Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
Gonga94 ยท Stories

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Habari za hapa?"

Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili.

"Salama"

Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao.

"Nikusaidie nini

Nilimuuliza

Hapo pili akaniangalia na kuniuliza.

"Mnajuana ?"

"Ndio"

Baada ya kumjibu Kuwa Mimi na Suzy tunajuana, pili akageuka zake na kwenda chumbani kwake na tukabaki Mimi na Suzy tukiangaliana tu

Safari hii Bwana Suzy alionekana Kuwa mpole na Mtulivu Sanaa na tofauti na Suzy Yule ambaye namjua Mimi.

"Umepajuaje hapa ?"

Nilimuuliza Maana naona ni Kama wanaanza kupazoea NYUMBANI kwangu, wanaambizana tu na kuja muda na Saa yoyote ile wanayojisikia.

"Tunaweza kupata muda wa kuongea mawili matatu?"

Suzy aliniuliza.

"Suzy unavyoangalia unahisi Mimi Nina muda wa kuzungumza na wewe? Unajua Mimi Siwaelewi wewe na familia yako mnashida gani

na Mimi? Mbona Mimi siwafatilli Kama ambavyo

ninyi mnafanya? Mnataka nini kutoka kwangu"

Kwa SAUTI ya upole Suzy akazungumza. "Ni kuhusu Enzo"

Weeeh kitendo cha kusikia Jina la habibi wangu, kwa jazba ya hali ya juu nikauliza.

Enzo amefanya nini? Anaumwa Amepata matatizo au? Nambie Enzo Ana shida gani?"

Suzy akatabasamu na kwa upole akazungumza.

"That is love, tazama unavyopata shida kutaka kujua kuhusu yeye, ishani hatuwezi kuzungumza

tukiwa tumesimama, hapa kuna mawili, tuingie Ndani kwako au Twende kwenye gari"

Nikafikilia kwa muda kidogo kisha nikaamua kumkaribisha Ndani kwangu liwalo na liwe tu.

"Karibu"

Nilimkaribisha

"Asante, Hongera Ndani kwako pazuri sana"

Alizungumza Suzy akinisifia Assaah Walahi Ndio alizidi kunipatia wasiwasi kabisa, yaani huyu msichana huu wema ametoa wapi?R Yaani Suzy ninayemjua mimi na huyu wa Leo ni

watu saba tofauti

"Enzo Ana shida gani?"

Nilimuuliza nikiitaji kujua

"Enzo anakuitaji sana ISHANI, sana Tena Sana, lakini pia Enzo anakupenda sana Tena sana"

Nikamuangalia na kucheka kwa dharau.

"Najua uniamini na kuna Namna unashindwa kunielewa lakini huo Ndio ukweli ishani, Enzo anakuitaji sana Tena sana"

Hapo kwanza Ndio nikakumbuka Kuwa huyu

Mwenyewe alikuwa anamtaka kaka yake, na Kwakuwa Leo yuko NYUMBANI kwangu wacha nimwmbie ukweli wake

"Kwahiyo hapo Suzy Unataka Mimi niwe na mahusiano na Enzo si Ndio ?"

"Ndio"

"Vipi kuhusu Mke wake? Au achana na Mke

wake, vipi kuhusu wewe 7 Maana najua unatamani sana Kuwa Mke wa Enzo, hivi hauna akili nzuri au? Enzo si kaka yako wewe?"

Suzy akatabasamu na kujibu.

"Ooooh kweli Enzo anakupenda sana mpaka amekuambia mambo yangu Mimi na yeye, lakini

kuna kitu kasahau Labda, Ishani Mimi na Enzo sio ndugu ata kidogo, Yaani ata nusu, Enzo

amezaliwa Pekee yake Kuanzia kwa baba mpaka

kwa mama"

Hapo kwanza nilishtuka na kwa shauku nikamuuliza

"Kivipi?"

Suzy akakaa vizuri na kuendelea kunipatia uondo wa mambo ambayo sikuwa nikiyajua

kabisa.

ISHANI Mimi sio Mtoto kishua Kama unavyofahamu, Mimi ni Binti wa KIJAKAZI tu,

Yangu mzazi alikuwa ni mfanyakazi pale NYUMBANI Kwa kina Enzo, na mama yangu

mama

alikuwa ni single mama, tangu nimezaliwa

sikuwa kuonana na ndugu ata Mmoja wa mama

yangu, na Ndio Maana ata mama yangu

alipofariki bado niliendelea kubaki kwa kina

Enzo

"Suzy unanitania si Ndio Hivi uwe tu Mtoto wa mjakazi halafu Ndio madam groly akupende

kiasi iko

"ISHANI yako mengi sana ambayo uyafahamu

na huu sio wakati sahihi, sitaki Kuwa muongo

kwako nampenda sana Enzo Tena sana,

Lakini Enzo anakupenda wewe mno, na

wahenga walisema Kuwa, upendo wa kwanza kwa mtu ni kumpatia Furaha na furaha ya Enzo

ni wewe tu na sio pully, ishani, nataka kumuona

Enzo akiwa na Furaha, nataka kumuona Enzo akiwa na amani Kama hapo awali, nimechoka

kuona na kusikia SAUTI ya kilio chake kila

Siku

Nikamuangalia Suzy kwa muda na

Kuzungumza.

"Suzy umekuja kunichezea wewe si Ndio?"

"Najua sio rahisi kunielewa lakini huo Ndio ukweli, tshani, Enzo anakupenda sana Tena

sana, kwa sasa hivi anapitia kipindi kigumu

sana

"Lakini Enzo amenitamkia Kuwa aniitaji kabisa

kwenye maisha yake"

"Kwa sababu anakulinda wewe ISHANI

Kwnza nikashtuka, ule mshtuko wa herufi kubwa

na kumuuliza.

"Ananilinda?"

Kabla Suzy ajanijibu swali langu, muda huo huo simu ya Suzy ikaita na Nick Rafiki

wa Karibu sana wa Enzo Ndio alikuwa akipiga.

"Hellow kaka nick"

Alizungumza Suzy baada ya kupokea simu.

Muda huo huo ikasikika SAUTI ya Nicki akiongea kwa jazba lakini pia na wasiwasi mkubwa sana

Ndani yake.

"Suzy, Nipo hospital, nimemleta Enzo ana hali mbaya sana amekunywa sumu"

"Nini?

Nilijikuta nikidakia kwa mshtuko wa hali ya juu

na kumpokonya simu Suzy.

"Nick unasemaje? Na umempeleka hospital

gani?"

Basi Niki akatutajia hospital aliyompeleka Enzo

na pasi na kupoteza muda Mimi na Suzy tukapanda gari na kwenda kwenye hospital

husika

Walahi nilikuwa Nina wasiwasi sana, njia nzima nilikuwa niktetemeka tu na kuna muda nilikuwa

Niona Kama sifiki, Basi foleni za hapa na pale Ndio zilikuwa zikinichanganya zaidi

Hatimaye kwa uwezo wa Mungu Mimi na Suzy

tukafika hospital, nyieeeeh ndugu yenu siku subili ata gari ipaki vizuri, chap nikafungua

mlango wa gari na kushuka na moja kwa moja

nikawal mapokezi ambapo nilikutana na nick akiwa anazunguka uku na uku.

"Enzo yuko wapi?"

Nilimuuliza nick nikiwa na wasiwasi sana.

Muda huo huo pia Suzy nae akafika kwenye

enec ilo na kuuliza swali lile lile ambalo Mimi Nilimuuliza Nick.

"Yuko emergency room hawaruhusu mtu kuingia

Yaani nilijikuta mawazo yangu yakienda mbali.

sana, nilijikuta tu nikikumbuka jinsi nilivyopoteza

wazazi wangu, kuna Namna pia Nilihisi Kuwa

naenda kumpoteza na Enzo pia, Kiukweli nilishindwa kuficha wasiwasi wangu na

nikajikuta nikilia kwa uchungu sana

"Aaaah Ishani Ndio nini sasa"

Alizungumza Suzy na kunishika mkono na

akanitoa nje kabisa ya hospital na Nick akatufuata

"Nafikili pia ishani ungeondoka tu Maana madam groly akikukuta hapa hali itakuwa sio

shwari kabisa na ukizingatia yuko njiani anakuja

uku

Alizungumza Nick akionesha kumuogopa sana

madam groly

Kwa ujasili wa hali ya juu, nikafuta machozi na

kuzungumza

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*



"Habari za hapa?"

Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili.

"Salama"

Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao.

"Nikusaidie nini

Nilimuuliza

Hapo pili akaniangalia na kuniuliza.

"Mnajuana ?"

"Ndio"

Baada ya kumjibu Kuwa Mimi na Suzy tunajuana, pili akageuka zake na kwenda chumbani kwake na tukabaki Mimi na Suzy tukiangaliana tu

Safari hii Bwana Suzy alionekana Kuwa mpole na Mtulivu Sanaa na tofauti na Suzy Yule ambaye namjua Mimi.

"Umepajuaje hapa ?"

Nilimuuliza Maana naona ni Kama wanaanza kupazoea NYUMBANI kwangu, wanaambizana tu na kuja muda na Saa yoyote ile wanayojisikia.

"Tunaweza kupata muda wa kuongea mawili matatu?"

Suzy aliniuliza.

"Suzy unavyoangalia unahisi...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-tano

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-tano
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

904
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

700
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

393
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

342
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

239
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

198
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

130
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

90
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

50
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

12

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.11K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen! Post Mpya
So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen!
@majario LIVE

If you grew up in the 90s, you know this duo was pure entertainment. From Main Khiladi Tu Anari to Yeh Dillagi, Tu Chor Main Sipahi, and Keemat, they gave...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
@majario LIVE

D alitoka hukoo kasi akataka kumpiga Veda Tinner akazuiaaa nae alitoka .. "Veda wewe kumbe ni mshenziii eeeh!!" Veda yupo kimyaa ananikata jichoo kaliii yaani hamtazami D anaembwatukia jicho lote lipo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest