Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
Gonga94 ยท Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹

Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni.

Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma sana sio mchezo, tena mbaya zaidi ni namna ambavyo Salmon alikua akishikana shikana na wanawake wengine akiwemo Iris๐Ÿ’”.

โ€œSipaswi kulia, labda kalewa tu ndo maana anafanya vileโ€ฆ..โ€ alijifuta machozi taratibu akijipa moyo.

Dakika zile zile mlango ukafunguliwa na Mr Marvel akaingia. Kitu cha kwanza alicho kifanya ni kumkumbatia Noela kwa nyuma.

Kwa akili za Noela alidhani ni Salmon kaja kumuomba msamaha kumbe hata sio. Alichogundua ni kwamba siku hiyo alihisi msisimko sana aliposhikwa tofauti kabisa na siku nyingine ambazo Salmon humshikaga.

Akageuka taratibu ndipo hapa alipohisi kuzimia baada ya kukutana na Mr Marvel. Hata yeye hakuwai kumsahau kabisa hasa kwa kile alichomfanyia.

โ€œWeweโ€ฆ. Weweโ€ฆ.. uliniโ€ฆโ€ฆ.โ€ Hakupata hata mda wa kumaliza sentensi yake.

Kwanza Mr Marvel alimtuliza kwa busu moja zito kuonyesha ni kiasi gani alimmiss. Na kuna namna lile busu likamchanganya Noela, lilikua tamu alafu pili Mr Marvel hakua na papara. Yani slowly slowly sio kama Salmon.

Noela alitamani sana kama wangeendelea ila kwakua yeye ni mpenzi wa mtu, hakupaswa kufanya vile! Alikusanya nguvu za kutosha na kumsukuma Mr Marvel pembeni.

โ€œKaa mbali na mimi pleaseโ€๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ˜ก

โ€œWhy??โ€

โ€œMimi ni mpenzi wa mtu, na ninampenda mpenzi wangu sana tu kwaiyo tuheshimiane. Kwanza hujui ni kiasi gani nakuchukia kwa kile ulicho nifanyiaโ€

โ€œFirst, sijali kama una mpenzi, also I know sikufanya kitu kizuri and i am sorry! Uliposema hautaki nilipaswa kuacha ila haikua ivyoโ€

โ€œKama umetambua kosa lako vizuriโ€ Noela alitaka kutoka kule chooni ila Mr Marvel akamzuia maana hakua kamaliza kuongea nae.

โ€œUnaenda wapi sasa wakati bado hatujamaliza kuongea?โ€

โ€œKuna kipi kingine cha kuongea?โ€๐Ÿ˜ก

โ€œKuhusu sisi!โ€

โ€œSisi na nani?? Hakuna chochote baina yetu!โ€

โ€œHahaha! Do you think kwamba ni rahisi namna iyo?? No! Sijawai kuwa interested sana na mwanamke mwingine zaidi yako kwaiyo please nieleweโ€

โ€œMbona unakua mgumu kuelewa? Nimesema ivi sitaki mazoea na wewe!โ€

โ€œSijuagi hapana katika maisha yangu, kaa ukijua iloโ€ alimpisha Noela atoke huku akiwa anatabasamu๐Ÿ˜Š

Apo Noela alikua kachukia balaa, alirudi chumbani kwa Salmon, akavua ile swimming suit akavaa nguo zake za kawaida.

Baada ya hapo akarudi kule kwenye party akiwa anaona aibu vibaya mno. Bado watu hawakuacha kumtazama na kumsema. Yani alikua kama topic kwenye midomo ya watu.

Salmon alipomuona alimfuata akiwa kachukia

โ€œNdo nini sasa kuaibishana Noela??โ€๐Ÿ˜ก

โ€œNimekuaibisha vipi wakati ile nguo ni wewe ndie umeni nunulia??โ€

โ€œKwaiyo? Kama haikua inakutosha si usinge vaa!โ€

โ€œNisinge vaa ili uje unikasirikie tena?? Nilivaa kwaajili yako na sikutaka ujisikie vibaya kwenye birthday yako!โ€

โ€œNi bora mara mia usingevaa kuliko kuja kuniaibisha na limwili lako ilo kama fenesiโ€๐Ÿ—ฃ๏ธ

โ€œUmesemaje Salmon??!โ€ Noela alishangaa maana hapo mwanzo Salmon hakuwai kumkosoa mwili wake hata kidogo iweje leo afanye ivo?๐Ÿค”

โ€œKwani umesikia nini?โ€

Kabla Noela hajajibu walisikia sauti nyuma yao. Ile sauti ilimfanya Salmon ageuke haraka akiwa ana wasiwasi

โ€œDad! Umerudiโ€ฆโ€ฆโ€

โ€œYes and hiki ni nini???โ€ Alisema Mr Marvel kwa kufoka na hapa ndipo tunajua kuwa Mr Marvel ndie baba mzazi wa Salmon๐Ÿ”ฅ

Kuona vile Noela akaishiwa nguvu kila mahali, unajua lazima upate presha maana sio kwa kile kilichotokea baina yake na baba mkwe! Aiseee๐Ÿ˜ฐ

โ€œNi Party!โ€ฆโ€ฆ.Ni birthday party yanguโ€

โ€œNdo ufanye nyumbani??? And unajua kabisa sipendi kelele pindi ninapo rudi nyumbani kupumzika! So please Party its over! Watoe watu wakoโ€ Mr Marvel alifoka akiwa bado hajamuona Noela

โ€œSorry Dad nimeelewa! Also nataka kukutambulisha mpenzi wangu yuleee nilie kuambia! Anaitwa Noelaโ€ Salmon alimshika Noela mkono akamgeuza upande aliokua kasimama Mr Marvel, so wakakutana uso kwa uso.

Hakuna kitu kilicho mchoma Mr Marvel kama kugundua kuwa mwanamke anae uchanganya moyo na ubongo wake ndie mpenzi wa Mtoto wake.

Alimuangalia Noela pasipo kummaliza huku akichemka ndani kwa ndani kwa wivu๐Ÿ’”.

Je nini kitaendelea?
Nakujaโ€ฆโ€ฆโ€ฆ.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6


๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹

Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni.

Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma sana sio mchezo, tena mbaya zaidi ni namna ambavyo Salmon alikua akishikana shikana na wanawake wengine akiwemo Iris๐Ÿ’”.

โ€œSipaswi kulia, labda kalewa tu ndo maana anafanya vileโ€ฆ..โ€ alijifuta machozi taratibu akijipa moyo.

Dakika zile zile mlango ukafunguliwa na Mr Marvel akaingia. Kitu cha kwanza alicho kifanya ni kumkumbatia Noela kwa nyuma.

Kwa akili za Noela alidhani ni Salmon kaja kumuomba msamaha kumbe hata sio. Alichogundua ni kwamba siku hiyo alihisi msisimko sana aliposhikwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

765
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

573
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

257
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

251
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

142
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.

123
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13

120
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

104
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

60
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05

57

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.36K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.12K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, itโ€™s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, itโ€™s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khanโ€™s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema โ€œChiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?โ€ Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema โ€œbila shaka dada yangu mzuri.โ€ Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen! Post Mpya
So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen!
@majario LIVE

If you grew up in the 90s, you know this duo was pure entertainment. From Main Khiladi Tu Anari to Yeh Dillagi, Tu Chor Main Sipahi, and Keemat, they gave...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
@majario LIVE

D alitoka hukoo kasi akataka kumpiga Veda Tinner akazuiaaa nae alitoka .. "Veda wewe kumbe ni mshenziii eeeh!!" Veda yupo kimyaa ananikata jichoo kaliii yaani hamtazami D anaembwatukia jicho lote lipo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest