
Ambacho kilikuwa kinanikaba koo kwa wakati
huo.
Kwa haraka Enzo akanigeukia kwa SAUTI ya
shida sana skanita.
"ISHANI
Haraka nikawal na kumkumbatia Enzo kwa
nguvu San na kujikuta nikilia tu.
"Usille sasa me Niko Sawa Mbona"
Alizungumza Enzo akinituliza Mimi
Muda huo huo nilibadilika na kuanza kumpiga
Enzo vibaya mfululizo.
"Kwanini umekuwa mbinafsi wewe eeeeh,
Kwanini unajΕ‘ali Mwenyewe eeeh Kwanini ujall
kuhusu watu wengine eeeeeh, ulitaka kuniacha
na Nani eeeeh, ulltaka uniache Mwenyewe
kwenye hii dunia ambayo kila mtu ananichukia?
Kwanini Enzo
Nilizungumza nikiwa
maumivu makali sana,
just imagine, mtu unepoteza watu wako
muhimu wote ambao walikuwa ni kila
Kitu kwako, halafu gafla tu mtu ambaye amebaki
Kama Furaha yako na yeye anataka kujiua kwell
Jamani ila hii dunia acha tu.
Enzo hakuwa sta nguvu ya kuzungumza
alibaki akiniangalia tu ninavyolalamika.
"Shermejl, Basi shemeji yangu, Tulia mwaya. Enzo
ametoa wa na amejua makosa yake"
Alizungumza nick
moja kwa moja
akaninyanyua na kunikumbatia kwa nguvu sana.
"Me siwezi kuishi bila Enzo Mimi siwezi,
nimejaribu nimeshindwa
Niliendelea kufia kwa SAUTI kabisa Kama
kawaida yetu wanayakyusa.
Baada ya muda nikatulia
na kuanza
kumuhudumia Enzo wangu Kama kumuonesha
na kumadilisha mavazi yake
Ikiwa ni Majila ya Saa 4 usiku, Nick akatoka nje
na kwenda kununua chakula na alivyorudi tukala
kwa pamoja
ziliendelea.
story hapa
pale
"Shemeji, tuondoke sasa tutarudi kesho asubuhi
Alizungumza Nick akikusanya baadhi ya vitu
ambavyo avikutakiwa kubaki hapo hospital
Nikamuangalia Nick, kisha Nikamuangalia Enzo
wangu na kujibu.
"We nenda tu ukapumzike me nitalala hapa
siwezi kumuacha Enzo Mwenyewe
Nick akataka kuzungumza kitu lakini Enzo
akamuwai
"Usijali Nick, we nenda tu
Basi Nick akaondoka na kuniacha Mimi na my
wangu, uzun wa private bwnaa unaishi Kama
upo
Kwako vile.
Nikasogea na kufunga mlango, kisha nikasogea
kitandani na kulala pembeni ya Enzo.
"Am sorry"
Alizungumza Enzo kwa SAUTI ya huzuni sana.
Nikachukua kidole changu cha mkono wa kulia
na kumuwekea MDOLI i na kwa SAUTI ya
mahaba nikazungumza
"Usiseme kitu, Sijui ni nini lakini moyo wangu
Una imani kubwa sana juu yako, Sawa Maneno
yako yaliniumiza sana siku ile lakini moyo wangu
Ulikataa kukubaliana na kila kitu"
Ishani, ata ikitokea nimekufa Leo jua Kuwa ni
wewe Ndio nakultaji kwenye maisha yangu, ata
nikifa sasa hivi, jua Kuwa moyo wangu ulikuwa
ukikuitaji wewe tu lakini wazazi wangu.
hawakuwal kunielewa
Usiongee hivyo bwana, Enzo uwezi kufa
kuniacha Mimi please usinifanyie hivyo"
Basi Mimi
my wangu Tukakumbatiana kwa
hisia za hali ya juu, muda huo huo Enzo
akaninong'oneza.
"Ila nimemisi mwenzio
Nikatabasamu na kumkuta mashavu yake.
"Mgonjwa umeanza kupenda uzinzi tu"
"Achana uzinzi bwna, mama kichupa kipo top
ujue
Alizungumza Enzo uku akianza kunitomasa.
"We Enzo wewe Ebu Tulia kwanza. Yaani
kichupa kinajaa vipi na Umeca ?"
Squi Kama utanielewa
sijawal kumgusa pully"
kuniamini lakini
Nyleeeeh nilijikuta nikicheka tu, halafu Enzo wangu anavyopenda mambo ya kwichi kwichi esimguse Mke wake kwell.
"Me najua uniamini
Alizungumza Enzo baada kuona Kuwa
namcheka sana
Muda huo huo Enzo akanivamia tu mwilini.
tukaanza kuingia kwenye mchezo, Kiukwell
sikuwa comfortable ukizingatia ni hospital na
Enzo anaumwa ajakaa Sawa kabisa.
Enzo
Nilimulta taratibu nikitaka Aachen lakini Enzo
hakunisikia kabisa. mwisho hisia zikashinda
na Mimi na my wangu tukapinduka Kama nusu
Saa hivi
Mwisho Mimi na my wangu tukapitiwa na
usingizi
Asubuhi na mapema Mimi na Erizo tukiwa bado
tumelala na nguo zetu zilikuwa zikigalagala tu
chini, gafla tukasikia mlango ukifunguliwa kwa
nje na ulipofunguka tu akaingia mama Enzo,
baba Enzo, Suzy pamoja na pully, Yaani Mke
Enzo
Mimi na Enzo Tuka
Hii ni aibu kubwa my zangu NAKUJA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni