Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
28 Feb 2026
154 views
VYOTE NDANI GONGA94
MY CRAZY BOSS 16
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo.
"Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss alizungumza."
"Ni mimi nina mwili na shepu nzuri nitakuwakilisha vyema, leila alidakia na kutuacha watu wote mdomo wazi."
"Sawa leila jiandae , boss liongea."
Niliwaza haraka haraka nikajiongeza kisha nikaongea "Hapana boss nitaenda mimi ni wazi kutakuwa na watu kutoka mataifa mbalimbali, yaweza kuwa sijajaliwa uzuri ila naweza kutafsiri lugha tano tofauti nitafaa zaidi".
"Oooh ni sawa basi sikukumbuka hilo jiandae Joy tutaongozana si muda, boss alijibu kisha akaelekea ofisini."
"Umalaya tu huna lolote, leila alizungumza."
Sikuhitaji kubishana nae nilimpotezea , kisha nikaweka vitu vyangu vizuri tayari kwa kuongozana na boss.
Ilipita nusu saa , boss Erick alitoka ofisini, kwapamoja tuliongozana hadi kwenye party iliyofanyika Serena Hotel.
"Behave properly, boss alitamka maneno hayo tukiwa tunazama ukumbini."
"Okay boss, niliitikia."
Kama nilivyodhania, tulikutana na wageni kutoka nchi mbalimbali , jukumu langu kubwa lilikuwa ni kutafsiri na kweli nilifanikiwa.
Baada ya sherehe kumalizika tuliongozana na boss kwenye gari kisha safari ya kwenda kupumzika ilianza.
Tukiwa ndani ya gari ukimya ulitawala ndipo nilipiamua kufunguka
"Boss sitaenda nyumbani leo , nahitaji kuwa na wewe usiku wa leo, samahani sana kwa kutokujali hisia zako".
" Una uhakika na unayoyasema Joyce? Boss aliniuliza. "
" Ndio boss".Nisamehe kwa maneno makali nilokutamkia.
" Sawa, tambua kuwa sitaweza kubadili maamuzi yangu wala kukuonea huruma ukiingia ndani ya himaya yangu. "
Ni sawa. Nilijibu.
Itaendelea
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia ...
Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo.
"Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss alizungumza."
"Ni mimi nina mwili na shepu nzuri nitakuwakilisha vyema, leila alidakia na kutuacha watu wote mdomo wazi."
"Sawa leila jiandae , boss liongea."
Niliwaza haraka haraka nikajiongeza kisha nikaongea "Hapana boss nitaenda mimi ni wazi kutakuwa na watu kutoka mataifa mbalimbali, yaweza kuwa sijajaliwa uzuri ila naweza kutafsiri lugha tano tofauti nitafaa zaidi".
"Oooh ni sawa basi sikukumbuka hilo jiandae Joy tutaongozana si muda, boss alijibu kisha akaelekea ofisini."...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-crazy-boss-16
Maoni